Shida yetu yanga tumeanz kufany vzur tukajisahau na kuanza sifa za kusajili mtu kama Chama,dube na baleke kiukweli apo tulifeli sana madhara yake ndo hayo sasa yaan tunabaki kukaa kipreshapresha sana yani
Yaaniiii mpaka useeeeemeeeee😂😂😂😂 Hapo bado sana timu ndiyo kwanzaaa inatengenezwa hiyo. Fadlu anasema,mpaka sasa amewapa kama asilimia30 tu ya anachotaka wawe😂😂😂duuuuuuuh ikifika 100% kuna watu hawataleta timu uwanjani 🏃🏃🏃🏃🏃 Halafu huku kuna Mpanzu bado mbichiiiii kabisa😂 Dosa wakimbie njoo huku upate furaha ya maisha yako. Simba hii ni hatariiii
Kaka pole sana kwa maumivu,ila hii ndo maana ya ligi na ligi bado inaendelea nakushauri kuwa mvumilivu tu,na si kila siku mambo yatakuwa mazuri,kuna siku yanagoma ,goli moja mara mbili tayari imekuwa shida jamani.
Mashabiki wa bongo so wavumilivu pia wanasahau kwamba changamoto ni sehemu ya maisha dosa nadhani ajipe mda wa kafikili vema asitumie moyo angetumia akili itamsaidia sana
Jamaa ana point lakin vilabu vingine vimejipanga sana wachezaji wao wanajituma sana inabid Yanga aongeze ubora sana nguvu walizotumia msim jana ni nyingi
Wachezaji wameridhika na mafanikio wanaitajika wapate wachezaji wapya wakuwachangamsha lasivyo yanga itakuwa inacheza vizuri CAF ila ndani ifeli itakuwa kama simba wachezaji walivyo ridhika baada ya ushindi wa miaka 4 mfululizo
DOSSA KUWA MKWELI KUWA MKWELI YANGA BADO IPO IMARA SAANA TENA ZAIDI YA SANA ILA SASA HIVI TIMU NYINGI SASA HIVI WANABAKI NYUMA KULINDA WASIFUNGWE NYINGI
Ndo ukweli ila hata Ile radha ya mpira tuliokua tunacheza sai aivutii wachezaji wamechoka na Kila mtu anacheza kivyake na Sio kitimu Kuna siku tutalala mikono juu
Kumekuchaaaa mwaka wa ubaya ubwelaaa bado hamjasema yani baaaaaaadoooo hmjasema 😂😂😂😂😂😂😂😂 msimu ujao mtaanza kulia na usajiri wa wazee uliofanyika msimu huu yanga 😂😂😂😂😂😂 kama nawaona mashabiki wa uto wakilia na kusema wenzetu simba walikua wanasajiri vijana sisi tunasajiri wazee kina chama 😂😂😂😂😂😂😂😂
Kati mshabiki wa yanga una ongea point kabisa kama ni mshabiki madazi huwezi kumelewa dosa yupo sahihi anaongea kimpira kabisa siyo kwakuwa ni shabiki tu wayanga yuko sawa
Wewe Unaeleze ila Nataka Urudi Nyuma YANGA Inapigwa Vita Na Teim Zote Zilizopo Kwenye Ligi Ikiaanza Simba Azam Coastal N.K Natimu Unayocheza Nayo Wewe Kama Ni Dereva Utweza Kufahamu Halafu Jengine Jiaangalie Hizo Gem Zikovipi Wanavyo Cheza YANGA..Jawabu Tosha... YANGA Ipo Vizuri Na Itawafunga Watu Goli Tono Na Zaidi..
Huyu dosa akumbushwe kuwa hii ni league ya NBC namba sita kwa ubora na haya matokeo na performance inayoonyeshwa na vilabu vingi kwa sasa hapa Tanzania ndio ubora wenyewe.
Kuna kipindi shetani ushetani ukimtoka anaongea kama malaika Leo dossa anaongea ukweri mtupu ila mpaka aseme Bado tarehe 19 ataongea sana🎉🎉🎉 ubaya ubwelaaaaaa
dosa jsemalo ni kweli . kwani hata mimi ninacho kiona rimu ipo vizuli lakini ndani ya wachezaji kunakitu kikubwa akipo sawa . kunawachezaji wanafanya kusudi makusudi kiuchezaji
We jamaa unaujua sana mpira mengine nimakosa to ya kiubinaadam kwan chama mkude hao wamekua mizigo watu kama hao tim zao ni za namungo na singida et leo aje tim ya kuitaj mafanikio mtu ametunika kwa miaka kum mfurulizo iyo si sawa
Shida mashabiki wa yanga niwagum kuelewa Tim zimejipanga sasaivi biashara yagori tano haipo
Yaan mie nafurahi sana kuona hivi utopolo 😂😂😂😂
Uko vizuri mpira unaujua
Kweli yanga wamechoka nafasi kumi unapata goli moja
Uyu jamaa yuko vizuri sana
Shida yetu yanga tumeanz kufany vzur tukajisahau na kuanza sifa za kusajili mtu kama Chama,dube na baleke kiukweli apo tulifeli sana madhara yake ndo hayo sasa yaan tunabaki kukaa kipreshapresha sana yani
muimu pwent 3 kaka, wew naisi ulibety😊
Yaaniiii mpaka useeeeemeeeee😂😂😂😂
Hapo bado sana timu ndiyo kwanzaaa inatengenezwa hiyo.
Fadlu anasema,mpaka sasa amewapa kama asilimia30 tu ya anachotaka wawe😂😂😂duuuuuuuh ikifika 100% kuna watu hawataleta timu uwanjani 🏃🏃🏃🏃🏃
Halafu huku kuna Mpanzu bado mbichiiiii kabisa😂
Dosa wakimbie njoo huku upate furaha ya maisha yako.
Simba hii ni hatariiii
Kweli kabisaaaaa upo sahihiiii.msengee haielewiiii
Mtalia sana nabado
Kiukweli umeongea vzr sana sio mnafiki Maua yako🎉
DEREVA BAJAJI KWADIWANI KIPUNGUNI UKONGA DOSA KAKUA KAJITAMBUA
nakupongeza dosa ni wachache sana wasemaukweli .tatizo siyo umli bali ni chuki ndani ya timu
Dosa mungu akujalie uje kuwa msemaji mkubwa kwenye ardhi ya tanzania unakili sana afu unajua mpila pambana mwanangu
Ww ni umeongea point kbsa
Utopwenga washaanza kushikana mashati😅😅😂
Ubaya ubwela ni dawa chungu sana kwa bacteria aina ya nyuma mwiko
Kaka pole sana kwa maumivu,ila hii ndo maana ya ligi na ligi bado inaendelea nakushauri kuwa mvumilivu tu,na si kila siku mambo yatakuwa mazuri,kuna siku yanagoma ,goli moja mara mbili tayari imekuwa shida jamani.
We Kwa taarifa yako sawadogo na ayubu lackred hawaidai Simba kuwa na heshima simba xo timu ya kudaiwa na wachezeji utukome😮😮
Mdogo wangu upo sahihi
Mashabiki wa bongo so wavumilivu pia wanasahau kwamba changamoto ni sehemu ya maisha dosa nadhani ajipe mda wa kafikili vema asitumie moyo angetumia akili itamsaidia sana
Huyu jamaa anachosema ni kweli.
Jamaa ana point lakin vilabu vingine vimejipanga sana wachezaji wao wanajituma sana inabid Yanga aongeze ubora sana nguvu walizotumia msim jana ni nyingi
Waambie wac.pak bac uone
Shida ya mashabiki wa Yanga wanaingia na matokeo uwanjani yaliyopita sio ya sasa nyakati zimebadirika usishangae Yanga mbeleni akaja kufungwa
HUYU JAMAA YUKO VIZURI ANAONGEA KIMPIRA KULIKO YULE MSENGE MCHOME SHOGA WA HELSI
Wachezaji wameridhika na mafanikio wanaitajika wapate wachezaji wapya wakuwachangamsha lasivyo yanga itakuwa inacheza vizuri CAF ila ndani ifeli itakuwa kama simba wachezaji walivyo ridhika baada ya ushindi wa miaka 4 mfululizo
DOSSA KUWA MKWELI KUWA MKWELI YANGA BADO IPO IMARA SAANA TENA ZAIDI YA SANA ILA SASA HIVI TIMU NYINGI SASA HIVI WANABAKI NYUMA KULINDA WASIFUNGWE NYINGI
Huo ndo 😢ukweli kaka
Kwaivo ushindi wa Utopolo unatokana na timu ambazo hazijilindi 😂😂😂😂 ni timu gani inayokuja uanjani bila mpango kazi wa kujilinda wasifungwe?
Ndo ukweli ila hata Ile radha ya mpira tuliokua tunacheza sai aivutii wachezaji wamechoka na Kila mtu anacheza kivyake na Sio kitimu Kuna siku tutalala mikono juu
@@BigZhumbe acha kukenua kenua hakuna timu inayocheza bila kujilinda ila Kuna tofauti ya kujilinda na kupaki bus Jana kmc walipaki bus
Kwaiyo kumbe vinyesi fc wanashinda goli nyingi kwa timu ambazo hazizuii?
Timu nzuri kunashida kwa mwalimu aina ya uchezaji, mipira mingi nyuma, upangaji wa kikosi , masitaa mbwembwe nyingi
Yaaaani bado mtathemaaa 😂😂😂😂ubaya ubwela😂😂
Bado amjasema na mtasema yani paka msemeh😂😂😂
Dozi imeanza kuiingia
Simba hatari hadi huyo kalamba asali, kweli ubaya ubwela.
Mnaanza kuwapa adui vicheko mapema kuwa na subra kijana
Shida ya Yanga ni mkabaji kachoka na forward hakuna
Ushapewa mkataba mwamba
Kumekuchaaaa mwaka wa ubaya ubwelaaa bado hamjasema yani baaaaaaadoooo hmjasema 😂😂😂😂😂😂😂😂 msimu ujao mtaanza kulia na usajiri wa wazee uliofanyika msimu huu yanga 😂😂😂😂😂😂 kama nawaona mashabiki wa uto wakilia na kusema wenzetu simba walikua wanasajiri vijana sisi tunasajiri wazee kina chama 😂😂😂😂😂😂😂😂
Mbona nyie Miraji anaongeaga kama dosa ujawai ona tunasema dawa imewaingia?? Tatizo hisia zinakuongoza kuliko uhalisia
Hahahahahahahahahahaha kwajirani kunavuja
Walijitapa sana😂😂😂
Umeongea vyema.wewe sio wale wanaokunywa supu za bure
Leo ume ogea sana burooo washbik wa mupira tusha elew lkn kma mupiga kelele huwez elew
Mm ni yanga yanga.ipo imara.marani kolo aripigwa 1na washirika wake wanapata.sasa kolo subiri.trh 19 ndio.mtajuwa.kama yanga mbovu msipaki basi muone
Hakuna mchezaji aliechokaaa mi nasema
Mwaka jana
Timu ilianza na kufungwa na ihefu
Au amesahau lakini mwaka huu hatujapotexa hata mechi moja
Huyu mwamba anafact kinyama
hatimae madhabiki wa yanga wameanza kuwa na akili bado mchome 😂
Jamani huyu jamaa anajuwa mpira anaweka ushabiki pembeni anazungumzia mpira
Dossa mm ni ubaya ubwela hakika leo ndo nimeanza kukuelewa umeongea fact
Leo umeongea ukweli. Utafika mbali
Tuwe wakweli yanga ni Bora sana tena zaidi ya sana ila timu nyingi zimejipanga kushindana pia hii league ya msimu huu itakuwa ngumu sana tena sana.
Kati mshabiki wa yanga una ongea point kabisa kama ni mshabiki madazi huwezi kumelewa dosa yupo sahihi anaongea kimpira kabisa siyo kwakuwa ni shabiki tu wayanga yuko sawa
Kumbe dossa njaa anaomba hela ya kiatu,, njaa mbaya
Bado hajasema mbona mapema jamani uto.😂😂😂😂😂 kwani chama si yupo.
Mpk museme 😀hamjasema bado😜😜😜
mdogo wangu dosa upo sahihi
Wewe Unaeleze ila Nataka Urudi Nyuma YANGA Inapigwa Vita Na Teim Zote Zilizopo Kwenye Ligi Ikiaanza Simba Azam Coastal N.K Natimu Unayocheza Nayo Wewe Kama Ni Dereva Utweza Kufahamu Halafu Jengine Jiaangalie Hizo Gem Zikovipi Wanavyo Cheza YANGA..Jawabu Tosha... YANGA Ipo Vizuri Na Itawafunga Watu Goli Tono Na Zaidi..
Hakuna timu isiyo na vita na timu nyingne
maamaaaa ni wazeeee
jamani hiyo ni hiyo ni Timu Ya Wanawake Tena Wazeeeeeeeeee ndiyo maaana
Bundi kashaanza kuweka kambi😂🤣
Walikuq wanatumia madawa yanga
Dosa bwana leo nimekukubali, umeongea point tuu
Lazima tuseme ili tuoone wachezaji wetu wamechoka gamondi tusaidue injinia tuone💚💛😣😣
Afu huyo.jamaa hata kadi hana
Huyu dosa akumbushwe kuwa hii ni league ya NBC namba sita kwa ubora na haya matokeo na performance inayoonyeshwa na vilabu vingi kwa sasa hapa Tanzania ndio ubora wenyewe.
😂😂😂wachezaj wamechoka na bado😅😅
Dosa sasa naamini kumbe bado hujakomaa kisoka.
Acheni sababu mpira ndivo ulivo na mlizd kuisema simba ss mtaona cha moto
Uzuri wa mashabiki wa Yanga wapo kisiko zaidi siyo kiushabiki,ila mashabiki wa Simba hawawezi kuisifia Yanga.
Aahaa dosa acha uongo, mechi mbili tu mmeshaanza tuhuma! Ninawasiwasi unatumika
Nyie ndiyo mulikuwa mnatusema kuwa tunasajili wavulana leo wavulana wamegeuka kuwa wakina PIDDY mumesha anza kulalamika
Unasema ukweli
Don't blame the players,that is football
Dosa yanga mbovu tena 😂😂😂
Ila wewe unaakili unafaa kushabikia Simba. Uachane na wale wasona akili wasije wakakupotosha akili. Usjali kuusu jezi nakununulia ukiwa upo tiari nitafute njoo kwenye furaa
Experance🤣
Siyo jana tu mmepiga vitalo? CBE?
Kuna kipindi shetani ushetani ukimtoka anaongea kama malaika Leo dossa anaongea ukweri mtupu ila mpaka aseme Bado tarehe 19 ataongea sana🎉🎉🎉 ubaya ubwelaaaaaa
Ile YANGA haija choka sema mchawi mafaza wengi mishahara Wana pishana sana watu Wana komoana Hawa pambani
We mmbwa atudahiwi sisi
Mpaka mdhemeeeeeeeeeee bado hamjadhemaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Naona pameanza kuchangamka yangaaaaa hahahha wachezaji wamechoka dosaaaàaaaa
Huyu Dossa haichukui muda Utopolo watamteka wasimruhusu aje kwenye vyombo vya habari maana anasema ukweli na Utopolo hawapendi ukweli.
Kolo mkubwa 😅😅😅😅
@@JanuariMchuno Juzi alivuliwa uongozi kwenye tawi lake na bado mtamvua hadi uanachama 🤣🤣🤣
dosa jsemalo ni kweli . kwani hata mimi ninacho kiona rimu ipo vizuli lakini ndani ya wachezaji kunakitu kikubwa akipo sawa . kunawachezaji wanafanya kusudi makusudi kiuchezaji
Huyu dactar Dawa zake nzur Sio chungu
Apo tim inatafutana simba tukikaa nusu msimu simtaongea mengi sana
asichojua ni kwamba huwezi shinda goli nyingi timu ikilipaki basi
Ww ni msemaji wa simba
We jamaa unaujua sana mpira mengine nimakosa to ya kiubinaadam kwan chama mkude hao wamekua mizigo watu kama hao tim zao ni za namungo na singida et leo aje tim ya kuitaj mafanikio mtu ametunika kwa miaka kum mfurulizo iyo si sawa
Wewe hauna tafauti na kisugu kakuchota akili
Hili bwege tuu, Yanga iko vema , hebu wee kenge heshimu na wapinzani KMC , muhimu point tatu
Nyuma mwiko wanateseka sana nendeni kwa P DIDDY mkaangalie movie mabwabwa nyie
Freed funga funga anaingia hapo dirisha dogo
Our time is over 😂😂😂
dosa msema kwer ni mpenzi wa mungu yanga wamechoka saaaana na ubigwa mnauona huooooo
yanga imeshuka kiwango nikwel dossa nakukubal hupend unafk
Huyu jamaa ajui kitu kuhusu ball sasa yanga wamechoka wap acha ujinga kila me hi ina mipango yke .
Ndo kwanza tunatest mitambo na badooooo
Dosa wewe tahila kabisa kwani hujui kuwa mpira una matokeo matatu?
Dosa wacha uongo Ayubu aliwadai lini Simba kakojoe ulalee
😂😂😂 katoa kama mfano tu
Dosa anatafuta fursa za maisha kwenye
Kumeanza kuchangamka tunywe mtori nyama tutazikuta chini
Wewe babaa utukomeee simba imeingiaje hapoo 😂😂simba umeona lini simba qmefungiwa na fifa kisa madeni???utokemee kweny mazungumzoo Yanayo husu uto usiwaingizee simbaaa komaaaq😂😂😂
sema ukweli dosa😂😂
kwani dawa za nguvu zimeisha