Waandishi wanne wa riwaya kutoka Tanzania watuzwa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 сен 2024
  • Waandishi wanne wa riwaya na mashairi kutoka Tanzania ndio waliibuka kidedea kwenye mashindano ya Tuzo ya Kiswahili ya Safal-Cornell ya Fasihi ya Afrika. Washindi hawa walikuwa miongoni mwa waandishi wanane walioorodheshwa kwa tuzo hii kati ya takriban miswada 200 ya riwaya na mashairi iliyowasilishwa kwenye mashindano haya

Комментарии •