Anayedai kulawitiwa na RC wa zamani Simiyu afunguka , alazimika kusitisha masomo
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Mkazi wa Mwanza, Tumsime Mathias (21), anayedai kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahaya Nawanda amefunguka, ikiwa ni mwezi mmoja baada ya tukio hilo.
Amesema anapitia magumu akilazimika kuhama maeneo tofauti kwa ajili ya usalama wake.
Tumsime ameeleza hayo leo Ijumaa Julai 5, 2024 alipozungumza na waandishi wa habari namna aliyokutana na Dk Nawanda.
Amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan aingilie kati kwa kuhakikisha mtuhumiwa anafikishwa mahakamani.
Amesema amelazimika kusitisha masomo kwa muda kutokana na hali halisi iliyojitokeza, akisisitiza suala hilo lipelekwe mahakamani ili haki itendeke kama yeye ana makosa basi aadhibiwe lakini kama hana basi mtuhumiwa achukuliwe hatua za kisheria.
Endelea kufuatilia Mwananchi...
Mungu anakuona wee dada haya yote umeyakopa na utayalipa kwa riba kubwa endelea
Tamaa zako
Huna aib kusema hivo Kwaio mtu apelekwe mahkamani kisa tamaa zako
RC atajuta kudeti na Gen Zoro wa tz 🇹🇿
Mungu aliye hai ataingilia kati na atajibu na kuuweka ukweli wazi Yasirini anayajua Mungu cc hatujui
Mnataja jina la mhusika Sio vizuri😢😢
ni kesi inafahamika nchi nzima na hata mkuu wa mkoa amefukuzwa kazi na Rais Samia.
Aache usanii anatakiw akamatwe alienda kufany nin akijua ye mwanafunz au alimbakia kichochoroni Si alimfata mwenyew e kwenye gari
Usanini gani huyu Binti amebakwa ukweli na mkuu wa mkoa/RC Yahaya Nawanda na ndio maana akafukuzwa ukuu wa mkoa. watoa maoni wengi hapa inaonyesha hawajui hii habari na CCTV camera zipo na Nawanda anajaribu kumuonga mama yake na huyu binti ili wakae kimya..
Uyooo ni njaa zakee ni tapeli mkubwaaa.
Kwani mpaka leo hajafikishwa mahakamani????
Ww Dada umetumika kuchafua cv ya watu mbona ile barua yako uliokiri kutumika watu wanao na umeandika kwa mkono wako umemchafua mbunge wetu mtarajiwa sisi wana kitangali tupo pamoja na doctor na unajua sisi mpakana na msumbiji tuna uwezo wa kutengeneza nyoka, simba, fisi ,nk km sio kweli tunaona
Mnafunika nn sasa
Mmeweka picha live baada mnaficha Nini!?
Kwani kesi inaendaje maana haielweki
Yawezakua nimchongo asa mkuu wamkoa sianaulinz kwahiyo alitenda kosa Hilo akiwa wap kama ilikua faragha basi walikubaliana
Mbona mmemziba uso jamanii
Huyuu mama asikilize hivi vilio please
Muongo huyo
Mtamkumbuka magufuli
Kuna watu mnafirimbwa aisee!! Tuwe tu wakweli
Ivi uyu alilawitiwa au alibakwa
Kama kulawitiwa uenda kalitaka kenyewe iphone 15
Nafikiri ungelawitiwa wewe ndiye ungelitueleza ukweli!
😃😃😃😃
Baadhi ya wànawake ni janga la Taifa. Unatamani kumuona binadamu mwenzio anapata majanga tu!?
Ulienda kufanya nn na wewe ni mwanafunzi?...