Anayedai kulawitiwa na RC wa zamani Simiyu afunguka , alazimika kusitisha masomo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Mkazi wa Mwanza, Tumsime Mathias (21), anayedai kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahaya Nawanda amefunguka, ikiwa ni mwezi mmoja baada ya tukio hilo.
    Amesema anapitia magumu akilazimika kuhama maeneo tofauti kwa ajili ya usalama wake.
    Tumsime ameeleza hayo leo Ijumaa Julai 5, 2024 alipozungumza na waandishi wa habari namna aliyokutana na Dk Nawanda.
    Amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan aingilie kati kwa kuhakikisha mtuhumiwa anafikishwa mahakamani.
    Amesema amelazimika kusitisha masomo kwa muda kutokana na hali halisi iliyojitokeza, akisisitiza suala hilo lipelekwe mahakamani ili haki itendeke kama yeye ana makosa basi aadhibiwe lakini kama hana basi mtuhumiwa achukuliwe hatua za kisheria.
    Endelea kufuatilia Mwananchi...

Комментарии • 27

  • @lydiaoogo5847
    @lydiaoogo5847 3 месяца назад +1

    Mungu anakuona wee dada haya yote umeyakopa na utayalipa kwa riba kubwa endelea

  • @joashandhoga4019
    @joashandhoga4019 3 месяца назад +1

    Tamaa zako

  • @livingstonekabantega
    @livingstonekabantega 3 месяца назад +3

    Huna aib kusema hivo Kwaio mtu apelekwe mahkamani kisa tamaa zako

  • @user13375
    @user13375 2 месяца назад

    RC atajuta kudeti na Gen Zoro wa tz 🇹🇿

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 3 месяца назад

    Mungu aliye hai ataingilia kati na atajibu na kuuweka ukweli wazi Yasirini anayajua Mungu cc hatujui

  • @EpiphanMagande
    @EpiphanMagande 3 месяца назад +1

    Mnataja jina la mhusika Sio vizuri😢😢

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 3 месяца назад

      ni kesi inafahamika nchi nzima na hata mkuu wa mkoa amefukuzwa kazi na Rais Samia.

  • @livingstonekabantega
    @livingstonekabantega 3 месяца назад +4

    Aache usanii anatakiw akamatwe alienda kufany nin akijua ye mwanafunz au alimbakia kichochoroni Si alimfata mwenyew e kwenye gari

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 3 месяца назад

      Usanini gani huyu Binti amebakwa ukweli na mkuu wa mkoa/RC Yahaya Nawanda na ndio maana akafukuzwa ukuu wa mkoa. watoa maoni wengi hapa inaonyesha hawajui hii habari na CCTV camera zipo na Nawanda anajaribu kumuonga mama yake na huyu binti ili wakae kimya..

  • @SimbaJumanne
    @SimbaJumanne 3 месяца назад +2

    Uyooo ni njaa zakee ni tapeli mkubwaaa.

  • @FatumaSaid-t4r
    @FatumaSaid-t4r 3 месяца назад

    Kwani mpaka leo hajafikishwa mahakamani????

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 3 месяца назад +2

    Ww Dada umetumika kuchafua cv ya watu mbona ile barua yako uliokiri kutumika watu wanao na umeandika kwa mkono wako umemchafua mbunge wetu mtarajiwa sisi wana kitangali tupo pamoja na doctor na unajua sisi mpakana na msumbiji tuna uwezo wa kutengeneza nyoka, simba, fisi ,nk km sio kweli tunaona

  • @greysonmatogo4662
    @greysonmatogo4662 2 месяца назад

    Mnafunika nn sasa

  • @EllyAmanieli-z8y
    @EllyAmanieli-z8y 3 месяца назад

    Mmeweka picha live baada mnaficha Nini!?

  • @JninjaH2R
    @JninjaH2R 3 месяца назад

    Kwani kesi inaendaje maana haielweki

  • @MahingaMahinga-o8p
    @MahingaMahinga-o8p 3 месяца назад +3

    Yawezakua nimchongo asa mkuu wamkoa sianaulinz kwahiyo alitenda kosa Hilo akiwa wap kama ilikua faragha basi walikubaliana

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 3 месяца назад

    Mbona mmemziba uso jamanii

  • @tevintevin6254
    @tevintevin6254 3 месяца назад

    Huyuu mama asikilize hivi vilio please

  • @zully756
    @zully756 3 месяца назад +1

    Muongo huyo

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv 3 месяца назад +1

    Mtamkumbuka magufuli

    • @Sahlomon-jp4jr
      @Sahlomon-jp4jr 3 месяца назад

      Kuna watu mnafirimbwa aisee!! Tuwe tu wakweli

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo 3 месяца назад +2

    Ivi uyu alilawitiwa au alibakwa
    Kama kulawitiwa uenda kalitaka kenyewe iphone 15

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 3 месяца назад

    Baadhi ya wànawake ni janga la Taifa. Unatamani kumuona binadamu mwenzio anapata majanga tu!?

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 3 месяца назад +2

    Ulienda kufanya nn na wewe ni mwanafunzi?...