KAJALA AWEKAWAZI BAADA YA MASHABIKI KUMBANA MSIBANI | MBELE YA HARMONIZE | MKUBALIE ANALIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • #temutv #kajala #Harmonize
    @Temu_tv www.instagram/temu_tv
    Contact WhatsApp +255715164818
    .
    NB: kwa picha za Location na matukio
    Contact WhatsApp +255715164818
    Link www.instagram/Temu.Picture
    Kazi yangu ni kukusogezea zote zinazotrend kwenye mitandao ya kijamii na kila kona Siasa, Michezo, Habari za wasanii, Udaku bila kusahau comment yako ikiwa kaliii naruka nayo pia. Asante kwakuwa mwanafamilia wetu kama umeshasubscribe Big time sana kwako. Lakin pia km bdo subscribe sasa maana support yako ni yamuhimu sana. One love. ASANTE SANA ENDELEA KUWA KARIBU NA TEMUTV.
    MAWAZO NA USHAURI PIA NI MUHIMU UNAWEZA KUTUMA UJUMBE AMA KUWASILIANA NAMI KUPITIA +255715164818

Комментарии • 62

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 2 года назад +1

    Hongera kajala kwakuongea vizuri🤗

    • @TemuTV
      @TemuTV  2 года назад

      🙏🙏🙏

  • @deusmasasila1134
    @deusmasasila1134 2 года назад +3

    Huyu kajala kachoka tofauti na zamani

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 2 года назад

      Ni kweli kachoka..

    • @tatumashauri6589
      @tatumashauri6589 2 года назад

      Kwani yeye hakuwi na Sasa amuachie Paula kasha munyaganya kijiti tayali

  • @thomastv6432
    @thomastv6432 2 года назад +1

    🔥🔥🔥

  • @EmanueliMsaghaa
    @EmanueliMsaghaa 2 месяца назад

    Harmonize nakukubali sana brother hayo uliopitia wakati unatoka wasafi yameniumiza sana Kwan hayo yote ni majaribu kwa hapo ulipo fikia unastahili maua yako kwakwel

  • @ARAFATVSHOW
    @ARAFATVSHOW 2 года назад +3

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nime Cheka kama mujinga

    • @TemuTV
      @TemuTV  2 года назад

      🙌🙌🙌😂

  • @beatricemassawe8883
    @beatricemassawe8883 2 года назад +4

    nimependa msimamo wako nikweli kabisa upo msibani hongera kwa msimamo wako dada

  • @joshuamwaipaja7616
    @joshuamwaipaja7616 2 года назад

    Rip maunda

  • @ibrahimkadabra5065
    @ibrahimkadabra5065 2 года назад

    We kwanza nimbibi

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 2 года назад

    Kajala amekuwa kwel msbani kwanzaa

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 2 года назад

    Alaf msibani wanaleta upuuz wa kise,,,,,

  • @twalibmpetele1677
    @twalibmpetele1677 2 года назад +5

    nimelike san ulivyomjib huyo ayo mdaku hapo ni msibani uchawa wake hukooo

    • @TemuTV
      @TemuTV  2 года назад

      😂😂😂

  • @doctorkimbunga1606
    @doctorkimbunga1606 2 года назад +4

    Awa wandishi machizi bangi awa wandishi kajara umejibu vizuri na umejibu Kama staaa achana na wavuta bangi pacha

    • @TemuTV
      @TemuTV  2 года назад

      😂😂😂🙌🙌

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 2 года назад +3

    Hivi ni msibaniiii au kwenye sherehe ya wasanii wa kibongo!!!

  • @sospetermussa4955
    @sospetermussa4955 2 года назад +1

    Waandishi njaa inawasumbua sjui mnatumwa ili upate hela hivi kama unataaruma umeisomea kabisa unashindwa kutogautisha msiba naharusi? Unauliza mapenz msibani? Ujinga mtupu,.

  • @catherineamos7087
    @catherineamos7087 2 года назад +8

    Umejibu vizuri kajala hapo ni msibani na so kuleta mambo mengine tena.

  • @rehemaathuman6669
    @rehemaathuman6669 2 года назад +2

    Ebu katazeni hii kitu bas kwenye misiba ,,,tufate msiba sio mambo mengine ,,,watanzania bhana akili zetu azibadiliki

    • @TemuTV
      @TemuTV  2 года назад

      🙏🙏🙏

  • @yisufaboubakar8349
    @yisufaboubakar8349 2 года назад +1

    Hiivi kwl kajala kwanini hutaki kumsameh Mwenzio

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 года назад +1

    Do!!! Mbwembwe mpaka misibani? Waandishi mnaulizana mpaka mipini hamuoni mko msibani?

  • @veroniquemango1114
    @veroniquemango1114 2 года назад +1

    Kajala na kupenda mno

  • @mudykazi6408
    @mudykazi6408 2 года назад +2

    Msitafute kiki msibani jamani

  • @veroncawaziri912
    @veroncawaziri912 2 года назад +1

    😂😂😂😂 nani kaona uyo baba mwenye kofia alivyomwangalia Kajal juu had takoni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @TemuTV
      @TemuTV  2 года назад

      Hahaha watu wanaonaaa 🙌🙌🙌😂😂😂

    • @shazilichingala7569
      @shazilichingala7569 2 года назад

      Bongo basi 🤣🤣

  • @jeybullaz9323
    @jeybullaz9323 2 года назад +1

    Sasa wabongo tulivyo,,,mfano #Harmonize hapo aliposimama akiamua tu akimbie 😂😂😂😂😂 kuna kijiji kitamfata mbio sanaaa

  • @hadijashaban9665
    @hadijashaban9665 2 года назад +1

    Hao waandshi mm ngekutapa jera

  • @rizikiabdalla3308
    @rizikiabdalla3308 2 года назад +2

    Yani mwezenu kafa nyie mnaleta ushezi wahe nyie

  • @emmadominic9601
    @emmadominic9601 2 года назад

    Huyo jamaa alokuwa nyuma ya kajala ni mwizi au,mbona hasomeki.Anapapapsa bega la kajala,Veepeee

  • @niyimpaeve9862
    @niyimpaeve9862 2 года назад +2

    Sasa hawa wa maman wamekuja msiba au wametumwa jamani😄😄😄😄

    • @TemuTV
      @TemuTV  2 года назад

      😂😂😂

    • @mamiimohamed5671
      @mamiimohamed5671 2 года назад

      Kweli wanawake wamekuja msiba I au harusini wanaongea pumba

  • @emmanuelmataba6124
    @emmanuelmataba6124 2 года назад +1

    Nikwel harmonize anakupenda san

  • @adamsuleiman4454
    @adamsuleiman4454 2 года назад

    Mpunguze uwongo mlego sijui tv

  • @emmyjohn9010
    @emmyjohn9010 2 года назад

    Kajala nimuelewa maongez yake

  • @aishaswaleh7546
    @aishaswaleh7546 2 года назад

    Konde boy Amevaa Gunia

  • @janethjohn7053
    @janethjohn7053 2 года назад

    Wanahabari mnauliza mambo mengine kwenye msiba

  • @belindahwafula9503
    @belindahwafula9503 2 года назад

    Waaah? Mapenzi ya wasaniii

  • @esthermutabuzi4582
    @esthermutabuzi4582 2 года назад +1

    Kajala kusema kikubwa upendo haimaanishi ni lazima ampende Harmonize...mbona huyu dada anaweza kupata mwanamme yoyote! Watanzania acheni kupangia watu maisha...Diamond ndio kiboko yenu maana anajua mnapenda sana kuongelea huu upuuzi😂

    • @JASHOBOY
      @JASHOBOY 2 года назад +1

      Hermonize big up San broo

  • @janethjohn7053
    @janethjohn7053 2 года назад

    Hamumjui Mungu

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 2 года назад

    Ukubwa dawa kajala kwaapo nimekubali

  • @doreensamwely8740
    @doreensamwely8740 2 года назад

    Hiyo minong,no syo poa jamani

  • @seifndimbaye1919
    @seifndimbaye1919 2 года назад +1

    uyo mchz vp apopemben mbona smuelew elew chawa au

    • @Noah-zt5zf
      @Noah-zt5zf 2 года назад

      Nmemcheki pia yuaitwanani?

    • @TemuTV
      @TemuTV  2 года назад

      😂😂

    • @selestinsongola2787
      @selestinsongola2787 2 года назад

      Huyo nichawaaa maana yuko nyuma nyuma tu

    • @ruthiecharlz898
      @ruthiecharlz898 2 года назад

      😃😃😃😃 ety mbona simwelewi ni chawa nn mmh huenda kunguni Mana kamganda

  • @baama7masokojr12
    @baama7masokojr12 2 года назад +1

    Vyema sana

  • @stellanyakango5195
    @stellanyakango5195 2 года назад +1

    Kabisa msamehe kakamdogo rudi mjenge familia

    • @TemuTV
      @TemuTV  2 года назад

      💯💯👊👊

  • @chekapromax5116
    @chekapromax5116 2 года назад

    Wcb kwamba watajizika wenyewe