Onyo la Mungu kwa Watanzania - "KILIO CHA WATOTO KIMEFIKA MBINGUNI" | Abiud Misholi |SIKU YA KWANZA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Mkutano wa April 2023 DODOMA

Комментарии • 18

  • @stedimsanganzila1914
    @stedimsanganzila1914 Год назад

    Amee

  • @LazaroSanga-rg3su
    @LazaroSanga-rg3su 3 месяца назад

    Mungu atulindie watoto wetu mtumishi nausikiliza huu wimbo unanigusa moyoni mwangu.

  • @josephnyanje7488
    @josephnyanje7488 Год назад

    Barikiwa Sana mchungaji Abiud Misholi! Niko Kenya Lungalunga mpakani hapa na barikiwa Sana na mahubiri yako.
    Nahisi napelekwa viwango vingine

  • @mulamaemmanuel4508
    @mulamaemmanuel4508 Год назад

    Bwana yesu asifiwe mchungaji Abiud mi ni mkenya niko kenya sahi ila napenda sana mafundisho na nyimbo zako hakika huwa sinanitia moyo ila naomba uniombee maana nimeishi katika hali ngumu sana nina watoto wawili ambao nilikosana na baba yao ila moyo wangu waniuma sana

  • @priscabryson742
    @priscabryson742 Год назад

    Yaani natamani hii Injili ingesikiwa na watu wote wa kike na wakiume😢😢😢😢

  • @raphaelisadala2576
    @raphaelisadala2576 Год назад

    Baba MUNGU aliyehay akubaliki sana sana sana

  • @reachglobal9939
    @reachglobal9939 Год назад

    Naanza kutazama upya video zote maana mafundisho mazur sana

  • @kulwalufungulo626
    @kulwalufungulo626 Год назад

    Kila anayejua haya,sema Neno juu ya UZAO wako

  • @reachglobal9939
    @reachglobal9939 Год назад

    Amina

  • @reachglobal9939
    @reachglobal9939 Год назад

    Amina

  • @JovinePaschal
    @JovinePaschal Год назад

    Baba paspo toba kuiona mbingu ni vigumu

  • @reachglobal9939
    @reachglobal9939 Год назад

    Lazma adabu itokee

  • @JovinePaschal
    @JovinePaschal Год назад

    Ubaliliwe baba

  • @petermwenda6470
    @petermwenda6470 Год назад

    Abiudi Mimi nimekuelewa, Ila bado unavungavunga, sema waziwazi

  • @reachglobal9939
    @reachglobal9939 Год назад

    Bila toba hatuwez kupona