Moses kulola mwenyewe ilitokea kama hii ila alitulia kimya akachapa kazi ya Mungu na Mungu alitembea nae mpaka mwisho sababu alijua kua shetani alitaka kusambaratisha wakristo
Mtumishi wa MUNGU wakat tulio nao niwakuhubili injili yatoba watu waokoke nakuomba iyo nguvu unayoitumia kuwachambua watu uigeuze uilekeze marko 16:15 nenden ulimwengun mwote mukahumbili injili kwakila kiumbe mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi wangu hayo mengine mwachiye MUNGU yaan hapo mnawapoteza wale walio chini yenu mawaingiza katika ugomvi wenu tafadhali anayejidhania amesimama aangalie asianguke anayejidhania anajua neno, hajui neno jinsi impasavyo kujua vita vvyetu nivyakiloho sio vya mwili na damu
Hakuna kitu kizuri kama kuomba Mungu akupe hekima na maarifa ,ili uweze kuamua sahihi na kujua ni wakati upi sahihi unapaswa kusema na wakati upi unapaswa kunyamaza,kwani tukitumia media inakusaidia Nini mchungaji? Ungelikuwa na busara ungelifata utaratibu kuliko kuji expose kwenye social media Munalitukanisha kanisa acheni lopolopo 😢
Mimi nami sikuungi mkono kwa ulichoandika.Hatutoi sadaka itakayo geuka mkuki kwetu au itakayotuumiza bali tunatoa sadaka itakayokuwa faida kwetu na kwa watu wengine
pole sana mbarikiwa ila sijategemea kuwa na wewe utakuwa miongoni mwa wachungaji wapumbavu,,,jitahidi kubadirika simama na mungu acha maneno mengi yatakuharibia kwa mungu na kwa mwanadamu mmmmmmmmh, umezidi mdomo baba
Kwa hiyo wewe hapa ulipoandika ndio ofisini kwangu? Kwa hiyo ndiyo umefuata utaratibu wa kiroho? Biblia imeandika maovu mengi ya watu yaliyokemewa hadharani na yanasomwa hadharani miaka na mikaka. Ila ninyi panyarodi ndio mna haki ya kutukana na kudhulumu hadharani ila anayedhulumiwa hana haki ya kulalamika hadharani. Enyi uzao wa nyoka.
@@shuhudazakikosikazichainji928Tatizo kuna Muda huwa mnajiona kama mna ulokole saana, na mna kiburi cha kuto sikia ushauri kuna mambo hata ukija kwa media kupayuka hapa haisaidii, na unapo sema TAG una zungumzia kwa ujumla kwa Tanzania nzima, kumbe kuna mahali fulani hawajui kama kuna hiyo shida, kwani Ina maana Mbarikiwa ukinikosea mimi, ina maana familia yako yote niichukie kuwa imekosea? Kwa nini kosa la mtu mmoja liharibu uzuri wa kitu?
@shuhudazakikosikazichainji928 Yaani point yako ni ipi? Una simama kwenye media uponye roho za watu, au upo kuelezea mambo yako? Unateswa kwa sababu adabu hamna na una kiburi cha kuto sikia ushauri, unajiona sana kwamba wewe ndio unajua sana, kwani TAG ina shida gani?😂😂😂 Mungu tunae mtumikia atusaidie sana maana mmmh!!!🙌🙌🙌🙌
Nimesikiliza, nimesikitika sana Hata mateso ya mwenye dhambi Kwa Mkristo inampa mzigo wa maombi na maombolezo ya Toba kwaajili yake, kuomba rehema ili aokolewe, inakuwaje Hilo Kwa mwenye haki??
Pole Sana mwakipesile, ulikosea Sana pa kupeleka hivyo vyombo, sío hivyo tu, angalieni Sana mnakopeleka sadaka , hivi unapelekaje vyombo vya injili gerezani
Ndio hata gerezani Injili inapaswa kuhubiriwa kwa sauti kubwa ya kutumia vyombo kutokana na wingi wa watu na Mazingira ya huko Gerezani pia. Kwahiyo kufanya hivyo alikuwa yuko sahii kabisa.
Wafilipi 2:3-5 Msitende neno lo lote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake. Kila mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine. Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu;
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Hyu mchungaji mimi ata simuelewi kwakweli usipofuata utararatibu wa kimungu utapata tabu sana ukizani nishetani kumbeni ukosefu wako wa akili mtafute mungu akupe hekima na maarifa utapata shida sana
Mbarikiwa ubarikiwe sana na mimi nimetapeliwa na mchungaji aliniahidi kunisapoti kujenga jengo la kuabudia lakini tujenge kwake kwanza nikifanya hivyo nilipo maliza tu kujenga na kupaua akavunja mahusiano tena kwa matusi mengi inauma sana japo sisi sote na wachungaji lakini tujichunguze jamani
Chungeni Sana washirika wa M'barikiwa,Kama kunatuvitu amewasaidia cku mtakapofanya maamuzi ya kuhama Mtanyang'anywa,ubongo huu ni shida,bila kugombana huna maisha
Atakuwa anachuki na kanisa la T.A.G angekuta wanaovitumia vyombo alivyotoa Gerezani ni watu wengine au ni imani nyingine asingekuwa na neno.Mungu atusaidie sana kama mtumishi huyu anachuki ya aina hii ni hatari.Yamtokayo mtu yameujaza moyo wake.
Unamdharirisha YESU bwana hebu tulia omba MUNGU bila kujianika hivi kwenye midia ,unasahau unashambulia wenzio nao wanakushambulia ,tulia utamuona MUNGU jmn
Pastor, acha kulalamika sana kwenye media, ukizani ndiyo njia sahihi ya kuhukumu kanisa la TAG, nilivyo ona kichwa cha ujumbe nilizani ni vyombo vya gharama kubwa sana, umezurumiwa, umepokonywa, na kanisa la TAG, Kumbe ulitoa sadaka kwa wafungwa, getezani,Si dhani kama ni busara kulalamika kwenye media na kama unakerwa kuona mchungaji wa TAG anavitumia, Nenda kavichue maana hakuna atakaye kuzuia,sio kulalamika wakati vyombo vipo na unaumia kuona mchungaji wa TAG anavitumia, harafu suala la Askofu mkuu na mchungaji Magembe wana husikaje kwenye vyombo vyako USHAURI, nenda kavichukue, wakikukatalia nenda mahakani Hapa kwenye media tunataka kusikia unatufundisha neno la MUNGU ili tupone tumjue Mungu
Yule mchungaji ametumwa /anafanya huduma mle kwa udhamini wa uongozi wa TAG. Hivyo kusema kwenye media ni kuwapa taarifa viongozi wake wajue anachofanya mtu wao. Na kwa swala la kuvichukua, kama una njia ya kuwaambia askari magereza wanirudishie wambie warudishe. Kwani ndio wanaompa jeuri huyo mTAG kuvitumia vyombo hivyo.
Biblia isingeandika walivyomtesa na kumuua Yesu kusingekuwa na upungufu? Haya yanawekwa wazi ili vizazi vijavyo waje wajue kuwa kuteswa na kuuawa kwa mtu huyu kuipitia mchakato moja, mbili, tatu.
Hata biblia isingeandikwa kama walioandikwa humo wangenyamaza na kukaa kimya, waonapo dhuruma na uonevu. Kukaa kimya uonapo uovu, dhuruma na uonevu ni ushetani mkubwa. ISAYA 58:1
Ila kweli wachristo wa siku za mwisho ni hatar sana. Kwanini mtupiane vijembe kwenye mitandao kama wachungaji mnamfaidisha nani na ambao hawajamwamini yesu wanajifunza nini Kutoka kwenu
Ila kweli Wakristo wa siku za mwisho ni hatari sana. Maana wasingekuwa na UNAFIKI hata MIKATABA MIBOVU MIBOVU YA DPW YA BANDARI hisingekuwepo. Na ndugu zetu huko NGORONGORO NA LOLIONDO NA MSOMERA Kuangaishwa kila kukicha na kunyanganywa ARDHI ZAO katika taifa lao na huko Wakristo wapo wana ona na kuangalia na kushangilia UDHALIMU WA WADHALIMU Katika uovu wao.
Kila binadamu anaitaji faraja, Kwa nini mnapenda kumuumiza mtu huyu kila wakati. Tambua na yeye alizaliwa kama wewe nae, pia anaitaji upendo na faraja kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki. Kwani yeye ana moyo wa chuma?, kila wakati kumtwisha mizigo ambayo nyie hamuezi kujitwisha au kuibeba na kustahimili nayo. Maana nyie tu Jambo kidogo Presha imewapanda mara kisukari.
Mfano mdogo sana ; hivi kama mzazi wako akupe shamba Urithi/ulime mazao, arafu umkute mzazi wako aliokupa shamba shambani anachuma hata nyaya tatu za mboga, arafu wewe ukampigia kelele ya mwizi na ukiwa ulimuona kwa ukaribu na kumtambua kuwa ni mzazi wako. Je? Mzazi huyo huyo atakapo rejea nyumbani kwake atanyamaza kwa hicho kitendo hasiwaambie koo nzima? ndugu zako na majirani na marafiki wa familia.
Hao TAG si wamesoma chuo cha Biblia na Mchungaji wao MAGEMBE anasema WAKO ICU? Unataka nikasome niwe ICU? Nimeamini kweli dunia ngumu. Yaani hamuwashambulii wadhulumaji bali anayelalamikia dhuluma.
Ukitoa sadaka ya maiki kanisani ndo kibal kwamba Roho asikuonye au? Unaangalia kama n la kwako unajirekebisha na kama unaona wewe hujafanya si basi ... Mungu akupe hekima mtumishi
Sio jela tu furaha yako ni WANGEMUUA KABISA. Kwa sababu mna shida si ya uhai wake tu bali na vitu vyake? Kulalamikia kutendewa dhuluma ni mdomo? Miuaji mikubwa ninyi. Amelalamikia kuuawa mtoto wake mmesema mdomo. Shida yenu ni uhai wake tu.
Ooh! Watesaji na wauaji mmeanza kujitokeza hadharani na kuonyesha makusudi yenu juu ya Mbarikiwa!!, Nimeamini kuwa, wakuu wa dini kwa kushirkiana na serikali ndio mnaotekeleza mauaji ya watu wa Mungu tangu zamani za biblia. Nyoka wana wa majoka, kijazeni kikombe cha baba zenu.
Waafrika ni nani aliyeturoga? Kuongea ukweli na uwazi wa mambo yalivyo unakuwa umevurugwa? Aiseeeee hii dunia ndo maana wanyonge wengi wanakufa vihoro kwani wanapoumizwa wanashindwa kuongea.
@@sharonyasin7521 kwa hiyo umeanza kutukana bila hata kusikiliza kilichomo ndani? Mbona gharama imefafanuliwa. Rudi usikilize kwa utulivu na ndipo utapata na point nyingine nyingi za kutukana. Nakufahamu sana kwamba huwa haurudi nyuma kirahisi ukianza kutukana ni mpaka uone umekuwa wa mwisho kuandika. Ila hii ni ishara mbaya. Sina hakika kwa moyo huu kama waweza kudumu hata kwenye ndoa. Na kama umedumu basi huyo mume kahenyeka kweli. Yaani mwanamke unashangilia mauaji na maonezi! Baada ya matusi tena ndipo nitakublock rasmi. Sikufanya hivyo ili niujue moyo wako kwa uhakika.
Lakini kama alitoa Kwa wafungwa Kwa Nini huyo mtumishi avitumie Kwa kumushambulia mbarikiwa simama na bwana atakushindia Kila jaribu unalo lipitia jifunze kunyamaza mungu atajibu Kwa wakati wake una vita vikari sana
Huyu ana lake jambo , kumbe tuvyombo vyenyewe ni twa chini ya milioni mbili, kisha kumtaja askofu mkuu kutafuta kiki, acha upumbavu huu utakugharimu kiroho
Twa chini ya milioni mbili ila unashindwa kutoa wewe unatumia vya yule unayemtesa gerezani kumtukania. Huyo asingetumwa na Askofu wenu kwenda kumtukana Mbarikiwa gerezani angemchukulia hatua. Yule mchungaji kawekwa na TAG kama mchungaji ikimaanisha kuwa kila anachokifanya ndicho alichotumwa. Vinginevyo wangemchukulia hatua. Na hilo itakugharimu haitamgharimu Mbarikiwa zaidi ya mlivyomfanya ENYI WANA WA MAJOKA MLIOJAA DAMU KATIKA MIKONO YENU.
Mtumishi mimi ni mtu mdogo sana kwako kihuduma lakini kwa hiki unachosema ukitoa bado ni chako hapana Mtumishi hapo haiko sawa labda sema uliazimisha kwakweli uliwaazimisha unapotoa sio chako tena wala hupaswi kulaumu labda kama unamengine
Acha uchawa na hekima za kipumbavu, ukidhani ndiyo hekima. TAG ndiyo sababu ya madhira na mateso ya Mbarikiwa, wakati yupo gerezani waTAG walivitumia kumsimanga na kumshambulia
We ndo maana unafungwa, ni mhimu ujue unaongea nini, kwa nani na wapi!! Huenda ni kweli unachosema, ila sisi hatuhitaji kujua unachodai. Kuna mioyo ya watu unaiua kwa kuweka wazi udhaifu wenu. Ndo maana wengi hawaokoki kwa Sabab mnaweka wazi madhaifu mliyonayo. Unaharibu unayoyajenga. Mbona mshitakiane wazi! Ni hatua Gani umetumia kudai vitu vyako kabla ya kuja public? Kanisa ni kama familia, ukishaona baba wa familia anatoa nje madhaifu ya familia yake, uwe na uhakika familia inakufa. Mbarikiwa nakuombea, uwe na hekima ya kujua unaongea nini na wapi kabla ya kuweka mambo wazi. Kwa mfano, kwa kusema haya wazi, nia Yako ni Nini? Unataka ulipwe? Kwani mitandaoni ni mahakamani? Nia Yako bila shaka ni kudhaliliaha kanisa! Ili iweje! Furaha Yako ni pia! Aliyeanguka akipotea au akisimama Tena? Mungu akusaidie. Ni mhimu ujue kutofautisha mateso ya YESU wanafumzi wake na wewe. Kila kitu kina maana yake na sababu nyuma yake. Mateso ya YESU yalikuwa na ulazima wake, ya wanafumzi nayo yalikuwa na sababu yake. Ya kwako nayo Yana sababu yake. Usitwambie sisi, sisi hatutaki kujua ugomvi wenu kwa sababu ugomvi wenu unaharibu mioyo ya wengi.
Unamshauri nani wewe?, kama unaona ni vizuri Mbarikiwa kuwaona viongozi, wewe umeshindwaje kumshauri Mbarikiwa kwa kumuona kuliko kuandika kimeseji chako kichafu kisicho na mpangilo mzuri?
Ungejitambua unachofanya kwenye ulimwengu wa Roho ungeacha kulalama, kama jinga vile, hata hunaukweli wa lolote unaoongea tu kama huna akili iliyokaa sawa hata kidogo.
Nimeishia kusikitika yaan vyombo vya milion mbili kweli ndo vizue mgogoro?? Hiyo hela kama ungefuata utaratibu unaotakiwa mshirika mmoja tu asingeshindwa kutoa hata mili3 ya vyombo vyako
Hukumu ya wanadamu daima siyo ya kweli kwani wanahukumu kwa kusikia.Yani kwa jinsi unavyo jihesabia haki ,unajiona wewe ni Yesu ,wewe unajua washirika wako ni watakatifu wote.Kwani una maanisha sadaka za washirika wako wanaowaza vibaya huwa unazikataa kabisa kwani huwa unajua mawazo ya washirika wako wote.Angalia unayofanya na hukumu unazotoa zitakurudia tu.
@@mosesg.pendael8381YESU mwenyewe maumivu yalivyozidi pale msalabani ALILIA, ndo iwe kwa Mbarikiwa unataka asilie!, kulia na kupiga kelele ni ishara ya kwamba panauma
Sasa siumfuate mhusika kwa ajili ya utaratibu zaidi? Yaani Mch Mbarikiwa mi napendaga sana mahubiri na mazungumzo yako, ila kuna mambo unayafanya utafikiri huna Mungu, unanikatisha tamaa ya kufuatilia mahubiri yako
Acha kuchafua thehebula la watu aliyesema hv ni mtu mmoja kanisa zima linahusika nini mch Mwakipesile unazidi sasa
Tukiwaambia huyu kavamiwa hamtuelewi
Haya ss
Mungu AKUBARIKI sana mtumishi kunawakati nakuelewa vzr sana.
Mtumishi wa mungu mbarikiwa ukisoma ufunuo 22:9-22 nijibu lao wewe fanya kazi ya Mungu wao mungu atawalipa sawa sawa na neno ktk ufunuo
Moses kulola mwenyewe ilitokea kama hii ila alitulia kimya akachapa kazi ya Mungu na Mungu alitembea nae mpaka mwisho sababu alijua kua shetani alitaka kusambaratisha wakristo
Huyu anaelekea kwenye anguko
ahkumbe warikufuku zawasami Kaka irawakupisip kazako
Huyu jamaa...alianza vzr sana...lkn kadri anavyoendelea mmmmh;
Wewe ulianza vibaya ila unaendelea vizuri?
Mch Mbarikiwa nitaanza kufuatilia nyimbo zako za tenzi tu, maana saizi unaenda siko kabisa
Sijakuelewa kwani njia unayoitumia haiko sawa kama mtu unayemjua Mungu hukupaswa kufanya ivo.
Itakua TAG ndo wana kusababishia matatizo, pia usipate usajili wa kanisa lako, piga moyo konde utashinda💪
T.A.G haihusiki hata kidogo
Mnayavuta majaribu kwa kamba za ubatili. Kwa sababu ya kutafuta umaarufu unayapitia hayo. Mungu ni Mungu wa hekima na adabu.
Mi nimefungua hapa nikajua kuna ujumbe wa neno la mungu kumbe vijembe tu
Halafu Kuna watu wanamtetea
Si uende mahakamani,, na kweli ujui kuhubiri baba.
Pole sana mchungaji
Ukweli wanajiona wao ndo wana mungu tu
Mtumishi wa MUNGU wakat tulio nao niwakuhubili injili yatoba watu waokoke nakuomba iyo nguvu unayoitumia kuwachambua watu uigeuze uilekeze marko 16:15 nenden ulimwengun mwote mukahumbili injili kwakila kiumbe mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi wangu hayo mengine mwachiye MUNGU yaan hapo mnawapoteza wale walio chini yenu mawaingiza katika ugomvi wenu tafadhali anayejidhania amesimama aangalie asianguke anayejidhania anajua neno, hajui neno jinsi impasavyo kujua vita vvyetu nivyakiloho sio vya mwili na damu
Hakuna kitu kizuri kama kuomba Mungu akupe hekima na maarifa ,ili uweze kuamua sahihi na kujua ni wakati upi sahihi unapaswa kusema na wakati upi unapaswa kunyamaza,kwani tukitumia media inakusaidia Nini mchungaji? Ungelikuwa na busara ungelifata utaratibu kuliko kuji expose kwenye social media Munalitukanisha kanisa acheni lopolopo 😢
Wewe hapa umetumia nini? Kwa nini wewe usimtafute Mbarikiwa unaandika mtandaoni?
Lakin hapo mbarikiwa unakosea ulishatoa sadaka na sadaka ukitoa huhitaji tena kujua kinaenda kufanya nn hapo sikuungi mkono
Mimi nami sikuungi mkono kwa ulichoandika.Hatutoi sadaka itakayo geuka mkuki kwetu au itakayotuumiza bali tunatoa sadaka itakayokuwa faida kwetu na kwa watu wengine
Magembe ni chuma kitupu hana mbambamba...yuko tayari kufa kwa ajili ya kristo
Acha kumsemea mtu.
Hautaki sasa@@sautikuu212
pole sana mbarikiwa ila sijategemea kuwa na wewe utakuwa miongoni mwa wachungaji wapumbavu,,,jitahidi kubadirika simama na mungu acha maneno mengi yatakuharibia kwa mungu na kwa mwanadamu mmmmmmmmh, umezidi mdomo baba
Hapa kwenye social media ndio mahakamani au ofisi za TAG? Unajiharibia sana. Jifunze kufuata utaratibu wa kiroho pale unapokuwa umekosewa au kukosea.
Kwa hiyo wewe hapa ulipoandika ndio ofisini kwangu? Kwa hiyo ndiyo umefuata utaratibu wa kiroho? Biblia imeandika maovu mengi ya watu yaliyokemewa hadharani na yanasomwa hadharani miaka na mikaka. Ila ninyi panyarodi ndio mna haki ya kutukana na kudhulumu hadharani ila anayedhulumiwa hana haki ya kulalamika hadharani. Enyi uzao wa nyoka.
Kumbe panyarod😂😂
Mtu anasemeya atakapo ona ujumbe unafika kwa haraka na kwa uzito.
@@shuhudazakikosikazichainji928Tatizo kuna Muda huwa mnajiona kama mna ulokole saana, na mna kiburi cha kuto sikia ushauri kuna mambo hata ukija kwa media kupayuka hapa haisaidii, na unapo sema TAG una zungumzia kwa ujumla kwa Tanzania nzima, kumbe kuna mahali fulani hawajui kama kuna hiyo shida, kwani Ina maana Mbarikiwa ukinikosea mimi, ina maana familia yako yote niichukie kuwa imekosea? Kwa nini kosa la mtu mmoja liharibu uzuri wa kitu?
@shuhudazakikosikazichainji928 Yaani point yako ni ipi? Una simama kwenye media uponye roho za watu, au upo kuelezea mambo yako? Unateswa kwa sababu adabu hamna na una kiburi cha kuto sikia ushauri, unajiona sana kwamba wewe ndio unajua sana, kwani TAG ina shida gani?😂😂😂 Mungu tunae mtumikia atusaidie sana maana mmmh!!!🙌🙌🙌🙌
Nimesikiliza, nimesikitika sana
Hata mateso ya mwenye dhambi Kwa Mkristo inampa mzigo wa maombi na maombolezo ya Toba kwaajili yake, kuomba rehema ili aokolewe, inakuwaje Hilo Kwa mwenye haki??
Mwakipesile umepungukiwa na hekima
Pole Sana mwakipesile, ulikosea Sana pa kupeleka hivyo vyombo, sío hivyo tu, angalieni Sana mnakopeleka sadaka , hivi unapelekaje vyombo vya injili gerezani
Wafungwa wanaofanya injili walikuomba awasaidie vyombo
Ndio hata gerezani Injili inapaswa kuhubiriwa kwa sauti kubwa ya kutumia vyombo kutokana na wingi wa watu na Mazingira ya huko Gerezani pia.
Kwahiyo kufanya hivyo alikuwa yuko sahii kabisa.
Wafilipi 2:3-5
Msitende neno lo lote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake. Kila mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine. Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu;
Mwee mungu afunge kuongea kwako heee
Ili muendelee kutapeli mali za wenyewe
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Hyu mchungaji mimi ata simuelewi kwakweli usipofuata utararatibu wa kimungu utapata tabu sana ukizani nishetani kumbeni ukosefu wako wa akili mtafute mungu akupe hekima na maarifa utapata shida sana
Mzee Mungu Hana uhasama mnachokifanya iko siku mtajua tu
Kwani mbarikiwa unajua kuhubili mi sjawahi kukuona unahubili zaidi ya kuchambua watu..kiukweli sijawahi kuona unahubili..
Mbarikiwa ubarikiwe sana na mimi nimetapeliwa na mchungaji aliniahidi kunisapoti kujenga jengo la kuabudia lakini tujenge kwake kwanza nikifanya hivyo nilipo maliza tu kujenga na kupaua akavunja mahusiano tena kwa matusi mengi inauma sana japo sisi sote na wachungaji lakini tujichunguze jamani
Chungeni Sana washirika wa M'barikiwa,Kama kunatuvitu amewasaidia cku mtakapofanya maamuzi ya kuhama Mtanyang'anywa,ubongo huu ni shida,bila kugombana huna maisha
Mbona hajawahi kumnyang'anya yeyote alie msaidia?na hapa hana maana ya kunyang'anya hapa kuna funzo anataka kulitowa
Elewa nimesema wazi KUWA SIKUWAPA TAG. WAMEPORA TU. WAUMINI WANGAPI AMEWASAIDIA NA WAMEHAMA? AMENYANG'ANYA NINI? AU UNADHANI KAANZA JANA KANISA.
Atakuwa anachuki na kanisa la T.A.G angekuta wanaovitumia vyombo alivyotoa Gerezani ni watu wengine au ni imani nyingine asingekuwa na neno.Mungu atusaidie sana kama mtumishi huyu anachuki ya aina hii ni hatari.Yamtokayo mtu yameujaza moyo wake.
@@ronaldsikaponda3553 hachukukii kanisa bali anachukia viongozi wa hilo kanisa wanaoenda kinyume na neno.
Duu kwakwel tuko mwishoni kabisa mwa nyakati ambazo ndio Mungu tu atasema
Mbalikiwa we niwapekee Sanaa mung akutie ngunv maana weng wanaenda na kinyume na bibilia
🙏🙏🙏
Umekosoa hujaonya, Halafu nimeshindwa kuelewa hivyo vyombo mda huu wakati unaongea vipo gerezani au mikononi kwa watag??? Shalom
Vyombo vipo kwa wa tag au vilitumiwa na hao w tag??
Unamdharirisha YESU bwana hebu tulia omba MUNGU bila kujianika hivi kwenye midia ,unasahau unashambulia wenzio nao wanakushambulia ,tulia utamuona MUNGU jmn
Kama yesu wako ni Tapeli pamoja na hawa ATADHALILISHWA SANA.
maelezo(ujumbe) uko sawa mahali upotolea maelezo siyo sahihi
Pastor, acha kulalamika sana kwenye media, ukizani ndiyo njia sahihi ya kuhukumu kanisa la TAG, nilivyo ona kichwa cha ujumbe nilizani ni vyombo vya gharama kubwa sana, umezurumiwa, umepokonywa, na kanisa la TAG, Kumbe ulitoa sadaka kwa wafungwa, getezani,Si dhani kama ni busara kulalamika kwenye media na kama unakerwa kuona mchungaji wa TAG anavitumia, Nenda kavichue maana hakuna atakaye kuzuia,sio kulalamika wakati vyombo vipo na unaumia kuona mchungaji wa TAG anavitumia, harafu suala la Askofu mkuu na mchungaji Magembe wana husikaje kwenye vyombo vyako
USHAURI, nenda kavichukue, wakikukatalia nenda mahakani
Hapa kwenye media tunataka kusikia unatufundisha neno la MUNGU ili tupone tumjue Mungu
Yule mchungaji ametumwa /anafanya huduma mle kwa udhamini wa uongozi wa TAG. Hivyo kusema kwenye media ni kuwapa taarifa viongozi wake wajue anachofanya mtu wao. Na kwa swala la kuvichukua, kama una njia ya kuwaambia askari magereza wanirudishie wambie warudishe. Kwani ndio wanaompa jeuri huyo mTAG kuvitumia vyombo hivyo.
Unaweza ukawa sawa Ila angalia sana maneni yako na yawe machache
Mmmmm sawa bwana naomba wote trudi msalabani
TAG kama mkisipo muwajibisha huyo Mchungaji basi ni wazi mlimtuma
Kwani ukinyamaza unapungua Nini?
Biblia isingeandika walivyomtesa na kumuua Yesu kusingekuwa na upungufu? Haya yanawekwa wazi ili vizazi vijavyo waje wajue kuwa kuteswa na kuuawa kwa mtu huyu kuipitia mchakato moja, mbili, tatu.
Hata biblia isingeandikwa kama walioandikwa humo wangenyamaza na kukaa kimya, waonapo dhuruma na uonevu. Kukaa kimya uonapo uovu, dhuruma na uonevu ni ushetani mkubwa. ISAYA 58:1
Mwana wa Mungu, sifa yake ni Hekima. Kipesile jitafakari.
Wewe umjitafakari?
Tafakari kwani wewe ushamaliza?.
Na
Kama umemaliza na sisi tumeanzia Pale ulipo malizia na kusonga Mbele.............................
TAG warudishe vyombo yupo sahihi
Naviomba ivyo vyombo Baba yangu nihuburie injili tafadhari
WAFILIPI 2:14 - 16
Kazi IPO jamaniMungu atusaidie
Namashaka na hakili zako we mtu
Mmh!
Daah!😢
Ila kweli wachristo wa siku za mwisho ni hatar sana. Kwanini mtupiane vijembe kwenye mitandao kama wachungaji mnamfaidisha nani na ambao hawajamwamini yesu wanajifunza nini Kutoka kwenu
Na wewe kucomment mtandaon unafaidisha nini acha unafiki
Wanajifunza ushetani wa waTAG kwa walichomfanyia Mbarikiwa
Ila kweli Wakristo wa siku za mwisho ni hatari sana. Maana wasingekuwa na UNAFIKI hata MIKATABA MIBOVU MIBOVU YA DPW YA BANDARI hisingekuwepo.
Na ndugu zetu huko NGORONGORO NA LOLIONDO NA MSOMERA Kuangaishwa kila kukicha na kunyanganywa ARDHI ZAO katika taifa lao na huko Wakristo wapo wana ona na kuangalia na kushangilia UDHALIMU WA WADHALIMU Katika uovu wao.
Nami nashangaa 😢
Mtumishi Huyu anahaki sana,Makanisa yetu yamezidi dhuruma
mtumishi kosa la mtu mmoja linaweza kuwa kosa la TAG wote.
Huyo mchungaji ametumwa na TAG. Hivyo sio kosa la mtu mmoja. Na kama ni la mmoja basi wamchukulie hatua ya wazi kumuwajibisha.
Mikataba MIBOVU MIBOVU Ya DPW YA BANDARI, kupitia Dhalimu mmoja Shetani
Je! Wanaumia wangapi?.
Huyo mchungaji aliongea kweli ukijirekibisha utakua mtumishi mzuri mimmi sio mt aig lakini unanikera sana nakukuchukua kwambo yako ya ajabu
Tumia
Hekima
Kama
Wewe
Wakiroho
Jamani mpola
Utoaji wa sadaka haupo hivo ... T.A.G ni dhehebu tena la kipendekoste sasa sjui shida ipo wapi kusema wasitumie kwamba ni wanapiga miziki ya dunia?
Huyo siyo MTAG huyo hana roho mtakatifu naomba mwachie na mungu atakupa vyombo vingine
Jitahid kunyamaza hata kama unaonewa hiyo ni bibilia
Uwe unanyamaza wewe unapokanyagwa ila anaeumia ni lazima aongee sana.
Isaya 62:6-7
Nyamaza wewe. Hajakukuta ndiyo maana unaongea hivyo.
YESU aliongea mpaka anakufa msalabani ila Mbarikiwa ndo unataka anyamaze?
Yohana 8:31..........42
Kila binadamu anaitaji faraja,
Kwa nini mnapenda kumuumiza mtu huyu kila wakati.
Tambua na yeye alizaliwa kama wewe nae, pia anaitaji upendo na faraja kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki.
Kwani yeye ana moyo wa chuma?, kila wakati kumtwisha mizigo ambayo nyie hamuezi kujitwisha au kuibeba na kustahimili nayo.
Maana nyie tu Jambo kidogo Presha imewapanda mara kisukari.
Mmmmh ila kwa kweli😢😢😢😢
Pole sana unapambana na TAG kwa ajili ya spika na mix nilijua wamekuzuia kuhubiri siumfate kiongozi wetu akupe full sett
Mungu wa haki husimama na haki Atasimama tu aendae tofauti na haki atangamia
Akatoe gerezani arudishe zangu.
Mmeshindwa kutoa full set gerezani lakini mmesubiria alivyotoa MBARIKIWA gerezani mkaanza kuvitumia kumtukania
Mfano mdogo sana ; hivi kama mzazi wako akupe shamba Urithi/ulime mazao, arafu umkute mzazi wako aliokupa shamba shambani anachuma hata nyaya tatu za mboga, arafu wewe ukampigia kelele ya mwizi na ukiwa ulimuona kwa ukaribu na kumtambua kuwa ni mzazi wako.
Je? Mzazi huyo huyo atakapo rejea nyumbani kwake atanyamaza kwa hicho kitendo hasiwaambie koo nzima? ndugu zako na majirani na marafiki wa familia.
Baba Acha tu sikuzote akutendeae mabaya we tenda mema waschie tu
hapo umejikwaa brother,Huna misingi ya utumishi Ungeenda chuo cha biblia Hili usingelizungumza
Hao TAG si wamesoma chuo cha Biblia na Mchungaji wao MAGEMBE anasema WAKO ICU? Unataka nikasome niwe ICU? Nimeamini kweli dunia ngumu. Yaani hamuwashambulii wadhulumaji bali anayelalamikia dhuluma.
@@shuhudazakikosikazichainji928umenena nimekuelewa sana baba
Acha mawazo ya kimaskini
DA! NAPATA JIBU LA KWANINI KULOLA ALIAMUWA KUHAMA NA KUANZISHA EAGT.
Kazi ipo ndugu.
Magembe ni mtumishi wa Mungu,Anatakiwa awe na huduma yake,watu wa ukweli Wanataka ukweli
Nimepoteza mb zangu☹️
Pole mchungaji mm mwenyewe ni t a g uliongea kweli
Ukitoa sadaka ya maiki kanisani ndo kibal kwamba Roho asikuonye au? Unaangalia kama n la kwako unajirekebisha na kama unaona wewe hujafanya si basi ...
Mungu akupe hekima mtumishi
Ndugu mtumishi pole sana,huyu ndugu wa TAG ongea naye malizana naye Baba wawatu Askofu Muache ,nashauri ongea nao .
Message sent my dear.
Achana nao walikufukuza kwenye redio yao maana hawataki ukweli orijino
Wewe umetoka haraka jera, unatakiwa urudi jera, huo mdomo una Pepo. Kama unaona wamekudhulumu. Washitaki kuliko kubweka mitandaoni
Sio jela tu furaha yako ni WANGEMUUA KABISA. Kwa sababu mna shida si ya uhai wake tu bali na vitu vyake? Kulalamikia kutendewa dhuluma ni mdomo? Miuaji mikubwa ninyi. Amelalamikia kuuawa mtoto wake mmesema mdomo. Shida yenu ni uhai wake tu.
Jela utaenda ww sasa anasema ukweli huyu jamaa
Ooh! Watesaji na wauaji mmeanza kujitokeza hadharani na kuonyesha makusudi yenu juu ya Mbarikiwa!!, Nimeamini kuwa, wakuu wa dini kwa kushirkiana na serikali ndio mnaotekeleza mauaji ya watu wa Mungu tangu zamani za biblia.
Nyoka wana wa majoka, kijazeni kikombe cha baba zenu.
Wewe mtakatifu zamu yako inakuja ya kuishi wewe gerezani
Nasikitika nimepoteza mb zangu kwakusikia upuzi
Tapeli kumwambia wewe ni tapeli ni upuuzi. Kama vile mlevi, mwizi, malaya, fisadi nk ukimwita kwa Sifa ya tabia yake LAZIMA AONE NI UPUUZI.
Waafrika ni nani aliyeturoga? Kuongea ukweli na uwazi wa mambo yalivyo unakuwa umevurugwa? Aiseeeee hii dunia ndo maana wanyonge wengi wanakufa vihoro kwani wanapoumizwa wanashindwa kuongea.
OFISI HAZIJAFUTWA JAMANI. MPENDWA NENDA OFISINI.
Wewe umekuja ofisini? Au comment ndio ofisini kwetu?
Kaka umefilisika sana na anayekusilikiliza anapotea
Ukiwemo wewe umepotea. Kwani mpaka kuandika yote haya tayari umesikiliza.
Unastahili yaan uchapwe viboko kama 100 mbalikiwa.. una saikolojiko problems,ukichapwa zitarudi
.
saizi umeacha kuhubiri watu waokoke umekomaa na kukosoa watu
Imekuwa TAG ndo ilikuweka ndani??😂😂unapenda vita, wewe baba!,ujui kuhubiri kweli nenda kasome kwanza!
Hapa tunadai vyombo vya MUSIC. Rudisheni kwanza ndipo muendelee na mateso mliyokusudia.
@@shuhudazakikosikazichainji928unatudai vyombo vya shilingi ngapi?
@@sharonyasin7521 kwa hiyo umeanza kutukana bila hata kusikiliza kilichomo ndani? Mbona gharama imefafanuliwa. Rudi usikilize kwa utulivu na ndipo utapata na point nyingine nyingi za kutukana. Nakufahamu sana kwamba huwa haurudi nyuma kirahisi ukianza kutukana ni mpaka uone umekuwa wa mwisho kuandika. Ila hii ni ishara mbaya. Sina hakika kwa moyo huu kama waweza kudumu hata kwenye ndoa. Na kama umedumu basi huyo mume kahenyeka kweli. Yaani mwanamke unashangilia mauaji na maonezi!
Baada ya matusi tena ndipo nitakublock rasmi. Sikufanya hivyo ili niujue moyo wako kwa uhakika.
@@shuhudazakikosikazichainji928 yamekuwa hayo?umenishinda tabia
Lakini kama alitoa Kwa wafungwa Kwa Nini huyo mtumishi avitumie Kwa kumushambulia mbarikiwa simama na bwana atakushindia Kila jaribu unalo lipitia jifunze kunyamaza mungu atajibu Kwa wakati wake una vita vikari sana
Huna akili
Naomba namba ya Mchungaji mbarikiwa mwakipesile tafadhari ya whtsp
Huyu ana lake jambo , kumbe tuvyombo vyenyewe ni twa chini ya milioni mbili, kisha kumtaja askofu mkuu kutafuta kiki, acha upumbavu huu utakugharimu kiroho
Twa chini ya milioni mbili ila unashindwa kutoa wewe unatumia vya yule unayemtesa gerezani kumtukania. Huyo asingetumwa na Askofu wenu kwenda kumtukana Mbarikiwa gerezani angemchukulia hatua. Yule mchungaji kawekwa na TAG kama mchungaji ikimaanisha kuwa kila anachokifanya ndicho alichotumwa. Vinginevyo wangemchukulia hatua. Na hilo itakugharimu haitamgharimu Mbarikiwa zaidi ya mlivyomfanya ENYI WANA WA MAJOKA MLIOJAA DAMU KATIKA MIKONO YENU.
Sasa kwani mnakuja kushitaki mtandaoni ivi kweli mliitwa au mliijiita tu mnakela sana Kila kitu mtandaoni
1.8M ndo inakutoa povu hivi? Kuna kosa la kiufundi ulifanya. TAG ni taasisi haina nafasi ya kushindana na mtu mmoja.
Kwa tapeli hiyo ni ndogo kwa sababu mmezoea kutapeli mamilioni. Kama ndogo si ungeilipa tu faster ili usitoe povu la comment hapa?
Natamani ungekuwa Mwanza ningesali kanisani kwako
Mwakipesile taja account number nkulipe yaan kuchafua tag kisa m.2 tuu
Mtumishi mimi ni mtu mdogo sana kwako kihuduma lakini kwa hiki unachosema ukitoa bado ni chako hapana Mtumishi hapo haiko sawa labda sema uliazimisha kwakweli uliwaazimisha unapotoa sio chako tena wala hupaswi kulaumu labda kama unamengine
Acha uchawa na hekima za kipumbavu, ukidhani ndiyo hekima. TAG ndiyo sababu ya madhira na mateso ya Mbarikiwa, wakati yupo gerezani waTAG walivitumia kumsimanga na kumshambulia
We ndo maana unafungwa, ni mhimu ujue unaongea nini, kwa nani na wapi!! Huenda ni kweli unachosema, ila sisi hatuhitaji kujua unachodai.
Kuna mioyo ya watu unaiua kwa kuweka wazi udhaifu wenu.
Ndo maana wengi hawaokoki kwa Sabab mnaweka wazi madhaifu mliyonayo.
Unaharibu unayoyajenga. Mbona mshitakiane wazi! Ni hatua Gani umetumia kudai vitu vyako kabla ya kuja public?
Kanisa ni kama familia, ukishaona baba wa familia anatoa nje madhaifu ya familia yake, uwe na uhakika familia inakufa.
Mbarikiwa nakuombea, uwe na hekima ya kujua unaongea nini na wapi kabla ya kuweka mambo wazi.
Kwa mfano, kwa kusema haya wazi, nia Yako ni Nini? Unataka ulipwe? Kwani mitandaoni ni mahakamani?
Nia Yako bila shaka ni kudhaliliaha kanisa! Ili iweje! Furaha Yako ni pia! Aliyeanguka akipotea au akisimama Tena? Mungu akusaidie.
Ni mhimu ujue kutofautisha mateso ya YESU wanafumzi wake na wewe.
Kila kitu kina maana yake na sababu nyuma yake. Mateso ya YESU yalikuwa na ulazima wake, ya wanafumzi nayo yalikuwa na sababu yake. Ya kwako nayo Yana sababu yake. Usitwambie sisi, sisi hatutaki kujua ugomvi wenu kwa sababu ugomvi wenu unaharibu mioyo ya wengi.
Au unatafuta umaarufu
Kama una roho wa Mungu huwezi kuongea haya mimi na uchanga wangu wa kiroho siwezi kusema maneno hayo
Kwa kweli. Huyo roho wa wazungu aliyewafanya kuwa makatili, wadhulumaji, hawezi kuwaruhusu mzungumze mambo ya haki.
@@shuhudazakikosikazichainji928kweli kabisa
Nenda ofisi kwao ukaongee nao,,, neno la Mungu (YESU) hatetewi brother, nenda hospital za ugonjwa wa akili na genge lako mnaharibu watu wengi
Unamatatizo mungu akusaidie
Kwa sasa matapeli hamna matatizo ila anayelalamikia utapeli wenu ndiye aliye na matatizo.
Sasa mchungaji magembe ameingiaje hapa jaman
Mimi, ninajushauli unaikanda, injili kwann usiwaone viongozwake, mbonaunatakakujisafisha wakat umechafuka?
Unamshauri nani wewe?, kama unaona ni vizuri Mbarikiwa kuwaona viongozi, wewe umeshindwaje kumshauri Mbarikiwa kwa kumuona kuliko kuandika kimeseji chako kichafu kisicho na mpangilo mzuri?
@@zawadimwaibako4065sawa kabisa.
Injili kaikanda tangu lini? twambie.
Ungejitambua unachofanya kwenye ulimwengu wa Roho ungeacha kulalama, kama jinga vile, hata hunaukweli wa lolote unaoongea tu kama huna akili iliyokaa sawa hata kidogo.
Eee mwenye akili tuonyeshe akili. Jifunze kusikiliza sio kusikia
wakiristo kwasasa injiri imepotea yamebaki majungu mipasho tamaa
Nimeishia kusikitika yaan vyombo vya milion mbili kweli ndo vizue mgogoro?? Hiyo hela kama ungefuata utaratibu unaotakiwa mshirika mmoja tu asingeshindwa kutoa hata mili3 ya vyombo vyako
Mbarikiwa anaongea anasema "MIMI NIKO PALE NAWAANGALIA KAMA MTAFIKIA HUO UAMSHO"
Wewe nawewe inakera sana sijui unatafutakiki
Lazima ukereke kwa sababu hata mwizi akipigiwa kelele za mwizi huyoo HEKEREKA SANA.
MIMI NILIFIKIRI MAHUBIRI. KUMBE MATATIZO
Hukumu ya wanadamu daima siyo ya kweli kwani wanahukumu kwa kusikia.Yani kwa jinsi unavyo jihesabia haki ,unajiona wewe ni Yesu ,wewe unajua washirika wako ni watakatifu wote.Kwani una maanisha sadaka za washirika wako wanaowaza vibaya huwa unazikataa kabisa kwani huwa unajua mawazo ya washirika wako wote.Angalia unayofanya na hukumu unazotoa zitakurudia tu.
Wakinipa mimi kwa mioyo yao ya kupenda hakuna tatizo. Shida ni SIKUWAPA NINYI NA MNAVITUMIA KUNITUKANIA?
Mch unalalamika sana!
Lakini si wewe unashangilia sana? Acha mimi niendelee kulalamika sana.
@@shuhudazakikosikazichainji928 Hapana mimi sishangilii. Wala sina furaha katika haya. Nilikuwa nawaza, mengine ya aina hii, yanyamazie tu.
@@mosesg.pendael8381YESU mwenyewe maumivu yalivyozidi pale msalabani ALILIA, ndo iwe kwa Mbarikiwa unataka asilie!, kulia na kupiga kelele ni ishara ya kwamba panauma
Wadhalimu wanahiumiza sana nchi yetu katika maisha ya kila siku na ya jayo.
Mmmh inamana Mim nikitoa sadaka kanisani nikanunua vyombo vya kanisa je? Ninapoondoka nidai hiyo sadaka?
Sasa siumfuate mhusika kwa ajili ya utaratibu zaidi? Yaani Mch Mbarikiwa mi napendaga sana mahubiri na mazungumzo yako, ila kuna mambo unayafanya utafikiri huna Mungu, unanikatisha tamaa ya kufuatilia mahubiri yako