UTACHEKA VITUKO VYA MORRISON, AONGEA NA MASHABIKI LIVE AKARIBISHWA YANGA AWAJIBU "BADO NIPO SIMBA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 91

  • @omarcarlos4595
    @omarcarlos4595 2 года назад +7

    Morrison umejua kucheza na akili za mashabiki wa Tanzania. Talented player with many comedy. Wish you the best in your carrier bro.

  • @edwinjohn6334
    @edwinjohn6334 2 года назад +14

    Jamani wa kwanza leo like zenu apa🔥🔥 please

  • @damajojo
    @damajojo 2 года назад +3

    Our BM3

  • @livinusmugisha5469
    @livinusmugisha5469 2 года назад +3

    mhhhhhm molison bwana unajijua mwenyewe vituko vyako

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 года назад

    Safi sana Morisson ,umejifunza kiswahili

  • @barrymaleko5114
    @barrymaleko5114 2 года назад +11

    🤣🤣🤣 We fala wanasimba tunakupenda sana

  • @krrishsalim8462
    @krrishsalim8462 2 года назад +1

    King Morrison tunamuitaji aludishwe katika klabu yetu yasimba

  • @frankmasamaki9640
    @frankmasamaki9640 2 года назад

    Jamani nawakaribisha kusikiliza wimbo wangu mzuri na mtamu sana
    ____________

  • @georgenguluma413
    @georgenguluma413 2 года назад

    Huyu jamaa ni comedian asee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hujjatulasrsocietyoftanzan8420
    @hujjatulasrsocietyoftanzan8420 2 года назад +6

    Morison maneno yote umeyapata wapi haya " Eti mambo kama mgambo kasoro kirungu" hii misemo ni ya kiswahili haswa kwa mgeni wa rugha kuyajua ni ngumu sana

  • @Jaykifurushi
    @Jaykifurushi 2 года назад +8

    😂😂😂 we niyanga tuma elf kumi

  • @cholombuda1658
    @cholombuda1658 2 года назад +7

    Huyu nipacha wake na mpoki

  • @mtangag774
    @mtangag774 2 года назад +1

    😂😂😂uwiiii jamaa namkubali sana

  • @ferouzmasoud4870
    @ferouzmasoud4870 2 года назад +1

    Huyu jamaaa chizi Sanaaa 😂😂😂😂😂

  • @geraldbagole4494
    @geraldbagole4494 2 года назад +3

    Huyu angekuwa ana uwezo wa kucheza dk.90 uwanjani kama Nikson,Simba au Yanga wangelamba dume uwezo huo hana vurugu tu.Pablo anajua.

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 2 года назад +8

    Yaani mama yako mzazi akikuomba umtumie pesa kidogo unakuwa na sababu nyingii!! Oo hali mbaya!! kwa Morison unampigia mwenyewe na jamaa Wala haombi anakutaka tu Moja kwa Moja nitumie hela na unatuma jamaa anazikomba kiulaaiini. jamani ushabiki mwingine kama bangi vilee

    • @desderyanatory6671
      @desderyanatory6671 2 года назад

      Hahahahahahahahahahah kweli aisee

    • @alatupaeliassanga5303
      @alatupaeliassanga5303 2 года назад

      Huna Pesa ndiyo Maana unaongea Hivyo

    • @michaelwilson7845
      @michaelwilson7845 2 года назад +1

      Tafuta ela mkuu acha wivu

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 2 года назад

      @@alatupaeliassanga5303 Hah🤣🤣🤣 na wewe ni miongoni ni mwa waliotuma buku nini!!?!! 🤣🤣🤣 Jaribu basi kuwa unamkumbuka bi mkubwa wako mapema siyo mpaka akupigie kukuomba😁😁😁 ushauri lakini.

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 2 года назад

      @@michaelwilson7845 Hapo swala la wivu linatoka wapi!! jamaa na wewe ni miongoni mwa waliotuma buku nini!!🤣🤣🤣🤣 Basi kesho kumbuka kumtumia bi mkubwa wako usingoje mpaka akupigie.

  • @ibrahimkhatib5666
    @ibrahimkhatib5666 2 года назад +1

    Nitumieeelaaa nitumieeelaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣😹😹😹😹😹😹😹😹

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 2 года назад +2

    km UTOPOLO tuma elfu 10 😂😂😂, Dah! BM3 umejua kuwauwa MAZUZU Fc haya endeleen kumfuatilia sasa aje kwnu n uboya wenu, wkt ashawambia yy ni damdam, SIMBA NGUVU MOJA 💪💪💪

  • @brezhnevthadey7368
    @brezhnevthadey7368 2 года назад +1

    Hahaha huyu jamaa hatak salam anataka hela mttfala sana huyu dah

  • @shakaflowers417
    @shakaflowers417 2 года назад +2

    Kama yanga tuma 10

  • @alexsulle9998
    @alexsulle9998 2 года назад +2

    Unaufala mwingi sana

  • @dianasago9214
    @dianasago9214 2 года назад +1

    Wewe ni Yanga nitumie elfu kumi

  • @emmanueleliya6225
    @emmanueleliya6225 2 года назад

    😃😃😃😃😃😃kweli Huyu jamaa ni kituko

  • @ALOYCE007
    @ALOYCE007 2 года назад +1

    Wewe ni yanga nitumie elfu 10000🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @colestmakoloo1500
    @colestmakoloo1500 2 года назад +1

    Morrison Colabo yako na harmonize inatoka lini

  • @alextweve7477
    @alextweve7477 2 года назад +1

    Uyu jamaa anajuwa sn 🙄🙄🙄🙄😃

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 2 года назад

    Yani uyu akiacha kichaa angekua mbele sana 😂😂😂

  • @musomatowntv2200
    @musomatowntv2200 2 года назад +1

    Hahahha mambo kama mgambo kasoro kirungu

  • @musaandrew604
    @musaandrew604 2 года назад +1

    KUMEKUCHA SASA 😂😂

  • @luseshelomwangole2408
    @luseshelomwangole2408 2 года назад

    🤣🤣🤣🤣sasa mbona utopoloni wamezidishiwa bei

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 2 года назад

    Uyu ni mchaga wa kibosho 😂😂😂

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 2 года назад

    Chizi karogwa tena😂😂😂😂😂

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 2 года назад

    Huyu anaundugu na Bolizozo, siku inabidi wapewe Collaboration ya uchizi.

  • @visionally975
    @visionally975 2 года назад +4

    😁😁

  • @googleus4903
    @googleus4903 2 года назад +1

    1000 utanunua visheti ama🤣😂

  • @googleus4903
    @googleus4903 2 года назад +1

    ANA MAPEPE HUYU

  • @jumanneshego2340
    @jumanneshego2340 2 года назад

    ivi mrikuwa mnasema morisoni ni chizi sasa apo chizi nani morisoni au mashabiki yeye ataki saem yeye anata hera2 ukimuri za unarudi yanga anakwambiya hera ukimiriza simba anakwambiya nipo sasa sijamuerewa yeye mchezaji wa simba wayanga au wa hera?

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile336 2 года назад

    Uyu mwamba anamaliza mb zangu tyu🤣🤣🤣🤣

  • @alfanamede5208
    @alfanamede5208 2 года назад +1

    jamaa kashakuwa mwehu tayari

  • @revocatusreuben4605
    @revocatusreuben4605 2 года назад

    Elf moja ti

  • @dianasago9214
    @dianasago9214 2 года назад +1

    Hiki kichwa duuh eti we bahili

  • @petersakwa9311
    @petersakwa9311 2 года назад

    Du! Hvo ndio ameenda kutatua matatizo yake😲😳

  • @mbotwambotwa2186
    @mbotwambotwa2186 2 года назад +2

    Acha baili uko poa unatuongezea siku

  • @emmanuelmwansasu347
    @emmanuelmwansasu347 2 года назад

    Utopolo tumeni buku 10🤣🤣🤣

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 2 года назад

      Yanga ndo wanahela,simba hakuna hela😂😂

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 2 года назад

    Nitumie hela 😁😁😁

  • @brezhnevthadey7368
    @brezhnevthadey7368 2 года назад

    Wachuneeee pesa hao af wakimbie

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 2 года назад +1

    yani Tanzania ukiwa na mawazo mda mwingine wajitakia tu

    • @مباركا-ر3ف
      @مباركا-ر3ف 2 года назад

      Nikweli usemacho ukiingia mtandaon furaha unasahau mauzi hata kama yanakuepo kuna muda kidogo akili inatulia

  • @hadijamasanja7771
    @hadijamasanja7771 2 года назад

    😂😂

  • @desderyanatory6671
    @desderyanatory6671 2 года назад +2

    Eeee nini ??????

  • @amosdamian7308
    @amosdamian7308 2 года назад +1

    Huu zimeisha fyuzi

  • @nathanielshauri5135
    @nathanielshauri5135 2 года назад +3

    kwenye mikataba ya kusajili wachezaji tuwe tunawacheki akili na background zao..

  • @williamdungumaro6668
    @williamdungumaro6668 2 года назад

    Duu

  • @sniper93999
    @sniper93999 2 года назад

    😂mashabiki wa simba elfu 1000 ila wa yanga 10000 duuh😂

  • @mwalongojulius1755
    @mwalongojulius1755 2 года назад +3

    Yanga mkimchukua huyu viongozi wote mjiuzuru atumtaki kwa wenyenchi alinyea kambi ole wenu.

  • @edwardmagige874
    @edwardmagige874 2 года назад

    Kama fara vile

  • @ashrona9884
    @ashrona9884 2 года назад

    😃😃

  • @chanyamusic3223
    @chanyamusic3223 2 года назад +1

    Izo njaaa nyani mweusi wewe uta gongwa

  • @gogolamavi
    @gogolamavi 2 года назад

    Yote tisa sema kale kamsemo etisa pale mgambo

  • @CTM.24Updates
    @CTM.24Updates 2 года назад +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jumakibe5032
    @jumakibe5032 2 года назад

    Chizi fresh

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 2 года назад

    Hili asa chizi
    Yanga hatutaki makolo

  • @frankmasamaki9640
    @frankmasamaki9640 2 года назад

    Jamani nawakaribisha kusikiliza wimbo wangu mzuri na mtamu sana
    ____________

  • @johnjonath6687
    @johnjonath6687 2 года назад

    😂😂