Mungu aendelee kukupa HITAJI LA MOYO WAKO daima UBARIKIWE SANA.. mungu Fanya wepesi kwa lisu jamiii inamuHITAJI kweli kweli bariki mioyo ya watu.iwe upande wake . Amen 🙏 Amen 🙏❤❤❤🎉🎉
Mimi ninauchungu Sana na ukitaka uone kwamba Sisi japo tunachekelea lakini tuko uchi nenda katembelee sehemu nyeti za nchi mfano mahosptalin, vijijini, mpaka magerezani na kwingineko ndo ujue, yaani mimi mpaka nasema iki ni kifungo cha watu wengi kama watu wa vijijini wanaweza kukubalia kiongozi yeyote, eti wanampigia kula duu! Kwamaisha gani walionayo Mimi wazazi wangu niliamua kuwatoa ili wasifieko waje tubanane apa mjini ilimradi kinachopatikana tunagawana hicho
Nchi hii imeoza Sana inatupasa tufanye maboresho na maboresho siompaka viongozi wakongwe, hamna ata chipkizi anafaa atupeleke mchaka mchaka na atufundishe kukipenda cha kwetu,
And then muheshimiwa mboe yeye anadai kwamba apewe ridhaa ili akamilishe ndoto zake je, kama Sisi watanzania tunaojielewa hivi inaingia akilini wote kuungana ili kuzitimiza ndoto za mtu moja? Jaman apo amechemka wenye ndoto ni Sisi kwaiyo aombe ridhaa ili atutimizie ndoto zetu.
Mungu aendelee kukupa HITAJI LA MOYO WAKO daima UBARIKIWE SANA.. mungu Fanya wepesi kwa lisu jamiii inamuHITAJI kweli kweli bariki mioyo ya watu.iwe upande wake . Amen 🙏 Amen 🙏❤❤❤🎉🎉
Lissu ni lijitu likubwaaaaaa😂😂😂
Chadema ina vijana wapo smart sana
Mimi ninauchungu Sana na ukitaka uone kwamba Sisi japo tunachekelea lakini tuko uchi nenda katembelee sehemu nyeti za nchi mfano mahosptalin, vijijini, mpaka magerezani na kwingineko ndo ujue, yaani mimi mpaka nasema iki ni kifungo cha watu wengi kama watu wa vijijini wanaweza kukubalia kiongozi yeyote, eti wanampigia kula duu! Kwamaisha gani walionayo Mimi wazazi wangu niliamua kuwatoa ili wasifieko waje tubanane apa mjini ilimradi kinachopatikana tunagawana hicho
Nchi hii imeoza Sana inatupasa tufanye maboresho na maboresho siompaka viongozi wakongwe, hamna ata chipkizi anafaa atupeleke mchaka mchaka na atufundishe kukipenda cha kwetu,
Chadema tulikuwa na imani nayo sana ila katika uchaguzi huu tumeona ni tawe lachama gani poleni sana
Lissu na mbowe wote wanastahili hii nafasi Kwa iyo atakaechaguliwa apo sawa tu
USIENDE UBELIGIJI SASA
Pamoja Sana
And then muheshimiwa mboe yeye anadai kwamba apewe ridhaa ili akamilishe ndoto zake je, kama Sisi watanzania tunaojielewa hivi inaingia akilini wote kuungana ili kuzitimiza ndoto za mtu moja? Jaman apo amechemka wenye ndoto ni Sisi kwaiyo aombe ridhaa ili atutimizie ndoto zetu.
Eti mnipe kula nitimize ndoto zangu, mmmmmh analake jambo huyu
Watu hawaulizi maswali ya akili, badara ya kuuliza je ukipewa hiyo ridhaa nini kitaendelea kuhusu chadema
Na hao wazungu ni wajumbe wa chadema
Mbona mnaonekana kama watu wa mtaani,nidhamu hakuna
Kama CCM juzi Hadi kikwete akawaambia wawe serious mambo makubwa yanapozungumzwa. Chadema very smart
Hii nafas inahitaji mtu mwenye ujasiri
Kaka chama kimekuha chakihuni