Hapo kwenye bungoo aisee ringoo umenikumbushaa mbali mnoo🤣🤣🤣🙌 Ila kwel malipo ni hapa hapa duniani aisee ila malipo ya Sele ya mekua haraka mno mpaka Raha yani🎉
Ever since i started kuwa fan mkubwa wa Mkojani gang, hakuna part Ya Chandim iliyowahi kunigusa kama ile Sele alikua analia anaongea janmkojani juu ya kaburi la mkojani akiwa amevaa nguo za mkojani. That was so emotional.. ilikua series gani vile ileee....
Wangapi walikuwa nasubiri kilio cha sele 😂😂😂😂😂
Mmi apa aiseee😅😅😂
Km unamkubali mkojani gonga like yko kuonesha upendo wako sote kwa pmja
Sele kapigwa na k2 kizito😂😂😂😂😂
Team mkojani gang 😅😅😅😅 Ringo Star. Huko vizuri sana 💯💯
Hapo kwenye bungoo aisee ringoo umenikumbushaa mbali mnoo🤣🤣🤣🙌
Ila kwel malipo ni hapa hapa duniani aisee ila malipo ya Sele ya mekua haraka mno mpaka Raha yani🎉
Wakwaz leo mm😅😅😅
Sele Utakufa na mawazo maana Hicho kitufe 😅😅😅😅
Mwisho Wa Ubaya ni Aibu
Ila mkojani umejua kunichekesha,kuja na mabegi kama yondosista😅😅😅😅
Sema hiyo idea ya saore company balaa kama kwel watakuw waaminifu inatufaa sana hyo vijana
Ringo mbona ivo bana unacheka kaa mazuri lafu kiumbea umbea 🤣😂😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣
Kimeumana hapo ndio patamu baba akachukua mwali Sele haaaaaa fundisho safi sana
Mkojani wewe hebu mwite tena tuzikie😂😂😂😂😂
Jamani anashikwa nabotwa sele😢😢😢😂😂😂🎉🎉🎉🎉
*Masaibu Yameanza Chandim*
Mkojani mwambie Kai na baruti wawe taem moja wanaimba vizur na tuna itaji nyimbo zao toka Burundi 🇧🇮🇧🇮🤞
chandimu ww sio bungo
Ringo mkolofi unampigia biti la movie yakivita wakati wa magumu dah kwel noma the best movie 2024❤❤❤
Ringo jamaaaan si kwa kicheko icho cha umbea umbea 😂😂😂
Sele wee usilie jikaze mtoto wakiume
Sele amekua mpole sasa😂😂😂😂😂
Sele ujifanya jeuri😂ona sasa
Sele umeyatimbaaa Sasa ila uyo mweny nyumba wa big dada bdo ajawa sawq mweny mov anaenda res
Sele kula chuma iko 😂😂😂😂
Sele umesingwa mpk na tui la nazi lkn waaapiii😂😂😂
Sele utajua hujui kushayatimba
Sele ameuponza😅😅
Mungu akupe nini Macmuga 😂😂
Kitufe Cha moyo wako😂😂
Hatar sana 😂😂
Sele katuzalilisha ss wanaume
Ringo acheka kama mazuri vile 😂😂
Mimi hapa wakwanza
Wa kwanza leo
vizur kuleta haraka asante mkojani gang
Sele wa mbosso😂😂
ringo mnafiki sana 😅😅😅😅😅😅😅😅
Uliambiwa utamkumbuka vi shele jinga
mkojani umu kacheza mtu mzuri
Goes around comes around SELE kimemkuta 😂😂🇴🇲
Mungu akupe nini Mac muga😂😂😂
Macmuga alipewa vitu vizuri 😂😂😂😂
Ila ringoo😂😂😂😂😂😂
Nyie nawapenda sana hamcheleweshi vitu vyenu
Kaz nzuri
Reo nimewahi sana sjacherewa
All the best
Sere limemukuta jambo😂😂😂
Imba selemani we.......sele......kubabaakeeeee
Nlikua nangoja kwa hamu matokeo ya sele😂😂😂😂
Hongera timu mkojani kazi Nzur akuna kupoa tunaelewa kazi zenu tupo pmj 👊👊
Kilanga haliliwi wala hawekewi matanga hicho ndicho kilichomkuta chandimu
Subwoofer 😂😂
😂😂😂😂😂😂nimecheka selee alipo lia alafu akachekaa aaah kudadeki
Congo
Umetisha kaka
Nenda kwa mkojani Sele ukakione Cha moto
Selemani amekula chuma cha moto kizito
Leo mie watano siamin
Daaaah ila lingo mnafki sana sio kwa kicheko hicho😂😂😂😂
Funzo tosha asahnteni. ❤❤❤❤❤❤❤
Ila lingo nguo zake 😂😂😂
Ringo usitoke team mkojani umechukua nafasi ya chumvi nyingi
Selemani wee sele😂😂😂😂😂😂 kula chuma hichoooo
Malipo ni hapa hapa sele mdg mdg ameanza kuyatimba😂😂😂😂😂😂😂😂😂dadekiiiiii
Sele yamemkuta sasa 😅😅😅
Pole sana Sele manake hilo ndio ulikua walitafuta
Majina ya Seleman haya
😂😂😂Mkojani 🙌🙌😍nyie hiyo mineno yake😂😂😂
Eti kama yondo sista😂😂😂
Sele hadi huruma jamani anavyo ongea na mkojani 😢😢
Msaidiiieni kuliaa timu seleee 😂😂😂😂
Woyooooooo selemani😅😅😅😅😅😅
Wa 6😂🎉🎉
Ila Ringo😃😃😃😃
Mbna inachelewa kutoka
Mwanao ukimpa jina la sele ujue dish badala ya kusoma kisarawe one litasoma kisarawe two😅😅😅😅😅
Mgoma mkari sana
Iyo nyimbo iko vizuri kishenzi
Bonge ya story 🎉🎉🎉🎉
Mkojani gang amunaga mbambamba🎉 from Moz 🇲🇿
Sele iyo kama mak muga iyo
Mozambique🇲🇿🇲🇿CADODO
Patamu hapo 😂😂 seleeeeee
Ever since i started kuwa fan mkubwa wa Mkojani gang, hakuna part Ya Chandim iliyowahi kunigusa kama ile Sele alikua analia anaongea janmkojani juu ya kaburi la mkojani akiwa amevaa nguo za mkojani. That was so emotional.. ilikua series gani vile ileee....
Kivyere baada ya chado kumuua vanda boy na mkojani ep 68
78
sele ameyatimbaas😂😂😂😂
Seleman yamemkutaaaaa😂😂😂
Sele ameyatimba sasa😂😂😂
Sele huyooo Leo kaumbuka😂😂😂
Nakubal San movie zanu sem tin wap na nagwa
Ila ringo jaman😂😂😂😂
Mashalaa hongereni kwa kuleta harka hmchlweshi
Song sasa linazd kumaansha❤❤
Najaribu kuvaa viatu vya sele lakini naona havinitoshi
Kaz nzur team,Lete nyingineeeeeeee weekend hii wengine tunashindaga home tu weekend
Kazi nzuri ❤
Lingo utaniuaaaa mm❤❤
Yan sele😂
Sele kapatikana
Sele kayatimba
Apo kwenye msaada ungemuuliza kama uwataka muhuri nae ajiuze..😅😅😅
Kazi nzuri sana❤❤
🫣🫣aibu naona Mimi😂😂sele