KHALID AUCHO FANTASTIC TOUCHES VS JKT TZ | JIONEE UFUNDI WA DAKTARI WA MPIRA HAPA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi

Комментарии • 95

  • @Shariff-z3i
    @Shariff-z3i Год назад

    Khalid aucho asante sana endelea doctor na hizo touch unaenda premier league kwanza zile mbili ndefu sio mchezo uwezo passi za kujiuza big up Aucho keep it unaenda premier league ukituletea club bingwa africa champion league, i promise you endelea sana na hizo moja moja hizo passi zinaitwa desel pasi moja kama umechenga mtu tatu belive Aucho, Sir Alex ,ushindi wake siri yake ndio hy one touch na ndio ulikua inampa ushindi na wewe utafika kwenye vioo vikubwa in shaa allah

  • @kikoadventures6933
    @kikoadventures6933 Год назад +3

    Aucho yuko fit sana
    Uwezo mkubwa wa kuzima pressing pressure ya mpinzani
    Passing accuracy ya moto
    Uwezo wa kupiga pass ndefu umeongezeka
    Apewe maua yake

  • @AbdulatifSaidy
    @AbdulatifSaidy Год назад +6

    "The Tank" mpaka kesho naamini kukosekana kwa Aucho fainal ya CAF ilichangia Yanga kupoteza mechi ya kwanza. Huyu jamaa ndo anacontrol ya tempo ya yanga uwanjani

  • @kedyjohn1848
    @kedyjohn1848 Год назад +2

    Wanasema kwamba: IT IS THE SMALL AND SIMPLE THINGS THAT YOU DO CONSISTENTLY THAT MAKE A DIFFERENCE. Aucho very calm but release the ball swiftly and correctly. I love this guy aisee - wabongo tujifunze sana kucheza simple and confidently.

  • @AbdulMakuka-s6w
    @AbdulMakuka-s6w Год назад +3

    Aucho aimbwi sana lakn ndo injin ya team yetu

    • @kaseja
      @kaseja Год назад

      Mudathir ndio engine 🚂

    • @bigtv4204
      @bigtv4204 Год назад

      Kuna mmoja ni mzuri sana kwenye pressing na mwingine holding

    • @bigtv4204
      @bigtv4204 Год назад

      Mudathir anaipa tim mpira muda wote iwe nao aucho ni press resistance na holder

  • @imma_billy
    @imma_billy Год назад +1

    Napenda the way anavyojiamini anapokuwa na mpira.

  • @EsterNestory-u2s
    @EsterNestory-u2s 9 месяцев назад

    Doctor not only that specialist phd holder with superspecialist in football ,,,aucho mmoja ni sawa na watu watatu wa kariba ya fabrice ngoma

  • @micomeshack7024
    @micomeshack7024 Год назад +3

    Huyu aucho ni kiungo hatar ni vile ligi yetu wengi hawajui ball huyu ndio alikua kiungo wa ball wa mwaka

  • @joelmwanje2008
    @joelmwanje2008 Год назад +1

    Dr Aucho mtaalam wa short passes 🔥

  • @epifanussmuhind4645
    @epifanussmuhind4645 Год назад +1

    Jamaa anajua sana mpira

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Год назад +1

    Huyu MWAMBA ni fundi kweli...!

  • @abubakarkhamis948
    @abubakarkhamis948 Год назад +2

    Daktar wa bol💚💚💚

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 Год назад +1

    Allaah Akbar

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 Год назад +3

    Aisee kumbe Aucho ndo rythm ya timu aisee ni hatar huyu jamaa

    • @Shariff-z3i
      @Shariff-z3i Год назад

      Unajua sasa kwani kiwanjani hauendi au utizami kwa tv,hahahahaha amka hy ni yanga wako clenical matal fizikali full tankaaaaaa pira Gamondi wachezaji wanajuamini wanapiga pasi let ball roll majuuu pira hilo

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Год назад

    Aliyempa jina la daktari wa mpira hajakosea.

  • @barakawabuge5285
    @barakawabuge5285 Год назад

    Aucho hana muda na mpira..anagusa anawachia na kuingia kwenye space

  • @JujuBim
    @JujuBim Год назад

    Doctor

  • @stuartnjalika9562
    @stuartnjalika9562 Год назад

    Khalid Aucho Busquets

  • @OscarJr-gm4oi
    @OscarJr-gm4oi Год назад

    Makinii🖐

  • @HamiduKei
    @HamiduKei Год назад

    The general midfield

  • @jonathanchadewa8092
    @jonathanchadewa8092 Год назад +1

    🥇🏅🏆💚💛

  • @kaseja
    @kaseja Год назад

    Wekeni ya mudathir yahya Jamaa ...

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Год назад

    The true definition of press resistance

  • @nkwamatz
    @nkwamatz Год назад

    Huyu nd anatakiwa alalamike na alipwe pesa nying anajua sanaah mwamba huyu

  • @mkalisantosTV
    @mkalisantosTV Год назад

    top top midfielder

  • @Salmeenmgangah
    @Salmeenmgangah Год назад

    TOP MIDFILDER✅

  • @Shariff-z3i
    @Shariff-z3i Год назад

    Acho uwezo umezidi sana kanionesha kapiga passi ndefu na nguu wa kulia alafu alipiga mbili ndefu aquerat speed paka viwango vya tv azam zimeshindwa ile speed 😂😂😂😂raha tupu mumeona tunauza pesa mingi sana bank ni yetu Hers noma Gamondi ndio usiulize,taifa lina muhitaji ,

  • @kamdinindevu5185
    @kamdinindevu5185 Год назад

    Doctor wa ball

  • @maulidimchambwa5804
    @maulidimchambwa5804 Год назад

    Football ⚽️ DR

  • @febroniamsoma178
    @febroniamsoma178 Год назад

    Aucho

  • @milalaemmanuel445
    @milalaemmanuel445 Год назад

    Toka bangala amuachie dimba jamaa anakichafua sana

  • @mosesjacksonkarashani2642
    @mosesjacksonkarashani2642 Год назад

    Jamaa yupo vizuri lakini hana speed.😮

    • @worldstartz
      @worldstartz Год назад

      speed ya kazi gani? namba sita huyo anachezesha timu na kukaba

    • @mosesjacksonkarashani2642
      @mosesjacksonkarashani2642 Год назад

      @@worldstartz Game Kibu anaingia kambani kosa lilikuwa ni kwa Aucho kuwa slow. Hata kwenye national team inalazimika awe paired na Babosi Byaruhanga kuweza kupunguza weakness yake ingawaje inamfanya Babosi kupata kadi nyingi za njano. Aucho yupo vizuri timu inapokuwa inacontrol game ila kukiwa na wapinzani wenye kasi kama Raja, Waydad ni majanga.

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj Год назад +1

    Bora mfute tu watumieni wenyew hao wachezaj vipande vyao mnamaadui wengi sana humu hamshtuki tu😢

    • @Erickmjuni-ev6dc
      @Erickmjuni-ev6dc Год назад

      Ata tusipoweka hizi clips hao maadui wakizitaka wanazipata sababu mechi siku hizi zinaonyeshwa live na technology imekua ndugu, daaaah hadi miaki hii bado ujalijua hilo,hao maadui ata wakimtaka diara pekeake watampata

  • @ramadhanmkupa3894
    @ramadhanmkupa3894 Год назад

    Huyu aucho ndo kiungo Bora msimu huu anajua bori yanga hii jamani ituuuwa na kisukari

  • @RomardBenedicto
    @RomardBenedicto Год назад

    Viongoz mbona mnauza Siri za kivita. Yapo mengi yakufanya ila hiki mmmh hapana. Mnawafanya timu pinzani wapate wepesi wakufuatilia aina ya uchezaji wa wachezaji wetu😂

    • @Shariff-z3i
      @Shariff-z3i Год назад

      Yanga duka babaa pira majuu tunika kuuza wachezaji soko hilo baba eeeee vipi www unazakichawi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 peace l😂

  • @سلیمنحتبسلیمن
    @سلیمنحتبسلیمن Год назад

    Bado azz ki

  • @l.h.l2254
    @l.h.l2254 Год назад

    Yaani ni kama vile rahisi! Hakuna mambo mengi ni kupokea na kutoa simple!

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj Год назад

    Msiweke hivi vipande 😢 mi sijaona kama nikitu kizr

  • @noel0153
    @noel0153 Год назад +1

    Wekeni content nyingine ila hizi za kuonesha mchezaji alivyo na aanaavyoperform unaawarahisishia wapinzani kazi ya kutusoma

    • @Erickmjuni-ev6dc
      @Erickmjuni-ev6dc Год назад

      Hapana, kwa utandawazi uliopo sahivi ata tusipo weka hizi clips wapinzani wakizitaka wanazipata na wakimtaka mchezaji yoyote wanamp ata

    • @mkalisantosTV
      @mkalisantosTV Год назад

      afu wakiume kabisa😂

  • @noel0153
    @noel0153 Год назад

    Tena futeni zilizopo kama izi ... wekeni content zile fupi sana za training tena zile za kawaida

  • @DenisRuben-y4i
    @DenisRuben-y4i Год назад

    Jaman watu wa digital futeni hizo clip wekeni magoli

    • @Erickmjuni-ev6dc
      @Erickmjuni-ev6dc Год назад

      Bado uelewa wako mdogo ndugu

    • @mkalisantosTV
      @mkalisantosTV Год назад

      afu wakiume kabisa inashangaza

    • @DenisRuben-y4i
      @DenisRuben-y4i Год назад

      Im sorry pengone uelewa wangu mdogo ,hofu yangu wasije wakampiga misumali makolo

    • @mkalisantosTV
      @mkalisantosTV Год назад

      @@DenisRuben-y4i wampige misumali akati ni msimu wa tatu huu yupo bongo??,kwani hawajui ubora wake?? natshacheza mechi nyingi..watu wa digital wanafanya vitu vikubwa sana wapeni moyo sio kuwakatisha tamaa

  • @kalulutv3638
    @kalulutv3638 Год назад +24

    Kuandaa hizi clip ni kuwasaidia wapinzani jinsi team inavyocheza…. Hakuna Team kubwa Duniani inaweka kama hizi Clip …. Wekeni Magoli na content nyingine 😅

    • @AbdulkarimNestori
      @AbdulkarimNestori Год назад +17

      Unaweza kuwa sawa lakin.. Kumjua mpinzani ni Jambo Moja na kuweza kukabiliana nae ni Jambo jingine. Game imechezwa live, wakitaka Kumjua mpinzani haiwahitaji kusubiria hizi clip.

    • @izerg6231
      @izerg6231 Год назад +1

      Nakubaliana na wewe

    • @kikoadventures6933
      @kikoadventures6933 Год назад +7

      Hapana, clip zipo za kutosha...mbinu za mchezo zinategemea na unaekutana nae

    • @minicooper9642
      @minicooper9642 Год назад +7

      Wapinzani wanakua na full video zipo RUclips unasema hivi vipande vya mchezaji mmoja

    • @RubenIbrahim-st6dh
      @RubenIbrahim-st6dh Год назад +2

      Fuull mechi c zipo RUclips zimejaa sas hizi clipu zinzashda gan ebu usiiandike tu ilimradi Kam hujui tulia