my mom is dying of CANCER 😭💔💔nawewe unaniiibia surely😭😭this statement will make you cry😭😭😭💔💔🔥🔥🔥🔥🔥

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024

Комментарии • 193

  • @everlynechepkoech5649
    @everlynechepkoech5649 Месяц назад +15

    Jay please 🙏 help her to get back her money 😢😢

  • @FaithGathigia
    @FaithGathigia Месяц назад +16

    Karembo unafikiri huyu mzee na hiyo miaka yake hana family eishh

  • @ndirangunancy8448
    @ndirangunancy8448 Месяц назад +10

    Fungieni huyu mtu mpaka atoe pesa ya wenyewe na Kisha asifanyie mwingine hivyo na huyo wife mmtafute pia.

    • @Ngugi-dq7gj
      @Ngugi-dq7gj 29 дней назад

      Mr true k unasusu kwa Barabara?

  • @victoriawayua4514
    @victoriawayua4514 Месяц назад +9

    Mzee huyu ni mtoto wako pliz sema tu wewe ni mlaghai

  • @FaithGathigia
    @FaithGathigia Месяц назад +7

    Sweetie, sweetie ya kudanganya mtoto shame on you

  • @ndettothejuice3094
    @ndettothejuice3094 Месяц назад +4

    Wenye huwa wanakula pesa kama hii mwenyezi mungu awalaani.mnalea watoto wenyu na pesa ya kilio.hamtawshi pata AMANI na hii itawafuata Hadi ukoo wanyu wote.

  • @Christinemueni-ic4mx
    @Christinemueni-ic4mx Месяц назад +8

    Saidia uyo dem hapate pesa yake ama mtafute daktari akule nyasi

    • @edithkirui13
      @edithkirui13 Месяц назад

      True 😢😢ameuza shamba lskini hio doo ni mingi ama😢

  • @annlovergal
    @annlovergal Месяц назад +6

    Jay ni connect n huyu dem nimpeee agent wangu n hatamlipisha akuje Saudi afanye kaziii

  • @CharityWachira-zw9cf
    @CharityWachira-zw9cf Месяц назад +4

    Unaenda majuu wapi?na kufanya??.jay make sure huyu mwanaume amerufishia huyu msichana pesa

  • @marymutavi
    @marymutavi Месяц назад +5

    Jay saidia huyo mrembo pengine hio majuu nikutokewa figo

  • @MinnieMumbi
    @MinnieMumbi Месяц назад +4

    Usikubali kupelekwa itakua kidney corner mbaya pesa iende na figo😢

  • @ndettothejuice3094
    @ndettothejuice3094 Месяц назад +3

    Mtu asijaribu kuniletea kipara kama hii eti Hana familia juu nitamnyoa hiyo yenye imembaki.

  • @faithi7216
    @faithi7216 Месяц назад +2

    Jay don't leave this old help this lady to found the money back

  • @stellamutegi9036
    @stellamutegi9036 Месяц назад +2

    JAY FUTILIA HUYU MZEE HUNJUE AMEKULA PESA YA WATU WA NGAPI.JAY HUYU MZEE ALUNDISHE PESA hakuna majuu anaenda mzee hatatoroka

  • @joycekambuga6286
    @joycekambuga6286 Месяц назад +3

    Jay msaidie huyo mtt apate pesa yake. Mungu aingilie kati

    • @MumyMumy-p2z
      @MumyMumy-p2z Месяц назад

      Pesa yake apate hata acancel mambo ya majuuu

  • @user-pu1yh1kd4j
    @user-pu1yh1kd4j Месяц назад +3

    Kizee finally kimetoloka😂😂

  • @MinnieMumbi
    @MinnieMumbi Месяц назад +5

    Siku izi ni kubaya mashinda imeskumia watu kwa fake agents wengine wanauza figo😢God protect our young generation justice for innocent girl

  • @CharityWachira-zw9cf
    @CharityWachira-zw9cf Месяц назад +2

    Uii haki nimehurumia huyu dame.

  • @carolinekara7603
    @carolinekara7603 Месяц назад +1

    The gal knew what Jay was after...... that's why she was insisting 😅

  • @rechaelkambura9060
    @rechaelkambura9060 Месяц назад +2

    Hahaha 🤣😂 hio jina sweetie inabooo

  • @magretnjeri8322
    @magretnjeri8322 Месяц назад +1

    Hii kichwa yake kubwa akiitana sweet anakaa mjinga mzee

  • @njambisupandeiya697
    @njambisupandeiya697 Месяц назад +1

    From the word go, huyu Mzee conman Ali sense danger,

  • @lucygitobu5725
    @lucygitobu5725 Месяц назад +1

    This man is married kindly beautiful girl

  • @annahlivingstone7834
    @annahlivingstone7834 Месяц назад

    Ata msichana hajielewi unawezaje kuingizana mapenzi na kutafutiwa job majuu?On top unapeana pesa... Huyo mzee ni conman na bibiake... Hope Jay utamsaidia huyo msichana apate pesa zake na afadhali afungue biashara kuliko hio upusi wa majuu

  • @ngundomorris6767
    @ngundomorris6767 Месяц назад

    What a timely move from God to rescue the situation jameni, never joke with God

  • @HellenJacobeth
    @HellenJacobeth 29 дней назад

    C kwa ubaya lakini me huchukuea doo end i don't care mzee hatawai doo yangu liwe liwalo

  • @MERCYmercy-rl3lu
    @MERCYmercy-rl3lu Месяц назад +1

    Huyu mrembo Aliona nin kwa huyu Babu yake aki,,hizo pesa zote aki na Saud ni Bure bora ukue na passport aki Sasa 345k zote actually 🤔 waaaaaa majabu haya,,na kama ni Qatar ni karibu 85 ama 100

  • @CharityMbatha-p5h
    @CharityMbatha-p5h Месяц назад +1

    Huyu mzee nkama alitumia charm kumshikia akili huyu dem ampende 😢

  • @paulinewambui9766
    @paulinewambui9766 Месяц назад +4

    Jay shika huyu mtu

  • @DorcusKimani-ii6jg
    @DorcusKimani-ii6jg Месяц назад +9

    Mzee mgikuyu anakaa zombie 😂😂Leo unaanikwa bila pegs

  • @nancychesang9567
    @nancychesang9567 Месяц назад +1

    Jay anikaa kabisa huyu mzee na agency yake 😊

  • @elizabethkosgei4731
    @elizabethkosgei4731 Месяц назад

    Tangu lini mtu alipe Saidi ya 100000,, thousands kwenda majuu,waah pole babygirl

  • @BarwakaAden
    @BarwakaAden Месяц назад +1

    Majuu gani chukuwa pesa yako uyu mzee n minzi

  • @rosenjeri6058
    @rosenjeri6058 Месяц назад

    Jay, We love you in the streets..Good job 💪

  • @SheilaWandera-l4b
    @SheilaWandera-l4b Месяц назад

    Jay hope utafuatilia hii maneno,,doo za huyu Dem zirudi leta wife on the set

  • @winnykyeva4883
    @winnykyeva4883 Месяц назад

    The days are always numbered,Mzee conman what a shame

  • @shirleyatieno9381
    @shirleyatieno9381 29 дней назад

    This girl should have sensed a red flag from the word go.someone who claim he loves you should atleast be supportive in financing you even with little then the girl can top up the rest.enyewe to some people love leads and they leave their brains behind..i hope she gets back her money though

  • @deborakadhengi5771
    @deborakadhengi5771 Месяц назад +1

    Kuenda anaeza tumia hta 10k tuu na kila kitu kiwe saw so mwambie anitafute nipatie Agent na by 2 weeks atakuwa amesafir huy

  • @emilyMulama
    @emilyMulama Месяц назад

    Uyu mzeee n mwizi aki😢😢😢😢😢😢kawaida ya okuyu wengi wanaume kwa wanawake wengi wao wanakuanga wakora akuna okuyu awana mapenzi

  • @user-ne7cr4rm2q
    @user-ne7cr4rm2q Месяц назад

    Sikia umbwa ati sweet utatolewa kidney mna dada

  • @user-rs1zj7ex6k
    @user-rs1zj7ex6k Месяц назад +1

    Aiii sorry mrembo aki

  • @user-vv8wh2cb8q
    @user-vv8wh2cb8q Месяц назад

    Jay peleka huyo mzee polisi arudishie huyo msichana pesa yake

  • @carolynekirori1747
    @carolynekirori1747 Месяц назад +1

    Ngai unauza shamba

  • @MumyMumy-p2z
    @MumyMumy-p2z Месяц назад

    Jay ambia dem adai pesa yake ju hata anaeza sema apelekwe akufie huko adai pesa yake

  • @EstherWanjiru-fx1hj
    @EstherWanjiru-fx1hj 28 дней назад

    Mzee mkubwa na kipara imejaa kwa kichwa na hata Hana hayaa

  • @wambumwash8510
    @wambumwash8510 Месяц назад

    This is so painful. Very heartless human beings

  • @user-nk1cn6zp7c
    @user-nk1cn6zp7c Месяц назад +1

    Majuu wapi ubwa hii ngamia shetani wa kusimu

  • @njambisupandeiya697
    @njambisupandeiya697 Месяц назад

    Madem mjihadhari sana na agency ya huyu conman

  • @ivymugei
    @ivymugei Месяц назад +1

    Wewe msichana agent za kwenda majuu wako Westland,wacha kupeana pesa kwa wapita njia

  • @dorcaswairimu697
    @dorcaswairimu697 Месяц назад +1

    Majuu gani hii unalipwa hiyo pesa yote ,yaani mtu anajifanya ni rafiki naako against pesa yako

  • @ivymugei
    @ivymugei Месяц назад

    Wooi kumbe msichana alipena pesa, agent ya visa ya Canada ni 150k ama 100k, but ya huyu mzee hapana aki

  • @ZabinaNasimiyu
    @ZabinaNasimiyu Месяц назад

    Tk hakikisha mmesaidia huyu Dem n mtoto aliyeibiwa

  • @BarwakaAden
    @BarwakaAden Месяц назад

    Uyu mschana n wazimu saana
    Unaweza uyu mzee akuna family

  • @abbasriziki4841
    @abbasriziki4841 Месяц назад

    Kazi gani walipia more than kshs.400k Qatar huyu ni jangili utajikuta house manager😮😮😮

  • @eglaynamayi9032
    @eglaynamayi9032 Месяц назад

    Huyu mzee ni wale wanapeleka watu waende watolewe vigo,

  • @Dear0705
    @Dear0705 Месяц назад

    mwenye kupelekana majuu nakaa tu machini...surely this is so bad

  • @marywaithira5037
    @marywaithira5037 29 дней назад

    Mnaiba Na Bibi yako.

  • @morrisngigi
    @morrisngigi Месяц назад

    Huyo mzee aede dani ameibia wengi 😢

  • @Sarah-iw6cg
    @Sarah-iw6cg Месяц назад

    Uyu Mzee NI wale wanajifanyanga agents but they are con men ,,350k ashakula surely ,,,uyu anafaa kurudisha pesa by force 🥺..jay saidia uyu dame ata daktari WA msaferee anawezana na ii mtu

  • @Elimankimani
    @Elimankimani Месяц назад +1

    Wahaaaa Qatar 350k hapo amebebwa ujinga 😢😢😢

    • @maryatieno9130
      @maryatieno9130 Месяц назад

      Haki ni pesa mob na hii uchumi jameni anakula pesa 😢😢

  • @RoseKanini-hx5re
    @RoseKanini-hx5re Месяц назад

    Jay help this girl get her money

  • @deborakadhengi5771
    @deborakadhengi5771 Месяц назад

    Hakuna mapenzi hapa hata inafaa huyu mzee aekwe mahali kias ateseke

  • @user-go7od7jj5r
    @user-go7od7jj5r Месяц назад

    Jay tafazali sauti inatusumbua sana sababu sauti ni kidogo sana.

  • @user-pu1yh1kd4j
    @user-pu1yh1kd4j Месяц назад +1

    Ninini inakuaga Baya na ladies ? Unadanganywa na babu yaku telling you Hana wife ?

  • @redemptajerry5446
    @redemptajerry5446 15 дней назад

    J huyo anatakiwa kwenda police mbona unamwachia sasa.

  • @nasrasway7143
    @nasrasway7143 Месяц назад

    Kenya kumepamba Moto kuuza kidney za watu na kuwaua pls serekal ichukue sheria haki Kenya sio safe tena

  • @magretnjeri8322
    @magretnjeri8322 Месяц назад

    Sasa huyo mzee na mtoto wa lika ya mtoto wake aty sweetie ya kamuti ama sweet gani 😢

  • @marywaithira5037
    @marywaithira5037 29 дней назад

    Ata hii kimuzee hakupendiwewe

  • @marywaithira5037
    @marywaithira5037 29 дней назад

    Huyu mwizi Aki Na Ni kimuzee.

  • @vionahandrew1428
    @vionahandrew1428 Месяц назад

    Jay😂😂😂 nimeona ukidingiza mujurus,na unasalimia watu na utapata mahindi ununue udondolee kitoo na hiyo mkojooo😂😂😂😂

  • @Hanuni344-fb9cc
    @Hanuni344-fb9cc Месяц назад

    Mwanaume ukule dem na ukule pesa shetani wewe pole bby gal hii dunia haina huruma jameni alipenda pesa ya shamba hapo hakuna mapenzi

  • @malikalmammry6890
    @malikalmammry6890 29 дней назад

    Vijana msome haya wanaume 70per cent hawana utu

  • @deborakadhengi5771
    @deborakadhengi5771 Месяц назад

    Jay huyu jamaa niafugwe maana kma huy ametoa 350k na kuna wengine si ni mwizi huyu

  • @margaretwambui2306
    @margaretwambui2306 Месяц назад

    Mwanaume a anaongea kama mtoto ati sweeti aende akaozee jela

  • @omangash23oirere20
    @omangash23oirere20 Месяц назад

    Mbgeshika huyu conman

  • @deborahsusan136
    @deborahsusan136 Месяц назад

    Huyu fisi hajatumia hio doo help. Her at least apate refund angalao 200k

  • @saudatoto3010
    @saudatoto3010 29 дней назад

    Mbona umuPee cimu

  • @jerushawangoi-cc1pj
    @jerushawangoi-cc1pj 26 дней назад

    Huyu ni yule jamaa niliwahi sikia story zake

  • @user-eq9xt7qi3n
    @user-eq9xt7qi3n Месяц назад

    Haki huyu jamaa mpka hajui anajibu nn anaitika itika tu mpuuzi huyu 😢

  • @marywaithira5037
    @marywaithira5037 29 дней назад

    Ata vile kinaongea , Ni Kama tu mgongaji.

  • @user-dj1io8uy5f
    @user-dj1io8uy5f Месяц назад

    Wanaume awataki kazi ni kuua ns kukula wanawake

  • @christinemoranga7598
    @christinemoranga7598 27 дней назад

    Mapenzi kaa mimi nisimame walai 😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @paulinewambui9766
    @paulinewambui9766 Месяц назад +1

    Msaidie

  • @joycenyambura2889
    @joycenyambura2889 Месяц назад

    Madam ile stress tuko nayo majuu heri kufungua biashara na hizo pesa za shamba kenya. 😢😢

    • @maryatieno9130
      @maryatieno9130 Месяц назад +1

      Imagine 😢

    • @joycenyambura2889
      @joycenyambura2889 Месяц назад

      @@maryatieno9130 huyu hajui zile shida ziko gulf hata kama German ni stress tu

  • @christineochieng1772
    @christineochieng1772 24 дня назад

    Mzee kipara

  • @annemutisya2329
    @annemutisya2329 29 дней назад

    Jay tembes

  • @lucywairimu3580
    @lucywairimu3580 Месяц назад

    😮huyu anafaaa akule nyasi hio ndio dawa yake

  • @user-nk1cn6zp7c
    @user-nk1cn6zp7c Месяц назад

    J saidia huyu msichana aki

  • @AishaOmaromar-w2t
    @AishaOmaromar-w2t Месяц назад

    Hili kuna waty wakweli wenye wanaeza safirishwa mtu bila utapeli mm hata nimeogopa

  • @CharityMbatha-p5h
    @CharityMbatha-p5h Месяц назад

    Mnatoanga nguvu wapi ya kudate wababaz😢😢😢

  • @rechaelkambura9060
    @rechaelkambura9060 Месяц назад

    Wallae Hawa watu dawa Yao nikukulishwa nyasi huwezi nifanyia hivo

  • @Nancybosibori-sz5nb
    @Nancybosibori-sz5nb Месяц назад

    MUNGU saidia wanadada aki

  • @christineochieng1772
    @christineochieng1772 24 дня назад

    This man is married

  • @user-cv3rc6hf5k
    @user-cv3rc6hf5k Месяц назад

    Yani kitoo wewe si mzuri unatyonyesha jay akifanya one two😂😂😂

  • @johnwaweru3205
    @johnwaweru3205 Месяц назад

    Mzee mkora

  • @HappynessJose
    @HappynessJose Месяц назад

    Sku ya mwisho atauliwa huyo dem

  • @Anne-f9m
    @Anne-f9m Месяц назад

    Huyu mzee nilijua ni gaidi from the word go

  • @MaryMunyao-dw8xb
    @MaryMunyao-dw8xb Месяц назад +1

    Huyu Mzee ako na familia😅

  • @gracepengi5645
    @gracepengi5645 Месяц назад

    But lady's why are you dating your grandfather surely?

  • @FaithGathigia
    @FaithGathigia Месяц назад

    Heheheeeehe wuuui karembo nakuhurumia