MREMBO MWENYE UMBO NAMBA 8 ALIYEMCHANGANYA MC GARA B NA MWIJAKU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Kwa story zaidi za maisha, burudani, vipindi na za kila siku tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
    ►JOIN OUR WhatsApp Group chat.whatsapp....
    ►SUBSCRIBE / @stbongotv
    ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
    RATIBA ZA VIPINDI VYETU
    THE BANTU JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 10 JIONI
    SPOTLIGHT JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 12 JIONI
    TWENDE JIKONI KILA IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 JIONI
    FASHIONISTA KILA JUMAPILI SAA 1 USIKU
    MR RIGHT SHOW KILA JUMAMOSI SAA 4 USIKU
    KIU SERIES JUMATATU HADI IJUMAA SAA2:30 USIKU
    THE SPIRIT NA IBADA LIVE KILA JUMAPILI KUANZIA SAA 4 ASUBUHI
    MOVIE NIGHT NI KUANZIA JUMATANO MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA NNE USIKU NA MARUDIO MCHANA KILA SIKU

Комментарии • 121

  • @janetjosephat8093
    @janetjosephat8093 Год назад +3

    Gara B ana mke mzuri wa shape na sura pia, afu smart,huyo dada kiburi ndo kimemjaa usoni

    • @ranayuhase1405
      @ranayuhase1405 Год назад +3

      Umbo lenyewe la jawaida huyo akinenepa kuzidi hapo wooi anayaokotea miguuni hayo mahipsi

    • @Michoarbah
      @Michoarbah Год назад

      😂😂😂

  • @Surashy55
    @Surashy55 Год назад +5

    Mc gara ameuelewa mzigo🔥😁😁

  • @JofuJoel-wy7sc
    @JofuJoel-wy7sc Год назад +10

    Dada yuko sawa mpaka kanikumbusha wanaume tutafute hela ivyo vitu vipo also dada kiburi Sana sijui kwasababu ya umbo ama la

  • @ESTHERJAMES-x8w
    @ESTHERJAMES-x8w Год назад

    Uy ana chochote kabx unakuta ajuw at mambo yaliandaa muxoxi❤❤❤

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 Год назад

    Sura Siyo mzuri halafu anajikutaaaaa

  • @victoriazakaria6197
    @victoriazakaria6197 Год назад +1

    Umependeza sana wajina

  • @husseinhumbi6373
    @husseinhumbi6373 Год назад +2

    Mnachofanya kwass hivi unawatoa wanawake ktk aibu mnawaweka katika ushatani mmefanya hapo kuwauza wtt wa kike wakiwa wenyewe wajitambua huo ndio unyanyasaji wa kijinsia

  • @mtoobebe5778
    @mtoobebe5778 Год назад

    them Vicky she so beautiful

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf Год назад +2

    Mbona wa kawaida sana

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu Год назад +3

    Mwijaku kiboko

  • @RehemaMatheo-rz5rf
    @RehemaMatheo-rz5rf Год назад +2

    Mnaongeza makalio lakini ampati wanaume adi mnaenda mr raity mnatabu Sana wanawake

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Год назад +1

    Vipindi vingine ni kujidhalilisha tu

  • @alphablondponera2367
    @alphablondponera2367 Год назад +7

    Hiv hii show lengo lake nn maana naangaliaga Ila sijawahi kuelewa maudhui yake

    • @JofuJoel-wy7sc
      @JofuJoel-wy7sc Год назад +3

      mi naona maudhio yake nikuja kutonyesha kwamba wanawake wazuri ndo awaolew

    • @MamaMama-xp4nk
      @MamaMama-xp4nk Год назад +1

      @@JofuJoel-wy7sc 😄😄😄🤣umenifanya nimecheka

    • @JofuJoel-wy7sc
      @JofuJoel-wy7sc Год назад +1

      @@MamaMama-xp4nk ikweli kabisa

    • @dismasstanslaus5985
      @dismasstanslaus5985 Год назад +2

      Nilifikili ni mmi ndo sijaekewaga ,kumbe tupo wngi

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 Год назад +3

      Kama wanajiuza tu hakuna la maana

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 9 месяцев назад

    So cute 💕💞

  • @stevennenelwa3192
    @stevennenelwa3192 Год назад +30

    Huyo dem anaonekana jeuri kisa choo hicho hata ongea yake kwa usawa huu lazm awe single tunakula tunasepa

    • @mohamedslh5478
      @mohamedslh5478 Год назад +2

      Choo choo 😂😂

    • @pendombinga3584
      @pendombinga3584 Год назад +2

      Ndy aache jeuri ajue choo sy dili. Ingekuwa dili asingekuwa hpo

    • @amryzarcky6030
      @amryzarcky6030 Год назад +2

      Aisee,,Hivi matamasha kama haya yana nia gani kwa dada zetu!Jamani akina mama amkeni

    • @deus8629
      @deus8629 Год назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @alibabu4818
      @alibabu4818 Год назад +1

      Sio kweli . Huyo dada Pamoja na uzuri wake yupo shy na uneducated that why she isn't co2nfident

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Год назад +2

    Hilo ni danga haliwezi kuwa single hilo, nani anamzuga, huyo inamaana ni Mali ya "wengi"

  • @lawijosephezekieli1078
    @lawijosephezekieli1078 Год назад +1

    Cjaona kbuli SEMA wanaume wasio na pesa wanamapovuu tafuta pesa mwanamk wakawaida sana?

  • @soldier16160
    @soldier16160 Год назад +2

    Urembo mingi ni ishara ya akili ndogo😂😂.

  • @petermsechu1519
    @petermsechu1519 Год назад +1

    Sasa Jamani M Dada kama huyu Kaenda Kujizalilisha hapo daah Au ndio Hana Shida ya Wanaume Kaenda kwa Ajili ya Kuwalingishia Umbo tu

    • @muhsinirasuli2473
      @muhsinirasuli2473 Год назад

      Ttizo wanaume hamekeweki mnataka nn jamani ndio maana tunaenda kujionyesha huku

  • @elenestinasambala9694
    @elenestinasambala9694 7 месяцев назад

    Mc garab khaaa

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 Год назад +5

    Dada anajikuta kichwa kikubwa wakati anaonekana kabisa zamani ndo alikua mzur lkn mashauz sasa

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Год назад +1

    Kama yuko single ndo ujue ana matatizo huyo dem

  • @liberatedpeople6054
    @liberatedpeople6054 Год назад +1

    Anajifanya anasema wanaume mnkwama wapi kumbe moyoni anajisemea nakwama wapi🤣🤣

  • @AishaSuley-ln7fj
    @AishaSuley-ln7fj Год назад

    Inatisha!kwann nimrembo alafu hana bby? Kwasababu warembo huogopewa sana kwani huringia urembo wao nfivyo ilivyo

  • @samshelembi4962
    @samshelembi4962 Год назад +2

    Yuko single wap anasema ivo ili atongozwe tu

  • @teresianjoroge2112
    @teresianjoroge2112 Год назад

    Jamani mwamuona mc wetu

  • @farinhafrank-dm4sg
    @farinhafrank-dm4sg Год назад

    Wanasumbua hao

  • @leonardmathias9948
    @leonardmathias9948 Год назад

    Wanawake mbona mnajidhalilisha sanaa

  • @kalewengeltsegaye9013
    @kalewengeltsegaye9013 11 месяцев назад

    Who's her name please

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Год назад +3

    Dada anaumbo lakini anavyo behave acha awe single again and again

  • @arkaddavisha
    @arkaddavisha Год назад +4

    Warembo wameisha Tanzania turudi sio tuliokua mbali inakuaje uyo dada Shep ya kawaida tu sura Hana mnampa hype kiasi hicho. Ndo Mana anapata jeuri ebu tutaftieni warembo bhana

  • @Shafiijuma-ly7ep
    @Shafiijuma-ly7ep Год назад

    Wabongo naona mmeleta mbwinu mpya ya kuuza k 😂😂🤣🤣😂😂😂🤣😊

  • @angelinasendwa8633
    @angelinasendwa8633 Год назад

    Gara B.hayo si mambo yake jamani anapamba tu kama akiwa ukumbini...Mary tu anamchanganya jua kali 🤣🤣🤣😅

  • @abdulazizkilume8641
    @abdulazizkilume8641 Год назад

    Pumbav zake

  • @ayubuwwayubu1015
    @ayubuwwayubu1015 Год назад

    mnada

  • @MrishoNoro
    @MrishoNoro 11 месяцев назад

    Huwez jua maana mwanamke tabia wala si muonekano

  • @mikhitaryankombo7350
    @mikhitaryankombo7350 Год назад

    Mwijaku unatushangaza unapijafanya mtu wakutoa makisa wezako hodar wakutoa Aya za qur un emesahau kama huu mwez mtukufu mnaoneshana uchi apo kwenye steji

  • @salhaayub1338
    @salhaayub1338 Год назад

    Kwanza me kinachonishangaza hapo ukipata bwana hakuna cha ndoa nikusepa tu nakwenda kukulana hayo mahari anapewa nan subuhanaallah yarrab tunakuomba simama nasisi kwenye kila hatua hapo unaenda kuliwa akichoka anakuacha😂😂😂😂😂

  • @user-fs7go1zg3b
    @user-fs7go1zg3b Год назад +1

    umbo lake limejikatakata

  • @leonardsimatya8985
    @leonardsimatya8985 Год назад

    Natamani Mimi pia nije kwenye shoo hii naomba utalatibu

  • @muhamadsalim5295
    @muhamadsalim5295 Год назад

    Hii charnal yenu haina faida kwa vijana wa taifa let bali inazidi kuporomosha maadili .Na ikibidi wahusika waifungie kabisa madhara yake ni makubwa kuliko faida

  • @joycemwankusye4872
    @joycemwankusye4872 Год назад

    Sura yakawaida

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout6116 Год назад

    Tutafte ela kaz zpo na zinalika

  • @bushbabytz
    @bushbabytz Год назад +1

    Demu sura mbaya ila tako linampa kiburi

  • @allytwahir2305
    @allytwahir2305 Год назад

    Hikiiii kipndi ni ch umalaya au Nini biashal y magendo 😂😂😂

  • @stellah3844
    @stellah3844 Год назад +2

    Yupo single 😅😅kuna shida mahali

  • @manuchoepics779
    @manuchoepics779 Год назад

    huyo dam si mrembo hata kidogo na umbo lake kuna wengi wako nayo na ni warembo kuliko yeye

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 Год назад

    Nampenda MC G NIMECHEKA 😀😀😀😂😂

  • @benardboaz6347
    @benardboaz6347 Год назад +1

    Hao wanajiuza tu hakuna mwanamke wa ndoa hapo mwanamke wa kuweka malengo ya familia hapatikani kwenye tv.

  • @lawijosephezekieli1078
    @lawijosephezekieli1078 Год назад

    Kunavitu unatakiwa kujuwa kwa mwanamk usiwe kama mwijaku macho yameutoka kissa kaona matako🤣🤣🤣

  • @waziriadam1022
    @waziriadam1022 Год назад +1

    Wanawake wenye shepu huwa mara nyingi huwa wapo single watu huwa wanaogopa wanajua ni galama kumgaramia

    • @nancembaga43
      @nancembaga43 Год назад

      Sisi tulioteleza bafuni tushaolewa tayari hao wenye matako sijui inakuaje

    • @aminaramadhani8872
      @aminaramadhani8872 Год назад

      ​@@nancembaga43😂😂😂😂😂😂😂

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Год назад

    Tatizo wanawake wa Tanzania ya mavi kunuka ni chupi mkononi wanagawa kipochi manyoa kama machizi, wengi wao hawajui kukataa hata wawe wake za watu , mwisho wa siku mnaleteana magonjwa tu mimi sitawaki kuwasikia wanawake wa Kitanzania na wengi wao ni waongo waongo uwa hawana mapenzi ya kweli

    • @user-go6xm3ef1o
      @user-go6xm3ef1o Год назад

      Wanawake wa nchi gan wako na tabia nzur ambao awana usaliti kwa waume zao niambie ?

    • @rhodarichard4494
      @rhodarichard4494 Год назад

      Kaoe urusi , 😂

  • @msellemseif3102
    @msellemseif3102 Год назад

    Ni ushenzi tuu Hao Madada kutembea uchi

  • @andallaathman3856
    @andallaathman3856 Год назад

    Nyanya huyo

  • @nassjr6566
    @nassjr6566 Год назад +1

    Hlf nyny watanganyika hamun akili san ilikuaje mpk tukawa p1 huu ni ujinga gn munazalilisha wanawake upumbav wa hali ya juu na ww mwinh jaku huna maaan

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Год назад +1

      Msalimie afande Rama🙄

    • @ibrahimngulungu
      @ibrahimngulungu Год назад +1

      ​@@TM.Sullusi na ndugu yao kilingo wamsalimie pia wao wenye akili😂😂

    • @ibrahimngulungu
      @ibrahimngulungu Год назад +1

      mwamba mnajikuta watakatifu wakati hakuna wazalilishaji wa wanawake kwa hapa tz kama hko kisiwani kwenu kila mtaa wajane wamejaa na mkiacha hamjuagi kuhudumia hata damu zenu😂😂😂

    • @nassjr6566
      @nassjr6566 Год назад

      Sio watakatifu ila kuna vitu mujiambie musiambiwe hv ww km dada ako anafny km hvy utajickia vp...???

    • @nassjr6566
      @nassjr6566 Год назад +1

      Nitakusalimia wote ila kw ss uko kwen kuna masenge kibao kila ck kwny bunge mada washoga

  • @francisgkuffar308
    @francisgkuffar308 Год назад

    Lengo kubwa la hiki kipindi hauhitaji akili ya darasani kujua,Acha wauzane

  • @pharismbu1649
    @pharismbu1649 Год назад

    Simba yuko wapi amutogozea

  • @efatauroki867
    @efatauroki867 Год назад

    Mlopo tu uyo

  • @neyfkthedon384
    @neyfkthedon384 Год назад +1

    Wife hatafutwi kwa runinga

  • @deodatusmdaku2226
    @deodatusmdaku2226 Год назад

    Hamn demu apo maji mengi tu

  • @bagengift3488
    @bagengift3488 Год назад

    Kisimbuzi cha dishi 😂😂

  • @yahayakassimu
    @yahayakassimu Год назад

    uyu mzee sema kinachombeba ili umbo tu

  • @silverman6930
    @silverman6930 Год назад +1

    What a none sense ….

  • @JacklineJosia-qs5hb
    @JacklineJosia-qs5hb Год назад

    😅😅😅😅 daaaah

  • @salimsaid7722
    @salimsaid7722 Год назад

    Mwijaku hakuna kma ww

  • @lydi791
    @lydi791 Год назад

    😂😂😂😂Mc G mbavu zangu😂😂

  • @abdulazizkilume8641
    @abdulazizkilume8641 Год назад

    Ushamba mtup wa bongo ndo unawaharib watu na kuwachukulia mda mwing wa kuangalia mambo kma haya badala ya kujadili vitu vyeny manufaa ya kujenga jamii sio kuonesha makalio na kusifia mambo ya kijinga mwanamke ameamrishwa awe kweny vaz la stara sio kuonyesha uchi wake

  • @yassinm69
    @yassinm69 Год назад

    Du kitu hichoo

  • @missmakali5240
    @missmakali5240 Год назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @RechoMeliyo-wy8ps
    @RechoMeliyo-wy8ps Год назад

    😂

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Год назад +1

    Kaja kuonyesha shepu
    😅😅😅😅

  • @abdulazizkilume8641
    @abdulazizkilume8641 Год назад

    Ujinga mtup ATI ana umbo no8 ndo nn icho taften pesa ndo heshima ya maisha sio kutuonesha mikalio ya kichin na ushoga wenu hapo

  • @cosmasthomas9164
    @cosmasthomas9164 Год назад

    Hii mizigo kama hii sometimes wala siyo "ya moto".ni nyama tu hizo ndizo zinatudatisha.kkkkkk

    • @vumi8371
      @vumi8371 Год назад

      ☺️

    • @cosmasthomas9164
      @cosmasthomas9164 Год назад

      @@vumi8371 ni mtazamo na maoni tu!hususani kama nyama zenyewe ni za kule Turkey

    • @vumi8371
      @vumi8371 Год назад

      @@cosmasthomas9164 🤣sawa

    • @cosmasthomas9164
      @cosmasthomas9164 Год назад +2

      @@vumi8371 😆😆😆😆😆!asante kwa kunielewa👍👍👍