Khalid aucho asante sana endelea doctor na hizo touch unaenda premier league kwanza zile mbili ndefu sio mchezo uwezo passi za kujiuza big up Aucho keep it unaenda premier league ukituletea club bingwa africa champion league, i promise you endelea sana na hizo moja moja hizo passi zinaitwa desel pasi moja kama umechenga mtu tatu belive Aucho, Sir Alex ,ushindi wake siri yake ndio hy one touch na ndio ulikua inampa ushindi na wewe utafika kwenye vioo vikubwa in shaa allah
Aucho yuko fit sana Uwezo mkubwa wa kuzima pressing pressure ya mpinzani Passing accuracy ya moto Uwezo wa kupiga pass ndefu umeongezeka Apewe maua yake
"The Tank" mpaka kesho naamini kukosekana kwa Aucho fainal ya CAF ilichangia Yanga kupoteza mechi ya kwanza. Huyu jamaa ndo anacontrol ya tempo ya yanga uwanjani
Wanasema kwamba: IT IS THE SMALL AND SIMPLE THINGS THAT YOU DO CONSISTENTLY THAT MAKE A DIFFERENCE. Aucho very calm but release the ball swiftly and correctly. I love this guy aisee - wabongo tujifunze sana kucheza simple and confidently.
Unajua sasa kwani kiwanjani hauendi au utizami kwa tv,hahahahaha amka hy ni yanga wako clenical matal fizikali full tankaaaaaa pira Gamondi wachezaji wanajuamini wanapiga pasi let ball roll majuuu pira hilo
Acho uwezo umezidi sana kanionesha kapiga passi ndefu na nguu wa kulia alafu alipiga mbili ndefu aquerat speed paka viwango vya tv azam zimeshindwa ile speed 😂😂😂😂raha tupu mumeona tunauza pesa mingi sana bank ni yetu Hers noma Gamondi ndio usiulize,taifa lina muhitaji ,
@@worldstartz Game Kibu anaingia kambani kosa lilikuwa ni kwa Aucho kuwa slow. Hata kwenye national team inalazimika awe paired na Babosi Byaruhanga kuweza kupunguza weakness yake ingawaje inamfanya Babosi kupata kadi nyingi za njano. Aucho yupo vizuri timu inapokuwa inacontrol game ila kukiwa na wapinzani wenye kasi kama Raja, Waydad ni majanga.
Ata tusipoweka hizi clips hao maadui wakizitaka wanazipata sababu mechi siku hizi zinaonyeshwa live na technology imekua ndugu, daaaah hadi miaki hii bado ujalijua hilo,hao maadui ata wakimtaka diara pekeake watampata
Viongoz mbona mnauza Siri za kivita. Yapo mengi yakufanya ila hiki mmmh hapana. Mnawafanya timu pinzani wapate wepesi wakufuatilia aina ya uchezaji wa wachezaji wetu😂
@@DenisRuben-y4i wampige misumali akati ni msimu wa tatu huu yupo bongo??,kwani hawajui ubora wake?? natshacheza mechi nyingi..watu wa digital wanafanya vitu vikubwa sana wapeni moyo sio kuwakatisha tamaa
Kuandaa hizi clip ni kuwasaidia wapinzani jinsi team inavyocheza…. Hakuna Team kubwa Duniani inaweka kama hizi Clip …. Wekeni Magoli na content nyingine 😅
Unaweza kuwa sawa lakin.. Kumjua mpinzani ni Jambo Moja na kuweza kukabiliana nae ni Jambo jingine. Game imechezwa live, wakitaka Kumjua mpinzani haiwahitaji kusubiria hizi clip.
Khalid aucho asante sana endelea doctor na hizo touch unaenda premier league kwanza zile mbili ndefu sio mchezo uwezo passi za kujiuza big up Aucho keep it unaenda premier league ukituletea club bingwa africa champion league, i promise you endelea sana na hizo moja moja hizo passi zinaitwa desel pasi moja kama umechenga mtu tatu belive Aucho, Sir Alex ,ushindi wake siri yake ndio hy one touch na ndio ulikua inampa ushindi na wewe utafika kwenye vioo vikubwa in shaa allah
Aucho yuko fit sana
Uwezo mkubwa wa kuzima pressing pressure ya mpinzani
Passing accuracy ya moto
Uwezo wa kupiga pass ndefu umeongezeka
Apewe maua yake
"The Tank" mpaka kesho naamini kukosekana kwa Aucho fainal ya CAF ilichangia Yanga kupoteza mechi ya kwanza. Huyu jamaa ndo anacontrol ya tempo ya yanga uwanjani
Wanasema kwamba: IT IS THE SMALL AND SIMPLE THINGS THAT YOU DO CONSISTENTLY THAT MAKE A DIFFERENCE. Aucho very calm but release the ball swiftly and correctly. I love this guy aisee - wabongo tujifunze sana kucheza simple and confidently.
Aucho aimbwi sana lakn ndo injin ya team yetu
Mudathir ndio engine 🚂
Kuna mmoja ni mzuri sana kwenye pressing na mwingine holding
Mudathir anaipa tim mpira muda wote iwe nao aucho ni press resistance na holder
Napenda the way anavyojiamini anapokuwa na mpira.
Doctor not only that specialist phd holder with superspecialist in football ,,,aucho mmoja ni sawa na watu watatu wa kariba ya fabrice ngoma
Huyu aucho ni kiungo hatar ni vile ligi yetu wengi hawajui ball huyu ndio alikua kiungo wa ball wa mwaka
Dr Aucho mtaalam wa short passes 🔥
Jamaa anajua sana mpira
Huyu MWAMBA ni fundi kweli...!
Daktar wa bol💚💚💚
Allaah Akbar
Aisee kumbe Aucho ndo rythm ya timu aisee ni hatar huyu jamaa
Unajua sasa kwani kiwanjani hauendi au utizami kwa tv,hahahahaha amka hy ni yanga wako clenical matal fizikali full tankaaaaaa pira Gamondi wachezaji wanajuamini wanapiga pasi let ball roll majuuu pira hilo
Aliyempa jina la daktari wa mpira hajakosea.
Aucho hana muda na mpira..anagusa anawachia na kuingia kwenye space
Doctor
Khalid Aucho Busquets
Makinii🖐
The general midfield
🥇🏅🏆💚💛
Wekeni ya mudathir yahya Jamaa ...
The true definition of press resistance
Huyu nd anatakiwa alalamike na alipwe pesa nying anajua sanaah mwamba huyu
top top midfielder
TOP MIDFILDER✅
Acho uwezo umezidi sana kanionesha kapiga passi ndefu na nguu wa kulia alafu alipiga mbili ndefu aquerat speed paka viwango vya tv azam zimeshindwa ile speed 😂😂😂😂raha tupu mumeona tunauza pesa mingi sana bank ni yetu Hers noma Gamondi ndio usiulize,taifa lina muhitaji ,
Doctor wa ball
Football ⚽️ DR
Aucho
Toka bangala amuachie dimba jamaa anakichafua sana
Jamaa yupo vizuri lakini hana speed.😮
speed ya kazi gani? namba sita huyo anachezesha timu na kukaba
@@worldstartz Game Kibu anaingia kambani kosa lilikuwa ni kwa Aucho kuwa slow. Hata kwenye national team inalazimika awe paired na Babosi Byaruhanga kuweza kupunguza weakness yake ingawaje inamfanya Babosi kupata kadi nyingi za njano. Aucho yupo vizuri timu inapokuwa inacontrol game ila kukiwa na wapinzani wenye kasi kama Raja, Waydad ni majanga.
Bora mfute tu watumieni wenyew hao wachezaj vipande vyao mnamaadui wengi sana humu hamshtuki tu😢
Ata tusipoweka hizi clips hao maadui wakizitaka wanazipata sababu mechi siku hizi zinaonyeshwa live na technology imekua ndugu, daaaah hadi miaki hii bado ujalijua hilo,hao maadui ata wakimtaka diara pekeake watampata
Huyu aucho ndo kiungo Bora msimu huu anajua bori yanga hii jamani ituuuwa na kisukari
Viongoz mbona mnauza Siri za kivita. Yapo mengi yakufanya ila hiki mmmh hapana. Mnawafanya timu pinzani wapate wepesi wakufuatilia aina ya uchezaji wa wachezaji wetu😂
Yanga duka babaa pira majuu tunika kuuza wachezaji soko hilo baba eeeee vipi www unazakichawi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 peace l😂
Bado azz ki
Yaani ni kama vile rahisi! Hakuna mambo mengi ni kupokea na kutoa simple!
Msiweke hivi vipande 😢 mi sijaona kama nikitu kizr
Bado uelewa wako mdogo ndugu
muandalie mmeo
Wekeni content nyingine ila hizi za kuonesha mchezaji alivyo na aanaavyoperform unaawarahisishia wapinzani kazi ya kutusoma
Hapana, kwa utandawazi uliopo sahivi ata tusipo weka hizi clips wapinzani wakizitaka wanazipata na wakimtaka mchezaji yoyote wanamp ata
afu wakiume kabisa😂
Tena futeni zilizopo kama izi ... wekeni content zile fupi sana za training tena zile za kawaida
Jaman watu wa digital futeni hizo clip wekeni magoli
Bado uelewa wako mdogo ndugu
afu wakiume kabisa inashangaza
Im sorry pengone uelewa wangu mdogo ,hofu yangu wasije wakampiga misumali makolo
@@DenisRuben-y4i wampige misumali akati ni msimu wa tatu huu yupo bongo??,kwani hawajui ubora wake?? natshacheza mechi nyingi..watu wa digital wanafanya vitu vikubwa sana wapeni moyo sio kuwakatisha tamaa
Kuandaa hizi clip ni kuwasaidia wapinzani jinsi team inavyocheza…. Hakuna Team kubwa Duniani inaweka kama hizi Clip …. Wekeni Magoli na content nyingine 😅
Unaweza kuwa sawa lakin.. Kumjua mpinzani ni Jambo Moja na kuweza kukabiliana nae ni Jambo jingine. Game imechezwa live, wakitaka Kumjua mpinzani haiwahitaji kusubiria hizi clip.
Nakubaliana na wewe
Hapana, clip zipo za kutosha...mbinu za mchezo zinategemea na unaekutana nae
Wapinzani wanakua na full video zipo RUclips unasema hivi vipande vya mchezaji mmoja
Fuull mechi c zipo RUclips zimejaa sas hizi clipu zinzashda gan ebu usiiandike tu ilimradi Kam hujui tulia