MOYO WANGU - KWAYA YA BMM YOMBO VITUKA WAKITUMBUIZA KATIKA WARSHA YA WAWATA DSM 08/02/2020
HTML-код
- Опубликовано: 9 фев 2020
- Mawasiliano:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa - Развлечения
Hakika nafarijika mno na huu wimbo,good message,vocal,Mungu awabariki sanaa
Hongera za kipekee pia zimwendee huyo dada aliyeimba kibwagizo cha 'Bwana wangu fungua sikio lako sikia..ah...ooh.. fungua macho yako.. utazame ... niongoze bwana wangu... Big Up Sister, keep it up.
Anaitwa @Despina Mdende ila simuoni hapo kwenye video.
Asanteni tele kwa hii nyimbo na sauti zenu nzuri sana. Tunawafwata toka Canada, Montréal.
Wimbo mzuri sana kabisa! Mubarikiwe!
Wimbo unanifaliji sana naupenda sana hongereni sana wakristo wenzangu
You left the World Mwalimu Limila but you left a Mark of your Works in Our inner Hearts in and outside The East Africa.Sing with Angels Sir!🙏🏽👍
Enhe Mungu wangu naomba unisikie kilio changu natamani San kuimba kwaya Ila Sina uwezo, nafarijika sana kusikiliza kwaya hongera sana Wana kwaya maana kuimba ni Mara mbilii ya maombi , nimebarikiwa sana kupitia wimbo huu👏👏
Hongereni Sana wana BMM vituka.
Marehemu Mwalimu Limila apumzike kwa amani.
Amina
Nina raha kuwa mkkatoliki
Utulivu ulioko katika wimbo huu ni wa kipekee.. Asanteni sana
Hongereni sana Mungu awabariki mzidi kumtumikia kwa unyoofu wa moyo mko vizuri kwa kweli
Hongereni sana
Madam mwenye kusolo I just say congrats to you.Your vibratoh is so wonderful
Wimbo huu umebeba ujumbe mzito especially wkati unapitia makumu,be blessed,what a voice from soloist
Nimependa sana ujumbe nzuri mbarikiwe sana
Mungu azidi kuwabariki katika Utume wenu uimbaji ni zaidi ya kusali wimbo wenye faraja na tumaini
Can't get enough of this song
this song has touch my soul thanks for this song
TYK, tamaa ya moyo wangu ni kuona Wakristo woote tunaungana na kushinda maovu hapa duniani, tusiruhusu kwa namna yoyote Ile kufumbwa midomo ktk kutetea Haki, ili hata tunapomwimbia MUNGU nyimbo za sifa na maombi Yeye aione tafsiri halisi miyoyoni mwetu, Sifa na Utukufu zimwendee Yeye Pekee,....Asanteni kwa uinjilishaji.
Naipenda sana hii kwaya haijawai kukosea nyimbo zao zote ni nzuri.
Naupenda sana wimbo huu wa Moyo wangu kwaya ya Bikira Maria Mama wa Mungu wa yombo vituka Dar kathoriki mbalikiwa sana
Amina
Wimbo huu unanikosha moyo wangu hongereni Sana
Wimbo naupenda mno. Mungu awabariki
Am proud being a catholic
Amen
R.I.P mwalimu Limilah tunakukumbuka daima Lala mahala pema
Najivunia kuwa mkatoliki, wimbo mzuri. Hongera kwa sauti nzuri
Najivunia ukatoliki wangu
Amina watumishi wa mungu nyimbo ni nzuri sana
Amina bwana ahimidiwe milele
Muwe mnakandamiza LIVE bana,HONGERENI SANA,
Infact, ukatoliki mtamu
The song gives me hope,blesses me every morning ⛅ thank you choir for preaching to me🙏🙏🙏
mmenibariki sana , mpo vizuri hakuna papara safi .
Nawakubari sana mungu awabariki
Mwwnyeji mungu awabariki kwa kazi nzuri ya uinjilishaji kwa njia ya nyimbo
Mungu awabaribi sana kwa wimbo wenye ujumbe mzuri na apumzike kwa Amani mtunzi wa wimbo akika bado unaishi Kiroho Mwl Steven L
Hongereni sana kwaya ya Bmm yombo vituka,nilikuwepo niliipenda sn hii kwaya.kanda zenu zinapatikana wapi mjini hapa?
Naomba kujua hii ni parokia ya yohana wa mungu yombo vituka
Endeleeni kuinjilisha kupitia kwaya mbarikiwee,pendeza sana
Poleni pia kwa msiba uliowafikeni wakatoriki wenzangu
Mungu awabariki sana , vocal imetulia wimbo unausikilizia moyoni yani , najuvunia kuwa mkatoliki
Move
God bless your nice voices and may you continue to praise God in Song this is surely prayer × 2..Mubarikiwe sana.
Mungu awabariki katika utume wenu nawapenda sana
Mbarikiwe wimbo mzuri
Hongereni sana BMM YOMBO VITUKA. Huu wimbo unanibariki sana, lakini pia ukiimbwa namkumbuka mtunzi wake, Marehemu Mwl. Steve Limila. RIP Limila
Nice song .it consoles a soul .it build hope in one's soul
Mwenyezi Mungu awabariki. Mmependeza sana kazi nzuri.
Mbarikiwe
Amina,barikiweni sana
Whenever I listen to this song... I feel so much blessed 🙏
Mnajua Sana kuimba mmebarikiwa Sana asante
Asanteni kwa jumbe nzr🙏🙏
What a nice song for such an occasion! The Burial Ceremonies of the President of the Third Phase Government of the Republic of Tanzania, His Excellency B. W. Mkapa.
Bonge la Wimbo
kazi safi!!!! soloist sauti tamu kweli.Hongereni sana.
God bless u forever its de good song that real attracts to listen all de time
I liked the song.Be blessed
Kazi nzuri , Hongera sana
This is beautiful hongera Tanzanians.....Soloists you're so great....nice blend
Ukatoriki raha Sana najivunia kuwa mkatoriki hongeren kwaya ya yombo.vituka
Mmmmh
Lovely sound and voices💓
Ukatolic mtamu hongera kwa kuinjilisha
Amina
@@JugoMedia naomba muwe munaweka subtitle ya kiingereza watu wanauliza ni lugha gani hii na inamaanisha nini
Hii nyimbo aisee🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Che voce soave che meraviglia 🙏❤️siete bravissimi ❤️❤️
Am SDA MEMBER BUT THIS SONG FIRE
Mbarikiwe sana kwa wombo na sauti nzuri
Wimbo mzuri sana sichoki kuusikiliza kila wakati
Najivunia kuwa mkatoriki
Hongereni sana
Hongereni sana wana BMM vituka
Inanikumbasha mbali sana hiii kwaya
Wimbo mzuri sana. Unanibariki sana.
Hongereni Godbless
Nabarikiwa sana na waimbaji hawa Mungu awabariki sana
Naupenda sana hongelenu
Huu mwimbo ni mzuri sana lakini ulipoimbwa sio mahala pake, hapa ni mahali pa sherehe zingeimbwa nyimbo za furaha kama mapambio sasa huu mwimbo ni wa huzuni sana ndio maana hata akina mama wanashindwa kucheza
Kanisa la roma ni lazima lijifunze kwenda na wakati
Nyimbo za huzuni zinapigwa kwenye sherehe?
Pumzika kwa Amani mlimila uinjilishaji wako unatutia chachu hata sasa
Beautiful! Gorgeous!
Barikiweni sana
God will reward you dear friends
Amina
Mungu Asante kwa Hawa watu
It's very nice and sounding well
utume mwema
Wenye wame "dislike" huu wimbo wako na kasoro isioweza kukosolewa
Safi sana, Mungu awabarike.
R.i.p Mwalimu Limilah.poleni.
Kazi nzuri barikiwa sana
Kwa kusikiza wimbo najivunia kuwa mkatoliki
Safi sana
Mungu awabariki
Asante sana jugo media
Amen
Blessings upon us all. Amen
Parabéns,belíssimo coro 🙏🙏🙏.
Merece e Deus Todo Poderoso aumente a sua Fé e Dom de cantar bem! Louvado seja ele par sempre!
Hiyo wimbo inanipeleka kw mungu
That’s awesome 😎 I b b
I love it
cjawai choka sikiliza huu wimbo naupenda mnoooo
Hongereni San jamani
Lovely song
Nice one
Asant
Vizuri sana
Encouraging songs
I love this song very much. Can someone translate for me into English please
My heart has stopped my days are over and grave ready to receive me Lord come and save me
I am calling Lord come my eye looks at you come and discard problems and suffers l pass through my eyes looks at you you are my
@@prospermlwale9226 thanks Proper. That is so touching with such a profound pleading of a petitioner in a song
Bien chanter vraiment
I LIKE
❤
Beautiful voices God bless i wish i can have the music naipenda sana hiyo wimbo jmeni
Nawapenda sn
Merci pour votre chanson magnifique.