Grew up listening to this song in our home because mum loved it so much.. it gives me teary eyes. God bless you abundantly ❤️. 09/04/2023 someone to like my comment so I can come back to this beautiful song.. 🥹
it's MAY 2024, I still listen to this song, remember back to 2003 niliimba hiyo part ya ALIZALIWA KWA TABU 🤣🤣 my father slap me and ask me who told you ALIZALIWA coz we used to know watoto wanaletwa na ndege/helicopter 🤣🤣
The Holy Spiritual was in control of the making of this song …ever since I was in primary school up to now married with 2 blessed children 🥰…only Jesus Christ was,is and forever more…Bado cjapata a song to compare with this🏅🏆🥇
Leo nimeamka asubuhi nimejikuta nauimba tu huu wimbo japo sikumbuki ni wa nani maana enzi hizo nilikuwa nausikilizaga tu kwenye redio za mbao jumapili ❤ Asante Mungu nimeupata na nilisach tu "hakuna kweli hakuna"
Kweli hakuna, na wala hatawai kuwepo kama huyu Yesu. Na Jina lake likapewe sifa na utukufu...May God bless you people.. Can't get enough of your songs.
Growing up to this was the best thing ever. Thanks to my beautiful sister Gertrude who used to bring me some video tapes of these songs together with Rose Muhando from her trips to Tanzania 🇹🇿
The anointing in this song from my days when I lived in Tanzania pale Tangi Mbovu in 2006 is still fresh. Where is this singer and her team? I now run a ministry in Nairobi City Centre, Kenya called Christ Intervention Ministries
Yesu ni mfalme wa wafalme. Yesu ni Mungu. Yesu ni uzima wa milele. Jmn tumtafute kwa bidii sana huyu Yesu jmn hadi machozi sasa yanitoka. Anasema yeye anitafutaye hatakwenda gizani kwamwe bali atakuwa na nuru ya uzima. Heb soma vizuri Yohana8:12. Bwana Yesu nakupenda, niokoe na dhambi za ulimwengu huu, ili niwe na nuru ya uzima wa milele. Amen.
This songs has blessed me a lot na nasema tena hakuna mwanaume kama Yesu , essence of worship cover brought me here and the song filled me with holy spirit
Napendaga Sana hizi nyimbo za wakristo,Tena nyingine zinanitoaga machozi kwa hisia ingawa mm Ni mwislamu Ila nashindwa kuelewa pale wanapomwita Yesu Mungu,daah
Huu wimbo mimi mpaka leo naukubali. Ninashauri waurudie upya kwenye upande wa uvaaji yaani sale na kucheza wacheze upya kisasa zaidi ila wimbo usirudiwe chochote ubaki hivyo hivyo. Dada anaimba balaa sauti kama ya kimobitel aliyeimba wimbo wa mgumba part 2 enzi za mchinga sound. Wapiga vyombo nao dah!mbarikiwe sana watumishi.
wakiurudia utakuwa mbaya.Hivi hivi ndio mzuri.Mungu aliachilia utukufu wake kwa namna hii,wakijiongeza kivingne hizo n akili zao na unaweza usiwe mzuri tena
December 2023❤ and this song never get old still one of the best swahil best gospel song ever produced in this country🤲…. Future generation take care of this one😽
2024 still listening, inanikumbusha back on those days nikiwa young 2008, like kama bado unaiskiliza
Mimi niliucheza sana miaka hiyo kila harusi mnaucheza😂😂
unapokua ndani ya Mungu wakati wako ukipita ni kifo wanaomuabudu Mungu haw
apitwi na wakati
Ghafla mejikuta kutafuta huu wimbo! Niligombana na wapangaji kisa sauti
Mi adi sasa bado naisikiliza
@@kibasamohamedi8029😅 kipindi ya zile Kanda kubwa VHS. Mimi nilikuwa nausikia Toka nafkiri 2004
Essence of Worship cover brought me here.Kweli hakuna mwanaume kama Yesu
me too
And me
Me too
Same here
❤Same here
Grew up listening to this song in our home because mum loved it so much.. it gives me teary eyes. God bless you abundantly ❤️. 09/04/2023 someone to like my comment so I can come back to this beautiful song.. 🥹
wonderful story 👌
LOVE you so much Forever. No what!!💋👏👏👏👍💖💖💖
❤❤❤❤ with you
Wimbo unanikosha sana roho yangu kama nawew unaangalia mwaka 2020 gonga like tujuane
Saf
I never get tired of listen your songs you are so blessed and even just the beautiful blessed voices mmmmm
2024
Wimbo mtam sana kama unasikiliza 2024 gonga like hapa❤
I am here in April 2024. It's still my favourite. ❤
There shall be none like Him. I am here in 2023
2024 still powerful❤🔥
it's MAY 2024, I still listen to this song, remember back to 2003 niliimba hiyo part ya ALIZALIWA KWA TABU 🤣🤣 my father slap me and ask me who told you ALIZALIWA coz we used to know watoto wanaletwa na ndege/helicopter 🤣🤣
Hii nyimbo ukiisikiliza utadhani imetoka Jana, Dah mungu in mwema sana
Hakika
Kweli kabisa
The Holy Spiritual was in control of the making of this song …ever since I was in primary school up to now married with 2 blessed children 🥰…only Jesus Christ was,is and forever more…Bado cjapata a song to compare with this🏅🏆🥇
kumbuka hii
"alizaliwa kwa tabu yeye,kwa sababu walitaka kumuangamiza, hawakujua kua yeye ni MUNGU walidhani ni mtu wa kawaida"
kweli hakuna mwanaume kama Yesu i love this song since i was young
2024 ukisikia nyimbo za injili ndo hizi Sasa 🙏
2023 still powerful.....ila wapiga vyombo Hawa sijui walienda wap aiseee. Mungu awabariki
Leo nimeamka asubuhi nimejikuta nauimba tu huu wimbo japo sikumbuki ni wa nani maana enzi hizo nilikuwa nausikilizaga tu kwenye redio za mbao jumapili ❤
Asante Mungu nimeupata na nilisach tu "hakuna kweli hakuna"
Kweli hakuna, na wala hatawai kuwepo kama huyu Yesu. Na Jina lake likapewe sifa na utukufu...May God bless you people.. Can't get enough of your songs.
Mungu akutunze, ili uwe mfano wa sifa kwa Mungu👏
Q
T
Leave a like if essence of worship brought you here with the cover so that I can always come back and be blessed.
02.06.2024❤❤❤
humu duniani nimepita sijaona Mwanaume kama Yesu hakika MUNGU Baba ahimidiwe milele wimbo unaujumbe mzuri mno,💯
This song never gets old.
The arrangement is on point.
The vocals aaah on point, everything is on point.
God bless you Kijito.
dah! jamani kuna mda unasikiliza nyimbo mpaka unalia uwiiiì sina lakusema asanteni wanakijitonyama mbarikiwe👏💝💗💖💞
Jennifer Mwakibete daaaah we acha tyuu zamani kuliwa kuna nyimbo na hizi nyimbo ukisikiliza unaweza sema unamdhurumu Mungu
@@loitolaisser3040 duh hata mimi roho imeniuma Ni kama walimtukuza Mungu vizuri sana ila thamani yao haionekani
Nakumbuka kipindi mdgo izi nyimbo zilikuwa zinapigwa sana kwetu msimu wa christmas 🥰
Yaan kama kwetu wakati nakua kila siku lazima wimbo huu upigwe enzi hizo zinatumika redio za kanda
Hao jamaa wanapiga gitaa mbaka gita zenyewe zinashangaa! Mungu awabariki sana. 2020 bado nabarikiwa na hii nyimbo. Mungu awape maitaji ya mioyo yenu
Gitaa zilipigwa hadi nmependa 🙌🙌
Amen
Haha
2023❤
Hatari ogopa
2020 gonga apa nani mwngne..
Hakuna kapisa mbarikiwe mungu azidi kuwainua.
2024 and we are still blessed with this song ❤
Hadi leo bado inanibariki sana may 2024 -haiwez kuchuja hii nyimbo milele
Growing up to this was the best thing ever. Thanks to my beautiful sister Gertrude who used to bring me some video tapes of these songs together with Rose Muhando from her trips to Tanzania 🇹🇿
nyimbo nzuri Sana kwakweli kijitonyama yà kipindi icho ilikua atar Sana
walitisha sana
Kuna nyimbo hazijawahi kuchuja jamani dah...God bless u abundantly 🙏🙏
Essence of Worship has made me search for this song. God bless you Kijitonyama Choir.
25/08/2022 still listen to this wonderful and powerful song🙏🙏
Huu mwimbo unanibariki 2024
The anointing in this song from my days when I lived in Tanzania pale Tangi Mbovu in 2006 is still fresh. Where is this singer and her team? I now run a ministry in Nairobi City Centre, Kenya called Christ Intervention Ministries
Yesu ni mfalme wa wafalme. Yesu ni Mungu. Yesu ni uzima wa milele. Jmn tumtafute kwa bidii sana huyu Yesu jmn hadi machozi sasa yanitoka. Anasema yeye anitafutaye hatakwenda gizani kwamwe bali atakuwa na nuru ya uzima. Heb soma vizuri Yohana8:12. Bwana Yesu nakupenda, niokoe na dhambi za ulimwengu huu, ili niwe na nuru ya uzima wa milele. Amen.
❤Thank you these are the golden songs congregation sings and see ourselves lifted to heaven ❤
This songs has blessed me a lot na nasema tena hakuna mwanaume kama Yesu , essence of worship cover brought me here and the song filled me with holy spirit
Who's still watching this song in 2018 through 2020 never expired I am here first God bless you group I am still blessing by this beautiful song
still my favorite song off all time
I still
This gospel music is so Blessing ,,there is no way I can't watch it
if God with us who can against us I loveJesus me🤣
Ale Mkandi be blessing with me together
It is gitar for me wow.....2022 who else is also listening to this masterpiece
I am here 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Huu wimbo unanikumbusha ubarikio wangu 2005 Moshi tuliicheza sanaa ..daah unànibarikiri sanaa ....!
Amen
This song jamn🙌🙌🙌hii nyimbo huwa inanibariki jamn ni nzuriii🔥🔥🔥🙌🙌🙌❤️❤️🙏🙏🙏
Courtesy of essence of worship cover,,,big up kijitonyama,,,tuning from kenya
Napendaga Sana hizi nyimbo za wakristo,Tena nyingine zinanitoaga machozi kwa hisia ingawa mm Ni mwislamu Ila nashindwa kuelewa pale wanapomwita Yesu Mungu,daah
Nyimbo nzuri sana hiz hadi raha🙌🏿
Kitambo sana, huwa sichoki kuiskiliza hii nyimbo mungu awabariki watumishi wa mungu🙏
essence of worship covering this song is something else,,glory to God jameni
Hakuna Kama Yesu ataujisifu vp yy ndie mshind wetu#gonga like weeeee 2020 upendo tu
Huu wimbo mimi mpaka leo naukubali. Ninashauri waurudie upya kwenye upande wa uvaaji yaani sale na kucheza wacheze upya kisasa zaidi ila wimbo usirudiwe chochote ubaki hivyo hivyo. Dada anaimba balaa sauti kama ya kimobitel aliyeimba wimbo wa mgumba part 2 enzi za mchinga sound. Wapiga vyombo nao dah!mbarikiwe sana watumishi.
Jamani wewe Tedy waziri yupi mtoto wa Daniela Gama.???
wakiurudia utakuwa mbaya.Hivi hivi ndio mzuri.Mungu aliachilia utukufu wake kwa namna hii,wakijiongeza kivingne hizo n akili zao na unaweza usiwe mzuri tena
Hayo mavazi ya kiroho kabisa ila ya wanaume ndo ya kiroho zaidi
Original ni original tu... Ukirudiw utapoteza uhalisia wa mwanzo
Hawakujua kama Yesu ni Mungu walidhan ni mtu wa kawaida
I love this verse
Barikiwa
Dah merudi 2024/ may/17! Saa 11 asubuh mejikuta nakumbuka zamani
Thanks to essence of worship...am here😇
AMINA AHSANTE BWANA YESU 🙏🙏🙏🙏
Bwana Yesu awabariki sana, wimbo mtamu sana.
Kijitonyama uinjilisti🙌🙌
2024 Stiil hav POWER you guys are AMAIZING
Jesus is alive for sure
♥️
Master J aliutendea haki sana huu Wimbo! Big up sana kwake, kwa wapiga vyombo na kwa waimbaji wote wa Wimbo huu!!
Hakika
Sanaaa
Abarikiwee
2023 bdo mzgo wa 🔥
Tujuane tunaosikiliza wimbo huu mwishoni mwa 2022
Barikiwa sana🙏🙏🙏
Dah,vinanda vilikuwa vinawatii watumishi, what a smooth melody❤
Nipo home nabarikiwa sana na hii nyimbo2023
Bwana Yesu Kristo hakuna aliye kama wewe pokea sifa utukufu na shetani hakika umenitendea makuu. Mungu Baba asante kunipa Yesu Kristo.
Jamani mimi kwa hapa bado sijaupata uliovunja hii rekodi,Mungu azidi kuwabariki watumishi wa uinjilsti maana tunamuona Mungu kupitia uinjilisti wenu.
Essence of worship
Wamefanya nije hukuu
Wakati huo kulikuwa hakuna utapeli makanisani, eti maji ya upako
you will never find many Guitar 🎸 specialist like these guys.. asanteeee
ninapata faraja sana ninapokuwa nasikiliza wimbo huu amina
Jamani Tanzania tumebarikiwa sanaa tuache dhambi kukataa ndoa za jinsia moja tufanye kazi ya Mungu
Kweli kabisa dada yangu.
Through essence of worship am here..
Nikweli hakuna Mwanaume kama Bwana Yesu kristo mbarikiwe Wana wa Mungu
mbarikiw n mung awape nguv zaid nawapenda pendo hap kutok Kenya ruthalani makup
one of the best songs, the solo team did justice to this beatiful song.
Mimi nausikiliza hapa muda huu
2023 bado nabarikiwa Na Huu wimbo ❤❤❤❤
Kweli yaan hakuna na hatakuja kutokea mwingine Kama yesu
Hakuna aliye mwanaume Kama Yesu kweli Hakuna,, Amen
Hakika huu Wimbo nmekua nayo nafikir nitakufa nao piaaaaa ..... Walikua smart sanaaaaa
Hata Mimi kaka
Kila nikisikiliza huu wimbo lazima nilie😭😭😭😭
2023 still blessed with this song🤗 never get old
Of course,no one like a jss bcz he do a lot of mracles in our life oooh Jess blls our lif
Yan ni Hakuna kabisaa milele. Imeishaa iyoo
Enzi hizo mlikuwa wengi saaa hivi wanaesabika..
Wimbo mziri sana .kweli hakuna aliye kama yesu
Hallelujah powerful and more grace
2022 weka likes
🙏🏼🙏🏼🙏🏼2009 mikalanga sc
December 2023❤ and this song never get old still one of the best swahil best gospel song ever produced in this country🤲…. Future generation take care of this one😽
You are an Inspiration because you allowed yourselves to be used by God. God bless you sooooo.. much.
Wimbo huu unanibariki sana
Namuona c* Oliva kitambo hyo.. MUNGU baba azid kukutunza dada angu had Sasa ni hatari kiumbaj!
2022 still watching
Hakuna aliye mwanaume kama Yesu
Hii wimbo mnanikumbusha Aunty Tusajo alivyo funga ndoa mkanda wake wa Arusi ulikuwa unaimba wimbo huu naye alikuwa analia ukiimbwa Mbarikiwe sana
Nami nakumbuka Harusi ya mdogo wangu Elibariki na Pendo
hakuna mwanaume kama yesu
Mwalimu wa walimu,ushukuriwe Mungu
2021 still watching...very nice song 🙏
2023 ( August). 🎉 anyone?
Hakikaa hakunaa Kama YESU mbarikiwe sanaaaa
RUclips wako juu wametusaidia kutunza mambo meng sana
Jina la Yesu lipewe sifs. Kwani yeye pekeyake snayeweza kuponya maisha ya binadsmu
Wangapi tunavuka na huu wimbo hadi 2021 gonga likes za kutosha
Kijitonyama Uinjilisti Choir . Bwana Yesu asifiwe
Kwakweli wimbo huu unanibariki mpaka machozi yaani,dah
This song is powerful it real bless me 🙏
This song makes me hv teary eyes..i love this super Jesus
Essence of worship brought me here! What a song.