AUTO MUSIC-BONGWA NA BOTE (Official Video)

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 312

  • @King12445
    @King12445 7 месяцев назад +22

    Hivi wasani wakibembe wakiwa wanahachiya ngoma kama hizi, hivi kweli nitasikilizaga ngoma zingine kweli?❤

  • @dixballjuge66
    @dixballjuge66 7 месяцев назад +17

    Message sent and delivered 👍
    Kumbe lugha yetu ya kibembe ina leta nyimbo nzuri kiasi hichi alafu Rythme kali mno @Auto big up brother

  • @SunguraAbwe
    @SunguraAbwe 12 дней назад

    Ebembe to the world hii ngoma sijawai kuhichoka hata kidogo

  • @mauwakabwe3526
    @mauwakabwe3526 2 месяца назад

    Nipenda sana message ndani ya hii nyinbo ❤god bless you brother 🙏🏾🙏🏾😇

  • @supera8728
    @supera8728 5 месяцев назад +3

    Amazing song my brother, umepatia brother, tupeleke kibembe Dunia. Am proud to be m'bembe

  • @yadjoilangyieca4271
    @yadjoilangyieca4271 18 дней назад

    Wimbo huu umenigusa sana Kwa mambo ninayo yapitia dah kweli Wambembe sio watu wazuri 😭😭😭😭
    Huu wimbo nitaupenda zaidi ya miaka yote ambayo nitafanya hapa Duniani

  • @user-wh9fc1kr1q
    @user-wh9fc1kr1q 7 месяцев назад +5

    Nakupongeza sana Big Brother
    Hii ngoma ni kama ume niimbia mimi yani😢
    A boy from 👉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @SeleWasele
    @SeleWasele 12 дней назад

    Kazi kubwa brother 🙏

  • @JayAlimasi-cb8mw
    @JayAlimasi-cb8mw 7 месяцев назад +6

    Kaka japokuwa sikujuwi Ila unaweza saana. Everything you said is true 🙏🏾💔

  • @OscarAdolphe-dh2ky
    @OscarAdolphe-dh2ky 4 месяца назад +1

    Ongera sana ❤❤❤

  • @GermeneNondo-pc2cf
    @GermeneNondo-pc2cf 2 месяца назад +2

    Kila nikihisikiya hihi naisi kama mpya tu masikioni mwangu Hongera sana bro mungu akulinde na akupe hujuzi mkubwa uzidi kufanya goma kali zahidi ❤🙏🏿🙏🏿💪🫶🤗❤️

  • @congoboymbeyas2440
    @congoboymbeyas2440 5 месяцев назад +4

    Nyimbo nzuri sana ndo nimeiona leo najuta kwann sikuijuwa miezi mbili nyuma keep up brother 🙏

  • @charlottekashindi3870
    @charlottekashindi3870 7 месяцев назад +5

    ❤❤❤❤ tulio achwa na wazazi wimbo uhu unatufariji 😢😢😢na kutuliza sana 😢😢

  • @kashindiyafasa5855
    @kashindiyafasa5855 2 месяца назад +2

    huu wimbo umebeba reality ya wabembe siyo siri. fav song 🥰

  • @patientrashidiali9116
    @patientrashidiali9116 5 месяцев назад +2

    Big up Sana kipaji chetu kwa wimbo Mzuri uhu una mafunzo Mengi ❤

  • @user-ly2so7ul3s
    @user-ly2so7ul3s 7 месяцев назад +2

    🎉🎉🎉🎉bro una wezaa sann❤❤

  • @makenemboko530
    @makenemboko530 4 месяца назад

    Hapo Sawa kabisa ❤❤❤❤❤

  • @ZaituniSaleh
    @ZaituniSaleh 5 месяцев назад +1

    Sijachoka kusikiliza uhu wimbo na kila nikisikiliza mpaka nilie 😭😭 good job brother

  • @docta0nge709
    @docta0nge709 7 месяцев назад +2

    yaani huu wimbo umenigusa sana hongera tena kijana wangu 👏👏👏💪💪🎉🎉🎉

  • @SunguraAhongo-oh8tn
    @SunguraAhongo-oh8tn 5 месяцев назад +3

    Huo wimbo ni wakimataifa mwaka Nzima ndo wimbo wa kwanza na wa mwisho ni huu akuna mwingine hongera sana bro kwa ujumbe mkubwa

  • @MawazoJustin-fw2ws
    @MawazoJustin-fw2ws 22 дня назад

    Uhu wimbo nahisi nilihimbiwa mm kwajili yababa yangu kweli

  • @AsamboIddi
    @AsamboIddi 2 месяца назад

    Auto musicmimi Asambo nyimbo Yako ni nzuri sana,ila ulikoseya semu Moja,bahazi yawatu Awana isiya ya uzuni.

  • @lweebu
    @lweebu 2 месяца назад +1

    Nasikitika sana brather ngoma nzuri ❤😢

  • @issabaraka2850
    @issabaraka2850 7 месяцев назад +3

    Brother, good job. Wimbo huu Nishausikiliza mara 9. Wabembe wakiacha uchawi wao wakuuwa watu inchi yetu itaendelea ata fz itaendelea wakini uchawi wao wameuweka kuwatu kuliko kuweka kufitu.🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @lemonumentvivantkajole4008
    @lemonumentvivantkajole4008 5 месяцев назад +4

    Wimbo unastahili kupewa Single Award ❤🎉

  • @user-mw8xf4vi4u
    @user-mw8xf4vi4u 3 месяца назад +3

    Mwanangu mungu akuweke hiyo nyimbo imenigusa sana

  • @ElRAYKINGSOLOM
    @ElRAYKINGSOLOM 2 месяца назад +1

    Umenipa moyo brther

  • @NgaboLundela-dy6zv
    @NgaboLundela-dy6zv 6 месяцев назад

    Mungu akutanguye kwenye kazi yako

  • @user-ic8li4rj3u
    @user-ic8li4rj3u 7 месяцев назад +1

    Mimi kama swagger boy aise ihii ni it ya new hear🎉🎉🎉

  • @MarthaGihome-cc7tl
    @MarthaGihome-cc7tl 7 месяцев назад +3

    Yes. Nimekubali zangu❤

  • @user-qf9uj2oc1b
    @user-qf9uj2oc1b 4 месяца назад +3

    Nimekubali kazi yako bro,Hii Ngoma himegusa hisia watu wengi sn ,be blessed sir ❤❤😂❤😂

  • @esembelukanda5
    @esembelukanda5 5 месяцев назад

    Hoooo wimbo nzuri saaaana

  • @user-wt1rm5xk8q
    @user-wt1rm5xk8q 3 месяца назад

    Safi kijana wangu ❤

  • @lumandemwenebokyo4613
    @lumandemwenebokyo4613 7 месяцев назад +1

    Wimbo huu nimesha usikiliza mara 29 lakini bado sijauchoka, maana umebeba ujumbe mzito sana njuu ya jamii yetu au njuu ya kabila letu sisi umenifanya nimkumbuke baba yangu. Umenigusa Sanaa tu. Keep up good work 👏

  • @Ibrahimu726
    @Ibrahimu726 14 дней назад +1

    Nous wabembe Nous sommes très jaloux. 😢😢

  • @Gregoire-2006
    @Gregoire-2006 2 месяца назад +2

    Daaa ihi ngoma kali sana yaan leo march 20 toka ausubuhii mpak usiku nipo naye yaani ngoma mtu ahikifu daaaa Big up sana bro

  • @sikabwepierre7289
    @sikabwepierre7289 7 месяцев назад +2

    Uh!!! nyimbo hii imenigusa sana asante kwa nyimbo nzuri 😢💔.

  • @abwaroger4635
    @abwaroger4635 7 месяцев назад +2

    Big up saana kijana, ulicho kifanya tumekikubali saaana. Pambana tena uzudi kutupa vitu kama hivi.

  • @guerschomgjuvomary993
    @guerschomgjuvomary993 6 месяцев назад +2

    Brother 🤔 hapa umegusa mioyo ya wengi hakika, ubarikiwe kwa kweli 🙏

  • @claudeamisilemieux6087
    @claudeamisilemieux6087 6 месяцев назад +2

    Courage mbondo

  • @jeannehekilozo4556
    @jeannehekilozo4556 7 месяцев назад +2

    Mungu akutangulie kwakila jambo kakaangu ❤❤

  • @ebuelabushiri841
    @ebuelabushiri841 7 месяцев назад +4

    Congratulations my big brother you did it and you did it well

  • @ronaldinhojunior1863
    @ronaldinhojunior1863 4 месяца назад +1

    Inasikitisha aisee😢keep brother ❤❤

  • @nature_world1
    @nature_world1 2 месяца назад +1

    Nice work 👏 👌

  • @oredimusa3325
    @oredimusa3325 4 месяца назад +1

    Mziki nzuri sana ndugu. Endelee sana na Usikate tamaa ndugu. Mziki umetufunza sana. Tumsaidie kupromote mziki huu kwenye baadhi ya platform kama, tiktok na kadhalika....

  • @Rizkhantz_thedon_Official.
    @Rizkhantz_thedon_Official. 29 дней назад +1

    Big up sana

  • @HdisjsJss
    @HdisjsJss 6 месяцев назад +3

    Upew maua yako 🎉🎉❤❤ 🎊 my favorite song ❤

  • @akimbahekelwa373
    @akimbahekelwa373 7 месяцев назад +1

    Big up sana bro. Akim Ayamba from Bukavu DRC 🔥

  • @safinyasa
    @safinyasa 7 месяцев назад +3

    Wimbo mnzuri sana kaka yangu tena unaelemisha kabisaa, Hongera sana. Nilikuwa naomba ya simu yako kama hautojali hili niongee na wewe.

    • @AutoMusicBalance
      @AutoMusicBalance  4 месяца назад

      instagram.com/automusic_balance?igsh=dWc0bHBxNWpyMmE0& nicheki hapo

  • @samuelisadiki3226
    @samuelisadiki3226 7 месяцев назад +3

    Good job bro ❤

  • @user-vr6xq2lr2g
    @user-vr6xq2lr2g 7 месяцев назад +2

    Vizur sana ubatikiwe umetuletea ujumbe mzuri sana

  • @letroistotal4366
    @letroistotal4366 2 месяца назад

    Duuuhhh🎉🎉🎉🎉 hunawez san brothe

  • @bisengobubasha
    @bisengobubasha 7 месяцев назад +2

    Woow, ujumbe mzuri sana brother 🙌🏽🙌🏽🙌🏽💯💯

  • @bahatirachel2145
    @bahatirachel2145 5 месяцев назад +2

    Good job my brother 🙌🙌🙌🙏🙏

  • @MajaliwaBitomwa-qu7mc
    @MajaliwaBitomwa-qu7mc 7 месяцев назад +1

    Kweli kaka ujumbe mzuri sana

  • @penueldjuma2845
    @penueldjuma2845 7 месяцев назад +3

    inaitwa funga mwaka ❤❤❤❤❤😊

  • @Mbondotv345
    @Mbondotv345 7 месяцев назад +1

    Yani sisi apana mungu akubariki sana kaka wimbo wako una nifundisha kitu ❤️🔥🔥

  • @Mk12_d3
    @Mk12_d3 4 месяца назад

    Ongera mnooh my brother ❤

  • @penueldjuma2845
    @penueldjuma2845 7 месяцев назад +3

    Kali ya mwaka 🎉🎉❤❤❤

  • @sambin1982
    @sambin1982 7 месяцев назад +2

    Keep up with good work 🎉

  • @johnmialano
    @johnmialano 7 месяцев назад +2

    Wimbo bora kwa wakati sahiii🔥

  • @josephbilembo6165
    @josephbilembo6165 7 месяцев назад +1

    Tokoos frere ❤😂😅😅😊😊

  • @MarcelMek
    @MarcelMek 6 месяцев назад +5

    Tu as mon soutien depuis Bujumbura na kumbuk Daddy my here , ta chanson me donne du frison 😢

  • @user-nf5ob8hv4h
    @user-nf5ob8hv4h 7 месяцев назад +1

    Kaka auto hiyo wimbo Hina ni kumbusha mbali saaaana kaka

  • @docta0nge709
    @docta0nge709 7 месяцев назад +2

    Wimbo wenye message nzuri sana

  • @MmungaMLTV
    @MmungaMLTV 3 месяца назад +1

    Mmunga ML TV na team yake nzima inavutiwa sana na wimbo huu.
    Kwahiyo hachatuseme ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-xu9mg8zr8x
    @user-xu9mg8zr8x 4 месяца назад

    Good job brooooo congratulations

  • @AbdanzuProd-gl6gy
    @AbdanzuProd-gl6gy 5 месяцев назад +2

    Nzuri kabisa.hongera bro

  • @uwezobenjamin699
    @uwezobenjamin699 6 месяцев назад +1

    Hongera sana kijana wetu mwana wetu

  • @lorrainemalemusa9849
    @lorrainemalemusa9849 7 месяцев назад +4

    I'm glad to be a part of this

  • @Jeack1M
    @Jeack1M 7 месяцев назад +14

    I like this song

  • @motop10tv35
    @motop10tv35 7 месяцев назад +5

    Can’t wait

  • @user-tf4uk1gl7y
    @user-tf4uk1gl7y 5 месяцев назад

    King chaguo la wengi ❤

  • @rashidimahamudabdala
    @rashidimahamudabdala Месяц назад +2

    Kwili tabia mbaya ya wabondo inasumbua ata kufanya maendeleo kwetu tunaanza kujenga inje ya ichi yetu uruma sanaaaaaasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!.

  • @jeromemtonyembo4795
    @jeromemtonyembo4795 3 месяца назад +1

    Congratulations bro❤

  • @DominickNondoMussa-gf5gk
    @DominickNondoMussa-gf5gk 7 месяцев назад +2

    Niko tayari 🥰

  • @Footballparatodos26
    @Footballparatodos26 4 месяца назад +1

    Hit song ya kibembe. Big up sana kaka kazi nzuri sana from 🇲🇿

  • @ziadamauwa4196
    @ziadamauwa4196 7 месяцев назад +4

    God bless you my brother

  • @Shayboss22
    @Shayboss22 5 месяцев назад +2

    Wimbo mzuri sana una ujumbe mkubwa sana

  • @marriamemerance1462
    @marriamemerance1462 5 месяцев назад +1

    For the first time nasikiliza wimbo wako 🥰 🥰 hacha upewe mauwa yako🌹🌹🌹 umenifanya nimkumbuke marehem Baba yangu😭😭😭 @Auto Music 🎶

  • @Nyaruking
    @Nyaruking 7 месяцев назад +6

    Keep it up good music great sound ❤❤

  • @ballackpierre6704
    @ballackpierre6704 7 месяцев назад +2

    Nakupa mahuwa yako❤❤

  • @MwajumaJohn-my6gt
    @MwajumaJohn-my6gt 5 месяцев назад +1

    wibo bora alafu unafunza sana auto aunampinzani kaka 🎉🎉🎉🎉

  • @Makavelithedon2086
    @Makavelithedon2086 7 месяцев назад +2

    *Greatest song of All time for us babembe Babondo in the whole world*

  • @user-jh4ui8sg9n
    @user-jh4ui8sg9n 2 месяца назад +3

    Huu wimbo ni wetu sisi ambao tumehachwa na wazazi na kupitiya situation Kama wimbo unavyo sema

    • @twendetv5934
      @twendetv5934 Месяц назад +1

      Kweli man hii ngoma inagusa sna bro kali mno bro anajuwa sna tuuuu🙏🙏🙏🙏🙏❤️

  • @onesmwandjamlalaog3162
    @onesmwandjamlalaog3162 7 месяцев назад +9

    Good job brother ❤❤🔥🔥🔥

  • @lotendjalotex3961
    @lotendjalotex3961 7 месяцев назад +1

    🎉 from lotex 80-90
    hii imehenda

  • @BMFURAHAKWANZA
    @BMFURAHAKWANZA 5 месяцев назад +1

    Kijana kutoka Marekani umetisha

  • @user-wh6bo7rb4s
    @user-wh6bo7rb4s 6 месяцев назад +1

    Upewe maua yangu brought auto ❤❤❤

  • @user-wy5bx7gr6h
    @user-wy5bx7gr6h 7 месяцев назад +1

    Kali sana hii bro

  • @user-nf5ob8hv4h
    @user-nf5ob8hv4h 7 месяцев назад +1

    Kali hiyo kaka

  • @TanganyikaTV
    @TanganyikaTV 7 месяцев назад +1

    Ongera sana ujumbe mzuri sana

  • @ramadhanidonne2431
    @ramadhanidonne2431 3 месяца назад +1

    Saluti kwako bro

  • @user-wj5vc1nn1e
    @user-wj5vc1nn1e 6 месяцев назад +1

    Jamani ivi nalia

  • @yellowbemoda2312
    @yellowbemoda2312 7 месяцев назад +5

    King de music 🎉

  • @christopherbillypapa3612
    @christopherbillypapa3612 7 месяцев назад +2

    Fvrt song yane 👌👌🔥🔥🔥🙌🏻🥰👏

  • @KaMsBabA
    @KaMsBabA 7 месяцев назад +1

    Ndio👏👏👏👏

  • @dasilver7093
    @dasilver7093 7 месяцев назад +2

    Fvt❤😊

  • @user-ow5dp7vf1u
    @user-ow5dp7vf1u 5 месяцев назад +1

    Huu ndo wimbo bora wa mwaka
    Hongera mwamba

  • @user-zf7zm4bi9m
    @user-zf7zm4bi9m 4 месяца назад

    Fundi mkuu❤