Njia mpya ya kutengeneza sabuni ya mche ukiwa nyumbani kwako bila kutumia mashine Wala umeme

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024

Комментарии • 40

  • @kijukigoldenproject9023
    @kijukigoldenproject9023  7 месяцев назад

    UTARATIBU
    Ukihitaji kitabu utalipia kwa namba hiyohiyo ulioiona nimeweka hapo ni
    Tigo-Pesa 0711 383 621
    jina kinganije kinganije
    Kisha baada ya kulipia utatuma majina ya muamala uliofanya kupitia Whatsapp namba hiyohiyo
    Kisha utatumiwa kitabu Cha ujasiriamali kupitia Whatsapp yako hapohapo
    BONUS utakazopatiwa Bure baada ya kupata kitabu chetu
    1. Utapatiwa Kitabu Cha ubuyu wa Zanzibar na pilipili mbalimbali kibiashara Bure,
    2. Utaunganishwa program nzima ya MJASIRIAMALI PLUS na utapata mafunzo kwa video kwa vitendo ya masomo yote Bure
    3. Kisha utaunganishwa na group la wajasiriamali wengine kwa ajili ya kuendelea na mafunzo, kuleta mrejesho wa bidhaa ulizotengeneza Kisha kama zinahitaji marekebisho utarekebishwa na mwalimu ili kutengeneza bidhaa nzuri Kisha kama utakua na maswali au changamoto au unahitaji ushauri utakua ukiuliza
    Mwalim KIJUKI.

  • @HelenaMathias-j2q
    @HelenaMathias-j2q Месяц назад

    Maji kiasi Gani mbona husemi

  • @NeemaGodson-g1d
    @NeemaGodson-g1d 15 дней назад

    Maji kiasi gan na sodium silicate kiasi gan pia griselin kiasi gan asant

  • @estherbony3251
    @estherbony3251 Месяц назад

    Vipimo vya maji na sodium slicate ujasema ni kias gan

  • @NeemaGodson-g1d
    @NeemaGodson-g1d 15 дней назад

    Napataj kitabu hicho?

  • @chaulaproduction2037
    @chaulaproduction2037 4 месяца назад

    Ahsante kwa somo zuri.

  • @NeemaGodson-g1d
    @NeemaGodson-g1d 15 дней назад

    Huwezi kumtumia Mt katabu kabisa kuliko kuingia mtandao ?

  • @ceciliamaarifa8427
    @ceciliamaarifa8427 2 месяца назад

    Hujasema unaeka maji kiasi gani kwenye caustic soda na sodium silicate kiasi gani

  • @SarahKiputo
    @SarahKiputo 4 месяца назад

    Asante sana

  • @MichaelNguma-k3p
    @MichaelNguma-k3p Месяц назад

    Mbona sodium silicate maji huja sema unaweka kiasi gani kwa Mafuta 20lt?

  • @CharlesChevar
    @CharlesChevar 2 месяца назад

    Kitabu nakipata wap

  • @ShabaniMsuguta
    @ShabaniMsuguta 5 месяцев назад

    Sodiam siliget unaweka kiasi gan

    • @kijukigoldenproject9023
      @kijukigoldenproject9023  5 месяцев назад

      Tumia kilograms 2, ukihitaji mafunzo zaidi NITAFUTE kupitia Whatsapp 0742250034

  • @doctorkaimu.
    @doctorkaimu. 5 месяцев назад

    Uzima upo?? Nasikia kuna buster kwenye kutengeneza sabuni za Miche kama vile Chokaa, soda Ash, chumvi nk. Unasemaje kuhusu hilo na unachanganya kwa vipimo gani?? Kwasababu kanuni ya sido pekee haina faida. Majibu yako ni muhimu kama hutojali. Shukrani.

    • @kijukigoldenproject9023
      @kijukigoldenproject9023  5 месяцев назад

      Safi vp hali?
      Kuna fomula hua tunatumia katika kutengeneza sabuni na kuiongeza mara dufu bila kuathiri ubora wa sabuni
      Tiwasiliane kupitia Whatsapp namba 0742250034

    • @shamsaseleman-i2e
      @shamsaseleman-i2e 2 месяца назад

      Habari nipo dar kitabu nakipataj

    • @kijukigoldenproject9023
      @kijukigoldenproject9023  2 месяца назад

      @@shamsaseleman-i2e nitafute kupitia Whatsapp namba hii nikupe maelekezo 0742250034

  • @Daud48
    @Daud48 6 месяцев назад

    Mbona mi nikitengeneza katika matumizi inawai kuisha sijui nafeli wapi nisaidie

    • @kijukigoldenproject9023
      @kijukigoldenproject9023  5 месяцев назад

      Wasiliana nasi kupitia Whatsapp namba 0711 250 034
      Ili tukusaidie sehem unapokosea

  • @monicakingu8244
    @monicakingu8244 2 месяца назад

    Naomba ya simu tafadhali

  • @monicakingu8244
    @monicakingu8244 2 месяца назад

    😢naomba kitabu Niko singida

  • @frodualdserugendo
    @frodualdserugendo 5 месяцев назад

    Naweza kupata kitabo Nicholas namuna gani

    • @kijukigoldenproject9023
      @kijukigoldenproject9023  5 месяцев назад

      UTARATIBU
      Ukihitaji kitabu utalipia kwa namba hiyohiyo ulioiona nimeweka hapo ni
      Tigo-Pesa 0711 383 621
      jina kinganije kinganije
      Kwa mawasiliano zaidi nitumie ujumbe kupitia Whatsapp namba 0742 250 034
      Kisha baada ya kulipia utatuma majina ya muamala uliofanya kupitia Whatsapp namba hiyohiyo
      Kisha utatumiwa kitabu Cha ujasiriamali kupitia Whatsapp yako hapohapo
      BONUS utakazopatiwa Bure baada ya kupata kitabu chetu
      1. Utapatiwa Kitabu Cha ubuyu wa Zanzibar na pilipili mbalimbali kibiashara Bure,
      2. Utaunganishwa program nzima ya MJASIRIAMALI PLUS na utapata mafunzo kwa video kwa vitendo ya masomo yote Bure
      3. Kisha utaunganishwa na group la wajasiriamali wengine kwa ajili ya kuendelea na mafunzo, kuleta mrejesho wa bidhaa ulizotengeneza Kisha kama zinahitaji marekebisho utarekebishwa na mwalimu ili kutengeneza bidhaa nzuri Kisha kama utakua na maswali au changamoto au unahitaji ushauri utakua ukiuliza
      Mwalim KIJUKI.

  • @GtrudaUtenga-es4pq
    @GtrudaUtenga-es4pq 7 месяцев назад

    Online bei gan

    • @kijukigoldenproject9023
      @kijukigoldenproject9023  7 месяцев назад

      Inategemeana na darasa unahitaji
      Wasiliana nasi kupitia Whatsapp namba 0742250034

  • @MariettaNyoni
    @MariettaNyoni 5 месяцев назад

    Grop lako unaunga kwa utalatibu upi

    • @kijukigoldenproject9023
      @kijukigoldenproject9023  5 месяцев назад

      Nitafute kupitia whatsapp namba hii 0742250034 au nipigie kwa namba hiyo

  • @KARIMUMANOLE
    @KARIMUMANOLE 7 месяцев назад

    Kwaiyo Iko KITABU kukipata unalipia Kwa hiyo namba Yako ya cm then unamtumia MWENYE kulipia watsup au ikoje cjaelewa vzr

    • @kijukigoldenproject9023
      @kijukigoldenproject9023  7 месяцев назад +1

      UTARATIBU
      Ukihitaji kitabu utalipia kwa namba hii ya tigo
      Tigo pesa 0711 383 621
      jina kinganije kinganije
      Kisha baada ya kulipia utatuma majina ya muamala uliofanya kupitia Whatsapp namba 0742 250 034
      Kisha utatumiwa kitabu Cha ujasiriamali kupitia Whatsapp yako hapohapo
      BONUS utakazopatiwa Bure baada ya kupata kitabu chetu
      1. Utapatiwa Kitabu Cha ubuyu wa Zanzibar na pilipili mbalimbali kibiashara Bure,
      2. Utaunganishwa program nzima ya MJASIRIAMALI PLUS na utapata mafunzo kwa video kwa vitendo ya masomo yote Bure
      3. Kisha utaunganishwa na group la wajasiriamali wengine kwa ajili ya kuendelea na mafunzo, kuleta mrejesho wa bidhaa ulizotengeneza Kisha kama zinahitaji marekebisho utarekebishwa na mwalimu ili kutengeneza bidhaa nzuri Kisha kama utakua na maswali au changamoto au unahitaji ushauri utakua ukiuliza
      Mwalim KIJUKI.

  • @OmaryMohamed-jz3qe
    @OmaryMohamed-jz3qe 4 месяца назад

    Je hayo mannish kwenye sabun unafanyaje

    • @kijukigoldenproject9023
      @kijukigoldenproject9023  2 месяца назад

      @@OmaryMohamed-jz3qe unatengeneza jina unalihitaji mwenyewe, karibu kwenye mafunzo upate Whatsapp 0742 250 034

  • @JosephAnatory
    @JosephAnatory 4 месяца назад

    Napataje namba yenu?

  • @GtrudaUtenga-es4pq
    @GtrudaUtenga-es4pq 7 месяцев назад

    Madalasa yapo

    • @kijukigoldenproject9023
      @kijukigoldenproject9023  7 месяцев назад

      Ndio Madarasa yapo kupitia Whatsapp
      Wasiliana nasi kupitia Whatsapp 0742250034