JAMBO NA VIJAMBO : SAMBUSA ZA NYAMA ZAMPONZA CHAUROHO
HTML-код
- Опубликовано: 5 май 2021
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Развлечения
Huyo dada kama maisha yake ya kawaida yuko hivo basi mmewe kaokota dhahabu
Naomba Tano tu inatosha
Ubwabwa Mafuta, Jiko Mafuta, Achubui Mafuta Bachi Chiku Nzima Unajichikia Ufutaufuta Tu😂😂😂😂😂😂
hatar
😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
😅😅😅
😂😂😂😂
Chauloo huwa ananikosha sana 😂😂😂😂🇹🇿🌎 tz to the world
Wanaifurahisha sana hawa hasa kazoa itz xo funny this guys 😂🤣😂
My favorite comedy Jambo am all the way from Zambia 🇿🇲🇿🇲
Huyu ni fundi sanaa😂😂😂😂🔥
nataka like mm Leo....🥰
Huyu jamaa siku akiigiza na mkojani wataua watu😅😂
waigize tu😄😄😄
Itapendeza Sana au maneno kumi
Hapanaaa... Hapanaaaaa
@@ahmedysaady2545 😆😆😆😆😆🙌
Itakuwa hatar
Aisee huyu jamaa huwa anifurahishaa Sana 😄😄😄😄😄😄😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😄😄😄😄😄My best comedian to me JAMBO NA VIJAMBO🔥🔥🔥
Hahaaa chambucha moja elfu mbilii 😂😁😁 chukuwa bajajii au kerii
Nawakubali wanangu wa faida no stress
Leo wakwanza naombeni like chap
Hahaha yanii huu jamaa sjamaliza kumuangali kashanikataa mbavuu zanguu nomaa sanaa
Wali mafuta, Mboga Mafuta, Jiko Mafuta basi ukila mtu unajisikia kifutafuta tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimeipenda hiyo
Ukienda haja mlio ule ule 😄😄😄
Sema kazoa unazingua sambusa kama tofal
Eti nimeoa tu nifanyeje😂😂😂😂😂😂😂😂kha
Sio poah
I like it
MKE MWENYEW NIMEOA TU NIFENYEJEEE😆😆
Mnachelewa Sana Kumuweka Uncle Kazoa!!
Leo chaurohoo anaitiwa ubwabwa anakataa😂😂😂
Recho
Mmetisha
Nilichojifunza mke imekupasa kumuelewa mme wako katika yote
Haha😄🤣 mambo ya masaki usiniletee mimi🤣
Noma
Tulia like kwanza ndio tuwende sawa
Hyu mwamba kwa kupenda msos
Best
Nimefurah sana mnaweza
Huyu jamaa anajua sana🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 dah yani akiwa nje ya scene bonge ya gentleman 😂😂😂😂😂 dah
Dah bora mmewarudisha hawa wakali sana😂🤣🤣
From Mozambique🇲🇿 kkkkkkkkkk I like Jambo na vijambo
Welcom tz
Peleka chalamu gonga like
Peleka chalamuuu!,,,kazoa kiboko😂
Huyu jamaa namkubali sana
Chambusa gani 😂😂😂😂
Kazoa🙌
Good
Atar sana
😆😆😆😆😆😆😆😆...Hawa Jamaa Nouma Saaana ... Promotion Tu Ya Show Yao Ndio Ndogo
Kabsa
kbsa
hhhhh
Leo umengia chakike babameremende
😂😂😂dah yaani wew fala kbs
Huyo mama mzuri
Chauloho Uwa aninichekesha
Noma sana
Kata iyo chambuchaa toa hizo nyama weka kwenye ubwabwa tule wali nyama🤣🤣🤣🤣🤣
Naombeni like na mm nione zinakuwaje
n͟i͟c͟e͟e͟e͟
👏👏😁
Together
🔥🔥🔥
Good good 👍
Nyie jamaaa ni noumaaa, mnajua saaanaaa😄😄😄
Nawakubal very talent
Wewe njiwaa peleka chalamuuu😁
Hamkoseag kabsa watu wang wa nguvu.
Uchiku ubwabwa Nchana ubwabwa 😂
Chambucha elf 2 🤣
Mnajua sana
7:14 Eti kwa mama Jenifer Lopez 🤣🤣🤣
Kazoa na suti yake jmn😂😂😂😂
0654451791 nichek humu mama
Fungua milango yoye ya hapi
Sambusa za Ajabu😂 Gari ya mzigo iko wapi?
Hata mm sitoi sambusa elf2
Nani kagundua cha uroho kafunga
Ee ase🤣🤣🤣
kabisaaa
Chauroho
😁😁😁😁Ewe Njiwa Like Yangu 5Tu
Sambosa km tofali kwan uko peponi
Njoo bhachi
Peleka Chalamu
Chalabu zilikuwa chamani🤣🤣🤣🤣🇰🇪🇰🇪chauloo ww nawe
Tishaaaaaaa etiiiiiii
Daa@
💥💥💥
Jiwa kama njiwa😂😂😂😂😂
Pindi langu la dunia
Wali mafuta mchuzi mafuta jiko mafuta🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Twende tukachue mnjigo 😂😂😂
Hata mm iyo Chambucha nisinge toa Buku 2
Gari umeweka wapi...LA mzigo!!
Hahahahahahaha!
Kaka nakukubali sanaaaa hasa kwenye lile tangazo kwamba lete tena, lete tena, lete tena!!!! Hhahahahahahahaha
😅😅😅😅👍Eti ukienda Haja mlio uleule
🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha huwa mnanfurahshaga xanaaaa
Duuuuh😃😃😃😃😄
Nimecheka aisee sambusa ziletwe na bajaj
😁😁😁😁😁😁😀😀😀
😂😂😂😂😂😂😂😂 eti mskie uyu sambusa 2000
😂et kata sambusa tupate wali nyama dah
leo zamu yangu like
2:30 😁😁😁😁
Misambusa ya ajaaaab😃😃😃😃😃😃
Kucheka lazima
Chambucha za 8000,, Chukua bajaji au keli mchigo mkubwa huo utaumia kifua.
Aya chawa😂😂😂😂😂😂
Cha urohoo 🤣🤣
Hawa jamaa ni wabobezi walio na hadhi kubwa katika sanaa...Unaelimika , Burudika na Kuchangamka Kwa namna wanavyoweza
Waombaji wa like wananufaika vp?
Wanaendekeza UTOTO hao achana nao.
Kuna app ya kubadilisha likes kuwa hela ukiwa na zaidi ya mia unapewa buku.
@@kinyamal8201 mmmh 🙄
Hata mimi siwaelewagi
@@kinyamal8201Mmmmmh..........!!!!!!!🤔🤔🤔
Ndonanikienda kazini nakuwa mchembe
Ila😂
Jamaaa anjua paka bc