Zoravo - Nimesogea (Official Live Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 сен 2024

Комментарии • 88

  • @christopherchanceofficial
    @christopherchanceofficial 10 месяцев назад +19

    The Gospel music of East Africa is on another level let's support this amazing talent by watching and sharing this message until we reach 10 million Views in one month

  • @JOACHIMTRYPHONE
    @JOACHIMTRYPHONE 10 месяцев назад +4

    Nimefurahi Sana kupitia huu wimbo
    Na nimefurahi Sana kuona comments za ndugu zetu kutoka Kenya hii inaonesha MUNGU aliye mtakatifu anatuunganisha kupitia Kristo na kueka udhehebu,utaifa pembeni na kua katika Kristo aliye bwana na mwokozi wetu
    Hallelujah MUNGU ni mkuu

  • @merrykamugisha5126
    @merrykamugisha5126 10 месяцев назад +8

    Naomba nikusaidie wewe uliyesema hii nyimbo angapewa boazdunken ,, kwenye huduma hayo mambo hajaitendea haki God requires what he has given you that is it""ndo maana Kuna aliyepewa talanta kumi Tano na mwingine Moja,,na ndo maana Kuna mbegu zilizozaa hamsini nyingine mia nyingine elfu ,,,kwa Mungu amefanya asilimia mia kwasababu ndo alichopewa na ndo maana huu wimbo akampa yeye na Wala sio Boaz dunken ☺️☺️☺️

    • @sinaemwakililo4360
      @sinaemwakililo4360 7 месяцев назад

      Umebarikiwa mwanamke wewe Kwa ufafanuzi mzuri ulioutoa, Mungu akutunze Kwa ajili ya wengine Mama ❤️❤️

    • @winnieprice5014
      @winnieprice5014 4 месяца назад

      🔥 unusual wisdom and insight knowledge be blessed 🙌 😊

  • @rosemuhandoofficial5676
    @rosemuhandoofficial5676 10 месяцев назад +8

    Ubarikiwe mno mwana wa Mungu tunakupenda Mfanyie Baba yako kazi amekuamini

    • @taimumwasanya7708
      @taimumwasanya7708 10 месяцев назад +2

      Mungu akubariki kwa kuwasapoti waimbaji wa nyimbo za injili

  • @Malima29_10
    @Malima29_10 10 месяцев назад +4

    Pianist chukua maua yako.....🌺

  • @serahmakemba2694
    @serahmakemba2694 10 месяцев назад +4

    Amen... nyimbo nzuri mtumishi barikiwa kutoka 🇰🇪🇰🇪

  • @ceciliagervas2624
    @ceciliagervas2624 4 месяца назад +1

    Hongera Sana mtumishi wa Mungu NEEMA ya Mungu ikazid sna kwako katika kuitenda kazi yake

  • @eliathomasmarcel8719
    @eliathomasmarcel8719 10 месяцев назад +3

    KUNA NAMNA MUNGU WETU ANATUFURAHIA SANA KWA HIZI IBADA ZINAZOFANYIKA......! Mungu wetu alieinuliwaa juu sana azidi kukutunza kwa utukufu wa ufalme usioshindwa na jambo.

  • @Godfrey-yd5yq
    @Godfrey-yd5yq 10 месяцев назад +3

    Zoravo Mungu azidi kukutumia wakati wotee Uinuliwe na Mungu wa Miungu

  • @kipkiruigillie4332
    @kipkiruigillie4332 10 месяцев назад +3

    Wastahili bwana ....huu wimbo mkali sana una ufuasi huku Kenya 🇰🇪... More blessings zoravo and the entire team ❤❤

  • @monicahwarimumucheru-hakan4356
    @monicahwarimumucheru-hakan4356 10 месяцев назад +2

    Kama kunakitu hunifurahisha ni kukuta wimbo wa ibada kutoka kwa Zorazo! Nimebarikiwa kabisa

  • @hezrakisilu5822
    @hezrakisilu5822 10 месяцев назад +2

    Bwana wewe ni Mkuu😭😭 Sir Zoravo you are a gift to the world

  • @carolinemanyonge6697
    @carolinemanyonge6697 10 месяцев назад +1

    Niko chini ya mbawa zako Nimesongea 😢🙌🙌🙌😊
    Wastahili utukufu wote Bwana Yesu

  • @carolinebobo
    @carolinebobo 10 месяцев назад +1

    Yesss....asante yesu....Love from Kenya 🇰🇪

  • @BARAKAGIDEON
    @BARAKAGIDEON 10 месяцев назад +3

    NIMESOGEA🔥

  • @deborasinkala
    @deborasinkala 10 месяцев назад +1

    Nimesogea enzini pako nakuabudu wewe ni mkuu wewe ni mfalme ameen

  • @nehemiahedward
    @nehemiahedward 10 месяцев назад +1

    Hatimae wimbo wangu umeachiwa huru jaman😊 arururururu🎉🎉🎉🎉🎉

  • @spipa.tv0tz
    @spipa.tv0tz 10 месяцев назад +1

    Waoo sikujua kama huu wimbo umeibwa na wewe

  • @robertmagrethsautiyakuhani
    @robertmagrethsautiyakuhani 10 месяцев назад +1

    Hakika tungo zako zina mafuta,Yesu atukuzwe

  • @merickjk2331
    @merickjk2331 10 месяцев назад +1

    wastahili BWANA YESU 😢😢

  • @mtawalatv
    @mtawalatv 10 месяцев назад +1

    Tunaposema Duniani kama mbinguni ni pamoja na Hii stay Blessed kaka..na team nzima

  • @jeremiahmahenge9250
    @jeremiahmahenge9250 10 месяцев назад +1

    HII NI 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @EliEzekiel-wd5db
    @EliEzekiel-wd5db 10 месяцев назад +1

    Ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu...
    Hakika nimesogea enzini pa Bwana🙏🙏🙏🙏🙏

  • @avithamosi2061
    @avithamosi2061 10 месяцев назад +1

    Asante kaka Zoravo kwa utumishi huu. Tunamtukuza Mungu kwa ajili yako.

  • @manpierre571
    @manpierre571 10 месяцев назад +1

    Miaka yote nalipendaga hili song sanaaa 🔥

  • @gracekihoti5432
    @gracekihoti5432 10 месяцев назад +1

    Waaaaao am a blessed

  • @philemonmghendi
    @philemonmghendi 10 месяцев назад +3

    God is worthy of our worship, Hallelujah 🙏.

  • @DaktariHubert-zm4rs
    @DaktariHubert-zm4rs 10 месяцев назад +2

    Be blessed Brother

  • @pastorbarakangata606
    @pastorbarakangata606 10 месяцев назад +1

    utukufu wa Mungu siuoni kwenye mavazi,nywele za zoravo

  • @odhiambostephenotieno8414
    @odhiambostephenotieno8414 10 месяцев назад

    Eweeeeeeee Eeeeeeeish. This is just one great revelation. Not so many have this and this hasn't been given to you by flesh but by Ruach Hakodesh. He remains King of kings. Reigning FOREVER

  • @emausmedia1215
    @emausmedia1215 10 месяцев назад +1

    Umebarikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @stephenmalilo9833
    @stephenmalilo9833 7 месяцев назад

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @marrismutheu1226
    @marrismutheu1226 10 месяцев назад +1

    ❤❤ 🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪More blessings...Great sound❤

  • @user-ym9xw7ui5c
    @user-ym9xw7ui5c 10 месяцев назад +2

    Anointed brother

  • @amulikekennedy3550
    @amulikekennedy3550 10 месяцев назад +1

    One of my favourite...Glory to God

  • @Zaxfei
    @Zaxfei 9 месяцев назад

    The way hawa watu wa Mungu wanaimba they make me wanna to worship God this way ❤ wish one day nitafanikiwa kwenda kwenye one of concert hizi

  • @felixmwasongwe8043
    @felixmwasongwe8043 10 месяцев назад +2

    Amen

  • @BenyDaniel
    @BenyDaniel 10 месяцев назад +1

    Amen amen

  • @munyibonface166
    @munyibonface166 10 месяцев назад +2

    I'm so blessed by this❤

  • @marialeonard9143
    @marialeonard9143 10 месяцев назад +1

    God bless you

  • @miladymyla
    @miladymyla 10 месяцев назад +1

    You are a blessing to the brethren in the kingdom. Mungu azidi kukutumia 🙏🇰🇪

  • @Masterfl827
    @Masterfl827 10 месяцев назад +1

    More Grace and favours upon your life Zoravo, all the glory to God

  • @aminamkwizu1456
    @aminamkwizu1456 10 месяцев назад

    Acheni mawazo hayo boaz ni mwingne na zoravo ni mwingne

  • @ministergraciousben
    @ministergraciousben 10 месяцев назад +1

    Heaven mysteries,, 🔥🔥

  • @evakatani636
    @evakatani636 10 месяцев назад +1

    Nice song, bless up 🙏

  • @MutesiJolie-lg8zy
    @MutesiJolie-lg8zy 10 месяцев назад +1

    God bless you 🙏🙌

  • @MsetiRyoba-el3ye
    @MsetiRyoba-el3ye 7 месяцев назад

    Mungu wa sifa zetu, blessed MOG

  • @rhodahbranice3379
    @rhodahbranice3379 10 месяцев назад +1

    Alleluia 🙌🙌

  • @robertkabiru1792
    @robertkabiru1792 10 месяцев назад +1

    Niiice 🎉❤

  • @jamesshammah1454
    @jamesshammah1454 10 месяцев назад

    Utukufu kwa Mungu 🙏🙏🙏, You are a Blessing Watumishi 🇰🇪🇰🇪 Nawapenda Sana 🙏🙏🙏

  • @SAMWELMETA
    @SAMWELMETA 10 месяцев назад

    Song is PRAYER, this is a powerful prayer. GOD BLESS HIS SERVANT!!!

  • @adarieliya6671
    @adarieliya6671 10 месяцев назад +1

    Nimesogea

  • @salomeningala8352
    @salomeningala8352 10 месяцев назад

    More grace,more favour may the almighty God continue to use you for his glory... Amen

  • @scholasticajonathan2534
    @scholasticajonathan2534 10 месяцев назад

    Finally my fav is out Glory to God 🙏🏾🙏🏾🙌🏾

  • @mwlmussamussa8373
    @mwlmussamussa8373 10 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤❤

  • @rebeccamunyasia9498
    @rebeccamunyasia9498 10 месяцев назад +1

    Excellently done🙏.

  • @witneskindole9451
    @witneskindole9451 10 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Miss_Kingoinamoesha
    @Miss_Kingoinamoesha 10 месяцев назад

    I''ve reaĺly been blessed by this ministration. May God bless your ministry Zoravo🌼

  • @Zaxfei
    @Zaxfei 9 месяцев назад

    Be blessed my brother in Christ 🎉

  • @maggiefrankluck7309
    @maggiefrankluck7309 10 месяцев назад

    Wastahili 🙌🙌🙌🙌

  • @viviankuzilwa3556
    @viviankuzilwa3556 10 месяцев назад

    Ooh my ooh my absolutely beautiful and anointed song!the background vocals are insanely amazing!God bless you Min Zoravo.

  • @bisetsaprince4736
    @bisetsaprince4736 10 месяцев назад

    God bless you zoravo ❤❤❤

  • @bhokesamina1200
    @bhokesamina1200 10 месяцев назад

    This song 😩🙌

  • @emilyclemence1655
    @emilyclemence1655 10 месяцев назад

    Great song

  • @emmanuelbarnabakiula-np4ye
    @emmanuelbarnabakiula-np4ye 10 месяцев назад

    Blessed❤❤❤❤

  • @verynicemoshi9959
    @verynicemoshi9959 10 месяцев назад

    Zoravo❤❤❤

  • @princejey310
    @princejey310 10 месяцев назад

    hallelujah

  • @mercy5088
    @mercy5088 10 месяцев назад +4

    The backup is good the voices are the best but the singers seem unhappy 😢

    • @rachaelhangaila2986
      @rachaelhangaila2986 8 месяцев назад

      I wish they would back up prayerfully….He seems to be in deep worship alone…no back up😢

  • @samuelkopo254
    @samuelkopo254 10 месяцев назад +2

    Mentor

  • @rispermungure
    @rispermungure 10 месяцев назад

    🔥🔥🔥

  • @vicentpatrick558
    @vicentpatrick558 10 месяцев назад +1

    Your tone Bro 🙌🙌👊❣️🔥🔥🔥💯

  • @maggiefrankluck7309
    @maggiefrankluck7309 10 месяцев назад

    🙌🙌🙌🙌🙌

  • @mabulabaraka
    @mabulabaraka 8 месяцев назад

    More appropriate bro it's yo boy here

  • @bujikuchaztv6500
    @bujikuchaztv6500 10 месяцев назад +1

    Kila nikimsikiliza huyu jamaa namuona kama kuna aina fulani ya nyimbo zinamfaa. This hajaitendea haki hii nyimbo. Nyimbo apewe @BOAZDANKEN muone maajabu ya Mungu.

    • @benjaminiexpillor
      @benjaminiexpillor 10 месяцев назад

      🤣🤣 duh

    • @elleenmwangala3122
      @elleenmwangala3122 7 месяцев назад +1

      Kila mmoja ana upako na neema yake ndo maana Mungu ana sababu ya kumpa Kila mmoja nyimbo yake

    • @benjaminmunkondya
      @benjaminmunkondya 4 месяца назад +1

      Sio Lazima Kila Mtu Aimbe Kama Unavotaka Wewe!!.Jifunze KUPOKEA Vitu Bila Kuhukumu.Kwanza Hakuna Wimbo Ulio PERFECT.

  • @smartboyodipo3450
    @smartboyodipo3450 10 месяцев назад

    Amina 🙏

  • @ceciliagervas2624
    @ceciliagervas2624 4 месяца назад

    Amen

  • @Abednegojoe_
    @Abednegojoe_ 10 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @nyamvumerasoley
    @nyamvumerasoley 10 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤❤

  • @adarieliya6671
    @adarieliya6671 10 месяцев назад +1

    Amen