UTAPENDA ALICHOONGEA ANJELAH BAADA YA KUKABIDHIWA GARI NA ZUCHU,WASAFI MEDIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • UTAPENDA ALICHOONGEA ANJELAH BAADA YA KUKABIDHIWA GARI NA ZUCHU,WASAFI MEDIA

Комментарии • 72

  • @VictorOkemo
    @VictorOkemo 20 дней назад +16

    Zuchu you are a super Woman,,,,,Mungu akuzidishie kushinda apo,,,,,,Wivu na kinyongo kwa Konde boy

    • @Hadija-yq2zt
      @Hadija-yq2zt 20 дней назад

      Hongera sana dada zuhura mungu akuzidishie nguvu katika kazi yako🎉🎉❤❤ na ue ndelee kua na moyo huo huo nakupenda sana ❤️❤️❤️❤️ kipenz

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 20 дней назад +8

    Hongera Sana Dada Zuhura Mungu awatangulie Daima Kwa Kila jambo UTAKALO fanya liwe na Mafanikio Mazuri kwako na family yako

  • @UniqueUnikk
    @UniqueUnikk 20 дней назад +11

    Zuchu ni mwanamke na nusu. Mungu akuzidishie ulipopunguza

  • @musicschool_tz7014
    @musicschool_tz7014 20 дней назад +11

    Duh Zuchu pamoja na usanii, lakin ni mwongeaji mzuri na anahekima nyingi

  • @EvelinaAmon
    @EvelinaAmon 20 дней назад +4

    Mungu akuweke ,Mungu akupiganie ,Mungu akakuinue na ukawe kichwa katika mambo yako . Be blessed 🙌 Zuchu

  • @eddsonjeremiah6669
    @eddsonjeremiah6669 20 дней назад +9

    Wanawake wakishikana inawezekana salute zuchu

  • @SharifaHuseni-qs1me
    @SharifaHuseni-qs1me 19 дней назад +1

    Da zuuh Mungu akubarik akupe moyo huohuo akupe maisha marefu yenye furaha na aman Inshaallah ❤❤❤

  • @salamaalihemed6220
    @salamaalihemed6220 20 дней назад +1

    ❤❤❤wallh daa zuu mungu akubr hapo n pengine inshaallh

  • @AliceChilongani
    @AliceChilongani 20 дней назад +3

    Mie ni stabiki yako namba moja,naupenda sana mziki wako,mungu akubariki sana kwa utoaji

  • @KidosMussa
    @KidosMussa 20 дней назад +4

    Zuchu Mungu akuzidishie, Umefanya ubinadamu na nusu, Naomba Mumsaidie na changamoto yake ya mguu plllllllllz jama

  • @MariamuHassanali
    @MariamuHassanali 19 дней назад

    Mungu akuzidishie panapo pungua nakupenda❤❤❤❤

  • @user-xl9wc6ob4v
    @user-xl9wc6ob4v 20 дней назад +1

    Boss wake konde Kazi yake kununulia mademu tu Magari jmn zuchu mungu akubariki Sana ♥️♥️♥️♥️

  • @machozibachinge8626
    @machozibachinge8626 20 дней назад +4

    Nimejikuta nakupenda bure zuchu Mungu akulinde

  • @melangongo6490
    @melangongo6490 20 дней назад +2

    Zuchu mimi ni mu Congo Mungu akubariki nakupenda❤❤❤

  • @lydianangolo5980
    @lydianangolo5980 20 дней назад +1

    Mungu azidi kukubariki dada zuuu❤❤

  • @elizaelias5350
    @elizaelias5350 19 дней назад

    Tujifunze kujali naunapojali usimsimange uliyempa MUNGU akubark zuchu❤❤

  • @renatusamos9018
    @renatusamos9018 19 дней назад

    Zuchu kwa hili ulilo lifanya unazhihlisha kua Mungu ni mwema kila time, na kwa kitendo hiki umeongeza mashabik wengi zaid. Hongela sana🙌

  • @AnethExavery-qj6wc
    @AnethExavery-qj6wc 19 дней назад

    Mungu akubariki sana zuchu wetu kipenz

  • @SalamiMansour
    @SalamiMansour 20 дней назад +2

    Mungu akupe maisha malefu zuch

  • @wahidabakar
    @wahidabakar 19 дней назад

    zuchu mdogo wangu ilove you so much

  • @user-sb8cx1us6x
    @user-sb8cx1us6x 20 дней назад +1

    Zuchu mungu akuzidishie ❤🙏

  • @GetrudaFungo
    @GetrudaFungo 20 дней назад +2

    mungu akuongezee ulipo toa❤❤❤❤❤

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 20 дней назад

    Zuchu Mungu akubariki sn 😢😢😢😢😢😢😢 Mungu akupe maisha marefu

  • @RoseMadatta
    @RoseMadatta 20 дней назад +1

    Mugu yupo juu yako ajer ❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @SuzzyKizyalo
    @SuzzyKizyalo 20 дней назад +1

    Zuchu nizaidi nakupenda sana tena sana my dada

  • @ZaharaAbdalah
    @ZaharaAbdalah 20 дней назад

    Hongera sana zuhura mungu atakusaidia kutoa ni moyo sio utajiri una moyo wa upendo sana

  • @RoseMgogo-qr2fw
    @RoseMgogo-qr2fw 20 дней назад

    Mungu akuzidishiee maisha marefu

  • @MussaBakar-p2p
    @MussaBakar-p2p 20 дней назад +8

    Makonde alishindwa mtoto mdogo zuchi kaweza

    • @user-gc1ns3bk9f
      @user-gc1ns3bk9f 20 дней назад

      Kashindwa nn alimpa gari gari ye alimpa bhana ake ndo alikuwa natumia

    • @MdBass-lj2bu
      @MdBass-lj2bu 20 дней назад +1

      Iyo aijalishi mazali alishampa yeye angemuacha uyo mmakonde nilivyokuaga namsifia kwakweli aibu naona mm😢😢😢

    • @MassoudAlly-c9e
      @MassoudAlly-c9e 20 дней назад +2

      ​@@user-gc1ns3bk9fkwahio asaivi iyo gari aliopewa mwanzo anayo bwanaake?

    • @svt3
      @svt3 20 дней назад

      ​@@user-gc1ns3bk9f: kwani ukipatia mtu kitu ni wewe utampangia atakavyo itumia? Umpe mtu gari na umpangie nani wakuingia ndani au kuendasha na ni nani asiendeshe?🤔🤔

    • @Robinson24560
      @Robinson24560 19 дней назад

      Makonde hana hela alikua akiiga simba kusaini wasanii kazi kubwa anayo ni kujipigilia ugali maragwe na kumkula poshy

  • @BerthaDarious-x7z
    @BerthaDarious-x7z 20 дней назад +2

    Mungu akuongezee ulipo towa dada nimejikuta natokwa machozi ongera

  • @DoreenDaniel-po3rw
    @DoreenDaniel-po3rw 20 дней назад +2

    Wakati wa mungu ni wakati sahihi

  • @SalimMwajangwa
    @SalimMwajangwa 19 дней назад

    Zuchu anajua kujielezea na pia ana feelings na wanadamu wenziwe,,sio mtu wa kujinaki ama kujisifia ana mjua Allah

  • @CamweziKarrashnekov
    @CamweziKarrashnekov 20 дней назад

    Anjella aliposema Mungu akubariki Zuchu amejibu Mungu atubariki sote . Nimefurahishwa na hilo sana . Zuchu moyo wako safi kama ulivyo msafi. Endeleya kufaanikiwa daa zuhura.

  • @AnaPatricio-vm7qb
    @AnaPatricio-vm7qb 20 дней назад

    Zuchu mungu akubariki sana, usiashe kunsapot anjela 🎉

  • @MukeshimanaAbiba
    @MukeshimanaAbiba 20 дней назад

    Zuhura umeongea ukaniliza kwa maneno yako 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Ubarikiwe uendeleye nauyo moyo

  • @ThomasGabriel-x1i
    @ThomasGabriel-x1i 20 дней назад +1

    Mungu akubarikiiii sana zuchu na angela

  • @LinaRamale-ih5bz
    @LinaRamale-ih5bz 19 дней назад +1

    Zuchu kwa vitu anavyofanya kwelii nazidi kumpenda sannaaa uyu dadaa

  • @VailethHassan
    @VailethHassan 20 дней назад

    Uko vzur kpenz cjawah talajia km unamoyo wa ivo

  • @ZamyIsmaily
    @ZamyIsmaily 20 дней назад

    ubarikiwe Zuuuh

  • @CatherineMwita-c5p
    @CatherineMwita-c5p 20 дней назад

    Hongera zuu

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400 20 дней назад

    zuchu ni mwana mke na nusu na robo ❤❤❤❤

  • @Tumaini-j9i
    @Tumaini-j9i 20 дней назад

    Mungu akubariki zuhura❤❤❤❤

  • @abdallahassan6378
    @abdallahassan6378 20 дней назад

    Mungu alisema atatuinulia watu sahihi ndio km hii

  • @mariamsimba-cn1yy
    @mariamsimba-cn1yy 20 дней назад

    🙏🤲

  • @LeilaMhina-i7e
    @LeilaMhina-i7e 20 дней назад

    Allah azid kukupa ulipo pungukiw zuchu nimetokea kukupend san

  • @roidamulamata1224
    @roidamulamata1224 19 дней назад

    Nashindwa nikuzungumzie vp zuhura ila Asante saaana my dear 8:39

  • @hajially4527
    @hajially4527 19 дней назад

    Mmakonde hakushindwa ila haikua chuguo lake kumpa gari mbona kwa kajala katoa range 2

  • @AliceChilongani
    @AliceChilongani 20 дней назад +1

    Unaongea point sana

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 20 дней назад +1

    ❤Zuchu ❤❤❤❤❤❤

  • @beatboy30
    @beatboy30 19 дней назад

    Unaolewa na diamond soon tuu kwa hiki ulichofanya

  • @RoseMadatta
    @RoseMadatta 20 дней назад +1

    ❤❤❤🎉🎉🎉🎉Zuchu

  • @lovenessmallya816
    @lovenessmallya816 19 дней назад

    Uislam ndio pekee wanaojua unalozungumza

  • @melangongo6490
    @melangongo6490 20 дней назад +2

    Nathani niliye

  • @rozamarcelle1241
    @rozamarcelle1241 20 дней назад

    ❤❤❤❤🙏🙏🙏🌹🌹🌹🌹🥀🥀🥀

  • @RaphaelMisimbi
    @RaphaelMisimbi 20 дней назад

    Zuchu anamoyo wa utu nimependa Sana

  • @user-pm9gs1xb1j
    @user-pm9gs1xb1j 20 дней назад

    Mmi pek nimeliy

  • @MwanaidiHassan-t7d
    @MwanaidiHassan-t7d 20 дней назад +1

    Zuchu nimtoto wakipekee ana utu

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph9316 20 дней назад +1

    Najikuta nalia jmn

  • @user-cw6jq7cv2k
    @user-cw6jq7cv2k 20 дней назад

    Hii kumbe ni beef Kwa harmonize, just to degrade him. Zuchu belittling harmonize. Diamond is in the background supporting. Dunia na beef endless. Muwe na staghafir jamani

  • @HildaAloyce
    @HildaAloyce 20 дней назад

    Jaah bless ue zuchu

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 19 дней назад

    Kuazia leo mimi nishabiki yako.

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 20 дней назад

    Gari imetoka kwa mondi zuchu daraja😂 ila sio mbaya ongeleni

    • @MussaBakar-p2p
      @MussaBakar-p2p 19 дней назад

      @@issazalala4907 makonde kununua mademu tu

  • @assaneselemane122
    @assaneselemane122 14 дней назад

    wewe Konde Boy fala tu mt oto wakike kaweza zuchu

  • @SalamaMusayi
    @SalamaMusayi 20 дней назад

    Dja mani ata kama niwewe laeima uliye machozi ya furaha zuchu wewe nimwana mke aliye kamilika uendeleye usichoke mana kuna watu wana piya matitizo makubwa watu kama gnigni muna wapa moyo kamwe huwezi shuka chini tuta Ku onpeya upandeju sana ili n'a Sisi tu onekane

  • @bahatimanyilizu8213
    @bahatimanyilizu8213 20 дней назад

    Muuh! Isiwe kafara ,ubarikiwe zuchu