JE UNAZIJUA NGUZO TANO ZA UISLAM?
HTML-код
- Опубликовано: 18 ноя 2020
- Hiki ni kipindi Maalum kinachowajia kutoka Kishk Tv , lengo na makusudio ya kipindi hiki ni kuwakumbusha Waislam juu ya Dini yao, kupitia maswali mbalimbali yatakayokuwa yakiulizwa na mtangazaji wetu, na watakaojibu kiufasaha watapata zawadi. Ni zawadi gani endelea kufatilia kipindi hiki uwe miongoni mwa watakaopata zawadi, tunaomba msambaze ujumbe huu kwa wingi na Allah atawalipeni InshaAllah.
Mashallah mashallah nimejifunza alhamdulillah
Mashanllah yaani bwana ukiisoma dini unajiamini ktk majibu yako Hadi laha
Maa shaa Allah, AAllah aidumishe kishk tv, na awalipe kila lilo na kheri masheikh wetu
Amiin
Amiin ya Rabbil Allamin
Amen yarrab 🤲
mashaAllah kihindi kizuri sana
Jamani maswali rahisi... Hela bila jasho Allah ajalie kishk TV iimarike zaidi... Kishki TV nuru ya dini yako mashaallah
Amiin
Allahumma amiyn
Masha allaah
MashAllah
Ma shaAllah
Wa alleykum salaam warahmatulah wabaraqatuu Maasha Allah kipindi cha faida kwa wengi wetu,shukraan jazzakah Allahu kheir #kishkitv barakallahu fikum
Ameen
Mashaallah tabarkaallah mafunzo mazuri sheikh Allah akuhifadhi na jamma yako
Masha Allah kipindi kizury Allah awaongoze kishki tv wazindi kutuelimisha amen
Mashallah kipindi kizuri alhamdulillah, na swala zuri ila inaonekana wengi wao sala hawaisimamishi au hawasali ndio wanaisahau nguzo ya pili
Mashallah
Mashaallah mtanga mwenzangu hujaniangisha
Napenda kupindiki hiki mashaalah Allah akuhifadhi
MashaaAllah kipindi cha maswali ni kizuri mungu awabariki wote na awape afya njema ❤
Allahumma amiyn
Mashaallah
Maashalah Allah awalipe inshaalah nilikua nami sizijui kwa uwezo wa Allah nimejidunza kupitia kipindi chenu. Allah awalipe inshaalah
Jazakallah khayran
Ustadh kijana wa mwisho ulitakiwa umuelimishe, sio kwamba hajui ila hakuzipanga kimpangilio...umekosea ustadh wangu.
Allah awalipe kila lakher masheikh wetu. Na afya njema
ما شاء الله الله ينور هذه القناة ويحفظ شيوخنا الكرام ويهد جميع الفتيان
Alhamdulillah leo wamejitahidi japo wamechanganya baadhiyao hongera kwa Babu Ila hili sual kama liendelee naamini wengi hawajui
Mashalla
Maa shaa Allah
Maa shaa Allah tabarakallah kwa huyo mzee amajibu vizuri maa shaa Allah tena kwa kiarabu
Mashallah mzeee wangu Allah atufikishe salama twendako usidharau din uendeleee
Napenda sana kipindi hiki kina idearls nzuri za kuendeleza dini
MashaAllah, mungu awazidishie kwa uhamasisho kwa waumini. Ila ingekua vizuri mtu hata akikosea swali apewe jibu mwishoni, ili apate kujua zaidi kwa manufaa yake. Asanteni sana.
Masha Allah❤❤❤
Ma Shaa Allah
Mashaallah mashekhe wetu napenda kipindi hiki
Maa shaa allah
Safi sana
Mashallah nimekipenda iki kipindi
Mashallah mashallah
Masha"Allah
Mashaallah mashaallah
MashaAllah babu 😍
Mashaa Allah
Mashaallah Mashaallah
Masha allah
Maashaallah piga kelelee kwa Tanga moja wewe tuko vizur Tanga
maashaallah maashaallah mshabiki wa simba
Ninashukuru Sana kipindi hiki kinanifundisha mengi
Huyo kijana mwenye sleeveless hujamtendea haki amepata ila hakupangilia, halafu umemuacha kaondoka kabla hujamwambia mpangilio. Suali lilikua nguzo za kiislam ni ngapi , hukusema lazima zitajwe kwa mpangilio
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yangu hapo kama hautjl
Allah awazidishie elmu yenye manufaa
Amiyn
Nguzo za uislamu ni 5 but nguzo za muislamu ni 3 shahada kuswali kufunga 😍
Na wewe acha kukoroga watu.Nguzo za uislam ndizo za mwislamu.
@@abuyunusmohamed6961 wajib si 3 shahada kuswali kufunga hizo zengine mpka mwenye uwezo
@@rehemasalim4590 usiseme ni tatu wajibu zote ni wajibu.zimewekwa hizo mbili maana yake uazimie kuzitekeleza utakapokuwa na uwezo au kuwezeshwa na mwenye uwezo
Asalam aleykum warramathullah wabarakathu
Wa alleykum salaam warahmatulah wabaraqatuu
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojl
Shahada swala zaaka swaum na hijaa kwa mwenye uwezo
Hapana mm sizijuwi
Mukirud munarud na haki za muislamu kwa muislamu mwenzie ziko 6 wazitaje nimeangalia chanel nyengine kipindi kama hichi but kuna watu awajui mke wa kwanza wa mtume swallallahu aly wasalam 😭
Shida anawaza draft
Da Allah atuongoe mana mtu muisilamu wachezaji moola awajuwa ila nguzo zake za wisilam haujui msiba mkubwa
Mngeweka japo elfu kumi,elfu tano ni ndogo sana.
Lete tuwape
@@mwanaimaabdallah7825 njoo kwangu nitakupa zaidi
Abu yunus mohamed hahahaha mm sitaki pesa bro
Inasikisha sn kijana wa kiislam ,kushinda kweny bao kisha nguzo za kiislam hujuw mpangiliyo gis zinafatana
Kapatiwa isipokuwa kakosea kutaja kwa mpangilio.Ungempa tu hiyo elfu 5 zenu za mawazo kwa maana kajitahidi sana
Acha ushamba ndungu pesa ya mawazo ww unayo wenzako wanafunza dini ww upo kinafiki2
@@iddyally7228 Rai yangu serikali isiruhusu kabisa uvutaji bangi,tutaishia kuvunjiwa heshima zetu na watoto wadogo
Ni jinsi jamii ilivyokuwa nyuma sana, Allah atuongoze, na tujitahidi kuyajuwa ya dharura katika dini yenu,
Swali la muhimu : hii zawadi inayotolewa je, ni kwa kujibu maswali au kuhimiza kuangalia tv..???
Na je, itakuwa na hukmu gani katika dini..??
Hv hk kipndi kinaruka kwa wiki mara ngapi?? Tuwekeeni na nmb ili tujue hata kama tukipitwa
Naam na mi naafiq..wakieka nambari kunakua na upatilizaji wa vipindi
Hhhhhh mshabiki wasimba umenichekesha
Ila jifunze kuujua uislam wako
Da Yani huu ni msiba jamani wa Islam tuko nyuma kidini daa tusome jamani
Bona alipa maswali
Lakini amechaganya
Mgempa tu zawadi
Masikini
Nguzo ni YESU KRISTO MUNGU MKUU
🙄🙄😳😳😳
😂😂😂😂😂
@@omarysaidy5524 😂😂😂😂Ila huyo nae
Anazinguaaa hyu yesu akawe mungu alf tena mkuu 😂😂😂😂😂
@@omarysaidy5524 😂😂😂😂😂😂😀😀😀😀😀😀Ujue Hawa ndugu zetu wanakaz Sana vip yesu akuwe mungu mkuu🙌🙌
Yakwanza nikuamini kua mungu nimmoja namtume wake muhammad S.A.W.
Yapili nikuswali
Yatatu nikufunga
Yanne nikutoa zaka
Yatano nikwenda kuhijji kwa mwenye uwezo
Sinimepata ustadhi
Haswaaaa
Nguzo ya 1 ni shahada/ nguzo ya 2 ni swala/ nguzo ya 3 ni kufunga mwezi mtukufu wa ramadhani/ nguzo ya 4 ni zaka / nguzo ya 5 ni hajji
Sahihi kabisa
mashaalah
Yani hadi raha unatembea zako unapata 5tz sakina hiz kwetu sini mia 500😝
Kabisaaa habibty bila jasho Allah amlipe sheikh wetu pamoja na wana admin wote wa kishk TV kwa kipindi hiki chema cha Maswali mtaani 🤲
@@aishakinia4957 amiin
@@rehemasalim4590 kabisa da
Mashaallah mashaallah
Mashaallah mashaallah
Maa shaa Allah
Mashaallah mashaallah
Mashaallah
Mashaallah
Mashaallah
Mashaallah