BAADA YA SHAHADA NAKUTAJA WEWE LEO NI LEO | HOLINI KUMEPAMBA MOTO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 273

  • @mussajangwa4878
    @mussajangwa4878 3 года назад +10

    Laaa ila hailla llaah
    Muhammad rrasuulullah
    Hivi hii pia Qasida????
    Ina tofauti gani na nyimbo za ISSA MATONA??????
    Wanzanzibar na vikundi vyenu vya taarbu kwa madai ya QASIDA muogopeni Allah!!!!!
    Subhanallaah subhanallaah
    Innaal llaah wainnaailayhi raajiuuni
    Hatari hatari sana

  • @fatumakassim716
    @fatumakassim716 4 года назад +4

    Mashallah mashallah qaswida zenu zote mzuri wallah

  • @baluwaabbas7276
    @baluwaabbas7276 2 года назад +1

    From Zambia we endorse !!! Qaswida very NICE NICE Subhanallah

  • @roseerouse5962
    @roseerouse5962 3 года назад +6

    mashaAllah... from jakarta indonesia....

  • @fatmasheeali3949
    @fatmasheeali3949 2 года назад +6

    Muogopeni Allah wanawake hawafai kuchanganyika na wanaume tena wamejipamba kweli mbele ya wanaume inna lilahi wa inna ilaiyho rajiuun

  • @fridaall7994
    @fridaall7994 3 года назад +4

    Dunia ya mwisho
    Watu wanaedelea kurudi kwa mola wao
    Lakini wao wanazidi kuharibika
    Allah akuhidini In Shaa Allah

  • @NakazibaJanat-bk4dz
    @NakazibaJanat-bk4dz Год назад +1

    Janat from Uganda mashalaah

  • @Fatuma-jo2jw
    @Fatuma-jo2jw 11 месяцев назад +1

    Manshallh Allah awajalie insha'Allah 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 3 года назад +1

    Maa shaa Allah biidhnillah harusi ya mwanangu nitakukodini kuifanya znz in shaa Allah

  • @fatmahamisi7369
    @fatmahamisi7369 4 года назад +7

    Subhanallah mtihani huu Allah atunusur na vizazi vyetu

    • @zuwenahamad6178
      @zuwenahamad6178 4 года назад +1

      Aamin

    • @fatmahamisi7369
      @fatmahamisi7369 4 года назад

      @@ishadulla4525 kuangalia ndio kujifunza kuwa hichi ni sawa na sio sawa na nisinge angalia nisinge jifunza au nisingejua kosa liko wapi.

    • @aminacharo412
      @aminacharo412 4 года назад

      Allah atuswamehe 😭😭

  • @hamadsaid1259
    @hamadsaid1259 3 года назад +1

    Ilaaa sio mabyaaa Allah wazidishe in shaa Alla,,

  • @halimaabdillah6897
    @halimaabdillah6897 3 года назад +7

    Macha Allah vous êtes géniaux haroussi ndjema inchallah belles voix naturelles magnifiques

  • @husnaally9391
    @husnaally9391 4 года назад +3

    Ma shall ah,,,,qaswida nzuri😘😘😘

  • @khadijamohamedi1228
    @khadijamohamedi1228 4 года назад +24

    INNA LILAH WA INA ILAIH RAJUN msiba huu ummat Mohammad SAW

  • @rehemashaibu7635
    @rehemashaibu7635 3 года назад +1

    Jaman hii niqaswida au nitaarabu ya marehemu mzee issa matona mnatupeleka wapiiii

  • @halimafazeli52
    @halimafazeli52 3 года назад +3

    Manshallah nawapenda bule nitawaita kwaharusi yangu😍😍

  • @اديدجاميريمانا
    @اديدجاميريمانا 4 года назад +3

    Mashaa Allah 🥰🥰kabis sihiyana Allah atuwezshe pia

  • @AshahAhmeddy-pj6sp
    @AshahAhmeddy-pj6sp Год назад +2

    mashaAllah 👌👌👌👌

  • @rahakesho5550
    @rahakesho5550 3 года назад +1

    Hakuna tofauti na taarabu mnazidi kupotosha kwa kuandika qaswida mngeandika Newtaarabqaswida . Na ndo nyie mnawapa wapinga maulidi kupinga kutokana na huu mtindo mnaokwenda nao . Acheni hayo mambo mnapotosha fuatieni yale aliyoamrisha M mungu na mtume wetu Muhammad S. A. W. Kwa hilo ni msiba kwa kweli .

  • @amingsutarno6977
    @amingsutarno6977 3 года назад +2

    Masya Allah saya di INDONESIA hadir

  • @aishaabdulmujib7027
    @aishaabdulmujib7027 3 года назад +25

    Mnacheza mabanati na ma shabaab wanaimba wimbo... Kama si haramu ni nini? Allah atuongoze.

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 4 года назад +1

    Jamani mm nimecheka kwa maneno yenu mashaa Allah Qaswida nzuri sana almadrasat shahibu Allah awazidishiye vipaji

  • @madamzuukhan6445
    @madamzuukhan6445 3 года назад +1

    A alleykumu warahmatullah wabarakatu vp khar samahani naombeni hi Qswida mnitumue mwenye nayo

  • @zainahsunkar3901
    @zainahsunkar3901 4 года назад +5

    Mashaallah so nice maneno kuntu na yachangamsha .

    • @zulfasalim8770
      @zulfasalim8770 4 года назад

      Watu wamuaswi mola ww wawapigia mashallaah.

    • @aminacharo412
      @aminacharo412 4 года назад

      Subhana Allah qaswida zilikua Zaman

  • @masoudrashid7165
    @masoudrashid7165 4 года назад +14

    Hii ni nyimbo jamani muogopeni Allah

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 8 месяцев назад

    Muokope mungu Wanaume na wanawake pamoja sio vizur kabis

  • @ashamwandu6572
    @ashamwandu6572 4 года назад +2

    Ndoa nifuraha ,kaaswida nzuri mashallah,Wala siyo shambi baazi yawatu mnhusuda mnawaonea wivu kuimba kaaswida Koda liko wapi? mhhh mtihani Sana.Hongereni mmesherehesha vizuri

    • @fatmasalim7132
      @fatmasalim7132 4 года назад +2

      Dhambi unaijua lakini au unasema tu! Vp mchanganyiko wa wanawake na wanaume kuimba wakicheza pamoja useme si makosa kiislamu hayo!?

    • @aminacharo412
      @aminacharo412 4 года назад

      Allah atunusuru

  • @halimaruwa199
    @halimaruwa199 3 года назад +3

    Msiba huu ,mashekhe mwasemajeeee

  • @fatmajumanne9099
    @fatmajumanne9099 4 года назад +3

    Mashallah mashallah 😘😘😘

  • @mohammadkassim9937
    @mohammadkassim9937 4 года назад +8

    Jameni hizindio qaswidaa mola atstiri

  • @hadijachakori2352
    @hadijachakori2352 4 года назад +3

    Mashallah nataman niolew Zanzibar nipate mema na dini yakutoshaa

  • @sharahbilmohamedali1146
    @sharahbilmohamedali1146 4 года назад +2

    Masha Allah sauti nzuri

  • @kadulathumani7517
    @kadulathumani7517 4 года назад +1

    Mashallah furaha mashairi maridadi

  • @P_u_p_o_s_e
    @P_u_p_o_s_e 3 года назад +2

    11:04🔥

  • @ummuabdullah7085
    @ummuabdullah7085 4 года назад +6

    Shungi wanawake tumeambiwa zishuke kifuan sasa hapo zimeishia shingon

  • @ummuabdullah7085
    @ummuabdullah7085 4 года назад +7

    Me Hata sielew jaman....wanaume wanalegeza saut,,mchanganyiko wake kwa waume siskii Hata maneno ya akhrak...kimasomaso ni taarab imekopiwa..tuandae majibu mazur kwa Allahu Rabbu izza njaa zetu tuseme nazo

  • @hafsamohd5322
    @hafsamohd5322 4 года назад +6

    Ukikaa ukickiliza hyo cqaswida ngoma tu hakuna qaswida watu wanachumia matumbo yao.

  • @ashambeyubeja4606
    @ashambeyubeja4606 3 года назад

    Jaman hawa vijana wabarikiwe

  • @nzarahamis458
    @nzarahamis458 4 года назад +6

    Masha Allah

  • @zawadsuleiman8462
    @zawadsuleiman8462 3 года назад

    Mashallah pambeee Hatar🌹🌹🌹

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 4 года назад +2

    Hakuna tafauti na taarab hapo tena afadhali taarab atleast coz tayari wao hata mavazi waisha amua bt hapo mevaaavazi zuri laheshima kisha mnaenda kuchanganyikana na wakke htari wake zawatu dada zawatu jameni

    • @fatmasalim7132
      @fatmasalim7132 4 года назад

      Tumeshasema sana hayo ila watu hawajali wanaona ni sahihi tu wanavofanya!

  • @amtafmilas3936
    @amtafmilas3936 4 года назад +3

    Very nice... Big up zanzibar qaswida😍

  • @mwajabukikko1426
    @mwajabukikko1426 3 года назад +1

    Mashalla mashallah

  • @halimayasin419
    @halimayasin419 4 года назад +3

    Mashaallah!

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 3 года назад +1

    Mashallah Allah

  • @mrjagenmuuz5704
    @mrjagenmuuz5704 4 года назад +19

    Yanı bılısı anavotupambıa mambo yanı mnajıvalısha kanzu kısıngızıo kasıda mnaona ndodını hıyo ?
    Laa yanı hapo hamna tofautı na mzee yussufu karudı mjını yanı hapo wake za watu warı wawatu mnawaangalıa uo nı uhunı tuu taftenı kazı za halalı mfanye ukoo sıo uwo mzıkı wa rusharoho

  • @inchatakassime1807
    @inchatakassime1807 4 года назад +3

    Bonne courage et bonne chanson

  • @Tinky_wiinky
    @Tinky_wiinky 3 года назад +1

    واو لابسين عماني اخوانا الزنجبارين☺️💓

  • @asiakinia9344
    @asiakinia9344 4 года назад +3

    Taarabu za Asili 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Yaani mtihani huu

  • @nassraalmass414
    @nassraalmass414 3 года назад +1

    Mashaallah 💋

  • @sahur1232
    @sahur1232 3 года назад

    Mantap sodara ku

  • @mikdadishee9034
    @mikdadishee9034 4 года назад

    Mashallah mungu awazidishie

  • @halimamohamedi4369
    @halimamohamedi4369 3 года назад

    Kaswida nzuri sana

  • @ashambeyubeja4606
    @ashambeyubeja4606 3 года назад

    Jamani nzur

  • @MariamuShabani-u9o
    @MariamuShabani-u9o 2 месяца назад

    Nawapenda

  • @aishaabdalla8891
    @aishaabdalla8891 4 года назад +3

    Mashallah nataman ni mm ndo naolewa

  • @tuubaby5896
    @tuubaby5896 4 года назад +4

    Paambeee😍😍😍😍

  • @marieassoumani5143
    @marieassoumani5143 3 года назад

    Ma challah😘😘😙

  • @mariamamohamed9170
    @mariamamohamed9170 3 года назад

    Mashaallah wana yimba vizuri

  • @muhamadsalah5936
    @muhamadsalah5936 4 года назад +14

    Jamani hya yote ni haram,wanaume katik holi na wenywe wanwke mwacheza

    • @kalssambaboo9932
      @kalssambaboo9932 4 года назад

      Nitaarabu waungane namzee yusuph

    • @nimsmsa6635
      @nimsmsa6635 3 года назад +1

      Kweli kabisa unayosema Haram holini wako wanaume na wanawake pamoja

    • @asyaamoody9423
      @asyaamoody9423 3 года назад +1

      Dhambi kwa wanaume pia Waume wao hao wanawake wako wapi kuwapa ruhusa wake zao watangamane na waume na wamejipamba harusini na kucheza mbele ya wanaume...

    • @salimkigarimbwe4911
      @salimkigarimbwe4911 3 года назад +1

      Ziitwe tu nyimbo na si qaswida.....qaswida zina maana yake na si hii

  • @yassnigunda1135
    @yassnigunda1135 3 года назад

    Ma shalal ah.

  • @JuweiriyaSalum-fy9mw
    @JuweiriyaSalum-fy9mw Год назад

    Allah awaongoze maana mnajali heha mungu hapendi huo nimziki kabisa duuuh

  • @thabitinaahmad2802
    @thabitinaahmad2802 Год назад

    Wao

  • @yassinshaban2981
    @yassinshaban2981 3 года назад

    Kazur sann

  • @ainkhalid886
    @ainkhalid886 3 года назад

    Machalla fi senegalia gharbo ifrikia

  • @muhamadsalah5936
    @muhamadsalah5936 4 года назад +11

    Mkumbukeni allah jamani so sad to se dis

    • @kalssambaboo9932
      @kalssambaboo9932 4 года назад +1

      Sikuizi hakuna kaswida nitaarabu tuuh

    • @kalssambaboo9932
      @kalssambaboo9932 4 года назад +1

      Zaman zazimbar ilikua inasifika kusoma qur ani saivi inasifika kwa ngoma

    • @ishadulla4525
      @ishadulla4525 4 года назад +2

      Hamna lolote mshaangalia mpk mwisho ndo mnajiadai fyoko fyoko pisheni uko

    • @aminacharo412
      @aminacharo412 4 года назад +1

      Nitaarab hii s qaswida

    • @aliyomar2222
      @aliyomar2222 3 года назад

      @@kalssambaboo9932 kwa hiyo ndoushamaliza kutowa nasaha zako ama?

  • @gumanda8056
    @gumanda8056 3 года назад

    MashaAllah.hongereni

  • @tundasaidy7542
    @tundasaidy7542 4 года назад +1

    Good allaaah

  • @bisadimussa9684
    @bisadimussa9684 4 года назад +4

    Mashaallah

  • @maryamsalim3233
    @maryamsalim3233 4 года назад +4

    Nyie waume mulosimama hapo huku mwaimba hakuna sunna yoyote hapo haramu tupu hata kama mumejisitiri hao kina mama madada watatu watatu mume simama

  • @kiri5807
    @kiri5807 3 года назад +1

    nimewahi kufanya mara 2 nikakodi maulidi ya wanawake naambiwi haichangamkii lakini potelea bondeni wakati nimeridhika basi .

  • @kingmuhashjr5676
    @kingmuhashjr5676 3 года назад +1

    Wangepewa na kangaa wakacheza wanaume hawaezii Kaa faraghaa na wamama karibuu

  • @sumayyahtrixah5182
    @sumayyahtrixah5182 3 года назад +1

    Maa sha Allah !!! aaaaa yani jamani ndugu mmegonga ndipoooo.....jamani ntafanya nini nijiunge na kujifunza qaweeda?

  • @ZUUTV-p9e
    @ZUUTV-p9e 2 месяца назад

    Subhanallah

  • @patrickemmanuel2512
    @patrickemmanuel2512 4 года назад +3

    Ramadhan Gigi....mashaallah

  • @generationofpeace7663
    @generationofpeace7663 3 года назад

    ni tarabu si qaswida. haramu kuchanganyika waume kwa wanawake. mmelikosea heshima vazi la kanzu na kofia

  • @zawadidamaris8662
    @zawadidamaris8662 4 года назад

    Marshall ah

  • @youngbob9761
    @youngbob9761 4 года назад +11

    apo sass sio mchezo mingoma kwenda mbele

  • @ibbu-tz
    @ibbu-tz 4 года назад +6

    Hakuna kasida siku hizi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mariyammariyam7209
    @mariyammariyam7209 4 года назад +2

    MaashALlah

  • @rossikirossiki6518
    @rossikirossiki6518 2 года назад

    Mi naona nimsomdo wa harusi siyo kaswida

  • @kondorupindo1690
    @kondorupindo1690 4 года назад +7

    Ni Yale yale Abdallah kumwita dulla,sasa taarab palepale

  • @neemagambere9987
    @neemagambere9987 4 года назад +2

    mashaallah

  • @jamesotieno963
    @jamesotieno963 3 года назад

    Jamani hii ni qaswida ama taarabu? Muogopeni Allah jamani 😭😭😭 huu msiba sasa

  • @mozanassor6037
    @mozanassor6037 4 года назад

    Hongeri wanzanzibar wenzangu jamanii ad raaa

  • @farhiyaabdi7997
    @farhiyaabdi7997 4 года назад +2

    Hiyo taarabu bwana

  • @gaudenciarminage4512
    @gaudenciarminage4512 3 года назад

    Mashaallah Mashaallah
    Naomba audio yake plz

  • @zakomone7672
    @zakomone7672 4 года назад +1

    mashaaallh

  • @abushakir4452
    @abushakir4452 4 года назад +7

    Nyiewahunituuu mwachezea dini taaarabu zenu mkilingalinisha na dini mchen allah mwamfuata mtume yupi???

    • @amasamata6710
      @amasamata6710 4 года назад

      Uhuni unaujua

    • @sabraabdilnasir8826
      @sabraabdilnasir8826 3 года назад

      Mtume aliwalingania watu kwa lugha nzuri sio maneno makali yenye matusi tujitahidi

  • @shunaside8956
    @shunaside8956 4 года назад +2

    Mashallah 😚😚😚

  • @fatimasaid4855
    @fatimasaid4855 3 года назад

    👌

  • @muniraomar3704
    @muniraomar3704 4 года назад +6

    Nice qaswida

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 4 года назад

    Qasida mzuri Ila tatiza waume waimbe ndani ya Holi na wanawake wacheza hapo ndio haramu hatari hio jamani

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 4 года назад

      @@ishadulla4525 oohk so nimeongea makosa mm ama wataka nifanyacho mm hapa tunasema hili Jambo sio halali niharamu iwe mm nafanya ama sifanyi hio sio muhimu kwako ww na mwengine Sisi nikujua halifai tuache ukiniambia hivyo nihatari itakua tena kauli kutoka Kwa muislam jina la mama etu Aisha kwahio hata tukiina watu huzini barabarani tupite tusimwambie tukiona wasilam walewa tuwawache Kwa kuakua mpka mm niwe malaika ama mtume la hashaa mm sio mtu wala malaika ni binaadam nakosea lakini Kwa kua nakosea nisiseme lile ambalo halifai huko nikuangamia haswaa sasa

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 4 года назад +1

      @@ishadulla4525 pole mama changinyikanani kunywani matembo hata baa siezi kukukatasa Ila nitasema sio halali niharamu ukitaka kufuata fuata hutaki bc Ila hupaswi kusema hivyo dada hata masheikh wale waongoza msikiti wote bunadamu wakosea ila ww hupaswi kumfuata yy fuata anayo sema Kwa mujibu wa Qur'an na hadithi

  • @maryamhamis4435
    @maryamhamis4435 3 года назад +1

    Mumepotea hiyo siyo mafundisho ya mtume MOHAMMAD

  • @pembapemba215
    @pembapemba215 4 года назад +1

    Alhabibiiii

  • @lilianwafula1690
    @lilianwafula1690 4 года назад +1

    My thumbs up🔥🔥🔥

  • @seifkumba4724
    @seifkumba4724 4 года назад +3

    Subhanaallah

  • @mungumkubwa7947
    @mungumkubwa7947 2 года назад

    🥰🤩😘

  • @RaifaAbdallah-px6yj
    @RaifaAbdallah-px6yj Год назад

    Heee

  • @teacherney6651
    @teacherney6651 4 года назад +5

    Acheni ujinga huooo wanaume wazimaa katafuteni kazi mfanyee