Morison maneno yote umeyapata wapi haya " Eti mambo kama mgambo kasoro kirungu" hii misemo ni ya kiswahili haswa kwa mgeni wa rugha kuyajua ni ngumu sana
Yaani mama yako mzazi akikuomba umtumie pesa kidogo unakuwa na sababu nyingii!! Oo hali mbaya!! kwa Morison unampigia mwenyewe na jamaa Wala haombi anakutaka tu Moja kwa Moja nitumie hela na unatuma jamaa anazikomba kiulaaiini. jamani ushabiki mwingine kama bangi vilee
@@alatupaeliassanga5303 Hah🤣🤣🤣 na wewe ni miongoni ni mwa waliotuma buku nini!!?!! 🤣🤣🤣 Jaribu basi kuwa unamkumbuka bi mkubwa wako mapema siyo mpaka akupigie kukuomba😁😁😁 ushauri lakini.
@@michaelwilson7845 Hapo swala la wivu linatoka wapi!! jamaa na wewe ni miongoni mwa waliotuma buku nini!!🤣🤣🤣🤣 Basi kesho kumbuka kumtumia bi mkubwa wako usingoje mpaka akupigie.
km UTOPOLO tuma elfu 10 😂😂😂, Dah! BM3 umejua kuwauwa MAZUZU Fc haya endeleen kumfuatilia sasa aje kwnu n uboya wenu, wkt ashawambia yy ni damdam, SIMBA NGUVU MOJA 💪💪💪
ivi mrikuwa mnasema morisoni ni chizi sasa apo chizi nani morisoni au mashabiki yeye ataki saem yeye anata hera2 ukimuri za unarudi yanga anakwambiya hera ukimiriza simba anakwambiya nipo sasa sijamuerewa yeye mchezaji wa simba wayanga au wa hera?
Morrison umejua kucheza na akili za mashabiki wa Tanzania. Talented player with many comedy. Wish you the best in your carrier bro.
Jamani wa kwanza leo like zenu apa🔥🔥 please
Our BM3
mhhhhhm molison bwana unajijua mwenyewe vituko vyako
Safi sana Morisson ,umejifunza kiswahili
🤣🤣🤣 We fala wanasimba tunakupenda sana
V
King Morrison tunamuitaji aludishwe katika klabu yetu yasimba
Kweli babisa
Jamani nawakaribisha kusikiliza wimbo wangu mzuri na mtamu sana
____________
Huyu jamaa ni comedian asee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Morison maneno yote umeyapata wapi haya " Eti mambo kama mgambo kasoro kirungu" hii misemo ni ya kiswahili haswa kwa mgeni wa rugha kuyajua ni ngumu sana
Huyu ni mzaramo sio bure😆
Kazi ya Nungunungu huyo
Asa yupo na nungu nungu inashindikana nn
Alisema mkude uyo ndo anamfundisha 😂
😂😂😂 we niyanga tuma elf kumi
Huyu nipacha wake na mpoki
Ama kweli
Wanaendana.
😂😂😂...kabisaaa
😂😂😂uwiiii jamaa namkubali sana
Huyu jamaaa chizi Sanaaa 😂😂😂😂😂
Huyu angekuwa ana uwezo wa kucheza dk.90 uwanjani kama Nikson,Simba au Yanga wangelamba dume uwezo huo hana vurugu tu.Pablo anajua.
Uyo jamaa mpla anajua......⚽️
@@mwashurutiselemani749 Wapi ameteka akili zetu Tu.
Yaani mama yako mzazi akikuomba umtumie pesa kidogo unakuwa na sababu nyingii!! Oo hali mbaya!! kwa Morison unampigia mwenyewe na jamaa Wala haombi anakutaka tu Moja kwa Moja nitumie hela na unatuma jamaa anazikomba kiulaaiini. jamani ushabiki mwingine kama bangi vilee
Hahahahahahahahahahah kweli aisee
Huna Pesa ndiyo Maana unaongea Hivyo
Tafuta ela mkuu acha wivu
@@alatupaeliassanga5303 Hah🤣🤣🤣 na wewe ni miongoni ni mwa waliotuma buku nini!!?!! 🤣🤣🤣 Jaribu basi kuwa unamkumbuka bi mkubwa wako mapema siyo mpaka akupigie kukuomba😁😁😁 ushauri lakini.
@@michaelwilson7845 Hapo swala la wivu linatoka wapi!! jamaa na wewe ni miongoni mwa waliotuma buku nini!!🤣🤣🤣🤣 Basi kesho kumbuka kumtumia bi mkubwa wako usingoje mpaka akupigie.
Nitumieeelaaa nitumieeelaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣😹😹😹😹😹😹😹😹
km UTOPOLO tuma elfu 10 😂😂😂, Dah! BM3 umejua kuwauwa MAZUZU Fc haya endeleen kumfuatilia sasa aje kwnu n uboya wenu, wkt ashawambia yy ni damdam, SIMBA NGUVU MOJA 💪💪💪
Hahaha huyu jamaa hatak salam anataka hela mttfala sana huyu dah
Kama yanga tuma 10
Unaufala mwingi sana
Wewe ni Yanga nitumie elfu kumi
😃😃😃😃😃😃kweli Huyu jamaa ni kituko
Wewe ni yanga nitumie elfu 10000🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Morrison Colabo yako na harmonize inatoka lini
Uyu jamaa anajuwa sn 🙄🙄🙄🙄😃
Yani uyu akiacha kichaa angekua mbele sana 😂😂😂
Hahahha mambo kama mgambo kasoro kirungu
KUMEKUCHA SASA 😂😂
🤣🤣🤣🤣sasa mbona utopoloni wamezidishiwa bei
Uyu ni mchaga wa kibosho 😂😂😂
Chizi karogwa tena😂😂😂😂😂
Huyu anaundugu na Bolizozo, siku inabidi wapewe Collaboration ya uchizi.
😁😁
1000 utanunua visheti ama🤣😂
ANA MAPEPE HUYU
ivi mrikuwa mnasema morisoni ni chizi sasa apo chizi nani morisoni au mashabiki yeye ataki saem yeye anata hera2 ukimuri za unarudi yanga anakwambiya hera ukimiriza simba anakwambiya nipo sasa sijamuerewa yeye mchezaji wa simba wayanga au wa hera?
Uyu mwamba anamaliza mb zangu tyu🤣🤣🤣🤣
jamaa kashakuwa mwehu tayari
Elf moja ti
Hiki kichwa duuh eti we bahili
Du! Hvo ndio ameenda kutatua matatizo yake😲😳
Hahahahahaha
Acha baili uko poa unatuongezea siku
Utopolo tumeni buku 10🤣🤣🤣
Yanga ndo wanahela,simba hakuna hela😂😂
Nitumie hela 😁😁😁
Wachuneeee pesa hao af wakimbie
yani Tanzania ukiwa na mawazo mda mwingine wajitakia tu
Nikweli usemacho ukiingia mtandaon furaha unasahau mauzi hata kama yanakuepo kuna muda kidogo akili inatulia
😂😂
Eeee nini ??????
Huu zimeisha fyuzi
kwenye mikataba ya kusajili wachezaji tuwe tunawacheki akili na background zao..
Duu
😂mashabiki wa simba elfu 1000 ila wa yanga 10000 duuh😂
Yanga mkimchukua huyu viongozi wote mjiuzuru atumtaki kwa wenyenchi alinyea kambi ole wenu.
Humtaki lkn unamfatilia 😅
Na akija utampenda tu
Kama fara vile
😃😃
Izo njaaa nyani mweusi wewe uta gongwa
Yote tisa sema kale kamsemo etisa pale mgambo
😂😂😂😂😂😂😂😂
Chizi fresh
Hili asa chizi
Yanga hatutaki makolo
Ww shabik wa cmba ......🤪
Jamani nawakaribisha kusikiliza wimbo wangu mzuri na mtamu sana
____________
😂😂