PROFESSOR PLO LUMUMBA - "KUNA ROHO MTAKATIFU na ROHO MTAKAKITU, MAOMBI BILA KAZI ni USHIRIKINA"...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • PROFESSOR PLO LUMUMBA - "KUNA ROHO MTAKATIFU na ROHO MTAKAKITU, MAOMBI BILA KAZI ni USHIRIKINA"...
    CREDIT: VIDEO HII INAKUJIA KWA HISANI YA 'KLNT Online TV'
    Mwanasheria nguli wa Kenya, Profesa Patrick Lumumba amehutubia vijana wa Kitanzania ambapo ameeleza mambo mengi...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 92

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +4

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 11 месяцев назад +1

    Professor Lumumba ni Zaidi ya wengine Nakukubali zaidi ya Zaidi wewe ni Bora Bora Bora mno wewe ni Mhimili wa Africa..watakaoshindwa kukuelewa tuwazike hawana Faida hata tukiishi nao hawatafaa kwa lolote...❤❤❤

  • @georgekitosi1514
    @georgekitosi1514 Год назад +8

    Asante kwa kuienzi lugha safi ya kiswahili inayojitosheleza bila kuchanganya kizungu.

  • @nafutarymajogoro30
    @nafutarymajogoro30 Год назад +11

    Professor huyu huw namkubali sana kwa speech zake

  • @lulochristv
    @lulochristv Год назад +6

    I really admire the way he is delivering his messages when he takes the podium,. The way he is organizing all his speeches, I admire and deeply love this man, well knowledgeable in both theological ideologies, social, economics, historical and political things.🙌🏾.
    👏🏾.
    .
    .
    May the Lord keep him for us, Africans.

  • @kilinyonellious
    @kilinyonellious Год назад

    I really admire how Plo has content in his speech,,, congrats man of wisdom 💪

  • @patrickbatenga2645
    @patrickbatenga2645 Год назад +12

    Asante Sana Professor, umeongea Kiswahili kizuri Sana kuliko waswahili

  • @t.kolwali1807
    @t.kolwali1807 Год назад

    Waaa! PLO umegonga ndipo. Umezungumza Kiwahili safi sana kweli. Sisi wakenya tunakupenda sana.

  • @chrispuspaul5682
    @chrispuspaul5682 Год назад +10

    professor is eloquent in both english and swahili. wakenya hua hatumpi heshma anazo stahiki

  • @alwaynsmutwiri
    @alwaynsmutwiri Год назад

    Professor lumumba is an African hello.

  • @magidachimija5599
    @magidachimija5599 Год назад +3

    Bora bandari tumpe huyu prof❤

  • @YonaLembaka
    @YonaLembaka Год назад

    Thank you for your intellectual

  • @amosbusingyewarugaba2550
    @amosbusingyewarugaba2550 Год назад +1

    Profesa huyu ananivutia kila mala ninapomsikiliza...Mungu ampe maisha marefu

  • @azizabuyonde8368
    @azizabuyonde8368 Год назад

    Jambo mtumishi wa Mungu, nashukuru, kuona unaongeya kiswahili safi, maana kila nikikufatiliya, naona kingereza sana, uwe natuchangiya kiswahili kwa hutuba zote popote unapo hutubu, ili wa Africa wengi tuwe na changiya na wengine wana kiswahili. Asante

  • @isayarozeck7512
    @isayarozeck7512 Год назад +3

    This is Real meaning Of Professor, More Appriciate PLO,

  • @kichenjekichenje2072
    @kichenjekichenje2072 Год назад +2

    Mungu akupe umri mrefu Prof.Lumumba.

  • @SHUMBUSHORAURIEN-qc6ks
    @SHUMBUSHORAURIEN-qc6ks Год назад

    Asante mwalimu nakutakiya maisha malefu

  • @CyprianMwidunda
    @CyprianMwidunda Год назад

    Da kipawa Cha pekee ,barikiwa

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Год назад +1

    Mungu akubariki sana

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya7919 Год назад +1

    Hongera sana profesa kwa speech inayoeleweka sana na elimu ya kutosha

  • @DerickNdonge
    @DerickNdonge Год назад

    Proffessor wewe ni kichwa pia kwa Africa...Mungu akutunze.

  • @efraimumwakibibi4303
    @efraimumwakibibi4303 Год назад

    MUNGU akubariki limumba, MUNGU ibariki Tanzania

  • @EliahParpulisEvalyneMkulati
    @EliahParpulisEvalyneMkulati Год назад +1

    Son of Africa - Proud and love your work PLO-Lumumba.

  • @chivatsitsory3399
    @chivatsitsory3399 Год назад

    Long live our African leader

  • @thomasbukira9350
    @thomasbukira9350 Год назад

    Huyu ni Prof kweli

  • @zakariapaulowiliamuwiliamu1840
    @zakariapaulowiliamuwiliamu1840 Год назад +2

    Ningependa sana awe anaongea kiswahili katika hotuba zake zote inapendeza sana ataeleweka zaidi

  • @jimbipeter4520
    @jimbipeter4520 Год назад +3

    Ww ni magufuli mtupu🥰

  • @ramaboy2390
    @ramaboy2390 Год назад +1

    Atlist professor leo umeongea kiswahili nami nimekuelewa vzri

  • @kheriabdu7763
    @kheriabdu7763 Год назад +5

    We need him to be president of Zanzibar

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Год назад

    PH. LUMUMBA 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @lembrismoringelaizerlaizer8741
    @lembrismoringelaizerlaizer8741 Год назад +1

    Be more blessed

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 Год назад

    Mungu akubariki

  • @HenryAnatoly-jg3df
    @HenryAnatoly-jg3df Год назад

    Mungu ibariki Afrika, pamoja na watu wake, wabarki wazalendo wetu wt waliothubutu kuipigania Afrika yao kwa moyo wa dhati kbs. Wasamehe pia madhambi ya wapumzike kwa amani. Tusamehe waafrika wt na kulifanya bara letu kua lenye nguvu na huru ktk imani na fikra.

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 Год назад +1

    Nice work,you are a real Professor🎉🎉🎉

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi1562 Год назад

    Nakupenda xan mkuu mambo yko ni mwanga

  • @twororeturimekijambere5491
    @twororeturimekijambere5491 Год назад +2

    asanteni sana

  • @BASILHOTAY-dp1ss
    @BASILHOTAY-dp1ss Год назад +1

    Good speech

  • @abdulmajaliwa6376
    @abdulmajaliwa6376 Год назад +1

    I do admire this professor 👏👏

  • @soloartist_ivanvespalusind1609

    Ishi miaka mingi mtu Wa Mungu.

  • @shabanmakata7329
    @shabanmakata7329 Год назад

    Kiswahili saaaaaaafi sana ameongea prof utadhani ni mTZ duhh

  • @SamsonBarazingiza
    @SamsonBarazingiza Год назад +2

    Mungu mkuuu

  • @7675kio
    @7675kio Год назад

    Hotuba nzuri sana kwa kuisikiliza lakini ina mapungufu mengi kwenye utekelezaji. Kwa mfano, nani wa kulaumiwa kwa vijana wetu kukimbilia ulaya? Nani asiyependa maisha rahisi? Wanaolaumu vijana wameshindwa kutengeneza mazingira rafiki ambayo yatawawezesha vijana kujipatia mkate wao wa kila siku. Wengi wanawaambia vijana wajiajiri mbona wao hawajiajiri. Bahati nzuri nina uzoefu wa kuajiriwa na kjiajiri. Kujiajiri hasa kwenye kilimo sio rahisi kama wengo wanavyosema. Hata hivyo, mapungufu hayo hayaifanyi hutuba hiyo kuwa moja ya hotuba bora sana kutoka kwa mtu bora sana Afrika.

  • @kingnyamafutv8646
    @kingnyamafutv8646 Год назад

    Wewe mzee MUNGU akubaliki uwe na Maisha marefu

  • @bimulokagera622
    @bimulokagera622 Год назад +3

    PLO huyu anatakiwa kupewa uraia wa Tanzania na tumjengee sanamu la kumbukumbu

  • @thomasbukira9350
    @thomasbukira9350 Год назад

    namkubali saan hyu Prof,nataman apew nafas kuelimisha vijana zaid kwan ni mtu makini saan na anaongea kiswahil sanifu zaid.ana madin saan ktk bongo yake

  • @kalengashoppingcenter1108
    @kalengashoppingcenter1108 Год назад

    Tatizo viongo wa kiafrica hasa hawa wa Sasa wapo kimasrahi Yao na vizazi vyao tu,, ndo maana tunatoka kwenda ng'ambo ✋

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад +1

    Huyu ni professor wa ukweli😊

  • @KamauEdwin021
    @KamauEdwin021 Год назад +2

    Suprised he knows kiswahili🙆🏾‍♂

  • @estermgata9617
    @estermgata9617 Год назад +2

    Ni kweli waasisi wa mwanzo wa nchi za Afrika walikuwa ni vijana wenye uazalendo, uaminifu na nidhamu

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Год назад +1

    Kuna kijana yupo hapo ameshiriki kuuza bandari ameingia kwenye siasa kwa maslahi binafsi na sasa ni waziri.

  • @zakariapaulowiliamuwiliamu1840

    Mbona imeishia nusu bana dah GLOBAL TV vp tena

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Год назад

    Lumumba ongelea mkataba wa bandari wa tanzania na dubai.

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 Год назад +2

    Yuko wapi natamani nikutane naye..anipe elimu kidogo

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 11 месяцев назад

    Natafuta videos zake za kiswahili.

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 11 месяцев назад

    Natafuta videos za Kuza za kiswahili

  • @jahsuncamara-kb2ec
    @jahsuncamara-kb2ec Год назад

    Remember mooroko mole shhh secret squirrel 🐿️🐿️🐿️🐿️🐿️

  • @mussaelia8693
    @mussaelia8693 Год назад

    NaOmba kupata link ya hii ibada full

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya5665 Год назад

    😭😭😭😭😭😭daaaaaah

  • @amosafrica2350
    @amosafrica2350 Год назад +2

    Kuna vijana wenye akili za wizi humo ndani naona hawamwelewi😆😆

  • @SamsonBarazingiza
    @SamsonBarazingiza Год назад

  • @chombasimon
    @chombasimon Год назад

    Waobinafsisha bandari wanaelewa speech hii kweli?

  • @oklahommy9838
    @oklahommy9838 Год назад

    Huyu proffesor kiswahili ni hatari kiingereza ndio udiseme kabisaa

  • @jamesjahasa4726
    @jamesjahasa4726 Год назад +1

    Hawa ndio ma professor waafrika walio Bora baba anaongea kiswahili huyu hachanganyi lugha ya kikoloni

  • @DerickNdonge
    @DerickNdonge Год назад

    Huyu ni mwafrica halisi

  • @moriskalegeleshusha2619
    @moriskalegeleshusha2619 Год назад

    Bado sisi utumwa unatung'ng'ania kwa mfano ukiangalia kama mama zetu wanakimbizana na kununua nywele ili tu wafanane na wazungu

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 Год назад

    kumbe unajua kiswahili barbara

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 Год назад +1

    Anajitahd kuongea lugha mbili kww ufasaha kiswahili na English

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад +2

    Ulaya hakuna maisha kwa mwafrika😅

  • @pastorwilsonchiusa2910
    @pastorwilsonchiusa2910 Год назад +1

    MUNGU akubariki sana Professor hakika nimebarikiwa sana na mafundisho yako, Uko vizuri hata katika kufundisha Neno la MUNGU.
    Hakika wewe ni mwana Afrika mzarendo kweli kweli, na Kiswahili chako kimeokoka. Wewe ni zawadi ya Wana Afrika.

  • @RobertPaul-cg3rl
    @RobertPaul-cg3rl 3 месяца назад

    MANJALA LIBERATION OF AFRICAN ASSOCIATION LEGACY (LAAL)2024 tha are main purposes are to Advocate of human rights and their resources in TANZANIA and African in general, to emphasize the people of Tanzania and African in general to avoid any entrance of climinal,to maintain peace, unity, independence, solidarity, rights, and responsibilities in case of Economic development especially in Tanzania poorly people living standard

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Год назад

    Mwalimu angeuchanachana kwa hoja mkataba wa dhalimu wa DPW 😢..

  • @majigeedward955
    @majigeedward955 Год назад

    Huyu mzee anachokisema anajifungua upande huu na wakati huohuo anafunika upande wa pili,,tu anasema kuhusu cc vijana tumepunguza uzalendo,,noo,c kweli,,yeye aongee na siasa za Afrika na viongozi wetu na kasumba zao za ubinafc ndiO zinatufny vijana tuwe hivi,,vyama tawala vinaona wao ndio watawala milele ,,,Ihanda ni mfano hai, Rwanda pia,,mbona hazungumziagi hizi tawala zakiafrica?

  • @nelsonchristian1555
    @nelsonchristian1555 Год назад

    Phd

  • @African511
    @African511 Год назад +1

    Huyu Prof nchini kwao wanamchukulia poa poa sana,lakini nje na nchi yake ni lulu kabisa sisi tunamuona.

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Год назад

    Uyu mtu ameongea kitu ambacho mwenye kusikiza inagonga kwa moyo

  • @meshacknyandongo577
    @meshacknyandongo577 Год назад

    Maprofesa wetu wanafanya utafiti wa watu wenye nguvu na kiume na kusaini mikataba ambayo hata mwanchi wa kawaida hawezi kusaini

  • @wilfredsamson6128
    @wilfredsamson6128 Год назад +1

    Atakufa hana alichotusaidia zaid yakulipwa kwenye haya makongamano

    • @kdloon2030
      @kdloon2030 Год назад +4

      Unataka akusaidie nini kukupa kazi au kukurahishia maisha yako?Yeye anakupa muongozo,na kukufungua akili.Mengine utafanya mwenyewe coz hata mabadiliko huanza na wewe mwenyewe.

    • @BASILHOTAY-dp1ss
      @BASILHOTAY-dp1ss Год назад

      Kwani Shida Iko wapi, ww unalipwa wap

    • @oscanyakunga
      @oscanyakunga Год назад

      @😀😀😀😀😀😀😀

    • @ufanisi901
      @ufanisi901 Год назад

      Wilfred wewe ni shenzi sana. Akili yako iko wapi? Ubongo wako ni ubongolala!

  • @winterkasela9033
    @winterkasela9033 Год назад

    Fuuuu

  • @dicksonmmasy55
    @dicksonmmasy55 Год назад +2

    Kuna watu tunatamana hata huyu professor aishi.mpaka siku Afrika imwelewe