Mdundiko (with English Subtitles)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 сен 2024
  • Mzee Njimba na Mzee Kondo ni marafiki tangu utotoni, pia wanamahusiano yanatokana na ndoa ya watoto wao. Kwa bahati mbaya watoto wao walifariki na kumuacha Kondo amuangalie mjukuu wake Chumi.
    Njimba ni mtu mwenye kiburi anajulikana kwa uwezo wake wa kupiga ngoma na kuwapanga wachezaji. Pamoja na Hondomola yenye sifa mbaya inayoshawishi watu kuwa na mahusiano zaidi ya mpenzi mmoja.
    Wakati Kondo anapata umaarufu wa ngoma ya Hondomola, Njimba na rafiki zake walimfukuza Kondo na familia yake pale kijijini.
    Wakati huo Njimba akiendeleza ngoma yake, watu walianza kuathirika kwa kushiriki kwao ngoma ya Hondomola. Njimba anajaribu kuwatibu kwa tiba za jadi ambazo hata hivyo hazikusaidia.
    Itachukua muda kwa Chumi na kizazi kipya kufahamu jinsi ya babadiliko ya tamaduni yanavyoweza kutitishia maisha ya jamii yao.
    ----------------------------
    Mzee Njimba and Mzee Kondo, friends since childhood are also related through the marriage of their children. Unfortunately their children passed away leaving Kondo to look after their shared grandson Chumi.
    Njimba is an arrogant, belligerent man known for his abilities as a drummer and arranger of dances (Ngoma), including the notorious Hondomola, where multiple dance partners are encouraged.
    When Kondo object to the increasing popularity and frenzy of the alcohol fueled Hondomola, Njimba and his thugs have Kondo and family chased out of the village.
    Over time Njimba's drumming takes its' toll on the villagers, who are weakened and ailing after participating in Hondomola. Njimba's attempts to treat them with traditional cures (being the village witch doctor as well) is ineffective.
    It will take Chumi and a new generation of traditional drummers, to appreciate how corrupting the cultural values of Ngoma has threatened the survival of their community.

Комментарии • 97

  • @harithwhite929
    @harithwhite929 8 лет назад +8

    hawa TIMAMU EFFECTS picha zao zina ubora wa hali ya juu,wanachukua filamu kimataifa,sioni tofauti kubwa na zile cinema zinazo rekodiwa bollywood au hollywood,kwa mfano filamu ya Tino ya C.I.D ni yenye muonekano wa kimataifa kwa jinsi ilivo rekodiwa na camera za hawa jamaa, timamu effects.BIG UP

  • @aishamashaka7935
    @aishamashaka7935 8 лет назад +1

    waliocheza vizuri walineemekaaaa,waliocheza vibaya walipata majangaaaa...daaah nimeielewa sana hongeren sana kwa hii kitu nzuri saaana

  • @festomdalahela3380
    @festomdalahela3380 8 лет назад +1

    Nimeipenda sana hii filam sababu imeonyesha maisha yetu hali c kuiga toka mbele

  • @AfroMedic
    @AfroMedic 4 года назад +2

    Angekuwa marekani njimba angekuwa tajiri sana kwa basketball au movie

  • @stevekanemelakatembotz8829
    @stevekanemelakatembotz8829 6 лет назад +3

    Bonge moja la movies yan mshamba hawezi kuelewa😁😁hongereni washirika

  • @lamecklazaro9472
    @lamecklazaro9472 9 лет назад +1

    Kimbiji inaashiria kaole kundi lilitawanyika sasa limerudi..... kazi nzuri na ina maadili inafundisha na kuelimisha na burudani

    • @swahiliwood
      @swahiliwood  9 лет назад

      Lameck lazaro
      Asante Lameck lazaro. Nambie ngoma gani umeipenda zaidi kwenye Mdundiko ?.

  • @chormineberber594
    @chormineberber594 8 лет назад +2

    ahahahaha nimeipenda saana nimecheka sio kwa mdundiko hui amazing chezea zaramo Weee hongeren sana asil haipotei Kama hiv nje ya Tz tunainjoi kinomaa

  • @rahabumartin9877
    @rahabumartin9877 9 лет назад

    Mwisho Wa wote kila binadamu anahitaji furaha ya maisha.Wewe this movie was amazing.true life teaching and we can see how life can come into a full circle.I really enjoyed it;more so it stayed true to our traditional vintage styles.great job to the super famous acter n actress who I lov n respect their work since kitambo.big lov to this movie.

    • @swahiliwood
      @swahiliwood  9 лет назад

      Rahabu Lubala
      Tunashukuru sana Rahabu Lubala kwa kutazama. unadhani bado kuna Ngoma zinatamba kwa maisha ya sasa?.

    • @rahabumartin9877
      @rahabumartin9877 9 лет назад +1

      Ndio; kuna ngoma bado zina tamba sana na zinasikilizwa lakini kidogo sanaa;kutokana na maisha ya sasa especially vijana hatujali utamaduni wetu.hatutaki kujua lakini ukweli ngoma zetu na midundiko ni something we should keep,we should teach and should celebrate them.

  • @lamecklazaro9472
    @lamecklazaro9472 9 лет назад +2

    ngoma ilikuwa na ishara flani ya kuleta vionjo ila mimi nilipenda ujumbe halisi uliomo kwenye mchezo watu waliona kimbiji /kaole hapafai kwa mtu flani kuivuruga na wakakimbilia geza ulole lakini baadae wakajirudi na kuona ni vyema turudi tuwe pamoja KIMBIJI KWETU kaole rudini mrudishe sanaa yetu iliyovurugika.....

    • @swahiliwood
      @swahiliwood  9 лет назад +2

      Lameck lazaro Asante Lameck. Unadhani filamu za kiasili kama mdundiko zina nafasi kwenye tasnia ya filamu Tanzania ?.

  • @babiryeveronica4753
    @babiryeveronica4753 10 месяцев назад

    You reap wat you sow

  • @drtamimrs2501
    @drtamimrs2501 9 лет назад +2

    Daa nuni ana mzgo balaaaa

  • @hussenramadhani5166
    @hussenramadhani5166 5 лет назад +1

    Dha sema huyu jamaa Anatisha!kwa jinsi Tu Alivyo!

  • @harisondonald8001
    @harisondonald8001 6 лет назад +5

    hakika tunapotulia nakuangalia hadithi inavyotaka na muda wakutafakari location sahihi na wahusika sahihi kuanzia watoto wanapo chezeshwa bila kupuuzia scene zao bila kuweka ma movie ya part 1 na kuendelea au kuwaiga wanaijeria ambao filimuzao za tu shoot jioni asubuhi itoke tutapata soko kubwa duniani hadithi unapoifata bila kuruka vipengele ikajieleza ndiyo heshima ya filamu inapo patikana na sio filmu za kulia dakika tano nzima kuvuta muda

  • @aysherkabby5937
    @aysherkabby5937 9 лет назад +1

    I love Jenguwa and Swebe...nice movie, Thanks for shared

    • @swahiliwood
      @swahiliwood  9 лет назад +2

      Aysher kabby
      Asante Aysher Kabby. Unakumbuka nini ukiwaona Swebe na Jenguwa?.

    • @aysherkabby5937
      @aysherkabby5937 9 лет назад +2

      Swahiliwood Duuh!!
      nakumbuka kaole,. Jenguwa na Swebe wanaijuwa kazi yao, Hawa ni wasanii wazuri sana..Asante
      Swahiliwood.....tunangojea visa vya cheche katika next episode

    • @fredymosses8955
      @fredymosses8955 7 лет назад

      +Swahiliwood jamila na pete ya ajabu

    • @bushbenga718bush6
      @bushbenga718bush6 3 года назад

      Dokii uko na mzigo hatare

  • @abdallahmsuya2882
    @abdallahmsuya2882 9 лет назад +1

    Kazi nzuri ya fasihi!

    • @swahiliwood
      @swahiliwood  9 лет назад +1

      Abdallah Msuya Asante endelea kufatatilia filamu zetu zingine.

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje1272 6 лет назад +1

    Sio mauza uza ya bongo move

  • @alikomwakipesile1404
    @alikomwakipesile1404 5 лет назад +1

    Vizur mnajitahidi

  • @isoskycreatives
    @isoskycreatives 9 лет назад

    I Appreciate whole production

  • @khalifamziray8465
    @khalifamziray8465 9 лет назад +1

    Nimeipenda

  • @arafaomary728
    @arafaomary728 5 лет назад +1

    Nice one

  • @mohamedoman9344
    @mohamedoman9344 9 лет назад +1

    Movie ya kibongo nzuri kweli ya mafunzo kweli

  • @mzuxiz
    @mzuxiz 9 лет назад +7

    Naona production ya kwanza iloenda shule .

    • @swahiliwood
      @swahiliwood  9 лет назад +2

      Godwin Mathew Karibu twambie nini kimekufurahisha kwenye filamu hii..?

    • @mzuxiz
      @mzuxiz 9 лет назад +2

      Style ya kazi,in short;wamejaribu kwa mara ya kwanza kwa kadri ya uwezo wao wa kifasihi kubadili namna ya ku deliver tafsiri ya maudhui makuu ya kazi andishi kupitia filamu.
      Mdundiko its a film based on stage play or musical na kwa Tanzania ni first time naona.
      Mara ya kwanza kuiona ikanikumbusha Ngoswe"Mapenzi kitovu cha uzembe"looool
      au the big Kahuna 1999,the Bargain 1931,Bent 1997 etcccccccccc

    • @a3logistics14
      @a3logistics14 8 лет назад +1

      kwanza kabsa haijakopiwa hii kama movi nyingine pili ina utamadun ya zaman ,,so movies za kibongo jarbu kufkiria wenyew msikopi kabs a tungeni msiwe wavvu kufikiri nmeipenda hii saf sana

  • @innocentgilbert7195
    @innocentgilbert7195 5 лет назад

    Noma sana full kubambia..

  • @lailaomar2633
    @lailaomar2633 8 лет назад

    Daaaah filamu nzuri jmn nimeipenda sn na dokii kiboko asante sn kwa kutuwekea naomba unaelimisha sana mtuwekee best wife ya mtunis na riyama cz huku kwetu muscat tunawafatilia sn na hatuna mikanda ya kiswahili

  • @salmaobed2708
    @salmaobed2708 6 лет назад +3

    Move nzr sana,👏👏👍👍

  • @ommie_nyzer
    @ommie_nyzer 5 лет назад +2

    Nuni uwo mzigo balaa😂

  • @priskilamajengo5850
    @priskilamajengo5850 8 лет назад +2

    nice sana

  • @AndatiDickson
    @AndatiDickson 9 лет назад +1

    ahaa, ata uwe gwiji na kupata sifa dhabiti, nimeelewa kuwa ni bora kuyatilia maanani maoni ya wengine.

    • @swahiliwood
      @swahiliwood  9 лет назад +1

      Andati Nandwa Nikweli kabisa vipi kuna lipi jipya umejifunza hapo..?

  • @lovestudiotz9084
    @lovestudiotz9084 Год назад

    Hatari

  • @hakunamatata-fp8jf
    @hakunamatata-fp8jf 6 лет назад

    Amazing movie 👍👍👍👍

  • @emmanuellaizer4548
    @emmanuellaizer4548 5 лет назад +3

    kama ngoma ilikuwa tamu kwa Chumi, hata kwangu hii simulizi ni tamu;;;;~

  • @vianeytaggi2046
    @vianeytaggi2046 8 лет назад +1

    good production,good movie,kazi nzuri

  • @محمدعلي-ط6ق3ذ
    @محمدعلي-ط6ق3ذ 9 лет назад

    Nkweli iko na mafunzo tena mazuri sana

  • @lamecklazaro9472
    @lamecklazaro9472 9 лет назад +2

    Ngoma zipo ila zipo vijijini sana sio mijini kwahiyo kwa mlilolifanya mmewarudisha watu mbali kufikiria walipotoka .

  • @daimavlog
    @daimavlog 7 лет назад +4

    Movie hii siichoki

  • @josephtchafi2659
    @josephtchafi2659 7 лет назад +1

    hiyo ngoma ahiiii

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo3703 3 года назад

    Safi

  • @kimlee194
    @kimlee194 9 лет назад +1

    Ya ukweli

  • @twahabuiddy9612
    @twahabuiddy9612 5 лет назад +1

    Dokii

  • @RamaNevi-fs6zr
    @RamaNevi-fs6zr 7 месяцев назад

    Njimbwa mfisadi

  • @congoqueen5074
    @congoqueen5074 5 лет назад

    Hiii pisha Hina Manisha kukiwa mfalme mbaya watu pia wata fata vile anavyo tumika na taifa Lita hangamia

  • @evaristraphael8917
    @evaristraphael8917 5 лет назад +1

    Saf

  • @josephraphaely300
    @josephraphaely300 9 лет назад +1

    Bd cjaju ckugn ntamfta,,,,

    • @csg0405
      @csg0405 8 лет назад

      snsnsnmmmsmkiosookkkwkk IJ

  • @jahmalik2012
    @jahmalik2012 9 лет назад +4

    Hongera sana kwa mliotengeneza hii movie.nimeamka usiku ea mane hapa marekani na mawazo.movie imenifajiri.

  • @wlkms1393
    @wlkms1393 5 лет назад +2

    Mm napenda hizi muvi ziko poa Sana'a Kazi nzuri tuekee nyengine

  • @marvango
    @marvango 7 лет назад +3

    i'm using adblocker and will not see the ads. is there another way i can pay for the movies?

  • @naimalove7594
    @naimalove7594 8 лет назад +3

    naima adamu

  • @basilisashauri4937
    @basilisashauri4937 8 лет назад +6

    movie inayoelewa good kwa waigizaj wote

  • @ambrosmtupili4668
    @ambrosmtupili4668 3 года назад +2

    R.I.P Mzee Janguo

  • @pjsretrogamesmusicandwrass5795
    @pjsretrogamesmusicandwrass5795 17 дней назад

    East African movies are so underrated, beautiful cinematography from my Tanzanian people❤

  • @harithwhite929
    @harithwhite929 8 лет назад +1

    filamu ipo katika anga za kimataifa,ina kila aina ya ladha ndani yake,sitoisahau daima

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje1272 6 лет назад +1

    Kabisa unafikiri maisha halisi

  • @wlkms1393
    @wlkms1393 5 лет назад +1

    Pia napenda rangi yake

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje1272 6 лет назад +1

    Yaan mpo juu sanaa hawa ndio wasanii

  • @tundaclassic2704
    @tundaclassic2704 5 лет назад +1

    Kali 🔥🔥🔥🔥😘💯 we can

  • @MassoudKandulu-oh2uj
    @MassoudKandulu-oh2uj Год назад

    Hongeren sana kwa ujumbe mzuri

  • @sophiahassanhassan3089
    @sophiahassanhassan3089 6 лет назад +1

    yan nuni ni shida

  • @rusteausenior6391
    @rusteausenior6391 9 лет назад +1

    movie ya ukweli kabisa yn mafunzo ya nguvu,thanks alt

    • @rusteausenior6391
      @rusteausenior6391 9 лет назад

      alianza mamako unafiki ndo akakuzaa ww chusa

    • @rusteausenior6391
      @rusteausenior6391 9 лет назад

      asante bibi ya mzee kondo kumbe wajiamini kwa ushangingi......ngoja mume uolewe

  • @wambaamwambaje1272
    @wambaamwambaje1272 6 лет назад +1

    Mpo vizur sanaa

  • @hemedbakar8456
    @hemedbakar8456 8 лет назад +1

    Move mzuri sana

  • @khadijaaziza7586
    @khadijaaziza7586 6 лет назад +1

    Hili libabaa

  • @eunicenelima9485
    @eunicenelima9485 7 лет назад +1

    Haaa mzee tupatupa

  • @Pmax255
    @Pmax255 9 лет назад +1

    Tuko pamoja iko fresh👊✌️

  • @josephraphaely300
    @josephraphaely300 9 лет назад +1

    Bd cjaju ckugn ntamfta,,,,

  • @janethmgonja409
    @janethmgonja409 3 года назад

    Best movie

  • @allangodwinsalali9128
    @allangodwinsalali9128 9 лет назад

    Nimeipenda.

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 5 лет назад

    Duuuuuuuuu bimwenda huna nn

    • @swahiliwood
      @swahiliwood  5 лет назад

      Kwa filamu mpya, endelea kubofya kwenye channel yetu