KAJALA AWEKAWAZI BAADA YA MASHABIKI KUMBANA MSIBANI | MBELE YA HARMONIZE | MKUBALIE ANALIA
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- #temutv #kajala #Harmonize
@Temu_tv www.instagram/temu_tv
Contact WhatsApp +255715164818
.
NB: kwa picha za Location na matukio
Contact WhatsApp +255715164818
Link www.instagram/Temu.Picture
Kazi yangu ni kukusogezea zote zinazotrend kwenye mitandao ya kijamii na kila kona Siasa, Michezo, Habari za wasanii, Udaku bila kusahau comment yako ikiwa kaliii naruka nayo pia. Asante kwakuwa mwanafamilia wetu kama umeshasubscribe Big time sana kwako. Lakin pia km bdo subscribe sasa maana support yako ni yamuhimu sana. One love. ASANTE SANA ENDELEA KUWA KARIBU NA TEMUTV.
MAWAZO NA USHAURI PIA NI MUHIMU UNAWEZA KUTUMA UJUMBE AMA KUWASILIANA NAMI KUPITIA +255715164818
Hongera kajala kwakuongea vizuri🤗
🙏🙏🙏
Huyu kajala kachoka tofauti na zamani
Ni kweli kachoka..
Kwani yeye hakuwi na Sasa amuachie Paula kasha munyaganya kijiti tayali
🔥🔥🔥
Harmonize nakukubali sana brother hayo uliopitia wakati unatoka wasafi yameniumiza sana Kwan hayo yote ni majaribu kwa hapo ulipo fikia unastahili maua yako kwakwel
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nime Cheka kama mujinga
🙌🙌🙌😂
nimependa msimamo wako nikweli kabisa upo msibani hongera kwa msimamo wako dada
Rip maunda
We kwanza nimbibi
Kajala amekuwa kwel msbani kwanzaa
Alaf msibani wanaleta upuuz wa kise,,,,,
nimelike san ulivyomjib huyo ayo mdaku hapo ni msibani uchawa wake hukooo
😂😂😂
Awa wandishi machizi bangi awa wandishi kajara umejibu vizuri na umejibu Kama staaa achana na wavuta bangi pacha
😂😂😂🙌🙌
Hivi ni msibaniiii au kwenye sherehe ya wasanii wa kibongo!!!
Waandishi njaa inawasumbua sjui mnatumwa ili upate hela hivi kama unataaruma umeisomea kabisa unashindwa kutogautisha msiba naharusi? Unauliza mapenz msibani? Ujinga mtupu,.
Umejibu vizuri kajala hapo ni msibani na so kuleta mambo mengine tena.
😂😂😂
swala upendo kikubwa
Ebu katazeni hii kitu bas kwenye misiba ,,,tufate msiba sio mambo mengine ,,,watanzania bhana akili zetu azibadiliki
🙏🙏🙏
Hiivi kwl kajala kwanini hutaki kumsameh Mwenzio
Do!!! Mbwembwe mpaka misibani? Waandishi mnaulizana mpaka mipini hamuoni mko msibani?
Kajala na kupenda mno
Msitafute kiki msibani jamani
😂😂😂😂 nani kaona uyo baba mwenye kofia alivyomwangalia Kajal juu had takoni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha watu wanaonaaa 🙌🙌🙌😂😂😂
Bongo basi 🤣🤣
Sasa wabongo tulivyo,,,mfano #Harmonize hapo aliposimama akiamua tu akimbie 😂😂😂😂😂 kuna kijiji kitamfata mbio sanaaa
😂😂😂
Hao waandshi mm ngekutapa jera
Yani mwezenu kafa nyie mnaleta ushezi wahe nyie
Huyo jamaa alokuwa nyuma ya kajala ni mwizi au,mbona hasomeki.Anapapapsa bega la kajala,Veepeee
Sasa hawa wa maman wamekuja msiba au wametumwa jamani😄😄😄😄
😂😂😂
Kweli wanawake wamekuja msiba I au harusini wanaongea pumba
Nikwel harmonize anakupenda san
Mpunguze uwongo mlego sijui tv
Kajala nimuelewa maongez yake
Konde boy Amevaa Gunia
Wanahabari mnauliza mambo mengine kwenye msiba
Waaah? Mapenzi ya wasaniii
Kajala kusema kikubwa upendo haimaanishi ni lazima ampende Harmonize...mbona huyu dada anaweza kupata mwanamme yoyote! Watanzania acheni kupangia watu maisha...Diamond ndio kiboko yenu maana anajua mnapenda sana kuongelea huu upuuzi😂
Hermonize big up San broo
Hamumjui Mungu
Ukubwa dawa kajala kwaapo nimekubali
Hiyo minong,no syo poa jamani
uyo mchz vp apopemben mbona smuelew elew chawa au
Nmemcheki pia yuaitwanani?
😂😂
Huyo nichawaaa maana yuko nyuma nyuma tu
😃😃😃😃 ety mbona simwelewi ni chawa nn mmh huenda kunguni Mana kamganda
Vyema sana
Kabisa msamehe kakamdogo rudi mjenge familia
💯💯👊👊
Wcb kwamba watajizika wenyewe
Watajijua wenyewe