Mdundiko (with English Subtitles)
HTML-код
- Опубликовано: 28 сен 2024
- Mzee Njimba na Mzee Kondo ni marafiki tangu utotoni, pia wanamahusiano yanatokana na ndoa ya watoto wao. Kwa bahati mbaya watoto wao walifariki na kumuacha Kondo amuangalie mjukuu wake Chumi.
Njimba ni mtu mwenye kiburi anajulikana kwa uwezo wake wa kupiga ngoma na kuwapanga wachezaji. Pamoja na Hondomola yenye sifa mbaya inayoshawishi watu kuwa na mahusiano zaidi ya mpenzi mmoja.
Wakati Kondo anapata umaarufu wa ngoma ya Hondomola, Njimba na rafiki zake walimfukuza Kondo na familia yake pale kijijini.
Wakati huo Njimba akiendeleza ngoma yake, watu walianza kuathirika kwa kushiriki kwao ngoma ya Hondomola. Njimba anajaribu kuwatibu kwa tiba za jadi ambazo hata hivyo hazikusaidia.
Itachukua muda kwa Chumi na kizazi kipya kufahamu jinsi ya babadiliko ya tamaduni yanavyoweza kutitishia maisha ya jamii yao.
----------------------------
Mzee Njimba and Mzee Kondo, friends since childhood are also related through the marriage of their children. Unfortunately their children passed away leaving Kondo to look after their shared grandson Chumi.
Njimba is an arrogant, belligerent man known for his abilities as a drummer and arranger of dances (Ngoma), including the notorious Hondomola, where multiple dance partners are encouraged.
When Kondo object to the increasing popularity and frenzy of the alcohol fueled Hondomola, Njimba and his thugs have Kondo and family chased out of the village.
Over time Njimba's drumming takes its' toll on the villagers, who are weakened and ailing after participating in Hondomola. Njimba's attempts to treat them with traditional cures (being the village witch doctor as well) is ineffective.
It will take Chumi and a new generation of traditional drummers, to appreciate how corrupting the cultural values of Ngoma has threatened the survival of their community.
hawa TIMAMU EFFECTS picha zao zina ubora wa hali ya juu,wanachukua filamu kimataifa,sioni tofauti kubwa na zile cinema zinazo rekodiwa bollywood au hollywood,kwa mfano filamu ya Tino ya C.I.D ni yenye muonekano wa kimataifa kwa jinsi ilivo rekodiwa na camera za hawa jamaa, timamu effects.BIG UP
sawa kabisa timamu wako vzri
waliocheza vizuri walineemekaaaa,waliocheza vibaya walipata majangaaaa...daaah nimeielewa sana hongeren sana kwa hii kitu nzuri saaana
Nimeipenda sana hii filam sababu imeonyesha maisha yetu hali c kuiga toka mbele
Angekuwa marekani njimba angekuwa tajiri sana kwa basketball au movie
Bonge moja la movies yan mshamba hawezi kuelewa😁😁hongereni washirika
Kimbiji inaashiria kaole kundi lilitawanyika sasa limerudi..... kazi nzuri na ina maadili inafundisha na kuelimisha na burudani
Lameck lazaro
Asante Lameck lazaro. Nambie ngoma gani umeipenda zaidi kwenye Mdundiko ?.
ahahahaha nimeipenda saana nimecheka sio kwa mdundiko hui amazing chezea zaramo Weee hongeren sana asil haipotei Kama hiv nje ya Tz tunainjoi kinomaa
Mwisho Wa wote kila binadamu anahitaji furaha ya maisha.Wewe this movie was amazing.true life teaching and we can see how life can come into a full circle.I really enjoyed it;more so it stayed true to our traditional vintage styles.great job to the super famous acter n actress who I lov n respect their work since kitambo.big lov to this movie.
Rahabu Lubala
Tunashukuru sana Rahabu Lubala kwa kutazama. unadhani bado kuna Ngoma zinatamba kwa maisha ya sasa?.
Ndio; kuna ngoma bado zina tamba sana na zinasikilizwa lakini kidogo sanaa;kutokana na maisha ya sasa especially vijana hatujali utamaduni wetu.hatutaki kujua lakini ukweli ngoma zetu na midundiko ni something we should keep,we should teach and should celebrate them.
ngoma ilikuwa na ishara flani ya kuleta vionjo ila mimi nilipenda ujumbe halisi uliomo kwenye mchezo watu waliona kimbiji /kaole hapafai kwa mtu flani kuivuruga na wakakimbilia geza ulole lakini baadae wakajirudi na kuona ni vyema turudi tuwe pamoja KIMBIJI KWETU kaole rudini mrudishe sanaa yetu iliyovurugika.....
Lameck lazaro Asante Lameck. Unadhani filamu za kiasili kama mdundiko zina nafasi kwenye tasnia ya filamu Tanzania ?.
You reap wat you sow
Daa nuni ana mzgo balaaaa
Dha sema huyu jamaa Anatisha!kwa jinsi Tu Alivyo!
hakika tunapotulia nakuangalia hadithi inavyotaka na muda wakutafakari location sahihi na wahusika sahihi kuanzia watoto wanapo chezeshwa bila kupuuzia scene zao bila kuweka ma movie ya part 1 na kuendelea au kuwaiga wanaijeria ambao filimuzao za tu shoot jioni asubuhi itoke tutapata soko kubwa duniani hadithi unapoifata bila kuruka vipengele ikajieleza ndiyo heshima ya filamu inapo patikana na sio filmu za kulia dakika tano nzima kuvuta muda
I love Jenguwa and Swebe...nice movie, Thanks for shared
Aysher kabby
Asante Aysher Kabby. Unakumbuka nini ukiwaona Swebe na Jenguwa?.
Swahiliwood Duuh!!
nakumbuka kaole,. Jenguwa na Swebe wanaijuwa kazi yao, Hawa ni wasanii wazuri sana..Asante
Swahiliwood.....tunangojea visa vya cheche katika next episode
+Swahiliwood jamila na pete ya ajabu
Dokii uko na mzigo hatare
Kazi nzuri ya fasihi!
Abdallah Msuya Asante endelea kufatatilia filamu zetu zingine.
Sio mauza uza ya bongo move
Vizur mnajitahidi
I Appreciate whole production
Nimeipenda
Nice one
Movie ya kibongo nzuri kweli ya mafunzo kweli
Nuni akili ana atamoja
Naona production ya kwanza iloenda shule .
Godwin Mathew Karibu twambie nini kimekufurahisha kwenye filamu hii..?
Style ya kazi,in short;wamejaribu kwa mara ya kwanza kwa kadri ya uwezo wao wa kifasihi kubadili namna ya ku deliver tafsiri ya maudhui makuu ya kazi andishi kupitia filamu.
Mdundiko its a film based on stage play or musical na kwa Tanzania ni first time naona.
Mara ya kwanza kuiona ikanikumbusha Ngoswe"Mapenzi kitovu cha uzembe"looool
au the big Kahuna 1999,the Bargain 1931,Bent 1997 etcccccccccc
kwanza kabsa haijakopiwa hii kama movi nyingine pili ina utamadun ya zaman ,,so movies za kibongo jarbu kufkiria wenyew msikopi kabs a tungeni msiwe wavvu kufikiri nmeipenda hii saf sana
Noma sana full kubambia..
Daaaah filamu nzuri jmn nimeipenda sn na dokii kiboko asante sn kwa kutuwekea naomba unaelimisha sana mtuwekee best wife ya mtunis na riyama cz huku kwetu muscat tunawafatilia sn na hatuna mikanda ya kiswahili
Move nzr sana,👏👏👍👍
Nuni uwo mzigo balaa😂
nice sana
ahaa, ata uwe gwiji na kupata sifa dhabiti, nimeelewa kuwa ni bora kuyatilia maanani maoni ya wengine.
Andati Nandwa Nikweli kabisa vipi kuna lipi jipya umejifunza hapo..?
Hatari
Amazing movie 👍👍👍👍
kama ngoma ilikuwa tamu kwa Chumi, hata kwangu hii simulizi ni tamu;;;;~
good production,good movie,kazi nzuri
Nkweli iko na mafunzo tena mazuri sana
Mm ama ww
Ngoma zipo ila zipo vijijini sana sio mijini kwahiyo kwa mlilolifanya mmewarudisha watu mbali kufikiria walipotoka .
Movie hii siichoki
Maandazi
hiyo ngoma ahiiii
Safi
Ya ukweli
Dokii
Njimbwa mfisadi
Hiii pisha Hina Manisha kukiwa mfalme mbaya watu pia wata fata vile anavyo tumika na taifa Lita hangamia
Saf
Bd cjaju ckugn ntamfta,,,,
snsnsnmmmsmkiosookkkwkk IJ
Hongera sana kwa mliotengeneza hii movie.nimeamka usiku ea mane hapa marekani na mawazo.movie imenifajiri.
Hongera
Mm napenda hizi muvi ziko poa Sana'a Kazi nzuri tuekee nyengine
i'm using adblocker and will not see the ads. is there another way i can pay for the movies?
naima adamu
movie inayoelewa good kwa waigizaj wote
wamejua kuact
Basilisa Shauri
Haruna ishola
R.I.P Mzee Janguo
East African movies are so underrated, beautiful cinematography from my Tanzanian people❤
filamu ipo katika anga za kimataifa,ina kila aina ya ladha ndani yake,sitoisahau daima
Kabisa unafikiri maisha halisi
Pia napenda rangi yake
Yaan mpo juu sanaa hawa ndio wasanii
Kali 🔥🔥🔥🔥😘💯 we can
Hongeren sana kwa ujumbe mzuri
yan nuni ni shida
movie ya ukweli kabisa yn mafunzo ya nguvu,thanks alt
alianza mamako unafiki ndo akakuzaa ww chusa
asante bibi ya mzee kondo kumbe wajiamini kwa ushangingi......ngoja mume uolewe
Mpo vizur sanaa
Move mzuri sana
Hili libabaa
Haaa mzee tupatupa
Tuko pamoja iko fresh👊✌️
Bd cjaju ckugn ntamfta,,,,
Best movie
Nimeipenda.
Duuuuuuuuu bimwenda huna nn
Kwa filamu mpya, endelea kubofya kwenye channel yetu