JE UNAZIJUA NGUZO TANO ZA UISLAM?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 ноя 2020
  • Hiki ni kipindi Maalum kinachowajia kutoka Kishk Tv , lengo na makusudio ya kipindi hiki ni kuwakumbusha Waislam juu ya Dini yao, kupitia maswali mbalimbali yatakayokuwa yakiulizwa na mtangazaji wetu, na watakaojibu kiufasaha watapata zawadi. Ni zawadi gani endelea kufatilia kipindi hiki uwe miongoni mwa watakaopata zawadi, tunaomba msambaze ujumbe huu kwa wingi na Allah atawalipeni InshaAllah.

Комментарии • 105

  • @hadijashaban5880
    @hadijashaban5880 Год назад

    Mashallah mashallah nimejifunza alhamdulillah

  • @najmaally7556
    @najmaally7556 2 года назад

    Mashanllah yaani bwana ukiisoma dini unajiamini ktk majibu yako Hadi laha

  • @sakinat2527
    @sakinat2527 3 года назад +3

    Maa shaa Allah, AAllah aidumishe kishk tv, na awalipe kila lilo na kheri masheikh wetu

  • @sultanmkude9208
    @sultanmkude9208 3 года назад +2

    mashaAllah kihindi kizuri sana

  • @aishakinia4957
    @aishakinia4957 3 года назад +2

    Jamani maswali rahisi... Hela bila jasho Allah ajalie kishk TV iimarike zaidi... Kishki TV nuru ya dini yako mashaallah

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 2 года назад

    Masha allaah

  • @richbird.123
    @richbird.123 2 года назад

    MashAllah

  • @omanseeb3642
    @omanseeb3642 3 года назад +1

    Ma shaAllah

  • @user-ws9ek8dj5n
    @user-ws9ek8dj5n 3 года назад +1

    Wa alleykum salaam warahmatulah wabaraqatuu Maasha Allah kipindi cha faida kwa wengi wetu,shukraan jazzakah Allahu kheir #kishkitv barakallahu fikum

  • @aishakali3082
    @aishakali3082 3 года назад +1

    Mashaallah tabarkaallah mafunzo mazuri sheikh Allah akuhifadhi na jamma yako

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 3 года назад

    Masha Allah kipindi kizury Allah awaongoze kishki tv wazindi kutuelimisha amen

  • @ummysaid8273
    @ummysaid8273 3 года назад +2

    Mashallah kipindi kizuri alhamdulillah, na swala zuri ila inaonekana wengi wao sala hawaisimamishi au hawasali ndio wanaisahau nguzo ya pili

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 Год назад

    Mashallah

  • @khadijamussa8214
    @khadijamussa8214 2 года назад

    Mashaallah mtanga mwenzangu hujaniangisha

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 3 года назад +1

    Napenda kupindiki hiki mashaalah Allah akuhifadhi

  • @aishamohammed1646
    @aishamohammed1646 3 года назад +1

    MashaaAllah kipindi cha maswali ni kizuri mungu awabariki wote na awape afya njema ❤

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 года назад

    Mashaallah

  • @emmy85sweetie99
    @emmy85sweetie99 3 года назад

    Maashalah Allah awalipe inshaalah nilikua nami sizijui kwa uwezo wa Allah nimejidunza kupitia kipindi chenu. Allah awalipe inshaalah

  • @a.856
    @a.856 3 года назад +1

    Jazakallah khayran

  • @manbanshaban9253
    @manbanshaban9253 2 года назад +1

    Ustadh kijana wa mwisho ulitakiwa umuelimishe, sio kwamba hajui ila hakuzipanga kimpangilio...umekosea ustadh wangu.

  • @sophianyangalio3796
    @sophianyangalio3796 3 года назад

    Allah awalipe kila lakher masheikh wetu. Na afya njema

  • @user-iw8qg2kx7k
    @user-iw8qg2kx7k 3 года назад +1

    ما شاء الله الله ينور هذه القناة ويحفظ شيوخنا الكرام ويهد جميع الفتيان

  • @latifamkulazi8378
    @latifamkulazi8378 3 года назад

    Alhamdulillah leo wamejitahidi japo wamechanganya baadhiyao hongera kwa Babu Ila hili sual kama liendelee naamini wengi hawajui

  • @abdalaauame3863
    @abdalaauame3863 2 года назад

    Mashalla

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 3 года назад

    Maa shaa Allah

  • @sakinat2527
    @sakinat2527 3 года назад

    Maa shaa Allah tabarakallah kwa huyo mzee amajibu vizuri maa shaa Allah tena kwa kiarabu

  • @sadabkari5532
    @sadabkari5532 2 года назад

    Mashallah mzeee wangu Allah atufikishe salama twendako usidharau din uendeleee

  • @busta_malik5971
    @busta_malik5971 3 года назад

    Napenda sana kipindi hiki kina idearls nzuri za kuendeleza dini

  • @African2TheWorld
    @African2TheWorld 2 года назад

    MashaAllah, mungu awazidishie kwa uhamasisho kwa waumini. Ila ingekua vizuri mtu hata akikosea swali apewe jibu mwishoni, ili apate kujua zaidi kwa manufaa yake. Asanteni sana.

    • @Ashaadhan
      @Ashaadhan 10 месяцев назад

      Masha Allah❤❤❤

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 3 года назад

    Ma Shaa Allah

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 3 года назад

    Mashaallah mashekhe wetu napenda kipindi hiki

  • @zytuniemaulidy1508
    @zytuniemaulidy1508 3 года назад

    Maa shaa allah

  • @saedfundikiramamoka5798
    @saedfundikiramamoka5798 3 года назад +1

    Safi sana

  • @rukayyawendo1268
    @rukayyawendo1268 3 года назад

    Mashallah nimekipenda iki kipindi

  • @salmajabiry884
    @salmajabiry884 3 года назад

    Mashallah mashallah

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 года назад

    Masha"Allah

  • @hafsaali7976
    @hafsaali7976 3 года назад

    Mashaallah mashaallah

  • @omanseeb3642
    @omanseeb3642 3 года назад

    MashaAllah babu 😍

  • @samoocoolingsystem93
    @samoocoolingsystem93 3 года назад

    Mashaa Allah

  • @haudhatiadam6206
    @haudhatiadam6206 3 года назад

    Mashaallah Mashaallah

  • @bakariyusufujuma
    @bakariyusufujuma 3 года назад

    Masha allah

  • @ameenaameena4907
    @ameenaameena4907 3 года назад

    Maashaallah piga kelelee kwa Tanga moja wewe tuko vizur Tanga

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 3 года назад

    maashaallah maashaallah mshabiki wa simba

  • @AnethManonga
    @AnethManonga 2 месяца назад

    Ninashukuru Sana kipindi hiki kinanifundisha mengi

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf 3 года назад +1

    Huyo kijana mwenye sleeveless hujamtendea haki amepata ila hakupangilia, halafu umemuacha kaondoka kabla hujamwambia mpangilio. Suali lilikua nguzo za kiislam ni ngapi , hukusema lazima zitajwe kwa mpangilio

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад +1

    Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yangu hapo kama hautjl

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 3 года назад

    Allah awazidishie elmu yenye manufaa

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 года назад +1

    Nguzo za uislamu ni 5 but nguzo za muislamu ni 3 shahada kuswali kufunga 😍

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 3 года назад +1

      Na wewe acha kukoroga watu.Nguzo za uislam ndizo za mwislamu.

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 3 года назад

      @@abuyunusmohamed6961 wajib si 3 shahada kuswali kufunga hizo zengine mpka mwenye uwezo

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 3 года назад +2

      @@rehemasalim4590 usiseme ni tatu wajibu zote ni wajibu.zimewekwa hizo mbili maana yake uazimie kuzitekeleza utakapokuwa na uwezo au kuwezeshwa na mwenye uwezo

  • @aishakinia4957
    @aishakinia4957 3 года назад +1

    Asalam aleykum warramathullah wabarakathu

    • @user-ws9ek8dj5n
      @user-ws9ek8dj5n 3 года назад

      Wa alleykum salaam warahmatulah wabaraqatuu

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад +1

    Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautojl

  • @jamilamohammed2771
    @jamilamohammed2771 3 года назад

    Shahada swala zaaka swaum na hijaa kwa mwenye uwezo

  • @ayshaaysha2165
    @ayshaaysha2165 3 года назад

    Hapana mm sizijuwi

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 года назад

    Mukirud munarud na haki za muislamu kwa muislamu mwenzie ziko 6 wazitaje nimeangalia chanel nyengine kipindi kama hichi but kuna watu awajui mke wa kwanza wa mtume swallallahu aly wasalam 😭

  • @bahatilaizer8706
    @bahatilaizer8706 9 месяцев назад

    Shida anawaza draft

  • @halimakihame1744
    @halimakihame1744 3 года назад

    Da Allah atuongoe mana mtu muisilamu wachezaji moola awajuwa ila nguzo zake za wisilam haujui msiba mkubwa

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 года назад +1

    Mngeweka japo elfu kumi,elfu tano ni ndogo sana.

  • @zaby-n-mamashasha6671
    @zaby-n-mamashasha6671 3 года назад

    Inasikisha sn kijana wa kiislam ,kushinda kweny bao kisha nguzo za kiislam hujuw mpangiliyo gis zinafatana

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 года назад +1

    Kapatiwa isipokuwa kakosea kutaja kwa mpangilio.Ungempa tu hiyo elfu 5 zenu za mawazo kwa maana kajitahidi sana

    • @iddyally7228
      @iddyally7228 3 года назад +1

      Acha ushamba ndungu pesa ya mawazo ww unayo wenzako wanafunza dini ww upo kinafiki2

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 3 года назад

      @@iddyally7228 Rai yangu serikali isiruhusu kabisa uvutaji bangi,tutaishia kuvunjiwa heshima zetu na watoto wadogo

  • @user-vm3ko4ew5q
    @user-vm3ko4ew5q 3 года назад

    Ni jinsi jamii ilivyokuwa nyuma sana, Allah atuongoze, na tujitahidi kuyajuwa ya dharura katika dini yenu,
    Swali la muhimu : hii zawadi inayotolewa je, ni kwa kujibu maswali au kuhimiza kuangalia tv..???
    Na je, itakuwa na hukmu gani katika dini..??

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад +1

    Hv hk kipndi kinaruka kwa wiki mara ngapi?? Tuwekeeni na nmb ili tujue hata kama tukipitwa

    • @firdausyalhaji5569
      @firdausyalhaji5569 3 года назад +1

      Naam na mi naafiq..wakieka nambari kunakua na upatilizaji wa vipindi

  • @mudrickahmed3178
    @mudrickahmed3178 3 года назад

    Hhhhhh mshabiki wasimba umenichekesha
    Ila jifunze kuujua uislam wako

  • @Zuwena-jq7jf
    @Zuwena-jq7jf 3 года назад

    Da Yani huu ni msiba jamani wa Islam tuko nyuma kidini daa tusome jamani

  • @safmarwa2977
    @safmarwa2977 3 года назад

    Bona alipa maswali
    Lakini amechaganya
    Mgempa tu zawadi
    Masikini

  • @davidgasper8821
    @davidgasper8821 3 года назад

    Nguzo ni YESU KRISTO MUNGU MKUU

    • @user-pj8ed9kn6g
      @user-pj8ed9kn6g 3 года назад

      🙄🙄😳😳😳

    • @omarysaidy5524
      @omarysaidy5524 3 года назад

      😂😂😂😂😂

    • @user-pj8ed9kn6g
      @user-pj8ed9kn6g 3 года назад +1

      @@omarysaidy5524 😂😂😂😂Ila huyo nae

    • @omarysaidy5524
      @omarysaidy5524 3 года назад +1

      Anazinguaaa hyu yesu akawe mungu alf tena mkuu 😂😂😂😂😂

    • @user-pj8ed9kn6g
      @user-pj8ed9kn6g 3 года назад

      @@omarysaidy5524 😂😂😂😂😂😂😀😀😀😀😀😀Ujue Hawa ndugu zetu wanakaz Sana vip yesu akuwe mungu mkuu🙌🙌

  • @saumuseif9189
    @saumuseif9189 3 года назад +1

    Yakwanza nikuamini kua mungu nimmoja namtume wake muhammad S.A.W.
    Yapili nikuswali
    Yatatu nikufunga
    Yanne nikutoa zaka
    Yatano nikwenda kuhijji kwa mwenye uwezo
    Sinimepata ustadhi

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 2 года назад +1

    Nguzo ya 1 ni shahada/ nguzo ya 2 ni swala/ nguzo ya 3 ni kufunga mwezi mtukufu wa ramadhani/ nguzo ya 4 ni zaka / nguzo ya 5 ni hajji

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 года назад

    Yani hadi raha unatembea zako unapata 5tz sakina hiz kwetu sini mia 500😝

    • @aishakinia4957
      @aishakinia4957 3 года назад

      Kabisaaa habibty bila jasho Allah amlipe sheikh wetu pamoja na wana admin wote wa kishk TV kwa kipindi hiki chema cha Maswali mtaani 🤲

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 3 года назад

      @@aishakinia4957 amiin

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 3 года назад

      @@rehemasalim4590 kabisa da

    • @ayshaaysha2165
      @ayshaaysha2165 3 года назад

      Mashaallah mashaallah

    • @ayshaaysha2165
      @ayshaaysha2165 3 года назад

      Mashaallah mashaallah

  • @khadijaiddi4887
    @khadijaiddi4887 3 года назад

    Maa shaa Allah

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 3 года назад

    Mashaallah mashaallah

  • @rahimasaid3674
    @rahimasaid3674 3 года назад

    Mashaallah

  • @halimaalimwamajeni6291
    @halimaalimwamajeni6291 3 года назад

    Mashaallah

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 года назад

    Mashaallah

  • @omarysaad3894
    @omarysaad3894 3 года назад

    Mashaallah