Chumo (Swahili with English Subtitles) - 2011
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- SUBSCRIBE SASA: goo.gl/cR0mA
Juma ni mvuvi maskini anayependa sana kupiga hadithi. Amina ni msichana anayependa kusikiliza hadithi zake . Wanatamani wawe pamoja, lakini baba yake Amina, Ali, anataka binti yake awe na maisha mazuri. Ali anamwona Yustus, kijana tajiri, mwenye kujituma kuwa ndiye anayefaa kuwa mchumba.
Inambidi Juma atumie nyenzo zake zote kuliokoa penzi lao, lakini ni lazima ajitoe mhanga zaidi ya alivyopatana ili afanikiwe.
Imetayarishwa Tanzania na kufadhiliwa na JHU-CCP kupitia Mfuko wa Rais wa kutokomeza Malaria na USAID. Chumo inawasilisha ujumbe wa malaria wakati wa ujauzito kupitia hadithi ya kusisimua ya wapenzi wenye bahati mbaya.
-----------------------
Juma is a poor fisherman who loves telling tales. Amina is the girl who loves to hear his stories. They long to be together, but Amina's father, Ali, wants a better life for her. Ali finds this in yustus, a rich but self-serving young suitor.
Juma must put everything on the line to save their love, but he must sacrifice more than he bargained for in order to succeed.
Produced in and around Dar es Salaam by Media for Development International (Tanzania) and funded by Johns Hopkins University in association with USAID, Chumo communicates around malaria prevention through the dramatic story of star-crossed lovers.
-----------------
Swahiliwood.com ni tovuti ya video ya kwenye mtandao iliyo rasmi kwa vipindi vya kiswahili. Kuanzia documentary mpaka maigizo, ucheshi na vipindi vingine vya runinga. Tunakuletea kiwango cha juu cha ubora wa burudani za Kiswahili kutoka Afrika Mashariki kwa Afrika Mashariki.
Tanzania Bongo Filamu | Bongo Movie | Tanzania film
Keep rest in peace sharo wanao endelea kuitazama muvie hii in 2023 gonga likes hapa
Really sichoki kuitazama hii movies imebeba asili ya mwambao pia imebeba dhamira ya upendo wa kweli pia imebeba dhamira ya kujituma na kubwa zaid imebeba dhamira ya kuijali afya ya mama na mtoto hongera mh jokate mwengelo
Ni kweli na je ni unafahamu sehemu ambayo waliyoigizia ilo igizo
Rest in peace juma, your Amina is now a DC. Life goes on
😭😭
Kwanini BONGO MOVIES wengine hawajifunzi chochote kotoka kwenye hizi Movies? bado wanatutolea takataka ambazo bado wanaCopy from Nigeria. This One is among the Best
Shida ni ulimbukeni na tabia za pupa pua pamoja na tamaa ndio maana wao wanakwenda kwa upepo wakuigaiga bila kijikubali katika kuigiza katika uhalisia wao wanakwenda kwenda tu sikuizi kama wanyama wa mwituni
Kaangalie panya wa jiji bonge seties
Nakubaliana naww mkuu, sijui kwann wanakuwa hivyo
I'm from Nigeria and I love this film, nice one. I like Tanzanian films generally. It's so sad to discover that the lead role (Juma) died a year or two after this film. May his soul rest in peace.
Amen nice to know that yes he died I'm from Tanzania welcome to my country we love Nigeria
So young ...Sharo a great actor, May he rest in peace
Juma's name is Hussein Mkiety, better know as Sharo Millionea. Sadly he passed away earlier this year.
You prolly dont care at all but does anybody know of a method to log back into an Instagram account..?
I somehow lost the account password. I appreciate any assistance you can give me
Dah saiv tunatolewa utopolo tu Yani Mimi narudiaga movie za kanumba na hii tu ndo ziko zinafundisha r.i.p sharo
i'm south african learning swahili. i'm just here to understand the language better
Well done. Am Kenyan, raised abroad, parents stopped speaking swahili to me😣 but that's still no excuse...so am trying to learn it again. Looord help, am sooo bad at this.
I'm a native Serbian speaker. Also here to understand the language better.
@@juliem1674 wow I'm happy to know that me I'm from Tanzania
Filamu hii ni nzuri imevaa uhalisia wa Jina lake,Chumo;Pia inatumainisha kuwa Mpaji ni Mungu pekee,Na alilo lipanga Mungu Mwanadamu atalichelewesha tu hakika Mwisho mwema na wa Amani upo,Hongereni wote mlio husika kwa namna yoyote kufanikisha Kazi nzuri.
Any body here 2024
Amina uzungumzaj wake wa mwanzo hadi sasa ktk u DC niwa utaratibu mpk unafurah
I'm in love with the language. What a pretty language. This will be our official language when Africa becomes one united country... as it MUST!
That won't happen haha. Too many people hate each other.
Hamitic Bloodline. Unadhani kuna filamu gani nyingine imekuvutia zaidi hapa Swahiliwood ?.
Swahiliwood mbona usiwekee jada
I believe it'll happen... One day Africa will unite and use Swahili as a common language..
Rip bro sharo mpk Leo hii 2020 naitazm movie
Am from Malawi I like Tz movies you guys your are very serious to act
R .I.P sharo..hii movie Naipenda sana siku zote
movie nzuri mungu amlaze mahal pema peponi sharo
hasina salumu Asante kwa kuitizama washirikishe na ndugu na Jamaa.
+Swahiliwood mmetisha sinema nzuri sana
great Talent shown by our Bongo stars
inaelimisha na kuburudisha, hongereni nyote muliofanikisha
sema joketi ni mzur,Sana jamani toka mda tu!yani namkubali sana huyu mdada!
Mungu hawalaze wote walio tutangulia kifo ni fumbo tusi iishi kwa kuJisahau walio kufa n watu n walio baki ni watu mungu atupe mwisho mwema tusiJione we nye bahat kufika 2023 sio kwa uwezo wetu daaah sharon...😭😭 Jack simela... Mmeniliza leo..2023 5 November
Uku simba kafungwa tano..😭😭
This is the best quality of tanzanian movie i ever have seen, so big up to swahiliwood even the production was impressive... salute!
Aboo Ally Asante sana tafadhali wakaribishe ndugu na Jamaa waze kuona pia.
exactly
Aboo Ally kijjn go
The matter of Tanzanians' reputation are within the best of quality real life as drawn wisely in this Swahilimovie! Big up for both participants.
R.I.P Sharo.
Tusipoangalia 2020 tujuwane
napenda hiyi film nayi penda sana sana congruaduelation juma
Best swahili film ever
I love Swahili movies like this. Asante saana for sharing. so professionally done!
This is instantly one of my favorite films now.
Yaan story nzur sana
The first best TZ movie big up..man
Binadam wote uwa na fursa iliyo sawa ila tatizo uwa ni jinsi gani wanaweza kuzitambua nakuzifanyia kazi.
Jamani hii move wameitendea haki #AMEZING
my best movie of all time
hii filamu siyo mchezo!! hongera sana
i liked it,,,love u jocket & r.i.p sharo
move tamu sana Mungu amlaze mahala pema peponi sharo
ITS A NICE MOVIE I BELIEVE THIS WILL GO ON
Sijutii mb zangu, story nzuri quality bora kama wameshoot 2018. big ups
Safi sanaaa
move iko pow nimeipenda coz inaelimisha kwa vijAn
Hiyo ni sehemu gani waliofanyia maigizo ni mazingira mazur sana
Wilaya ya Temeke katika kijiji cha Buyuni na Puna
Nzur wamejitahd vijana wetu.
Sichoki kutizama
Very good film. Amina very prity
Rest in perfect peace Legend sharo
Iko vizuri Allah akulaze pema peponi Sharo
move nzur na ina mafunzo mazuri hongereni wote mlioshiriki move hii
Masha Allah Movie iko tamu mpaka ina kaa fupi.congrats nyote
Na zalewa Nakuru, 1949. baba yangu, Scottish pa moja na mama. Ni me rudi ku funya kazi ku jenga Barabara, Deraja. Na uwanja wa ndege. Na taka rudi haraka qua sababu na penda watu wa, Kenya, Zanzibar,Tanzania na Uganda..
Karibu Ralph Simpson. Tafadhali tembelea video zetu zingine kupta burudani zaidi na kuelimika hapahapa Swahiliwood.
nataka movies ya dume jike
Wanawake wa dizaini hii walishakufa Vita vya Kwanza vya dunia wamebaki pasua vichwa mkwanja mbele
Yaan hii movie ipo vzur video imetulia kama vile ya sass...mlela u got new fancy
movie nzuri kweli, sauti, camera kila ki2 mumepatia -rip sharo
RIP, Sharo. :(
Such a beautiful film. How aesthetically appealing! Well done. :)
Thank you.
Beach is called Mbuyuni. South of Dar es Salaam and Kimbiji.
Swahiliwood
R I P Sharo
Aisee kumbe
I like this movies
Amina Amina Amina
jameni nimeipenda bure asanteni
Napenda sana kabisa
Rest In Peace Sharo....you were talented brow....
movie nzuri lakini fubi sana mngeongeza part two plz
very touching,inspiring n loving short film.i like the idea cz tz very powerfull.
Asante sana Ouma Michael. Tafadhali endelea kufuatilia video zingine hapahapa Swahiliwood.
Pumzika kwaamani sharo
Rip sharo unapendeza ukiwa serios 2022 am watching
R. I. P 😭 😭 😭 😭 juma
Kizuri hakidumu
Its. A nice movie
Nice movie and rest in peace Sharo
R.I.p @Sharo umetuachia ukumbusho wako usio tuchokesha kuutazama the great est movie I like it at all
Haina paty 2
Move nzur sana na inamafunzo sana
Movies safii shukran wausika
Hongera sana juma aka sharo kwakaz nzur nimefarijika kidogo nilihis bongo hamna kitu kumbe mnajuaga eeeee
Duuuuuuu movie nzuri sana
Naipenda kwer hii muvi
I can't stop to watch this movie because educate the society but movie of now drama of love 😏
Good movie.. R. I. P sharo🙏
Named nua mikono juu kwa movie hii nimetizama 2022 I like it so Mach
Mungu akulaze mahala pema Sharon millionaire
For sure movie nzur sana au mnasemaj wadau
Raphael Ackim Asante sana tafadhali washirikishe ndugu na jamaa zako.
Swahiliwood n
Raph콠ael Ackim
Quality movie wajin wng
Republic milioneaz ...Seraz milioneaz
waoooo zat I like women of principle
move nzuri sana
Moja ya cinema inayoipenda sana
nice movie
Rip my brother na hongeraa mueshimiwaa jokate
good job
Ok. thank u very much
Rest easy sharo millionea
jokate mwegelo 2019 love yuo
nice movie , rest in peace sharo
Rest easy 😭😭 Sharon ß
Aya maisha2 tunazariwa 2nakufa r. I.p my brother
2018 Innah lillah wainah illah rajiun,bonge la muvi uhalisia 100%
Nice
Raymond Rajabu
Uo mnanda htaree
nzuri kweli jamani
filamu nzuri japo fupi
Hiii filamu tam sana
nzuriii saaanaaa mnooo teenaa
Grt movie!!!
Nice movie I can't belive jokate is an actress
yup girl nice movies
Good move
RIP Sharo
wow
I like this movie👌👌👌
i love this movie
Who watch this :2020
wooow nzuri
anyone 2020!!!