"SAFARI YA MATESO": NILIZAMIA SOUTH AFRICA KWA MIGUU/ NILITEKWA NJIANI/USIKU/ NILIJUTA (S02EP02"D ")

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • Malume...Kijana wa kitanzania anae jaribu bahati yake maishani kwa kufanya safari ya kuingia nchini Afrika Kusini kwa magendo, safari inayo mgharimu na kuacha kovu lisilofutika maishani...... karibu hii ni MBANGA
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24news@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24Tz
    ⚫️ Facebook: @dar24news
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #Maishayangu #Baharia #Uzamiaji

Комментарии • 19

  • @paullwangili2235
    @paullwangili2235 2 года назад +3

    Kasoro simulizi haijapangiliwa kwa series hujui namba moja ipi ,mbili ipi na kuendelea.

    • @juniorjuma2562
      @juniorjuma2562 2 года назад

      inaboa sana haina namba hujui namba ngap

    • @jamesmaneno2281
      @jamesmaneno2281 Месяц назад

      Nikajua peke yangu TU ajapnga kujua namb Moja hivi au 2 hivi ajandika

    • @saidymbagalla6622
      @saidymbagalla6622 Месяц назад

      Yani hapo ndio kazingua

  • @zulfikakalumba1977
    @zulfikakalumba1977 2 года назад

    Jamaa energy yako yakusimulia imekua bora sana trip hii, chukua tano

  • @fredymagesa4463
    @fredymagesa4463 2 года назад

    Nice msg kuna kitu Cha kujifunza kupitia huyu mwamba

  • @cassanovarcousin7973
    @cassanovarcousin7973 2 года назад +1

    Sio pow yanii hii story ya huyu mjomba inanihusu mpka sometime nacheka yaniii tulijimwaga kama huyu jamaa lkn hatukufanikiwa kufika south

  • @lovenesally3816
    @lovenesally3816 2 года назад

    Safari za south, true tumeathirika wengi , tumetembea njia moja tokea mueda mpaka maputo, Ila hapo boda ya katembe wenzio tumetembea kwa miguu tu siku nzima,, kwa kushindia mikate migumu, paluuu,

  • @josephmaganga1931
    @josephmaganga1931 2 года назад

    Nakubali kazi nzuri

  • @abdukhatibu1072
    @abdukhatibu1072 2 года назад

    Kwel noma

  • @rashidkachaa3666
    @rashidkachaa3666 Год назад

    Hyu jamaa anachosema nikwer kabisa hajakosea maana me na Mjomba angu nae alienda hko mweda alienda kwa pikipiki nauli 70000, mtu mmoja tena mwaka Jana Tu, lkn alinambia hela Zippo, changamoto ndo kama hizo

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 2 года назад

    Twende kazi ndani ya mbanga

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 2 года назад

    Njia ngumu sana hiyo ya Mocambique

  • @nasraramadan8213
    @nasraramadan8213 2 года назад

    Nice

  • @elishaphilipo5133
    @elishaphilipo5133 2 года назад

    Uyo dogo yupo sahii na kingine police wa Mozambique awatupendi watanzania iyo tabia wanayo mpakaleo yani nikweli tupu namie kwenye izo safari miaka ya 90 imenikuta sana siyo maramoja

  • @juniorjuma2562
    @juniorjuma2562 2 года назад

    stori zako hazina namba unakosea sanaaaa

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 2 года назад

    Maisha ni safari ndefu tusikate tamaa vijana hu ndio muda wa kutafuta

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw 2 года назад

    Safi kamkubwa

  • @allyberto7617
    @allyberto7617 2 года назад

    Dizonga Ola Ola