DOSA AIPASUA YANGA UKWELI USEMWE YANGA TUMEPOTEZA MVUTO| ATEBA MASHINE YA MAGOL SIMBA IMEZALIWA UPYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 176

  • @AlamZambi
    @AlamZambi 4 дня назад +10

    Shida mashabiki wa yanga niwagum kuelewa Tim zimejipanga sasaivi biashara yagori tano haipo

  • @dybreezy1696
    @dybreezy1696 3 дня назад +2

    Yaan mie nafurahi sana kuona hivi utopolo 😂😂😂😂

  • @jumaedson
    @jumaedson 2 дня назад

    Uko vizuri mpira unaujua

  • @AbdulChakaar
    @AbdulChakaar 4 дня назад +7

    Kweli yanga wamechoka nafasi kumi unapata goli moja

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian 2 дня назад +1

    Uyu jamaa yuko vizuri sana

  • @ramadhanrobin-st6hh
    @ramadhanrobin-st6hh 3 дня назад +1

    Shida yetu yanga tumeanz kufany vzur tukajisahau na kuanza sifa za kusajili mtu kama Chama,dube na baleke kiukweli apo tulifeli sana madhara yake ndo hayo sasa yaan tunabaki kukaa kipreshapresha sana yani

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises 3 дня назад

    muimu pwent 3 kaka, wew naisi ulibety😊

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 День назад

    Yaaniiii mpaka useeeeemeeeee😂😂😂😂
    Hapo bado sana timu ndiyo kwanzaaa inatengenezwa hiyo.
    Fadlu anasema,mpaka sasa amewapa kama asilimia30 tu ya anachotaka wawe😂😂😂duuuuuuuh ikifika 100% kuna watu hawataleta timu uwanjani 🏃🏃🏃🏃🏃
    Halafu huku kuna Mpanzu bado mbichiiiii kabisa😂
    Dosa wakimbie njoo huku upate furaha ya maisha yako.
    Simba hii ni hatariiii

  • @EliyaExaudy-dr5cb
    @EliyaExaudy-dr5cb 3 дня назад

    Kweli kabisaaaaa upo sahihiiii.msengee haielewiiii

  • @NikolasPius-fk9fn
    @NikolasPius-fk9fn 3 дня назад

    Mtalia sana nabado

  • @Tomasimkopi
    @Tomasimkopi 3 дня назад

    Kiukweli umeongea vzr sana sio mnafiki Maua yako🎉

  • @MAGOLIYAMBALIKILAVIRE
    @MAGOLIYAMBALIKILAVIRE 3 дня назад

    DEREVA BAJAJI KWADIWANI KIPUNGUNI UKONGA DOSA KAKUA KAJITAMBUA

  • @CleyKobelu-j8n
    @CleyKobelu-j8n 3 дня назад +2

    nakupongeza dosa ni wachache sana wasemaukweli .tatizo siyo umli bali ni chuki ndani ya timu

  • @AzizNassor-r8j
    @AzizNassor-r8j 4 дня назад

    Dosa mungu akujalie uje kuwa msemaji mkubwa kwenye ardhi ya tanzania unakili sana afu unajua mpila pambana mwanangu

  • @twaredj4537
    @twaredj4537 4 дня назад +4

    Ww ni umeongea point kbsa

  • @saidymbagalla6622
    @saidymbagalla6622 3 дня назад

    Utopwenga washaanza kushikana mashati😅😅😂
    Ubaya ubwela ni dawa chungu sana kwa bacteria aina ya nyuma mwiko

  • @DATIVACOSMAS
    @DATIVACOSMAS 4 дня назад

    Kaka pole sana kwa maumivu,ila hii ndo maana ya ligi na ligi bado inaendelea nakushauri kuwa mvumilivu tu,na si kila siku mambo yatakuwa mazuri,kuna siku yanagoma ,goli moja mara mbili tayari imekuwa shida jamani.

  • @PauloCharles-x9h
    @PauloCharles-x9h 4 дня назад +2

    We Kwa taarifa yako sawadogo na ayubu lackred hawaidai Simba kuwa na heshima simba xo timu ya kudaiwa na wachezeji utukome😮😮

  • @SadiKawiza
    @SadiKawiza 3 дня назад

    Mdogo wangu upo sahihi

  • @EzekielPeter-zd7lk
    @EzekielPeter-zd7lk 2 дня назад

    Mashabiki wa bongo so wavumilivu pia wanasahau kwamba changamoto ni sehemu ya maisha dosa nadhani ajipe mda wa kafikili vema asitumie moyo angetumia akili itamsaidia sana

  • @Yuleyule-u6c
    @Yuleyule-u6c 2 дня назад

    Huyu jamaa anachosema ni kweli.

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 3 дня назад

    Jamaa ana point lakin vilabu vingine vimejipanga sana wachezaji wao wanajituma sana inabid Yanga aongeze ubora sana nguvu walizotumia msim jana ni nyingi

  • @TajiriPoti
    @TajiriPoti День назад

    Waambie wac.pak bac uone

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 3 дня назад

    Shida ya mashabiki wa Yanga wanaingia na matokeo uwanjani yaliyopita sio ya sasa nyakati zimebadirika usishangae Yanga mbeleni akaja kufungwa

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 4 дня назад +6

    HUYU JAMAA YUKO VIZURI ANAONGEA KIMPIRA KULIKO YULE MSENGE MCHOME SHOGA WA HELSI

  • @Yuleyule-u6c
    @Yuleyule-u6c 2 дня назад

    Wachezaji wameridhika na mafanikio wanaitajika wapate wachezaji wapya wakuwachangamsha lasivyo yanga itakuwa inacheza vizuri CAF ila ndani ifeli itakuwa kama simba wachezaji walivyo ridhika baada ya ushindi wa miaka 4 mfululizo

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 4 дня назад +13

    DOSSA KUWA MKWELI KUWA MKWELI YANGA BADO IPO IMARA SAANA TENA ZAIDI YA SANA ILA SASA HIVI TIMU NYINGI SASA HIVI WANABAKI NYUMA KULINDA WASIFUNGWE NYINGI

    • @petro8010
      @petro8010 4 дня назад +1

      Huo ndo 😢ukweli kaka

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 дня назад +1

      Kwaivo ushindi wa Utopolo unatokana na timu ambazo hazijilindi 😂😂😂😂 ni timu gani inayokuja uanjani bila mpango kazi wa kujilinda wasifungwe?

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 4 дня назад +1

      Ndo ukweli ila hata Ile radha ya mpira tuliokua tunacheza sai aivutii wachezaji wamechoka na Kila mtu anacheza kivyake na Sio kitimu Kuna siku tutalala mikono juu

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 4 дня назад

      @@BigZhumbe acha kukenua kenua hakuna timu inayocheza bila kujilinda ila Kuna tofauti ya kujilinda na kupaki bus Jana kmc walipaki bus

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 4 дня назад +1

      Kwaiyo kumbe vinyesi fc wanashinda goli nyingi kwa timu ambazo hazizuii?

  • @ExaudLupenza-qu1xu
    @ExaudLupenza-qu1xu 4 дня назад

    Timu nzuri kunashida kwa mwalimu aina ya uchezaji, mipira mingi nyuma, upangaji wa kikosi , masitaa mbwembwe nyingi

  • @TobiasLuanda
    @TobiasLuanda 3 дня назад

    Yaaaani bado mtathemaaa 😂😂😂😂ubaya ubwela😂😂

  • @HassanKassim-ei8ko
    @HassanKassim-ei8ko 3 дня назад

    Bado amjasema na mtasema yani paka msemeh😂😂😂

  • @FabianLutobeka-b6c
    @FabianLutobeka-b6c 3 дня назад

    Dozi imeanza kuiingia

  • @THADEOCHUNDU-eu3ez
    @THADEOCHUNDU-eu3ez 2 дня назад

    Simba hatari hadi huyo kalamba asali, kweli ubaya ubwela.

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 3 дня назад

    Mnaanza kuwapa adui vicheko mapema kuwa na subra kijana

  • @davidsebastian661
    @davidsebastian661 3 дня назад

    Shida ya Yanga ni mkabaji kachoka na forward hakuna

  • @cosmasluwanja7394
    @cosmasluwanja7394 3 дня назад

    Ushapewa mkataba mwamba

  • @devaxtz
    @devaxtz 4 дня назад +7

    Kumekuchaaaa mwaka wa ubaya ubwelaaa bado hamjasema yani baaaaaaadoooo hmjasema 😂😂😂😂😂😂😂😂 msimu ujao mtaanza kulia na usajiri wa wazee uliofanyika msimu huu yanga 😂😂😂😂😂😂 kama nawaona mashabiki wa uto wakilia na kusema wenzetu simba walikua wanasajiri vijana sisi tunasajiri wazee kina chama 😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @malietamaliet
      @malietamaliet 4 дня назад +2

      Mbona nyie Miraji anaongeaga kama dosa ujawai ona tunasema dawa imewaingia?? Tatizo hisia zinakuongoza kuliko uhalisia

    • @pallangyojames6870
      @pallangyojames6870 4 дня назад

      Hahahahahahahahahahaha kwajirani kunavuja

    • @RahimaMct-ik8mr
      @RahimaMct-ik8mr 3 дня назад

      Walijitapa sana😂😂😂

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 4 дня назад +3

    Umeongea vyema.wewe sio wale wanaokunywa supu za bure

  • @BarakaJohn-z8f
    @BarakaJohn-z8f 4 дня назад +1

    Leo ume ogea sana burooo washbik wa mupira tusha elew lkn kma mupiga kelele huwez elew

  • @TajiriPoti
    @TajiriPoti День назад

    Mm ni yanga yanga.ipo imara.marani kolo aripigwa 1na washirika wake wanapata.sasa kolo subiri.trh 19 ndio.mtajuwa.kama yanga mbovu msipaki basi muone

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 2 дня назад

    Hakuna mchezaji aliechokaaa mi nasema
    Mwaka jana
    Timu ilianza na kufungwa na ihefu
    Au amesahau lakini mwaka huu hatujapotexa hata mechi moja

  • @draxeraudax7969
    @draxeraudax7969 3 дня назад

    Huyu mwamba anafact kinyama

  • @DaniKisitu
    @DaniKisitu День назад

    hatimae madhabiki wa yanga wameanza kuwa na akili bado mchome 😂

  • @alexsikab6433
    @alexsikab6433 3 дня назад

    Jamani huyu jamaa anajuwa mpira anaweka ushabiki pembeni anazungumzia mpira

  • @allymnyama1386
    @allymnyama1386 4 дня назад +1

    Dossa mm ni ubaya ubwela hakika leo ndo nimeanza kukuelewa umeongea fact

  • @jally1865
    @jally1865 4 дня назад

    Leo umeongea ukweli. Utafika mbali

  • @anoldaloys9348
    @anoldaloys9348 3 дня назад

    Tuwe wakweli yanga ni Bora sana tena zaidi ya sana ila timu nyingi zimejipanga kushindana pia hii league ya msimu huu itakuwa ngumu sana tena sana.

  • @IssackJackson-r7k
    @IssackJackson-r7k 3 дня назад

    Kati mshabiki wa yanga una ongea point kabisa kama ni mshabiki madazi huwezi kumelewa dosa yupo sahihi anaongea kimpira kabisa siyo kwakuwa ni shabiki tu wayanga yuko sawa

  • @JosephMwaipopo-px4wi
    @JosephMwaipopo-px4wi 3 дня назад

    Kumbe dossa njaa anaomba hela ya kiatu,, njaa mbaya

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 4 дня назад

    Bado hajasema mbona mapema jamani uto.😂😂😂😂😂 kwani chama si yupo.

  • @isaackbm1935
    @isaackbm1935 3 дня назад +1

    Mpk museme 😀hamjasema bado😜😜😜

  • @SadiKawiza
    @SadiKawiza 3 дня назад

    mdogo wangu dosa upo sahihi

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 3 дня назад +1

    Wewe Unaeleze ila Nataka Urudi Nyuma YANGA Inapigwa Vita Na Teim Zote Zilizopo Kwenye Ligi Ikiaanza Simba Azam Coastal N.K Natimu Unayocheza Nayo Wewe Kama Ni Dereva Utweza Kufahamu Halafu Jengine Jiaangalie Hizo Gem Zikovipi Wanavyo Cheza YANGA..Jawabu Tosha... YANGA Ipo Vizuri Na Itawafunga Watu Goli Tono Na Zaidi..

    • @josephfrank4446
      @josephfrank4446 3 дня назад +1

      Hakuna timu isiyo na vita na timu nyingne

  • @samwelsimon7392
    @samwelsimon7392 3 дня назад

    maamaaaa ni wazeeee

  • @MassaiIsaacs
    @MassaiIsaacs 3 дня назад

    jamani hiyo ni hiyo ni Timu Ya Wanawake Tena Wazeeeeeeeeee ndiyo maaana

  • @bonyngoyindengoyinde6139
    @bonyngoyindengoyinde6139 3 дня назад

    Bundi kashaanza kuweka kambi😂🤣

  • @maarufumustwapha3055
    @maarufumustwapha3055 3 дня назад

    Walikuq wanatumia madawa yanga

  • @davidwatson6821
    @davidwatson6821 4 дня назад

    Dosa bwana leo nimekukubali, umeongea point tuu

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 3 дня назад

    Lazima tuseme ili tuoone wachezaji wetu wamechoka gamondi tusaidue injinia tuone💚💛😣😣

  • @TajiriPoti
    @TajiriPoti День назад

    Afu huyo.jamaa hata kadi hana

  • @anoldaloys9348
    @anoldaloys9348 3 дня назад

    Huyu dosa akumbushwe kuwa hii ni league ya NBC namba sita kwa ubora na haya matokeo na performance inayoonyeshwa na vilabu vingi kwa sasa hapa Tanzania ndio ubora wenyewe.

  • @MindIt-u4p
    @MindIt-u4p 4 дня назад

    😂😂😂wachezaj wamechoka na bado😅😅

  • @REGIUSMWANAWIMA
    @REGIUSMWANAWIMA 2 дня назад

    Dosa sasa naamini kumbe bado hujakomaa kisoka.

  • @BeatriceSoka-c7c
    @BeatriceSoka-c7c 3 дня назад

    Acheni sababu mpira ndivo ulivo na mlizd kuisema simba ss mtaona cha moto

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 4 дня назад

    Uzuri wa mashabiki wa Yanga wapo kisiko zaidi siyo kiushabiki,ila mashabiki wa Simba hawawezi kuisifia Yanga.

  • @MussaKitaluta
    @MussaKitaluta 3 дня назад

    Aahaa dosa acha uongo, mechi mbili tu mmeshaanza tuhuma! Ninawasiwasi unatumika

  • @LeonidasStephano
    @LeonidasStephano 4 дня назад

    Nyie ndiyo mulikuwa mnatusema kuwa tunasajili wavulana leo wavulana wamegeuka kuwa wakina PIDDY mumesha anza kulalamika

  • @Geofrey-k3g
    @Geofrey-k3g 3 дня назад

    Unasema ukweli

  • @JohnMakasabi
    @JohnMakasabi 4 дня назад

    Don't blame the players,that is football

  • @MtenjeMohamedy
    @MtenjeMohamedy 4 дня назад

    Dosa yanga mbovu tena 😂😂😂

  • @HassanKassim-ei8ko
    @HassanKassim-ei8ko 3 дня назад

    Ila wewe unaakili unafaa kushabikia Simba. Uachane na wale wasona akili wasije wakakupotosha akili. Usjali kuusu jezi nakununulia ukiwa upo tiari nitafute njoo kwenye furaa

  • @isaackbm1935
    @isaackbm1935 3 дня назад

    Experance🤣

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 4 дня назад +1

    Siyo jana tu mmepiga vitalo? CBE?

  • @AyubuErnest-x1k
    @AyubuErnest-x1k 3 дня назад

    Kuna kipindi shetani ushetani ukimtoka anaongea kama malaika Leo dossa anaongea ukweri mtupu ila mpaka aseme Bado tarehe 19 ataongea sana🎉🎉🎉 ubaya ubwelaaaaaa

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 4 дня назад

    Ile YANGA haija choka sema mchawi mafaza wengi mishahara Wana pishana sana watu Wana komoana Hawa pambani

  • @WolfKing-h8q
    @WolfKing-h8q 3 дня назад

    We mmbwa atudahiwi sisi

  • @KhamisAlawi-n1k
    @KhamisAlawi-n1k 4 дня назад

    Mpaka mdhemeeeeeeeeeee bado hamjadhemaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 4 дня назад

    Naona pameanza kuchangamka yangaaaaa hahahha wachezaji wamechoka dosaaaàaaaa

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 4 дня назад

    Huyu Dossa haichukui muda Utopolo watamteka wasimruhusu aje kwenye vyombo vya habari maana anasema ukweli na Utopolo hawapendi ukweli.

    • @JanuariMchuno
      @JanuariMchuno 4 дня назад +1

      Kolo mkubwa 😅😅😅😅

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 дня назад

      @@JanuariMchuno Juzi alivuliwa uongozi kwenye tawi lake na bado mtamvua hadi uanachama 🤣🤣🤣

  • @CleyKobelu-j8n
    @CleyKobelu-j8n 3 дня назад

    dosa jsemalo ni kweli . kwani hata mimi ninacho kiona rimu ipo vizuli lakini ndani ya wachezaji kunakitu kikubwa akipo sawa . kunawachezaji wanafanya kusudi makusudi kiuchezaji

  • @islam-w1n
    @islam-w1n 4 дня назад

    Huyu dactar Dawa zake nzur Sio chungu

  • @AlexMsafiri-c3g
    @AlexMsafiri-c3g 3 дня назад

    Apo tim inatafutana simba tukikaa nusu msimu simtaongea mengi sana

  • @jbothman
    @jbothman 3 дня назад

    asichojua ni kwamba huwezi shinda goli nyingi timu ikilipaki basi

  • @RichardWambura-w9o
    @RichardWambura-w9o 4 дня назад

    Ww ni msemaji wa simba

  • @BakariMwachonje
    @BakariMwachonje 3 дня назад

    We jamaa unaujua sana mpira mengine nimakosa to ya kiubinaadam kwan chama mkude hao wamekua mizigo watu kama hao tim zao ni za namungo na singida et leo aje tim ya kuitaj mafanikio mtu ametunika kwa miaka kum mfurulizo iyo si sawa

  • @fahmiawadh9206
    @fahmiawadh9206 3 дня назад

    Wewe hauna tafauti na kisugu kakuchota akili

  • @daudkondo4069
    @daudkondo4069 3 дня назад

    Hili bwege tuu, Yanga iko vema , hebu wee kenge heshimu na wapinzani KMC , muhimu point tatu

  • @jamaldaud-e4d
    @jamaldaud-e4d 3 дня назад

    Nyuma mwiko wanateseka sana nendeni kwa P DIDDY mkaangalie movie mabwabwa nyie

  • @mohamedmketo2414
    @mohamedmketo2414 3 дня назад

    Freed funga funga anaingia hapo dirisha dogo

  • @khamissalim2132
    @khamissalim2132 4 дня назад

    Our time is over 😂😂😂

  • @EmmanuelDominiko
    @EmmanuelDominiko 3 дня назад

    dosa msema kwer ni mpenzi wa mungu yanga wamechoka saaaana na ubigwa mnauona huooooo

  • @Elastopaulo-z1u
    @Elastopaulo-z1u 3 дня назад

    yanga imeshuka kiwango nikwel dossa nakukubal hupend unafk

  • @JosephNgoli
    @JosephNgoli 4 дня назад

    Huyu jamaa ajui kitu kuhusu ball sasa yanga wamechoka wap acha ujinga kila me hi ina mipango yke .

  • @ZabibuMwenda
    @ZabibuMwenda 4 дня назад

    Ndo kwanza tunatest mitambo na badooooo

  • @REGIUSMWANAWIMA
    @REGIUSMWANAWIMA 2 дня назад

    Dosa wewe tahila kabisa kwani hujui kuwa mpira una matokeo matatu?

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 4 дня назад +1

    Dosa wacha uongo Ayubu aliwadai lini Simba kakojoe ulalee

  • @OWDENMWANGOTA
    @OWDENMWANGOTA 4 дня назад

    Dosa anatafuta fursa za maisha kwenye

  • @MwendaJoel
    @MwendaJoel 3 дня назад

    Kumeanza kuchangamka tunywe mtori nyama tutazikuta chini

  • @janethelly4986
    @janethelly4986 4 дня назад

    Wewe babaa utukomeee simba imeingiaje hapoo 😂😂simba umeona lini simba qmefungiwa na fifa kisa madeni???utokemee kweny mazungumzoo Yanayo husu uto usiwaingizee simbaaa komaaaq😂😂😂

  • @SirajiRashidy
    @SirajiRashidy 4 дня назад

    sema ukweli dosa😂😂

  • @shabanigandi9681
    @shabanigandi9681 3 дня назад

    kwani dawa za nguvu zimeisha