UTATA WAIBUKA UMILIKI WA SHAMBA MBUNGE OLE SENDEKA AGOMA, RIDHIWANI AINGILIA KATI “Busaea Zitumike”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp....
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Комментарии • 124

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Год назад +15

    Binti ni jasiri....😍 ukweli siujui lkn nimependa kujiamini kwako...😍

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Год назад +9

    🤣🤣🤣 mzee tapeli mambo yameanza kurudi kwa speed, Mungu tusaidie

  • @yusuphmpando9900
    @yusuphmpando9900 Год назад +6

    Kama kiongozi unatakiwa uwenamaamuzi yamwishon si busara ukiona mwenye haki hayuko upande wako than unaacha mgomgoro haliyakuwa uliaminiwa kuwa utamaliza tatizo

  • @nujakaluhende9428
    @nujakaluhende9428 Год назад +8

    Ridhiwani si ndivyo ninavyomjua Kweli ni kiongozi

  • @fatumasukwaju226
    @fatumasukwaju226 Год назад +6

    MSICHANA Simama kama mrithi.wavamizi ni wengi karne hii.Allah akusimamie.

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 Год назад +6

    Aridhiwani maliza huo mgogoro, kuna faida gani kufika hapo, ukaacha mgogoro kwa wausika, hapo nooo

    • @simonpure109
      @simonpure109 Год назад

      Migogoro ya ardhi inangazi mahakama ndio mwisho...

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne9718 Год назад +8

    Mh unafanya kazi nzur sana.kila mda naona hukai ofisin

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Год назад +6

    Tanzania bhaaana mimi binafsi binafsi nitafurahi kama waziri wa ardhi atafuatilia na mambo yote yatakuwa sawa watu wasirumbane

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Год назад +4

    Mh ole sendeka mbona anajing'ata ng'ata Kuna Nini hapo kati au nyuma ya pazia????

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Год назад +5

    Liziwani unafaa kuliko January makamba

  • @yunislemnge5558
    @yunislemnge5558 Год назад +4

    Maandiko yanasema anayependa mali hatosheki na mali.anayependa pesa hatosheki na pesa.sasa mbunge si anaviwanja vingi.

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 Год назад +3

    Olesendeka tapeli

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Год назад +5

    sendeka nitapeli yese alikuwa anamaekari ya shamba sendeka nimwizi mnafiki oamoja na Jao kina baraka wezi mno

  • @nelsonmaleo3342
    @nelsonmaleo3342 Год назад +5

    Ifike mahali wabunge wetu wakinai utajiri wa mashamba

  • @nelsonmtaturu5298
    @nelsonmtaturu5298 Год назад +3

    Eti hakuna nyumba na nyumba imeonekana wanataka kuwatapeli watoto Mali zao hizo

  • @Nyamko-christmas
    @Nyamko-christmas Год назад +2

    Habari yenyewe ilivyoandikwa inabase upande mmoja soma shamba limeandikwa la nani??

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Год назад

    Liziwa nilikuwabnakuchukiasana nilijua kuwa nyinyi nimojawapomyliosababishaaisha magumu kwawatanzania kumbe wewenikiongozi muhimu kwenye alizi

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Год назад +1

    Huyu Kikwete vipi? Madhshidi wote wanasema kulikuwa hakuna nyumba. Wakikusmbia hakuna nyumba hakuna nyumba. Kikwete inaonekana anspendelea upande mmoja.

  • @anatholypole2889
    @anatholypole2889 5 месяцев назад

    Mh. Mbona wazawa wa hapo Kuna mtu mmoja ni tapeli mabint siku hizi niwatapeli fungueni macho.

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 5 месяцев назад

    Kuna Mikoa kumiliki ardhi mitihani, jamii za wenyeji na Viongozi wao huungana dhidi ya wageni, Manyara and maasai are some of them

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Год назад +4

    Huyu sendeka ni mbwa kabisa tamaa nyingi tumbo kubwa mjinga kabisa

  • @AllanLyombile-r6y
    @AllanLyombile-r6y 5 месяцев назад

    Kuwambia wamalizane wenyewe wakati wameshashindana si sahihi hata kidogo,au kuna mtu unamlinda?

  • @danielhumble4292
    @danielhumble4292 Год назад +3

    Ole sendeka ni tapeli wa kiwango

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 Год назад +2

    Anauliza kujenga uku mbona alipo kuwa hai akujenga kati

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Год назад +3

    Yn kiukwer ww ridhiwani leo ndo meaza kukupenda safi sana tena sana

  • @stellacosmacy4785
    @stellacosmacy4785 5 месяцев назад

    Hiyu mbunge mjanja, mbona nyumba ipo , hao masai wanasema uwongo nyumba pagale hiloo

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Год назад +4

    Namshukuru Mungu waziri umetumia hekima sana mkamalizane kwa hekima

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Год назад +2

    Ha ha ha hv mtu anapewa hekali.1000
    Wakati kuna watoto wanazaliwa. Sheria ibadiliike

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 5 месяцев назад

    Hizo mahakama bubu mtawadhulumu watu ina maana mahakama haziwezi kutatua matatizo ya ardhi

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 Год назад +2

    Mzee sendeka tapeli

  • @fatumasukwaju226
    @fatumasukwaju226 Год назад +2

    Waziri Yamalize kabisa.ukisema wakae mezani.Maamuzi yatakuwa vinginevyo.Sendeka anachotaka ardhi

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 Год назад +2

    Mtt ana maneno matam km baba aisee hongera kwa hekima zako

  • @kurthumkamru5435
    @kurthumkamru5435 Год назад +5

    Safi Sana Waziri

  • @akimu-gl7zp
    @akimu-gl7zp Год назад

    Hilo lizee niliizi litakua limegawa pesa kwahao vijana

  • @uwesuabdallah4053
    @uwesuabdallah4053 5 месяцев назад

    mje huku Mtwara kuna naeneo
    mengi mno pia bei nafuu mno

  • @stellacosmacy4785
    @stellacosmacy4785 5 месяцев назад

    Hao masai matapeli wanataka pa kuchungia hawa atapeli

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Год назад +1

    riziwani naanza kukuerewa watototo nieneo lao kabisa sendeka tapeli ashtakiwe eneo sio lake sendeka

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 Год назад +1

    Ole sendeka huwaga ni tapeli itamsaidia nini hiyo ss? Aache tu haki ya watoto wa watu

  • @SimonMseyeki
    @SimonMseyeki 5 месяцев назад

    Uyo mbunge kawaida yake iyo kunyanganya watu maeneo yao

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Год назад +2

    Si ni swala la kwenda kuangalia nyumba ipo haipo basi

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Год назад +2

    Seee uy tapeli uy mzeee daaa atari kwer jamani

  • @mshikamanojames7610
    @mshikamanojames7610 Год назад +1

    Hapo waziri kaogoka sendeka ni baba yake mlezi picha ishaeleweka

  • @lilianhoney5744
    @lilianhoney5744 Год назад +2

    Safi sana Nancy pambana mpaka kieleweke

  • @ramadhanimbulu4941
    @ramadhanimbulu4941 Год назад +3

    Viongozi wa Tanzania hawatosheki...!!

  • @levidavid1156
    @levidavid1156 Год назад +2

    mhe ana masilahi nahuyu binti wanataka kuuza ardhi ya wamasai. hii mbaya sana we need to stand together against impeliarism

  • @ruwaichijoseph5946
    @ruwaichijoseph5946 Год назад

    Hizo ni mchongo za kutengeneza

  • @ezekielmwakyagi9330
    @ezekielmwakyagi9330 Год назад +2

    sheria ifate mkondio sio busara

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 6 месяцев назад

    Mbona mawaziri mnafanya kazi za mahakama?

  • @josephusimbanilo9500
    @josephusimbanilo9500 Год назад +4

    Kumbe ridhiwani ana akiri 😕🙌

    • @Dantaata
      @Dantaata Год назад +1

      mi pia nimeshangaa wallah, sikutegemea

  • @fatumasukwaju226
    @fatumasukwaju226 Год назад +2

    Tutatosheka na mchanga wa kaburi tu

  • @jumamkwanda8031
    @jumamkwanda8031 Год назад +2

    Ridhiwan umeyumba hapo ulitakiwa kuamua wewe kama Naibu wa Ardhi mpaka unafika wewe kwenye hilo eneo ina maana Ngazi za chini zimeshindawa...kna alafu ya huyo Dada kudhulumia Ardhi

    • @michaelfrenkline3429
      @michaelfrenkline3429 Год назад +1

      Nimemuelewa vizuri Riziwan.
      Sio kwamba hatofwatilia Tena hapana, kafanya ivyo kuepusha mengi.

    • @sudyslaa8278
      @sudyslaa8278 Год назад +1

      Akiamua haraka hapo mambo ya ardhi wanaweza kupigana

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 Год назад +2

    WAMASAI NDIVYO WALIVYO NI WAONEZI KUPITA KAWAIDA

  • @aahasaidi1977
    @aahasaidi1977 Год назад +4

    safi sana nsibu waziri, umeongea busara sana

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 Год назад +1

    Changamoto ya maeneo kwa kwetu wamasai lipo sana na hawa ndugu zangu wanaroho mbaya sanaaa...nilipatana na changamoto kama hii lakini Mungu alinisaidia..tena kwa mtoto wa kike???Mungu mtetee

  • @directoreydonation9939
    @directoreydonation9939 Год назад +2

    Kama sample ya nyumba imeonekana ilo eneo la yese😄😄😄 sema ridhiwani ana akili

  • @amoslucas1247
    @amoslucas1247 Год назад +1

    Bora waende mahakama ya ardhi maana Naona kama naibu wazir anakwepa lawama

  • @nelsonmtaturu5298
    @nelsonmtaturu5298 Год назад +1

    Kweli magufuli tutamkumbka na mbaya zaidi alikuwa awapendi watu wenye matumbo Kama huyu mzee mnataka kutumua ubaba kwa sababu mzazi wake hayupo

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Год назад +2

    Riziwani hapo yanatakiwa maamuzi sio siasa hao washashindwana

  • @neema_mollel
    @neema_mollel Год назад +4

    Bint shujaa👏👏👏

  • @devotaijumba8332
    @devotaijumba8332 Год назад +1

    Waziri maliza mgogoro huo.sasa ulienda kufanya nini kama Waziri????

  • @HealingjoyKirenga
    @HealingjoyKirenga 5 месяцев назад

    Huyu Mzee muongo sana

  • @johnkyara8655
    @johnkyara8655 Год назад +1

    Huyu Mzee mpaka Leo hapumziki ole sendeka

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 Год назад

    Haya mlikuwa mnamlaumu magufuli kutatuwa migogoro Kwa namna hii Leo mnashangilia dah watanzania bhana 🤣🤣🤣🤣

  • @sadiqdeshaggy1869
    @sadiqdeshaggy1869 6 месяцев назад

    Olesendeka tapeli

  • @neemareuben311
    @neemareuben311 Год назад +2

    Zulma mbaya sana we ole macho yanakusutaaa kbsaaa bint huyo sio mjingaaaaaa aisee

  • @mwailubikamongo9774
    @mwailubikamongo9774 Год назад +1

    Kama unafanya hivo waziri uko sawa

  • @musaguga
    @musaguga Год назад +2

    Ridhiwaniiiiiiiiiiii

  • @azimiomgongolwa6668
    @azimiomgongolwa6668 5 месяцев назад

    Hu

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 5 месяцев назад

    Huyu dada anaonekana anatoa ushaidi wa uongo hata usoni anaonekana kama wale waliomsaliti yesu shahidi wa uongo pelekeni shauli mahakamani mtaujua ukweli wewe lidhiwani mungu akupe hekima kujua huyo dada mwongo

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 Год назад

    Kikwete ana interest hapa. Yuko upande mmoja. Je ana mahusisno na huyu dada? Yuko upande mmoja.

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 Год назад

    Mmmh! Chonde chonde km eneo ni la watoto Hao waachieeni eneo lao! Hii dhambi itawatafuna! Watoto msikubali Hadi kieleweke

  • @fathiyaomar9009
    @fathiyaomar9009 Год назад +1

    Yani na znz wangekuwa wanafanya kama hivi wallah na sisi tungepata haki zetu lakini leo mume wangu kadhulumiwa na mpka kesho anashindwa kupewa hati hata ya nyumba yake katika ilo shamba jamaa zake wamesema kwao yani mtihani mkubwa tunakaa kwa wasiwasi yani babayao akifa saivi basi tunatolewa kwenye nyumba dah vilio vya watu wsngi hivi

    • @simonpure109
      @simonpure109 Год назад

      Nasikia mwinyi msikivu,je haliwezi hapo mzazi mmoja

  • @rahimaaaaa8699
    @rahimaaaaa8699 Год назад

    Kiongozi migogoro ya.kifamilia. rafiki wa baba rafiki wa mama basi ndio maana wamekutunbua

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 Год назад +1

    huyu sendeka nmkabila hafai mm ninamjua mno hyo alishammaliza mwenzake supuko hafai

    • @Abduliazizi-zu1wh
      @Abduliazizi-zu1wh Год назад

      Apo riziwan maliza iyo kesi isiwe kujuwana yese alikuwa tajiri watetee hao watoto wapate haki ya baba yao, sendeka aio mtu mziri nahao wapambe, ukweli aukaliwi juu ya uongo haki niyahao watoto kiukweli

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Год назад

    Hivi waziri unafahamu maana y nyumba vibanda nk simmesoma Sheria

  • @Mzalendo14
    @Mzalendo14 Год назад

    Yaani hawa watu...hawaridhiki hata kidogo. Pesa wanazo, majumba, magari, mabiashara....eeh Mungu!!!

  • @fadhilimwaitete3692
    @fadhilimwaitete3692 Год назад

    Mtoto WA kikwete waziri mama mbunge jamani tunatawarIwa na familia na maswaiba

  • @salcle9702
    @salcle9702 Год назад

    Huyo mzee mwenye mvi anataka kiamba cha kufugia mooooo

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Год назад

    Ilasendeka nimwizi analoho mbaya

  • @sadiqdeshaggy1869
    @sadiqdeshaggy1869 6 месяцев назад

    Uyu binti yupo kwenye haki hao wengine wezi

  • @delekalxon7221
    @delekalxon7221 Год назад +1

    Fungua kesi mahakamani

  • @Abduliazizi-zu1wh
    @Abduliazizi-zu1wh Год назад

    Rizawani apo nimekukubali umetiririka vzr sana

  • @vanderjoe2551
    @vanderjoe2551 Год назад +1

    Mmh

  • @omarycheyo5534
    @omarycheyo5534 Год назад

    KTK NCHI HII HUWE MSHITAKI KIONGOZI HIVI HUYU DADA ANAWEZA MSHITAKI OLE SENDEKA AKAPATA HAKI YAKE?

  • @KiandeMollel
    @KiandeMollel 6 месяцев назад

    Achaa thuluma wew mzee hao watima

  • @mussamisinzo4934
    @mussamisinzo4934 6 месяцев назад

    Mh rizi one naibu waziri!

  • @shijandoya1780
    @shijandoya1780 Год назад

    Kwani hapo nimahakani waende mahakamni bwana

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Год назад +1

    Busaea ndio nini? Mnakimbizwa

  • @gaspermalyatabu1813
    @gaspermalyatabu1813 Год назад

    Msizulumu ata kama mnanguvu

  • @kennysabai5695
    @kennysabai5695 Год назад

    Huyu kijana wakikwete anajielewa sana

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Год назад +1

    Wamasai wezi sana wa ardhi wamezidi

  • @GidionSimon-cs7qq
    @GidionSimon-cs7qq Год назад

    Hiyo ni sawa waziri wa ardhi

  • @Team-t6k
    @Team-t6k Год назад

    Warithi wamagu hao aliyo acha

  • @dunstangeorge3263
    @dunstangeorge3263 Год назад

    Ole tapeliii na fisadi mkubwaaaa

  • @joshjoackimjacksonkisoso2914
    @joshjoackimjacksonkisoso2914 Год назад

    Ridhiwan ameiva

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Год назад

    Watu wa ccmm

  • @jeffmwinyi365
    @jeffmwinyi365 Год назад

    Definition of a great leadership!

  • @J4UPro
    @J4UPro Год назад

    Nimependa sana naibu waziri

  • @tonyjames6658
    @tonyjames6658 Год назад

    Mkuu wa mkoa hataki shida kanyamaza kimyaaa!!!!🤣🤣🤣

  • @abuuchaula6961
    @abuuchaula6961 Год назад +2

    Nchi hii hakuna marofa Tena watu akili n mingi mno