The Gospel music of East Africa is on another level let's support this amazing talent by watching and sharing this message until we reach 10 million Views in one month
Nimefurahi Sana kupitia huu wimbo Na nimefurahi Sana kuona comments za ndugu zetu kutoka Kenya hii inaonesha MUNGU aliye mtakatifu anatuunganisha kupitia Kristo na kueka udhehebu,utaifa pembeni na kua katika Kristo aliye bwana na mwokozi wetu Hallelujah MUNGU ni mkuu
Naomba nikusaidie wewe uliyesema hii nyimbo angapewa boazdunken ,, kwenye huduma hayo mambo hajaitendea haki God requires what he has given you that is it""ndo maana Kuna aliyepewa talanta kumi Tano na mwingine Moja,,na ndo maana Kuna mbegu zilizozaa hamsini nyingine mia nyingine elfu ,,,kwa Mungu amefanya asilimia mia kwasababu ndo alichopewa na ndo maana huu wimbo akampa yeye na Wala sio Boaz dunken ☺️☺️☺️
KUNA NAMNA MUNGU WETU ANATUFURAHIA SANA KWA HIZI IBADA ZINAZOFANYIKA......! Mungu wetu alieinuliwaa juu sana azidi kukutunza kwa utukufu wa ufalme usioshindwa na jambo.
Eweeeeeeee Eeeeeeeish. This is just one great revelation. Not so many have this and this hasn't been given to you by flesh but by Ruach Hakodesh. He remains King of kings. Reigning FOREVER
Kila nikimsikiliza huyu jamaa namuona kama kuna aina fulani ya nyimbo zinamfaa. This hajaitendea haki hii nyimbo. Nyimbo apewe @BOAZDANKEN muone maajabu ya Mungu.
The Gospel music of East Africa is on another level let's support this amazing talent by watching and sharing this message until we reach 10 million Views in one month
Nimefurahi Sana kupitia huu wimbo
Na nimefurahi Sana kuona comments za ndugu zetu kutoka Kenya hii inaonesha MUNGU aliye mtakatifu anatuunganisha kupitia Kristo na kueka udhehebu,utaifa pembeni na kua katika Kristo aliye bwana na mwokozi wetu
Hallelujah MUNGU ni mkuu
Naomba nikusaidie wewe uliyesema hii nyimbo angapewa boazdunken ,, kwenye huduma hayo mambo hajaitendea haki God requires what he has given you that is it""ndo maana Kuna aliyepewa talanta kumi Tano na mwingine Moja,,na ndo maana Kuna mbegu zilizozaa hamsini nyingine mia nyingine elfu ,,,kwa Mungu amefanya asilimia mia kwasababu ndo alichopewa na ndo maana huu wimbo akampa yeye na Wala sio Boaz dunken ☺️☺️☺️
Umebarikiwa mwanamke wewe Kwa ufafanuzi mzuri ulioutoa, Mungu akutunze Kwa ajili ya wengine Mama ❤️❤️
🔥 unusual wisdom and insight knowledge be blessed 🙌 😊
Ubarikiwe mno mwana wa Mungu tunakupenda Mfanyie Baba yako kazi amekuamini
Mungu akubariki kwa kuwasapoti waimbaji wa nyimbo za injili
Pianist chukua maua yako.....🌺
Amen... nyimbo nzuri mtumishi barikiwa kutoka 🇰🇪🇰🇪
Hongera Sana mtumishi wa Mungu NEEMA ya Mungu ikazid sna kwako katika kuitenda kazi yake
KUNA NAMNA MUNGU WETU ANATUFURAHIA SANA KWA HIZI IBADA ZINAZOFANYIKA......! Mungu wetu alieinuliwaa juu sana azidi kukutunza kwa utukufu wa ufalme usioshindwa na jambo.
Zoravo Mungu azidi kukutumia wakati wotee Uinuliwe na Mungu wa Miungu
Wastahili bwana ....huu wimbo mkali sana una ufuasi huku Kenya 🇰🇪... More blessings zoravo and the entire team ❤❤
Kama kunakitu hunifurahisha ni kukuta wimbo wa ibada kutoka kwa Zorazo! Nimebarikiwa kabisa
Bwana wewe ni Mkuu😭😭 Sir Zoravo you are a gift to the world
Niko chini ya mbawa zako Nimesongea 😢🙌🙌🙌😊
Wastahili utukufu wote Bwana Yesu
Yesss....asante yesu....Love from Kenya 🇰🇪
NIMESOGEA🔥
Nimesogea enzini pako nakuabudu wewe ni mkuu wewe ni mfalme ameen
Hatimae wimbo wangu umeachiwa huru jaman😊 arururururu🎉🎉🎉🎉🎉
Waoo sikujua kama huu wimbo umeibwa na wewe
Hakika tungo zako zina mafuta,Yesu atukuzwe
wastahili BWANA YESU 😢😢
Tunaposema Duniani kama mbinguni ni pamoja na Hii stay Blessed kaka..na team nzima
HII NI 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu...
Hakika nimesogea enzini pa Bwana🙏🙏🙏🙏🙏
Asante kaka Zoravo kwa utumishi huu. Tunamtukuza Mungu kwa ajili yako.
Miaka yote nalipendaga hili song sanaaa 🔥
Waaaaao am a blessed
God is worthy of our worship, Hallelujah 🙏.
Be blessed Brother
utukufu wa Mungu siuoni kwenye mavazi,nywele za zoravo
Unataka avae magunia mtumishi aw 😂
Na nyele anyoe abaki pala😂
Eweeeeeeee Eeeeeeeish. This is just one great revelation. Not so many have this and this hasn't been given to you by flesh but by Ruach Hakodesh. He remains King of kings. Reigning FOREVER
Umebarikiwa sana mtumishi wa Mungu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
❤❤ 🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪More blessings...Great sound❤
Anointed brother
One of my favourite...Glory to God
The way hawa watu wa Mungu wanaimba they make me wanna to worship God this way ❤ wish one day nitafanikiwa kwenda kwenye one of concert hizi
Amen
Amen amen
I'm so blessed by this❤
God bless you
You are a blessing to the brethren in the kingdom. Mungu azidi kukutumia 🙏🇰🇪
More Grace and favours upon your life Zoravo, all the glory to God
Acheni mawazo hayo boaz ni mwingne na zoravo ni mwingne
Heaven mysteries,, 🔥🔥
Nice song, bless up 🙏
God bless you 🙏🙌
Mungu wa sifa zetu, blessed MOG
Alleluia 🙌🙌
Niiice 🎉❤
Utukufu kwa Mungu 🙏🙏🙏, You are a Blessing Watumishi 🇰🇪🇰🇪 Nawapenda Sana 🙏🙏🙏
Song is PRAYER, this is a powerful prayer. GOD BLESS HIS SERVANT!!!
Nimesogea
More grace,more favour may the almighty God continue to use you for his glory... Amen
Finally my fav is out Glory to God 🙏🏾🙏🏾🙌🏾
❤❤❤❤❤
Excellently done🙏.
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
I''ve reaĺly been blessed by this ministration. May God bless your ministry Zoravo🌼
Be blessed my brother in Christ 🎉
Wastahili 🙌🙌🙌🙌
Ooh my ooh my absolutely beautiful and anointed song!the background vocals are insanely amazing!God bless you Min Zoravo.
God bless you zoravo ❤❤❤
This song 😩🙌
Great song
Blessed❤❤❤❤
Zoravo❤❤❤
hallelujah
The backup is good the voices are the best but the singers seem unhappy 😢
I wish they would back up prayerfully….He seems to be in deep worship alone…no back up😢
Mentor
🔥🔥🔥
Your tone Bro 🙌🙌👊❣️🔥🔥🔥💯
🙌🙌🙌🙌🙌
More appropriate bro it's yo boy here
Kila nikimsikiliza huyu jamaa namuona kama kuna aina fulani ya nyimbo zinamfaa. This hajaitendea haki hii nyimbo. Nyimbo apewe @BOAZDANKEN muone maajabu ya Mungu.
🤣🤣 duh
Kila mmoja ana upako na neema yake ndo maana Mungu ana sababu ya kumpa Kila mmoja nyimbo yake
Sio Lazima Kila Mtu Aimbe Kama Unavotaka Wewe!!.Jifunze KUPOKEA Vitu Bila Kuhukumu.Kwanza Hakuna Wimbo Ulio PERFECT.
Amina 🙏
Amen
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤
Amen