Bwana yesu asifiwe mchungaji Abiud mi ni mkenya niko kenya sahi ila napenda sana mafundisho na nyimbo zako hakika huwa sinanitia moyo ila naomba uniombee maana nimeishi katika hali ngumu sana nina watoto wawili ambao nilikosana na baba yao ila moyo wangu waniuma sana
Amee
Mungu atulindie watoto wetu mtumishi nausikiliza huu wimbo unanigusa moyoni mwangu.
Barikiwa Sana mchungaji Abiud Misholi! Niko Kenya Lungalunga mpakani hapa na barikiwa Sana na mahubiri yako.
Nahisi napelekwa viwango vingine
Bwana yesu asifiwe mchungaji Abiud mi ni mkenya niko kenya sahi ila napenda sana mafundisho na nyimbo zako hakika huwa sinanitia moyo ila naomba uniombee maana nimeishi katika hali ngumu sana nina watoto wawili ambao nilikosana na baba yao ila moyo wangu waniuma sana
Yaani natamani hii Injili ingesikiwa na watu wote wa kike na wakiume😢😢😢😢
Baba MUNGU aliyehay akubaliki sana sana sana
Naanza kutazama upya video zote maana mafundisho mazur sana
Kila anayejua haya,sema Neno juu ya UZAO wako
Amina
Amina
Baba paspo toba kuiona mbingu ni vigumu
Lazma adabu itokee
Ubaliliwe baba
Abiudi Mimi nimekuelewa, Ila bado unavungavunga, sema waziwazi
Atasema yote talatibu hatua kwahatua
Bila toba hatuwez kupona
Amen. Sana
Tuomboleze