UTATA WAIBUKA UMILIKI WA SHAMBA MBUNGE OLE SENDEKA AGOMA, RIDHIWANI AINGILIA KATI “Busaea Zitumike”
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Binti ni jasiri....😍 ukweli siujui lkn nimependa kujiamini kwako...😍
🤣🤣🤣 mzee tapeli mambo yameanza kurudi kwa speed, Mungu tusaidie
Kama kiongozi unatakiwa uwenamaamuzi yamwishon si busara ukiona mwenye haki hayuko upande wako than unaacha mgomgoro haliyakuwa uliaminiwa kuwa utamaliza tatizo
Ridhiwani si ndivyo ninavyomjua Kweli ni kiongozi
MSICHANA Simama kama mrithi.wavamizi ni wengi karne hii.Allah akusimamie.
Aridhiwani maliza huo mgogoro, kuna faida gani kufika hapo, ukaacha mgogoro kwa wausika, hapo nooo
Migogoro ya ardhi inangazi mahakama ndio mwisho...
Mh unafanya kazi nzur sana.kila mda naona hukai ofisin
Tanzania bhaaana mimi binafsi binafsi nitafurahi kama waziri wa ardhi atafuatilia na mambo yote yatakuwa sawa watu wasirumbane
Mh ole sendeka mbona anajing'ata ng'ata Kuna Nini hapo kati au nyuma ya pazia????
Liziwani unafaa kuliko January makamba
Maandiko yanasema anayependa mali hatosheki na mali.anayependa pesa hatosheki na pesa.sasa mbunge si anaviwanja vingi.
Olesendeka tapeli
sendeka nitapeli yese alikuwa anamaekari ya shamba sendeka nimwizi mnafiki oamoja na Jao kina baraka wezi mno
Alikutapeli wewe
MH RIDHIWANI NIMEZIONA BUSURA ZAKOUBARIKIWE
Ifike mahali wabunge wetu wakinai utajiri wa mashamba
Wana maeneo mengi wabunge lkn hawaridhiki kabisa
Eti hakuna nyumba na nyumba imeonekana wanataka kuwatapeli watoto Mali zao hizo
Habari yenyewe ilivyoandikwa inabase upande mmoja soma shamba limeandikwa la nani??
Liziwa nilikuwabnakuchukiasana nilijua kuwa nyinyi nimojawapomyliosababishaaisha magumu kwawatanzania kumbe wewenikiongozi muhimu kwenye alizi
Huyu Kikwete vipi? Madhshidi wote wanasema kulikuwa hakuna nyumba. Wakikusmbia hakuna nyumba hakuna nyumba. Kikwete inaonekana anspendelea upande mmoja.
Mh. Mbona wazawa wa hapo Kuna mtu mmoja ni tapeli mabint siku hizi niwatapeli fungueni macho.
Kuna Mikoa kumiliki ardhi mitihani, jamii za wenyeji na Viongozi wao huungana dhidi ya wageni, Manyara and maasai are some of them
Huyu sendeka ni mbwa kabisa tamaa nyingi tumbo kubwa mjinga kabisa
Mbna makasiliko
Hahahahahahahahah
Kuwambia wamalizane wenyewe wakati wameshashindana si sahihi hata kidogo,au kuna mtu unamlinda?
Ole sendeka ni tapeli wa kiwango
Anauliza kujenga uku mbona alipo kuwa hai akujenga kati
Yn kiukwer ww ridhiwani leo ndo meaza kukupenda safi sana tena sana
Hiyu mbunge mjanja, mbona nyumba ipo , hao masai wanasema uwongo nyumba pagale hiloo
Namshukuru Mungu waziri umetumia hekima sana mkamalizane kwa hekima
Ha ha ha hv mtu anapewa hekali.1000
Wakati kuna watoto wanazaliwa. Sheria ibadiliike
Hizo mahakama bubu mtawadhulumu watu ina maana mahakama haziwezi kutatua matatizo ya ardhi
Mzee sendeka tapeli
Waziri Yamalize kabisa.ukisema wakae mezani.Maamuzi yatakuwa vinginevyo.Sendeka anachotaka ardhi
Mtt ana maneno matam km baba aisee hongera kwa hekima zako
Safi Sana Waziri
Hilo lizee niliizi litakua limegawa pesa kwahao vijana
mje huku Mtwara kuna naeneo
mengi mno pia bei nafuu mno
Hao masai matapeli wanataka pa kuchungia hawa atapeli
riziwani naanza kukuerewa watototo nieneo lao kabisa sendeka tapeli ashtakiwe eneo sio lake sendeka
Ole sendeka huwaga ni tapeli itamsaidia nini hiyo ss? Aache tu haki ya watoto wa watu
Uyo mbunge kawaida yake iyo kunyanganya watu maeneo yao
Si ni swala la kwenda kuangalia nyumba ipo haipo basi
Seee uy tapeli uy mzeee daaa atari kwer jamani
Hapo waziri kaogoka sendeka ni baba yake mlezi picha ishaeleweka
Safi sana Nancy pambana mpaka kieleweke
Viongozi wa Tanzania hawatosheki...!!
mhe ana masilahi nahuyu binti wanataka kuuza ardhi ya wamasai. hii mbaya sana we need to stand together against impeliarism
Hayajakukuta ndo mana unaongea upumbavu
Hizo ni mchongo za kutengeneza
sheria ifate mkondio sio busara
Mbona mawaziri mnafanya kazi za mahakama?
Kumbe ridhiwani ana akiri 😕🙌
mi pia nimeshangaa wallah, sikutegemea
Tutatosheka na mchanga wa kaburi tu
Ridhiwan umeyumba hapo ulitakiwa kuamua wewe kama Naibu wa Ardhi mpaka unafika wewe kwenye hilo eneo ina maana Ngazi za chini zimeshindawa...kna alafu ya huyo Dada kudhulumia Ardhi
Nimemuelewa vizuri Riziwan.
Sio kwamba hatofwatilia Tena hapana, kafanya ivyo kuepusha mengi.
Akiamua haraka hapo mambo ya ardhi wanaweza kupigana
WAMASAI NDIVYO WALIVYO NI WAONEZI KUPITA KAWAIDA
safi sana nsibu waziri, umeongea busara sana
jamani tumuogope mungu,
Changamoto ya maeneo kwa kwetu wamasai lipo sana na hawa ndugu zangu wanaroho mbaya sanaaa...nilipatana na changamoto kama hii lakini Mungu alinisaidia..tena kwa mtoto wa kike???Mungu mtetee
Kama sample ya nyumba imeonekana ilo eneo la yese😄😄😄 sema ridhiwani ana akili
Kabisa
Bora waende mahakama ya ardhi maana Naona kama naibu wazir anakwepa lawama
Kweli magufuli tutamkumbka na mbaya zaidi alikuwa awapendi watu wenye matumbo Kama huyu mzee mnataka kutumua ubaba kwa sababu mzazi wake hayupo
Riziwani hapo yanatakiwa maamuzi sio siasa hao washashindwana
Bint shujaa👏👏👏
Busara zimetumika
Waziri maliza mgogoro huo.sasa ulienda kufanya nini kama Waziri????
Huyu Mzee muongo sana
Huyu Mzee mpaka Leo hapumziki ole sendeka
Haya mlikuwa mnamlaumu magufuli kutatuwa migogoro Kwa namna hii Leo mnashangilia dah watanzania bhana 🤣🤣🤣🤣
Olesendeka tapeli
Zulma mbaya sana we ole macho yanakusutaaa kbsaaa bint huyo sio mjingaaaaaa aisee
Safi sana naibu waziri tunakuomba uje njombe
Kama unafanya hivo waziri uko sawa
Ridhiwaniiiiiiiiiiii
Hu
Huyu dada anaonekana anatoa ushaidi wa uongo hata usoni anaonekana kama wale waliomsaliti yesu shahidi wa uongo pelekeni shauli mahakamani mtaujua ukweli wewe lidhiwani mungu akupe hekima kujua huyo dada mwongo
Kikwete ana interest hapa. Yuko upande mmoja. Je ana mahusisno na huyu dada? Yuko upande mmoja.
Mmmh! Chonde chonde km eneo ni la watoto Hao waachieeni eneo lao! Hii dhambi itawatafuna! Watoto msikubali Hadi kieleweke
Yani na znz wangekuwa wanafanya kama hivi wallah na sisi tungepata haki zetu lakini leo mume wangu kadhulumiwa na mpka kesho anashindwa kupewa hati hata ya nyumba yake katika ilo shamba jamaa zake wamesema kwao yani mtihani mkubwa tunakaa kwa wasiwasi yani babayao akifa saivi basi tunatolewa kwenye nyumba dah vilio vya watu wsngi hivi
Nasikia mwinyi msikivu,je haliwezi hapo mzazi mmoja
Kiongozi migogoro ya.kifamilia. rafiki wa baba rafiki wa mama basi ndio maana wamekutunbua
huyu sendeka nmkabila hafai mm ninamjua mno hyo alishammaliza mwenzake supuko hafai
Apo riziwan maliza iyo kesi isiwe kujuwana yese alikuwa tajiri watetee hao watoto wapate haki ya baba yao, sendeka aio mtu mziri nahao wapambe, ukweli aukaliwi juu ya uongo haki niyahao watoto kiukweli
Hivi waziri unafahamu maana y nyumba vibanda nk simmesoma Sheria
Yaani hawa watu...hawaridhiki hata kidogo. Pesa wanazo, majumba, magari, mabiashara....eeh Mungu!!!
Mtoto WA kikwete waziri mama mbunge jamani tunatawarIwa na familia na maswaiba
Huyo mzee mwenye mvi anataka kiamba cha kufugia mooooo
Ilasendeka nimwizi analoho mbaya
Uyu binti yupo kwenye haki hao wengine wezi
Fungua kesi mahakamani
Rizawani apo nimekukubali umetiririka vzr sana
Mmh
KTK NCHI HII HUWE MSHITAKI KIONGOZI HIVI HUYU DADA ANAWEZA MSHITAKI OLE SENDEKA AKAPATA HAKI YAKE?
Achaa thuluma wew mzee hao watima
Mh rizi one naibu waziri!
Kwani hapo nimahakani waende mahakamni bwana
Busaea ndio nini? Mnakimbizwa
Busara nahisi
Msizulumu ata kama mnanguvu
Huyu kijana wakikwete anajielewa sana
Wamasai wezi sana wa ardhi wamezidi
Walikuibia wewe
Hiyo ni sawa waziri wa ardhi
Warithi wamagu hao aliyo acha
Ole tapeliii na fisadi mkubwaaaa
Ridhiwan ameiva
Watu wa ccmm
Definition of a great leadership!
Nimependa sana naibu waziri
Mkuu wa mkoa hataki shida kanyamaza kimyaaa!!!!🤣🤣🤣
Hahahahahahahahah
Nchi hii hakuna marofa Tena watu akili n mingi mno