Kijitonyama Choir m'barikiwe!!! Kaka Joshua nina maoni, Hii nyimbo ya Bam Bam mngeiingizq kwenye mtandao wa spotify, Pamoja na ile ya "Ingia Zizini uwe mmoja wa kondoo" hazipatikani spotify, spotify zipo "Ingia zizini" zingine ila sio hio nlioitaja hapo juu!!! Ubarikiwe kaka Joshua!!!
Mwaka 2004 Tulikuwa tunaimba bam bam kabla hatujaanza kuangalia muvie ya yesu kwenye sinema walikuwa wanatuwekea huu wimbo huu wakati sinema inapandishwa juu tumecheza saana huu wimbo na kwenye mikesha mbali mbali
Hakika nyimbo za hili kundi zililenga kuliinua, kulisifu jina la Yesu, zililenga kumwamudu Mungu peke yake. Nyimbo zilijaa nguvu za Mungu. Barikiweni Joshua na kundi lote.
❤❤❤ Kule Miaka ya 2004/5/6 nilikuwa bado mdogo lakini baraka kutoka kwa wanakijitonyama haikuwa ya kupimika. Mbarikiwe popote mliko nyie na watoto wenu. 🎉
Wewe Dada Mungu akubariki sana nyimbo zako nilikuwa nazitafuta kwa muda wa miaka 10 sasa. Toka 2014 hatimaye umetuletea Mungu akubariki sana yaan unanibariki sana nakumbuka nilipokuwa secondary nyimbo zako tulikuwa tunakusikiliza tukiwa wanaAssa Tosamaganga Iringa miaka kama 10
Wewe Dada Mungu akubariki sana nyimbo zako nilikuwa nazitafuta kwa muda wa miaka 10 sasa. Toka 2014 hatimaye umetuletea Mungu akubariki sana yaan unanibariki sana nakumbuka nilipokuwa secondary nyimbo zako tulikuwa tunakusikiliza tukiwa wanaAssa Tosamaganga Iringa miaka kama 10
Wewe Dada Mungu akubariki sana nyimbo zako nilikuwa nazitafuta kwa muda wa miaka 10 sasa. Toka 2014 hatimaye umetuletea Mungu akubariki sana yaan unanibariki sana nakumbuka nilipokuwa secondary nyimbo zako tulikuwa tunakusikiliza tukiwa wanaAssa Tosamaganga Iringa miaka kama 10
Who's is still here in 2024❤..memories that last..wale wa radio ya injili moshi mpoo??ikifika saa flan wanaweka kibwagizo cha wimbo huu then mwakasege
Here we are, redio injili fm moshi😊
You made my primary school entertainment time worthy. Much love and blessings from Kenya.
Rudini Wapendwa tena muifanye kazi ya BWANA❤❤
I was 6 yrs and this was the song that stuck into my mind
Muko wapi wapendo wangu tuko namitafuta, Angola 🇦🇴!!
2025.🎉All the way from Zambia
eliminjuka, joshua mlelwa naa wengine wote wana kkkt kijitonyama nawapenda.....Mungu anawapenda pia
Nmefuraha sn kumuona Mwl Mwakasege
Mbarikiwe sana wana wa Mungu
Huuu wimbo ndio uliniponya hongeren sana kijito nyama
Brother Joshua uko wapi
Yupo mkuu
Mliifanya kazi ya Bwana kwa Nafasi yenu mbarikiwe sana hz nyimbo zinaishi aisee....
Kijitonyama Choir m'barikiwe!!! Kaka Joshua nina maoni, Hii nyimbo ya Bam Bam mngeiingizq kwenye mtandao wa spotify, Pamoja na ile ya "Ingia Zizini uwe mmoja wa kondoo" hazipatikani spotify, spotify zipo "Ingia zizini" zingine ila sio hio nlioitaja hapo juu!!! Ubarikiwe kaka Joshua!!!
Amen Amen.
Ahsante sana.
Nitalifanyia kazi.
Yani sasa hivi nimetoka huko spotify aisee 😢😢😢 10:33, 28Sep24
Barikiwa sana kaka Joshua Yesu azidi kukupatia upako mana ninaposikiliza nyimbo zako ni neno la uponyaji
Mungu awabariki sana kwa kueneza injili
Tumewamiss
Mwaka 2004 Tulikuwa tunaimba bam bam kabla hatujaanza kuangalia muvie ya yesu kwenye sinema walikuwa wanatuwekea huu wimbo huu wakati sinema inapandishwa juu tumecheza saana huu wimbo na kwenye mikesha mbali mbali
Nakubaliana nawe
Nyimbo nzuri saaana na haina makosa hata kidogo. Kwanini msiifanyie remix jaman irudiwe tuu
Nafirahi sana kutokeya congo
Hakika nyimbo za hili kundi zililenga kuliinua, kulisifu jina la Yesu, zililenga kumwamudu Mungu peke yake. Nyimbo zilijaa nguvu za Mungu. Barikiweni Joshua na kundi lote.
Kwakweli
Awwww nimeitafuta hii nyimbo Kwa muda ❤❤❤❤
Uzidi kubarikiwa
Ameni❤👏
Where is this group there songs are good and soul touching
Back na days,,when life used to be sooooo good and fun
Back in Shartuka 2002. Wilberforce Millet my guy
❤❤❤ Kule Miaka ya 2004/5/6 nilikuwa bado mdogo lakini baraka kutoka kwa wanakijitonyama haikuwa ya kupimika. Mbarikiwe popote mliko nyie na watoto wenu. 🎉
Bado tuko 2024 ilikua 🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
The song was trendig Back in 2003
Wewe Dada Mungu akubariki sana nyimbo zako nilikuwa nazitafuta kwa muda wa miaka 10 sasa. Toka 2014 hatimaye umetuletea Mungu akubariki sana yaan unanibariki sana nakumbuka nilipokuwa secondary nyimbo zako tulikuwa tunakusikiliza tukiwa wanaAssa Tosamaganga Iringa miaka kama 10
Nimerudi kuiangalia tena 15/12/2024 nafarijika Sana na hii nyimbo. Nitamsifu Bwana siku zote za maisha yangu
Rudin wapendwa muifanye kaz ya Mungu
Leo nimebarikiwa sana kupata kusikia nyimbo hizi zilizo badilisha maisha yangu toka dhambini mpaka uzimani
Wapi 2025
❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Kila mwenye pumzi na amsifu Bwana Yesu.
Amen Amen
Naupenda huu wimbo...God bless you mightly
Nikisikia nyimbo hizi nakumbuka nilivyo okoka . yesu ameniokoa kupitia nyimbo hizi
In love with this song
Blessed
❤❤
Jamani nawapenda sanaaa❤❤❤❤
I really don't know the meaning of this song, but deeply in my heart, I LOVE IT soo much, from childhood to date.
Wonderful 👍🔥🔥🔥
Namuona mkewe, Je! Hao mabinti ni watoto wao?
This songs reminders me of my dad has favourite
Team kenya let us show love to our sister's and brother's from Rwanda ❤❤❤❤❤❤
Its Tanzania not Rwanda
Amazing mbarikiwe sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
We love u guyz
Nabarikiwa Sana mungu awarudishe kundini.
These guys were very strong
Nimekumbuka mbali sanaa ase
the songs that still alive
Jamani Kijitonyama hua na wapenda sana
Nilikuwa natafuta hiyo nyimbo tangu zamani nilikuwa niki iona nikiwa mtoto kidogo.
Haleluyaaaa mbarikiwe sanaaa
Mbarikiwe wateure
❤❤❤❤❤
Nyimbo imenikumbusha mbali mpaka nimetokwa na chozi la furaha
Kaka Josh tuwekee huu wimbo audiomak
Tayari upo AUDIOMACK
KUG rudini jamani,au fanyeni hii album upya live recording
Always enjoy your wonderful work
Mbarikiwe sana
God bless you abundantly ❤❤❤
Very perfect
Wao😊😊😊😊
God bless you.
Amen Amen.
Be blessed...
💓💓💓💓💓💓✅✅🙏🙏💯
Nice song
Ameni Ameni
❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Hallelujah 🙏🙏❤❤
Joshua upoooo???
Nipo kabisa...!!!
Hii ilikuwa funga kazi miaka hiyo,,. Balaaa
Mbarikiwe sana. Nibarikiwa na huu wimbo
Wewe Dada Mungu akubariki sana nyimbo zako nilikuwa nazitafuta kwa muda wa miaka 10 sasa. Toka 2014 hatimaye umetuletea Mungu akubariki sana yaan unanibariki sana nakumbuka nilipokuwa secondary nyimbo zako tulikuwa tunakusikiliza tukiwa wanaAssa Tosamaganga Iringa miaka kama 10
❤❤❤❤❤
Wewe Dada Mungu akubariki sana nyimbo zako nilikuwa nazitafuta kwa muda wa miaka 10 sasa. Toka 2014 hatimaye umetuletea Mungu akubariki sana yaan unanibariki sana nakumbuka nilipokuwa secondary nyimbo zako tulikuwa tunakusikiliza tukiwa wanaAssa Tosamaganga Iringa miaka kama 10
Anaitwa nani?