HARMONIZE ALIVYOKUJA KITOFAUTI UWANJANI UTAPENDA DIAMOND NA ZARI WAKISHANGAA LIVE
HTML-код
- Опубликовано: 6 ноя 2020
- Welcome To My RUclips Channel TemuTV (Top Entertainment and Music Television)
Please Consider Subscribe And Turn on notification🛎
TemuTV is One of E.Africa's Most Watched RUclips channel Owned by stephano Temu Who listed on the list of most 50 Young Tanzanian Influencers 2018-9. I passionate create vlog, daily shows, Exclusive Interviews, sports news and podcast about telling African story of Entertainment from different celebrity.
Karibu TemuTV (Top Entertainment and Music Television)
TemuTV ni Miungoni moja ya channel za RUclips kutoka E.Africa Zilizotazamwa Sana. Channel hii Inamilikiwa na Stephano Temu Ambaye Alitajwa kwenye list ya vijana 50 wenye Ushawishi Tanzania Mwaka 2018-9. Je? Unapenda Radio?
Unapenda mziki? Hip Hop je?
Ama shabiki wa Simba Na Yanga?
Unamkubali nani zaidi? Alikiba New song itatoka link? Issue Ya Diamond na Harmonize? Rayvanny, Mbosso mziki wa Kondegang na king Music.
AMA Vichekesho vya Joti na mpoki😂
NDIYO NI TemuTV PEKEE
Tanzania, Kenya Na Uganda
Subscribe sasa Usipitwe.🛎
more from Stephano Temu
instagram @temu_TV
/ temu_tv
twitte @temu_TV
/ @temu_tv
facebook page @stephanotemuVEVO
/ temutv
WhatsApp +255715164818
chat.whatsapp.com/GDP6fpwqjP2... Хобби
Jeshiiiii 💯♥️
Ametua kinyamwezi sana, jeshiiiiiiiiiiiii 🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🐘🎸
Am the one who noticed how people reacted to Harmonize?they actually seemed to love him more than Diamond
exactly tembo is king👑 no doubts about it😘😘
uko poa
Ww
Ok
And it made Him jealousy 😂😂and eventually quited out of the stadium 🤣🤣
Nyie machalii mond na harmo mna jua jinsi ya kuji brand
jeshi 💥💥💥
BIG UP TEMBO🥰🥰
SEM stephano temu TV 😂😂😂😂😂wadaku kinoma hongeren kaz nzur😂😂😂👊👊💪
Noma sana
More love bro 🇸🇱🇸🇱
Jeshiiiiiii
Hormonize noma and simba lao
Jeshiiii
Safi mwanayanga mwenzangu
Ni nomaa
Duuuuii
Zari mzuri mashallah
Pogezi kondeboy 🏆🏆🏆🏆🏆
Jeshiiiiiiiiiiio
Harmonize anaga mambo ya kujipaka Poda yan KAJA kishikajishikaji
Mmakonde wapasue kichwa
🐘🐘🐘🐘🙏
Jeshi
Noma
Wow lovely
Ibrah kmbe ww simba
Countryboy aMekua chwa daa
Sarah yupo wapi simuoni
Unataka atumie gari ya aina gani?
Kevi
Nakubal
Jeshi njo mkali
Gari anayotumia huyu mtu ni ya kawaida sana. Mweee
V8 ni ya kawaida hahaha umechochora ndugu
Ulitaka awe na gari ya mabawa ama nn?
Hawa jamaa (mond na harmonise) kuna kitu kinaendelea kibiashara zaidi Ila watu tunachukulia serious kama vile wanaugomvi Ila vitu vyao wanavyofanya nahis kabisa kuna kitu behind,,,
Kontr boy napendaga vile unavyo kaushaga balaa yan hunaga shobo namtu😁
Me pia nakubali
Konde jeshiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Madogo waliotoka kings music wanatia huruma sana.
😂😂😂😂😂
Let us wk
Simba is the best singer in Tz
Jeshi...🔥🔥🔥❤
Nakubl xn hw watu wawil platnum & jeshi mziki wanajua kuubrand kinomanoma
Pesa tamu kumamakeee
Nauliza hivi "Tanzania hamna corona?"
We ulisikia wapi
We yana kuhusu nini kama sio mTZ
Mungu ana tulinda ndg!hakuna corona tz.
Ay mamb tusha ya sa au sisi mungu atulind na uwo ugonjwaaaaa
Corona ni hadithi tu kaka yangu
Kalibu kutazama nyimbo mpya ya Mbosso link ruclips.net/video/3JQh8pI1_-8/видео.html
India
Ooooooy
Uko
Super artiste konde boy
Yani watu wanaishi kama ambao hawatakufa.bouncer for wht purpose?
Abby love mawazo
Hi
Simba baba lao
Hahahaa watu wana mpoti cry konde a.k.a jeshii kila raheli
Safiiii
Kondee wee jeshi kweliii
Watz nani raisi wenu? Mondi au Pombe
Wote wawili
Team SIMBA all the wayy🔥🔥🔥
Mond na hamo mnachangamsha bongofrava inakua yamoto sana
Mwisho bongo flavour itakua Kama simba na yanga mwisho wa siku hakuna jipya ktk mziki ndio wauwa mziki wa bongo wanapo elekea sio pazuri mtazamo wangu tu
@@hamiduhamdun1858 hapana huo mtazamo wako nifinyu. Wao wanapambana kuufanya mziki kua biashara kubwa..kupitia hi yo wasanii wataheshimika nawatapata pesa! Na hakutakua tena nawasanii njaa kama zamani. Wasanii wazuri walikufa kwa njaa!
😃😃😃😃
semeni hamuoni uyo mkisii amekaa karibu na diamond
Mh nouma
Haaaa simba Bsba lao
Haaaa mpaka kaondoka
Noma sana
Joeboy
Pesa shikamooo
Marahaba🤣🤣🤣
Aka kajamaa kashamba...sasa hayo masuti wanaenda harusini
Jmn ee mbn first clip walivokuwa wanakuja uwanjani ibraa na skiibi wamevaa GSM lakn walivyofika ground wako na uzi WA msimbaz 🤔🤔🤔n mm tuu nmejiuliza au tupo wengi???🤔👆👆👆
Boom kunde gang
kamandauyo
Tembo
Eti utapenda vipi sasa hakuna maandalizi naona tu kawaida haha 😂
Asa unataka maandalizi gani wakati yy ameenda kuangalia mpira wala ajaenda kwenye show
Yangaaaa atabaki kuwa mkewetu tu
Boss hukaa nyumba yeye kajieka huko mbele
Mshaanza kasumba hata Domo alikaa mbele ni uamuz tu sio Sheria
😂😂😂😂😂 hupendez hata
Bana wee upendeleo utakoma zote twajua mond n baba Lao hizi vyombo vya habari kujifanyaa tuu
Konde boy
Tanzania celebs like competing over nothing, a lot of show off
Duh jeshi utamkondesha mondi
Mashabiki mnashida nyie
Huyu jeshiii kokokooo jeshiiiii anatisha modi adua uwajani
usani ni shida saaana ivi unajua kama wakina Messi,Cristiano nawengine kama hawana ulinzi wa ivo?
tumtegemey Allah mwenyew atatulinda.Amin
Anatengeneza ajila hapo ....... Jifunze kuona jema kwenye kila baya
Hakuna Cha ajira hapo broo, hizo ni sifa Tena za kijinga.
Na king
Ajira hizo kaka
😂😂😂😂😂
Domo anatia huruma
Diamond ni bosi,hawezi kushindana na wanuka mukojo
we ni maku
@@Sifam634 mshamba domo wako mpaka na we mwenyewe
WA KAHAMA lakini Domo ndiye aliyechonga kinyago ukumbuke
Zar anashangaaaa uwanja nzima hakuna alievaaa barakoa wakat wao Uganda kitu icho hakipo anataman asiondoke👈
Anashangaa alivoshangiliwa jeahiiii
Tuna mungu hatuna barakoa
😂😂
,,
Ibra kumbe ww simba
nifurahi sna
Yanga nnataka sifa muda sio wenu wana simba wanajilwa wangwana
Ex
duuuh
Mshamba huyo
Coutry wiizzy again
Ndo nini jombiii
Unnecessary attention
Hakuna1 mtu yuko na shughuri na yeye😂😂😂
Huo niushamba
Pesa ndio kilakitu
Is he that big or they are just stunts??
Nimengudua msanii wa kibongo wanaombeana shida mtu akifanya kazi kwako ukaona ameweza kujitegemea inatakiwa ujipe bigapu Ila diamond nimeona Ana maana kabisa Tena again kabisa Yani unatoa msaada alafu unakiwazia Tena kumbe Ana hela uyo majitambo tu kweli harmonize member mond kakae
Uongo kabisa!!!!!!diamond yuko zake busy kuchek mech then unataka kuniambia kuwa anamshangaaah konde? Acha uxhambaaa😂😂😂😂😂❌
Vp meey mji
@@godfreyherman3503n😀
Bosi atabaki kuwa bosi tu conde hata aimbe duniani kote bado atabaki kuwa conde tu hawezi kumzidi dangoti ukweli utabaki palepale nyinyi ndo mnawachoganisha na video zenu
Bure kabisa
😂😂
Pesa kindogo........😂🤣
😂😂😂😂😂😂
Wakenya mmeanza🤣🤣🤣🤣
Jullo Stephen Kabisa
Nakubal
Joeboy