Bam Bam - Joshua Mlelwa & KUG

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025

Комментарии • 89

  • @emmydamy25
    @emmydamy25 3 месяца назад +18

    Who's is still here in 2024❤..memories that last..wale wa radio ya injili moshi mpoo??ikifika saa flan wanaweka kibwagizo cha wimbo huu then mwakasege

    • @beriamlowe3631
      @beriamlowe3631 Месяц назад

      Here we are, redio injili fm moshi😊

  • @kiruikevin2486
    @kiruikevin2486 10 месяцев назад +5

    You made my primary school entertainment time worthy. Much love and blessings from Kenya.

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 Год назад +25

    Rudini Wapendwa tena muifanye kazi ya BWANA❤❤

  • @duncanngetich2926
    @duncanngetich2926 18 часов назад

    I was 6 yrs and this was the song that stuck into my mind

  • @JonChifuijii
    @JonChifuijii Год назад +12

    Muko wapi wapendo wangu tuko namitafuta, Angola 🇦🇴!!

  • @QueenNambeye-k6q
    @QueenNambeye-k6q Месяц назад +1

    2025.🎉All the way from Zambia

  • @geroldchiwangu2134
    @geroldchiwangu2134 23 дня назад +1

    eliminjuka, joshua mlelwa naa wengine wote wana kkkt kijitonyama nawapenda.....Mungu anawapenda pia

  • @bahatirngulika4493
    @bahatirngulika4493 Год назад +6

    Nmefuraha sn kumuona Mwl Mwakasege
    Mbarikiwe sana wana wa Mungu

  • @TadeoSanga
    @TadeoSanga 8 месяцев назад +6

    Huuu wimbo ndio uliniponya hongeren sana kijito nyama

  • @CatherineGodfrey-kg8ez
    @CatherineGodfrey-kg8ez 10 месяцев назад +4

    Brother Joshua uko wapi

  • @matthewjeremy8249
    @matthewjeremy8249 Год назад +6

    Mliifanya kazi ya Bwana kwa Nafasi yenu mbarikiwe sana hz nyimbo zinaishi aisee....

  • @silastemu778
    @silastemu778 Год назад +9

    Kijitonyama Choir m'barikiwe!!! Kaka Joshua nina maoni, Hii nyimbo ya Bam Bam mngeiingizq kwenye mtandao wa spotify, Pamoja na ile ya "Ingia Zizini uwe mmoja wa kondoo" hazipatikani spotify, spotify zipo "Ingia zizini" zingine ila sio hio nlioitaja hapo juu!!! Ubarikiwe kaka Joshua!!!

    • @joshuamlelwa
      @joshuamlelwa  Год назад +3

      Amen Amen.
      Ahsante sana.
      Nitalifanyia kazi.

    • @innocentgodlisten7983
      @innocentgodlisten7983 4 месяца назад

      Yani sasa hivi nimetoka huko spotify aisee 😢😢😢 10:33, 28Sep24

    • @JaneMussa-d5c
      @JaneMussa-d5c 2 месяца назад

      Barikiwa sana kaka Joshua Yesu azidi kukupatia upako mana ninaposikiliza nyimbo zako ni neno la uponyaji

    • @happynessshauri1024
      @happynessshauri1024 Месяц назад

      Mungu awabariki sana kwa kueneza injili

  • @EmmySam-sm1lo
    @EmmySam-sm1lo 10 месяцев назад +2

    Tumewamiss

  • @BarakaGabriel-f1b
    @BarakaGabriel-f1b 3 месяца назад +3

    Mwaka 2004 Tulikuwa tunaimba bam bam kabla hatujaanza kuangalia muvie ya yesu kwenye sinema walikuwa wanatuwekea huu wimbo huu wakati sinema inapandishwa juu tumecheza saana huu wimbo na kwenye mikesha mbali mbali

  • @yohanastephano7446
    @yohanastephano7446 3 месяца назад +3

    Nyimbo nzuri saaana na haina makosa hata kidogo. Kwanini msiifanyie remix jaman irudiwe tuu

  • @LouisKilondakamulete
    @LouisKilondakamulete Месяц назад

    Nafirahi sana kutokeya congo

  • @jobsembuche3846
    @jobsembuche3846 2 месяца назад +1

    Hakika nyimbo za hili kundi zililenga kuliinua, kulisifu jina la Yesu, zililenga kumwamudu Mungu peke yake. Nyimbo zilijaa nguvu za Mungu. Barikiweni Joshua na kundi lote.

  • @imani5279
    @imani5279 Год назад +5

    Awwww nimeitafuta hii nyimbo Kwa muda ❤❤❤❤

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 2 дня назад

    Ameni❤👏

  • @musobaeyevanpal
    @musobaeyevanpal 2 месяца назад +3

    Where is this group there songs are good and soul touching

  • @joelnoel2016
    @joelnoel2016 6 месяцев назад +3

    Back na days,,when life used to be sooooo good and fun

  • @ntuntailetaya514
    @ntuntailetaya514 8 дней назад

    Back in Shartuka 2002. Wilberforce Millet my guy

  • @FranklineKBettdgtl
    @FranklineKBettdgtl Год назад +2

    ❤❤❤ Kule Miaka ya 2004/5/6 nilikuwa bado mdogo lakini baraka kutoka kwa wanakijitonyama haikuwa ya kupimika. Mbarikiwe popote mliko nyie na watoto wenu. 🎉

  • @DominicOjwang
    @DominicOjwang Месяц назад

    Bado tuko 2024 ilikua 🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @duncanngetich2926
    @duncanngetich2926 20 дней назад

    The song was trendig Back in 2003

  • @KajoBoy-n1x
    @KajoBoy-n1x 6 месяцев назад +1

    Wewe Dada Mungu akubariki sana nyimbo zako nilikuwa nazitafuta kwa muda wa miaka 10 sasa. Toka 2014 hatimaye umetuletea Mungu akubariki sana yaan unanibariki sana nakumbuka nilipokuwa secondary nyimbo zako tulikuwa tunakusikiliza tukiwa wanaAssa Tosamaganga Iringa miaka kama 10

    • @TanzaniagoodCountry
      @TanzaniagoodCountry Месяц назад

      Nimerudi kuiangalia tena 15/12/2024 nafarijika Sana na hii nyimbo. Nitamsifu Bwana siku zote za maisha yangu

  • @Pendosamweri-wr7ou
    @Pendosamweri-wr7ou 3 месяца назад +1

    Rudin wapendwa muifanye kaz ya Mungu

  • @benedictormagembe6483
    @benedictormagembe6483 Год назад +1

    Leo nimebarikiwa sana kupata kusikia nyimbo hizi zilizo badilisha maisha yangu toka dhambini mpaka uzimani

  • @FarajaKusipa
    @FarajaKusipa 3 дня назад

    Wapi 2025

  • @abdallaali3964
    @abdallaali3964 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @maureenmbowe828
    @maureenmbowe828 Год назад +2

    Kila mwenye pumzi na amsifu Bwana Yesu.

  • @lucyziri4960
    @lucyziri4960 Год назад +1

    Naupenda huu wimbo...God bless you mightly

    • @benedictormagembe6483
      @benedictormagembe6483 Год назад

      Nikisikia nyimbo hizi nakumbuka nilivyo okoka . yesu ameniokoa kupitia nyimbo hizi

  • @lynnijayiongadi8134
    @lynnijayiongadi8134 Год назад +4

    In love with this song

  • @apollomwebe4625
    @apollomwebe4625 2 месяца назад

    Blessed

  • @WilliamNathan-hm7nk
    @WilliamNathan-hm7nk 3 месяца назад

    ❤❤

  • @annaedward9868
    @annaedward9868 3 месяца назад

    Jamani nawapenda sanaaa❤❤❤❤

  • @okellosteven4919
    @okellosteven4919 3 месяца назад

    I really don't know the meaning of this song, but deeply in my heart, I LOVE IT soo much, from childhood to date.

  • @flurancembone4824
    @flurancembone4824 Год назад +1

    Wonderful 👍🔥🔥🔥

  • @florencewaane-tn9xg
    @florencewaane-tn9xg 3 месяца назад

    Namuona mkewe, Je! Hao mabinti ni watoto wao?

  • @kanyandaandrew4682
    @kanyandaandrew4682 11 месяцев назад

    This songs reminders me of my dad has favourite

  • @bitobito8586
    @bitobito8586 4 месяца назад

    Team kenya let us show love to our sister's and brother's from Rwanda ❤❤❤❤❤❤

  • @MillanBett
    @MillanBett 4 месяца назад

    Amazing mbarikiwe sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @IBISUSADIVERSE
    @IBISUSADIVERSE 9 месяцев назад +1

    We love u guyz

  • @SaraMoris-jn9hg
    @SaraMoris-jn9hg Год назад

    Nabarikiwa Sana mungu awarudishe kundini.

  • @festusmhango
    @festusmhango 3 месяца назад

    These guys were very strong

  • @jamsimushi4169
    @jamsimushi4169 Год назад +1

    Nimekumbuka mbali sanaa ase

  • @Genesmush50
    @Genesmush50 5 месяцев назад

    the songs that still alive

  • @Rutayuga-dq4ou
    @Rutayuga-dq4ou 9 месяцев назад

    Jamani Kijitonyama hua na wapenda sana

  • @ShimirimanaYvonne
    @ShimirimanaYvonne 9 месяцев назад

    Nilikuwa natafuta hiyo nyimbo tangu zamani nilikuwa niki iona nikiwa mtoto kidogo.

  • @ginzelakupaza8130
    @ginzelakupaza8130 5 месяцев назад

    Haleluyaaaa mbarikiwe sanaaa

  • @lazaroilenei-ch2js
    @lazaroilenei-ch2js Год назад

    Mbarikiwe wateure

  • @TrevinaMapiki-vn5qh
    @TrevinaMapiki-vn5qh Год назад

    ❤❤❤❤❤

  • @EmmanuelShobat-wf7cw
    @EmmanuelShobat-wf7cw 5 месяцев назад

    Nyimbo imenikumbusha mbali mpaka nimetokwa na chozi la furaha

  • @neymawilly5767
    @neymawilly5767 Год назад +1

    Kaka Josh tuwekee huu wimbo audiomak

  • @joelgdfrey
    @joelgdfrey 9 месяцев назад

    KUG rudini jamani,au fanyeni hii album upya live recording

  • @geoffreysimbeye4238
    @geoffreysimbeye4238 9 месяцев назад

    Always enjoy your wonderful work

  • @nellypoul2272
    @nellypoul2272 Год назад

    Mbarikiwe sana

  • @UshindiAksante
    @UshindiAksante 11 месяцев назад

    God bless you abundantly ❤❤❤

  • @EstherChausiku
    @EstherChausiku Год назад +1

    Very perfect

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt 9 месяцев назад

    Wao😊😊😊😊

  • @wilikisterotienookola4644
    @wilikisterotienookola4644 Год назад +1

    God bless you.

  • @AishaSalim-km8sx
    @AishaSalim-km8sx 9 месяцев назад +2

    💓💓💓💓💓💓✅✅🙏🙏💯

  • @elishasaidi
    @elishasaidi 9 месяцев назад

    Nice song

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 Год назад +1

    Ameni Ameni

  • @iyaamoding8945
    @iyaamoding8945 Год назад

    ❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @victorobinga5961
    @victorobinga5961 Год назад

    Hallelujah 🙏🙏❤❤

  • @amanididas7660
    @amanididas7660 Год назад +1

    Joshua upoooo???

  • @ngongopaul4417
    @ngongopaul4417 Год назад +1

    Hii ilikuwa funga kazi miaka hiyo,,. Balaaa

  • @victoramadi2476
    @victoramadi2476 Год назад +1

    Mbarikiwe sana. Nibarikiwa na huu wimbo

  • @KajoBoy-n1x
    @KajoBoy-n1x 6 месяцев назад

    Wewe Dada Mungu akubariki sana nyimbo zako nilikuwa nazitafuta kwa muda wa miaka 10 sasa. Toka 2014 hatimaye umetuletea Mungu akubariki sana yaan unanibariki sana nakumbuka nilipokuwa secondary nyimbo zako tulikuwa tunakusikiliza tukiwa wanaAssa Tosamaganga Iringa miaka kama 10

  • @gracekamugishakazoba9176
    @gracekamugishakazoba9176 Месяц назад

    ❤❤❤❤❤

  • @KajoBoy-n1x
    @KajoBoy-n1x 6 месяцев назад +2

    Wewe Dada Mungu akubariki sana nyimbo zako nilikuwa nazitafuta kwa muda wa miaka 10 sasa. Toka 2014 hatimaye umetuletea Mungu akubariki sana yaan unanibariki sana nakumbuka nilipokuwa secondary nyimbo zako tulikuwa tunakusikiliza tukiwa wanaAssa Tosamaganga Iringa miaka kama 10