Hello Dear Farida, asante kwa haya mafunzo unayotoa unaweza usijue lakin unatusaidia sana🙏🏼🙏🏼 naomba unisaidie kitu nashindwa kutofautisha namna ya kuongeza rasta kwenye yeboyebo na yebo fasta sababu nikiangalia video naona uongezaji ni uleule ila zinaleta muonekano tofaut., na mimi nimejaribu kusuka watu wawili nikidhan ni yeboyebo wananiambia nimesuka yebo fasta😂…kama utaweza kutupa video ambayo unasuka nywele zote mbili kwa video moja nione tofauti nitashukuru sana
Asante kwa hii chanel. Mm Nipo Mwanza ila tiali nimekuunganisha na watu wa Dar watakutafuta .
Mungu akubariki Sana da Farida. Nmejifunza vitu vingi Sana kwako na kila ninapojaribu kufanya nafanya kwa ufanisi mkubwa mno. Nakupenda bure jaman
Amiiin barikiwa pia❤
Eti dad jili gan imetumika?
Hiyo gely inaitwaje?
Shukran mpnz nimeelewa mpk nimeelewa tena nakufatilia mno kipenz
Asante Sana madam , Mungu azidi kukutunza na kukubariki katika kila ulifanyalo, umekua msaada mkubwa Sana kwangu 🙏♥️
Amina mpenz❤️
Samahan kwa nywele fupi naweza kutumia kitana?
Hakai kwenye dry??
Asante sana mpenz nilikua nataman sana kujua hii nywele inatengenezwaj
Endelea kujifunza nasi❤
Barikiwe sana madamu
Najivunia uwepo wako da farida mungu akutunzeee sanaa maan
Ninzuli sana kama mteja ana nywele fupi inakuwaje hawezi kutengeneza
Naomba kuuliza hizi gelly za softfree ile ya kijan inafaa kwenye hii
Nita share hapa❤
Wapo vizuri madam daaaaaaaah nimeipenda iyo
Sante sanaa
Madam pink lotion inasaidia Nini
Utunzaji wake baada ya kutwist unakuwaje my dear?
Jelly inatumika ya curl activator?
Ahsante da Farida yaani sijuti kukufahamu
unakausha na dry au unaacha zikauke zenyewe mamie?
Asantee dada nimeelewa kabisaaa
Asante mwaya somo zuri umeeleweka vema mrembo
Barikiwa san kipenz chetu
Nzuri sana nimejifunza
Asante! Tunaomba utuonyeshe Jel Sasa
Angalia vizur nimeonesha na sikiliza maelezo nimetaja
Thanks darling❤
Asante sana mungu akubarik
Ubarikiwe Sana madam
Sante sanaaa
🔥🔥🔥
❤️❤️❤️❤️
Bless you madam
mafunzo yako ni mazuri na yanasaidia sana lakini waweza kutueleza ni gel gani unatuma ama mafuta kila unapo mtengeneza mteja tafadhali
Nahitaji mfanyakqz alomaliza shule
❤❤❤❤❤❤❤
❤️❤️❤️
🍎🍏
😘😘😘
❤
Jelly ile ya movit nyeusi inafaa dada
Nizr saan
Unatudanganya... Sio kweli hizo ingredients
Fundisha wewe boss
Hv kama nataka tengeneza home tu na sina dryer itakaa poa nikiiacha ikauke t ynyw.....
nataka kusuka finger coils ila ndogo sana,bei gani ,na azania upande gani?
Hivi unaweza kutengeneza na jeri gani
❤❤
Kwa nywel yenye dawa haifai
Hello Dear Farida, asante kwa haya mafunzo unayotoa unaweza usijue lakin unatusaidia sana🙏🏼🙏🏼 naomba unisaidie kitu nashindwa kutofautisha namna ya kuongeza rasta kwenye yeboyebo na yebo fasta sababu nikiangalia video naona uongezaji ni uleule ila zinaleta muonekano tofaut., na mimi nimejaribu kusuka watu wawili nikidhan ni yeboyebo wananiambia nimesuka yebo fasta😂…kama utaweza kutupa video ambayo unasuka nywele zote mbili kwa video moja nione tofauti nitashukuru sana
yebo fasta yenyewe nywele inakuwa njia Tatu lkn yebo yebo ni mbinjuo hyo ndo tofauti yake .... xjui ntakuwa nimekusaidia kdg
Na vp kama ukiweka lotta body
Hapo sijaweka
ni bunda ngapi zinatumika kusukia iyo style
Hamn bunda jmn no nywel tuu
Hapo kwenye gel unaeka kichwa kizima??
Unapaka ukiwa unatwist
Kaziii nzriii sana ila naomba kujua jina la geli hyo
Dad sijaelewa
Sorry madam,naitajii kujuaaa product ulizo zitumia,aina ya geli
Kuna kitu imeficha hapo
Sawa
Splei iyo ni ipi
♥️♥️♥️
❤️❤️❤️❤️❤️❤️🥰🥰🥰🥰