Wimbo huu umenigusa sana Kwa mambo ninayo yapitia dah kweli Wambembe sio watu wazuri 😭😭😭😭 Huu wimbo nitaupenda zaidi ya miaka yote ambayo nitafanya hapa Duniani
Kila nikihisikiya hihi naisi kama mpya tu masikioni mwangu Hongera sana bro mungu akulinde na akupe hujuzi mkubwa uzidi kufanya goma kali zahidi ❤🙏🏿🙏🏿💪🫶🤗❤️
Brother, good job. Wimbo huu Nishausikiliza mara 9. Wabembe wakiacha uchawi wao wakuuwa watu inchi yetu itaendelea ata fz itaendelea wakini uchawi wao wameuweka kuwatu kuliko kuweka kufitu.🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wimbo huu nimesha usikiliza mara 29 lakini bado sijauchoka, maana umebeba ujumbe mzito sana njuu ya jamii yetu au njuu ya kabila letu sisi umenifanya nimkumbuke baba yangu. Umenigusa Sanaa tu. Keep up good work 👏
Mziki nzuri sana ndugu. Endelee sana na Usikate tamaa ndugu. Mziki umetufunza sana. Tumsaidie kupromote mziki huu kwenye baadhi ya platform kama, tiktok na kadhalika....
Kwili tabia mbaya ya wabondo inasumbua ata kufanya maendeleo kwetu tunaanza kujenga inje ya ichi yetu uruma sanaaaaaasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!.
Hivi wasani wakibembe wakiwa wanahachiya ngoma kama hizi, hivi kweli nitasikilizaga ngoma zingine kweli?❤
Message sent and delivered 👍
Kumbe lugha yetu ya kibembe ina leta nyimbo nzuri kiasi hichi alafu Rythme kali mno @Auto big up brother
Ebembe to the world hii ngoma sijawai kuhichoka hata kidogo
Nipenda sana message ndani ya hii nyinbo ❤god bless you brother 🙏🏾🙏🏾😇
Amazing song my brother, umepatia brother, tupeleke kibembe Dunia. Am proud to be m'bembe
Wimbo huu umenigusa sana Kwa mambo ninayo yapitia dah kweli Wambembe sio watu wazuri 😭😭😭😭
Huu wimbo nitaupenda zaidi ya miaka yote ambayo nitafanya hapa Duniani
Nakupongeza sana Big Brother
Hii ngoma ni kama ume niimbia mimi yani😢
A boy from 👉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kazi kubwa brother 🙏
Kaka japokuwa sikujuwi Ila unaweza saana. Everything you said is true 🙏🏾💔
Ongera sana ❤❤❤
Kila nikihisikiya hihi naisi kama mpya tu masikioni mwangu Hongera sana bro mungu akulinde na akupe hujuzi mkubwa uzidi kufanya goma kali zahidi ❤🙏🏿🙏🏿💪🫶🤗❤️
Nyimbo nzuri sana ndo nimeiona leo najuta kwann sikuijuwa miezi mbili nyuma keep up brother 🙏
❤❤❤❤ tulio achwa na wazazi wimbo uhu unatufariji 😢😢😢na kutuliza sana 😢😢
Kweli kbsa😢😢👏🏿
huu wimbo umebeba reality ya wabembe siyo siri. fav song 🥰
Big up Sana kipaji chetu kwa wimbo Mzuri uhu una mafunzo Mengi ❤
🎉🎉🎉🎉bro una wezaa sann❤❤
Hapo Sawa kabisa ❤❤❤❤❤
Sijachoka kusikiliza uhu wimbo na kila nikisikiliza mpaka nilie 😭😭 good job brother
yaani huu wimbo umenigusa sana hongera tena kijana wangu 👏👏👏💪💪🎉🎉🎉
Huo wimbo ni wakimataifa mwaka Nzima ndo wimbo wa kwanza na wa mwisho ni huu akuna mwingine hongera sana bro kwa ujumbe mkubwa
Uhu wimbo nahisi nilihimbiwa mm kwajili yababa yangu kweli
Auto musicmimi Asambo nyimbo Yako ni nzuri sana,ila ulikoseya semu Moja,bahazi yawatu Awana isiya ya uzuni.
Nasikitika sana brather ngoma nzuri ❤😢
Brother, good job. Wimbo huu Nishausikiliza mara 9. Wabembe wakiacha uchawi wao wakuuwa watu inchi yetu itaendelea ata fz itaendelea wakini uchawi wao wameuweka kuwatu kuliko kuweka kufitu.🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wimbo unastahili kupewa Single Award ❤🎉
Mwanangu mungu akuweke hiyo nyimbo imenigusa sana
Umenipa moyo brther
Mungu akutanguye kwenye kazi yako
Mimi kama swagger boy aise ihii ni it ya new hear🎉🎉🎉
Yes. Nimekubali zangu❤
Nimekubali kazi yako bro,Hii Ngoma himegusa hisia watu wengi sn ,be blessed sir ❤❤😂❤😂
Hoooo wimbo nzuri saaaana
Safi kijana wangu ❤
Wimbo huu nimesha usikiliza mara 29 lakini bado sijauchoka, maana umebeba ujumbe mzito sana njuu ya jamii yetu au njuu ya kabila letu sisi umenifanya nimkumbuke baba yangu. Umenigusa Sanaa tu. Keep up good work 👏
Nous wabembe Nous sommes très jaloux. 😢😢
Daaa ihi ngoma kali sana yaan leo march 20 toka ausubuhii mpak usiku nipo naye yaani ngoma mtu ahikifu daaaa Big up sana bro
Uh!!! nyimbo hii imenigusa sana asante kwa nyimbo nzuri 😢💔.
Big up saana kijana, ulicho kifanya tumekikubali saaana. Pambana tena uzudi kutupa vitu kama hivi.
Brother 🤔 hapa umegusa mioyo ya wengi hakika, ubarikiwe kwa kweli 🙏
Courage mbondo
Mungu akutangulie kwakila jambo kakaangu ❤❤
Congratulations my big brother you did it and you did it well
Inasikitisha aisee😢keep brother ❤❤
Nice work 👏 👌
Mziki nzuri sana ndugu. Endelee sana na Usikate tamaa ndugu. Mziki umetufunza sana. Tumsaidie kupromote mziki huu kwenye baadhi ya platform kama, tiktok na kadhalika....
❤❤❤ niko nawe pamoja my brother
Big up sana
Upew maua yako 🎉🎉❤❤ 🎊 my favorite song ❤
Big up sana bro. Akim Ayamba from Bukavu DRC 🔥
Wimbo mnzuri sana kaka yangu tena unaelemisha kabisaa, Hongera sana. Nilikuwa naomba ya simu yako kama hautojali hili niongee na wewe.
instagram.com/automusic_balance?igsh=dWc0bHBxNWpyMmE0& nicheki hapo
Good job bro ❤
Vizur sana ubatikiwe umetuletea ujumbe mzuri sana
Duuuhhh🎉🎉🎉🎉 hunawez san brothe
Woow, ujumbe mzuri sana brother 🙌🏽🙌🏽🙌🏽💯💯
Good job my brother 🙌🙌🙌🙏🙏
Kweli kaka ujumbe mzuri sana
inaitwa funga mwaka ❤❤❤❤❤😊
Yani sisi apana mungu akubariki sana kaka wimbo wako una nifundisha kitu ❤️🔥🔥
Ongera mnooh my brother ❤
Kali ya mwaka 🎉🎉❤❤❤
Keep up with good work 🎉
Wimbo bora kwa wakati sahiii🔥
Tokoos frere ❤😂😅😅😊😊
Tu as mon soutien depuis Bujumbura na kumbuk Daddy my here , ta chanson me donne du frison 😢
Merci 🙏
Kaka auto hiyo wimbo Hina ni kumbusha mbali saaaana kaka
Wimbo wenye message nzuri sana
Mmunga ML TV na team yake nzima inavutiwa sana na wimbo huu.
Kwahiyo hachatuseme ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Good job brooooo congratulations
Nzuri kabisa.hongera bro
Hongera sana kijana wetu mwana wetu
I'm glad to be a part of this
I like this song
Can’t wait
King chaguo la wengi ❤
Kwili tabia mbaya ya wabondo inasumbua ata kufanya maendeleo kwetu tunaanza kujenga inje ya ichi yetu uruma sanaaaaaasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!.
Congratulations bro❤
Niko tayari 🥰
Hit song ya kibembe. Big up sana kaka kazi nzuri sana from 🇲🇿
God bless you my brother
Wimbo mzuri sana una ujumbe mkubwa sana
For the first time nasikiliza wimbo wako 🥰 🥰 hacha upewe mauwa yako🌹🌹🌹 umenifanya nimkumbuke marehem Baba yangu😭😭😭 @Auto Music 🎶
Asante
Keep it up good music great sound ❤❤
Nakupa mahuwa yako❤❤
wibo bora alafu unafunza sana auto aunampinzani kaka 🎉🎉🎉🎉
*Greatest song of All time for us babembe Babondo in the whole world*
Huu wimbo ni wetu sisi ambao tumehachwa na wazazi na kupitiya situation Kama wimbo unavyo sema
Kweli man hii ngoma inagusa sna bro kali mno bro anajuwa sna tuuuu🙏🙏🙏🙏🙏❤️
Good job brother ❤❤🔥🔥🔥
🎉 from lotex 80-90
hii imehenda
Kijana kutoka Marekani umetisha
Upewe maua yangu brought auto ❤❤❤
Kali sana hii bro
Kali hiyo kaka
Ongera sana ujumbe mzuri sana
Saluti kwako bro
Jamani ivi nalia
King de music 🎉
My king Rapper EMOOH🔥🔥🫵
Fvrt song yane 👌👌🔥🔥🔥🙌🏻🥰👏
Ndio👏👏👏👏
Fvt❤😊
Huu ndo wimbo bora wa mwaka
Hongera mwamba
Fundi mkuu❤