Walter Chilambo - Asante (Official Music Video) For SKIZA Sms "Skiza 7610940" to 811

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • "Asante" is taken from the New compilation, "Thank You Lord", which is available now
    Stream/Download: snd.click/glmqrfp
    Subscribe for more official content from Walter Chilambo: / walterchilambo
    Follow Walter Chilambo
    Instagram: / walterchilambotz
    Listen to Walter Chilambo
    RUclips: • Thank You Lord
    Pandora: pandora.app.li...
    Apple Music: / thank-you-lord
    Spotify: open.spotify.c...
    Boomplay: www.boomplaymu...
    The official RUclips channel of Walter Chilambo. Subscribe for the latest music videos, performances and more.
    For Contact & More
    Email:walterchilambomusic@gmail.com More from Walter Chilambo:
    Subcribe and be the first to watch my new music videos on RUclips📺: / @walterchilambo
    ▶ God Of Mercy: • God of Mercy A Walter ...
    ▶ Najivunia: • Walter Chilambo Najivu...
    ▶ Kuna Jambo: • Kuna Jambo A Walter Ch...
    ▶ Only You: • Playlist
    ▶ Unaniona: • Playlist
    ▶ Asante: • Asante A Walter Chilam...
    ▶ Siri: • Siri A Walter Chilambo...
    ▶Namba Moja:
    • Namba Moja A Walter Ch...
    ▶▶ Walter Chilambo Favourites: • Walter Chilambo Favour...
    Follow on Instagram: www.instagram....
    Walter Chilambo is a well known name and brand in Tanzania and this is his first gospel song that talks about how grateful he is about what God has done in his life. Asante means thank you.
    Walter Chilambo ni msanii maarufu nchini Tanzania, na alipata umaarufu baada ya kushinda mashindano ya Bongo Star search (BSS) wimbo huu ni wa kwanza wa gospel, na angependa support kutoka kwa Watanzania pamoja na Africa Mashariki.
    #Asante #LoveMusicBrand
    Contact us: Walter Chilambo
    Email :walterchilambo90@gmail.com
    Mobile :+255763703972

Комментарии • 725

  • @ambrose_vevo137
    @ambrose_vevo137 10 месяцев назад +3

    Thanks God....nimekuja kusikiliza tena this song 2023...
    Unanirudish kundini kwa mara nyingine.

  • @kristianbiseco1081
    @kristianbiseco1081 Год назад +7

    Whenever I feel tested ...I feel bad..I feel left alone...I listen to this song and cry to God ...
    He then assures me everything is alright
    Hongera kaka nyimbo nzuri sana hii

  • @nnadipromise546
    @nnadipromise546 4 года назад +13

    Music is a universal language I'm from Nigeria I don't understand his language but his songs got me dancing

  • @peterpangani4022
    @peterpangani4022 5 лет назад +4

    Mushukuru Mungu kwa Yale alio kutendea ktk maisha yako, coz yeye hutuwazia mema daima. Like ikiwa ishara ya kumshukuru Mungu.

  • @patanishatv5782
    @patanishatv5782 5 лет назад +14

    Wimbo ulionifanya nikaingia kwenye mziki wa gospel jamani duu respect

  • @pilikasimu1593
    @pilikasimu1593 5 лет назад +24

    Vocal jamni mashallah ,km naww unaisikia vocal ya walter gonga like,umefanya jambo jema kumtumikia mungu

  • @attubulenge530
    @attubulenge530 7 лет назад +1

    ubarikiwe kwa kuwa umechagua fungu jema nyimbo nzuri

  • @albywamandalinho
    @albywamandalinho 5 лет назад +1

    Asante kwa mziki mzuri kaka ubarikiwe

  • @matridahmartin4777
    @matridahmartin4777 4 года назад +1

    Mungu akupe nguvu.ya kusonga mbele zaidi.wimbo Aksante kwangu mi ni baraka saana.i like it

    • @WalterChilambo
      @WalterChilambo  4 года назад

      Ameen .😊Nimefrai sana kusoma comment yako Matridah. Umeskiza GOd Of Mercy na NAJIVUNIA?...

  • @noviceandrey813
    @noviceandrey813 7 лет назад

    jambo jema kushukuru kwa mungu wetu mana ndie anayetushindia mambo yote.....umeimba vzur had umeboa....

  • @frolafrank8742
    @frolafrank8742 5 лет назад

    Hujawahi kukosea kila nyimbo ni nzuri. Mungu akubariki zaidi na zaidi

  • @nabiikelvins7213
    @nabiikelvins7213 7 лет назад

    unajua mwanangu mpaka unamuudhi SHETANI vizuri Barikiwa kwa hatua nzuriiii na uhamuzi sahihi.

  • @bonphaceraphael5771
    @bonphaceraphael5771 5 лет назад

    nyimbo nzuri san kiukweli nimefarijika nayo san ubarikiwe san mtumishi

  • @furahamkunda7075
    @furahamkunda7075 3 года назад +1

    Nimeguswaaa mno na huu wimbo

  • @StellamosKimweri
    @StellamosKimweri 4 месяца назад

    Namkubali Sana huyu nimtumishi wamungu jaman❤ utafika mbali mno unamafuta mno mungu awe pamoja naww asikuache kwakweli

  • @youngestmedia1323
    @youngestmedia1323 6 лет назад

    shalom mtumishi huku ndipo ulipotakiwa kuwepo endelea kutu injilisha kwa mziki bwana Yesu asifiwe sana

  • @ilvgod1188
    @ilvgod1188 3 года назад +3

    Oh Thank you Jesus ,nimeamua nikufuate, nimeamua kuyaacha yote ili nikufuate, asante kwa kunipenda Mungu ungu wangu ,milele nitaimba sifa zako ,Ameen

  • @marymbuya3306
    @marymbuya3306 7 лет назад

    mungu aonekane kwako akupe nguvu na afya uendelee kumtukuza kaka nakuombea uongezewe miaka kama ezekia maan umechagua fungu lililo Jema! MUNGU akivushe kwenye mabaya kama alivyowavusha wana Wa Israel

  • @ImeldaMyinga
    @ImeldaMyinga 2 месяца назад

    Kijana wa yesu wimbo huu unanibariki mnooo🙏🙏

  • @consozawadi1565
    @consozawadi1565 7 лет назад +1

    ubarikiwe brother kwakweli nyimbo nzuri mungu akuongoze kila upigapo atua akuna kinacho shindikana kwake

    • @WalterChilambo
      @WalterChilambo  7 лет назад

      conso zawadi amen nashukuru sana

    • @chancemukuba2781
      @chancemukuba2781 7 лет назад

      sina yaku sema ila mungu anaona kazi unayo fanza yeye ndo anaye juwa mshahara wako kwake nahata zidi kukupenda

    • @braithongadner1069
      @braithongadner1069 7 лет назад

      Ahsante kwa maumuzi yako ulio ya a muwa Chilambo

    • @Radga23
      @Radga23 7 лет назад

      Nice song bro, blessed!

  • @edwardmlonganile2619
    @edwardmlonganile2619 7 лет назад +1

    ubarikiwe sana hakika Mungu atakufanikisha meng nimependa ulivoamua kumtumikia Mungu.

  • @emmanuelmsite7075
    @emmanuelmsite7075 5 лет назад +3

    kama una view hii video mara kwa mara gonga like hapa ili twende sawa

    • @WalterChilambo
      @WalterChilambo  4 года назад

      Emmanuel Asante sana kwa support yako kubwa.. Nakuombea baraka
      Pia karibu kutazama video ya wimbo wangu mpya God of Mercy
      ruclips.net/p/PLoKu8zBaJXIVVTFnK6hJXEF4yQOUY3bXZ

  • @azizadjuma4562
    @azizadjuma4562 6 лет назад +10

    The thing is that this guy is one of those who are taking gospel music to another level!!!beautiful sound,beautiful video!!!heaven and earth are the works of God’s hands and everything in them...let us use everything on earth for his glory!!!! May Jesus Christ protect you 🙏🏻

    • @kenmugiira6786
      @kenmugiira6786 9 месяцев назад

      God bless you it's Swahili language

  • @magrethmasolwa6530
    @magrethmasolwa6530 3 года назад +1

    Barikiwa bro

  • @user-gv3si2mv3l
    @user-gv3si2mv3l 11 месяцев назад

    Mungu azidi kukubariki kaka you are such a blessing to this generation its 2023 and bado huu wimbo ni ibada kwangu

  • @godfreystarford6842
    @godfreystarford6842 6 лет назад

    Hata sasa Yeye ni Ebenezer... Tusiache kuziimba sifa za mwokozi wetu Yesu Kristo.

  • @sophyerchris2980
    @sophyerchris2980 7 лет назад +1

    kazi nzuri, mungu azidi kukutia nguvu

  • @kalobeflix
    @kalobeflix 7 лет назад +1

    Utafika mbali, kwani mwamtegemeo Bwana ni kama mlima sayuni. trust me

  • @hellenajoseph607
    @hellenajoseph607 4 года назад +1

    Nabarikuwa Sana na song hii

  • @sophiaamimo7730
    @sophiaamimo7730 4 года назад

    Here diamond kwisha ....hip sauti bro yamaliza itumikie MUNGU milele ugifted bro ASANTE MUNGU

  • @daudtitus7890
    @daudtitus7890 3 года назад +1

    Barikiwa sana

  • @elizabethelia1220
    @elizabethelia1220 7 лет назад

    YESU akushike kwa mkono wake wa kuume.....usife moyo

  • @jeff_nails1
    @jeff_nails1 6 лет назад

    Kila nikisikiza wimbo huuu unanipa nguvu ya kumwimba mungu barikiwe sanaa chilambo

  • @charlesgodwin3912
    @charlesgodwin3912 6 лет назад

    Mungu azidi kukubariki na kukuinua uko mahala sahihi kumtumikia Mungu akiyekupa karama nzuri ya sauti na uimbaji

  • @mwingafredympoli3359
    @mwingafredympoli3359 7 лет назад

    niende wapi nijiepushe na roho yako..... unilinde na mabaya yote yasinipitie, unioshe bwana kwa damu yako nisiangamie. ... ahsante!!! umetisha

  • @maryfreddy9275
    @maryfreddy9275 6 лет назад

    Nitaimba sifa za Mungu milele.

  • @valentinamussa4212
    @valentinamussa4212 4 года назад +1

    Asante nyimbo,nzuri,mungu akubariki

    • @WalterChilambo
      @WalterChilambo  4 года назад

      Ameeen. Asante kwa kutazama na kucomment Valentina. Mungu akubariki

  • @aizackaizackemanuel6614
    @aizackaizackemanuel6614 4 года назад +1

    Nakubali sana brother songs zako nzuri zina fundisha Brother mmi pia Nina kipaji kama hiki lakini naona kama kinataka kuniponyoka on fanyeje

    • @WalterChilambo
      @WalterChilambo  4 года назад

      Asante saana ndugu yangu. Muombe Mungu na usikate tamaa

  • @sophietabz4714
    @sophietabz4714 5 лет назад

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU Walter Chilambo na Hongera sana kwa kazi njema YESU KRISTO azidi kukuinua kwa ajili ya Utukufu wa Jina lake.

  • @obreymakundi8003
    @obreymakundi8003 6 лет назад

    Chilambo the best of Me Mungu akakubariki kwa nyimbo nzuri unanifarijii sana Babu

  • @ericasamwangwa192
    @ericasamwangwa192 7 лет назад

    aiseh ubarikiwe sana.... nimekuta mpaka machozi yamenitokaaa kabisaaaa

  • @instaclip3552
    @instaclip3552 7 лет назад

    Umetisha saluti kwako water chilambo kwa nyimbo nzuli yenye ujumbe mzuli nakuombea mafanikio @@@@Ashelly. Mpomo. From dodoma nagulo tz

  • @dericknyangoya4505
    @dericknyangoya4505 6 лет назад

    Mungu azidi kuuinua huduma iliyo ndani yako

  • @catherinemsofe8020
    @catherinemsofe8020 7 лет назад

    nausikiliza muda mwingi sana wimbo mzuri sauti nzuri neno zuri ubarikiwe

  • @peterjames2998
    @peterjames2998 5 лет назад

    niende wapi nijifiche uso wako ooh wimbo huu una nguvu sana Mungu akubariki sana my young brother Water Chilambo

  • @jeannettemukandama7515
    @jeannettemukandama7515 7 лет назад

    Na penda sana ubarikiwe kaka yangu

  • @elizabethkitema1272
    @elizabethkitema1272 3 года назад

    Asante Mungu kwa kunipenda kwani kuna wengine walitamani kuwa na upendo ulionipatia lakn hawana mm ni nan nixhindwe kuxhukuru,,, big up bro walter kwa wimbo mzuri God bless u

  • @furahaadelini6968
    @furahaadelini6968 4 года назад

    Wimbo mzur, big up kwako broo

  • @auleriamasunga1128
    @auleriamasunga1128 7 лет назад

    umenifanya Leo niufikilie ukuu wa Mungu barikiwa kaka

  • @israelqadue1038
    @israelqadue1038 4 года назад

    Upo vizuri walter.Mungu azidi kukuinua.

  • @veronicascottmollel7897
    @veronicascottmollel7897 7 лет назад

    Umebarikiwa Walter Chilambo Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi.

  • @erineosanga7125
    @erineosanga7125 4 года назад

    Unajua zaidi ya kawaida ndugu yangu, Mbadala yako bado hajatokea Hongera sana

  • @SophyNight-st1qo
    @SophyNight-st1qo 11 месяцев назад +2

    "Najua vita sio ndogo, lakini kwa YESU hiyo vita ni ndogo"
    I love I love this song❤❤❤
    Kudoz & more blessings Mr. Chilambo👏👏❤🎉

  • @doministarkaji5437
    @doministarkaji5437 3 года назад +1

    🙌🙌🙌🙌🙌😭😭😭😭😭 this song🔥🔥🔥🔥🔥

  • @papafranco7506
    @papafranco7506 7 лет назад

    Waaaaaaoh. ....nice song....wish kama ungekutana na Ambwene na mkatengenezaa wimbo wa pamoja....ubarikiwee chilambo....

  • @catherinemwakalebela2831
    @catherinemwakalebela2831 7 лет назад

    wimbo mzuri ,,hujakosea hii ni njia nzuri,baki kwenye injili

  • @lindershirima3711
    @lindershirima3711 3 года назад

    Asubuhi yenye baraka tele....Asante Mungu wng kwa kunipenda

  • @bernadethamussa9289
    @bernadethamussa9289 6 лет назад

    Ahsante kwa kunipenda yesu wimbo huu unanifny nione Ukuu wa baba ndani yngu

  • @johnsonlusambo3183
    @johnsonlusambo3183 5 лет назад +1

    Kali sana kaak

  • @amazingseniorita5010
    @amazingseniorita5010 7 лет назад

    Ubarikiwe Walter!!!... kazi yako ni Njema twakupenda saaaana!!!

  • @godfreyanderson6153
    @godfreyanderson6153 7 лет назад

    Asante Mdogo wng Walter kwa wimbo mzuri na mungu azidi kukubariki juu wimbo wako na uwe fuzo Kwa jamii tujifunze kushukuru

  • @abeer4201
    @abeer4201 5 лет назад +2

    Barikiw kaka kwakuwa nyimbo zako zinatufunguwa mwoyo nakutugeuza🙏🙏

    • @WalterChilambo
      @WalterChilambo  4 года назад

      Ameeeen. Wow wow Asanteee
      Pia karibu kutazama video ya wimbo wangu mpya God of Mercy
      ruclips.net/p/PLoKu8zBaJXIVVTFnK6hJXEF4yQOUY3bXZ

  • @neemanovath6910
    @neemanovath6910 7 лет назад

    hongera kaka Mungu azidi kukuinua

  • @elizabetjmillel3351
    @elizabetjmillel3351 6 лет назад

    yaan me nafurahi sana kuona mkaka mzuri kama huyu anamtumikia Mungu,Mungu akuinue kwa viwango vingine vya juu

  • @agnesmasaki5069
    @agnesmasaki5069 6 лет назад

    ubarikiwe sana kaka kwa wimbo wenye ujumbe mzuri! only you kwangu km dose naona sasa itapumzika kidogo nianze hii

  • @simonseyongwe
    @simonseyongwe 7 лет назад

    Brazaa baki umu umu tupate frreva za dini maana we ni fundi... Nzuri sana ii

  • @sharifusudy6405
    @sharifusudy6405 3 года назад

    Asante mungu asante pia kaka yangu kwautuzi mzili kabisa

  • @raston4gkalonda821
    @raston4gkalonda821 5 лет назад

    Nilikuwa sijakusikia aise
    Kazi nzuri sana hii

  • @ulafim2719
    @ulafim2719 7 лет назад +1

    Daaaaaaaaaah Kaka Yani Kichupa Ni Hatar Balaaa N Mungu Azid Kukuinua Juu Zaidiiiiiiii Amen!!!!!!!!

  • @gardnerhans3608
    @gardnerhans3608 4 года назад

    Hakika Wolter Chilambo Mungu akubariki Sana.....Nyimbo yako hi imenifungulia mengi Sana kaka.Mungu awe nawe

  • @janethraymond6031
    @janethraymond6031 6 лет назад

    Ubarikiwe zaidi ya sana kwa utumishi uliopewa na Mungu na uzidi kuinuliwa

  • @dastanpantaleo147
    @dastanpantaleo147 6 лет назад

    Uko vizuri kijana Mungu akusaidie

  • @paulharuna5053
    @paulharuna5053 3 года назад

    Nimeamua nikufate wewe mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kb_mediatv
    @kb_mediatv 3 года назад +1

    Nakupenda sana brooooooo

  • @Abbie-m518
    @Abbie-m518 3 года назад

    Sifa nzuri za kumwinua Mungu Wetu

  • @joshuaraphaeli609
    @joshuaraphaeli609 6 лет назад

    saluti kwako blathe hii wimbo nimeukubali sana umenigusa sana

  • @witnesskweka5933
    @witnesskweka5933 5 лет назад

    Kazi nzuri walter Mungu akubariki.

  • @janethmtinda7153
    @janethmtinda7153 6 лет назад

    naupenda sana huu wimbo huwa unanibariki sana songa mbele zaidi

  • @officialkswarttizmnyama2250
    @officialkswarttizmnyama2250 6 лет назад

    Dah good bless u kak natamani siku moja nije kuwa kama ww kak nakubali kazi zako mungu azidi kukuinua utusaidie nasisi kama wadog zako bless you brooo Walter chilambo

  • @janethjosephat6986
    @janethjosephat6986 6 лет назад

    Its amazing jomoniiiii yaaan Mungu azidi kukuinua man of God

  • @mkurugenzibariaditc5203
    @mkurugenzibariaditc5203 5 лет назад +1

    nashukuru mungu kwa wema wako

  • @marymfangavo9684
    @marymfangavo9684 7 лет назад

    nabarikiwa sana na huu wimbo keep it up brother walter

  • @joshuasimon5242
    @joshuasimon5242 6 лет назад

    Kweli Mungu ni mwema kwe2 2napaswa kumshukuru shine kk

  • @michaellyamkama7005
    @michaellyamkama7005 3 года назад +1

    MUNGU AZIDI KUKUTIA NGUVU KATIKA UTUME HUU ALIO KUTUMA KUI FANYA KAZI HI BALIKIWA

  • @nicksonamiani
    @nicksonamiani Год назад

    Woltar hi wimbo inanisaidia Kwa kuomba.

  • @gilbertsalvatory9590
    @gilbertsalvatory9590 6 лет назад

    Nilipokuona bss nilitamani kukuona huku kweli umefanya

  • @zainabramadhani9838
    @zainabramadhani9838 7 лет назад

    wwoo! nyimbo nzuri saana

  • @user-zv5ic3hj6r
    @user-zv5ic3hj6r 9 месяцев назад

    i have cried with this pretty song , i have screamed with this pretty song , i have yelled with this pretty song. i have stomach problems , this eats me. this cuts me. this swallows me. i am young but still growing. 😭

  • @frankpascal1220
    @frankpascal1220 5 лет назад +1

    wewe bro fundi

  • @costlily4526
    @costlily4526 7 лет назад

    Tuwekee lyrics za huu wimbo.... Barikiwa na mungu aendelee kuchochea karama yauimbaji juu yako

  • @olivasimon3742
    @olivasimon3742 6 лет назад

    Nabarkiwa sana na wimbo huu kaz nzur

  • @dianaennor5790
    @dianaennor5790 3 года назад +1

    Good song am died for you like your song God bless you my dear

  • @shangtonkabwogi8699
    @shangtonkabwogi8699 7 лет назад +1

    Mungu akubariki kaka Walter............ kazi nzuri sana!

  • @yonadaremo4276
    @yonadaremo4276 7 лет назад

    wimbo mzuri sana mungu akuinue broo Walter Cholambo

  • @jayelias1654
    @jayelias1654 7 лет назад

    #Ee mungu bariki kipaji cha m2 huyu na kaz zake ziweze kuckika mbali

  • @marshangeka712
    @marshangeka712 Год назад

    Toka nimeanza kusikiliza upo upeo wa MUNGU kwako

  • @noelagabriel7623
    @noelagabriel7623 3 года назад

    Kazi nzuri san mungu akubarik

  • @grademwenga1690
    @grademwenga1690 6 лет назад

    Kumushukulu mungu so jambo gumu 2siwe wagumu wakutoa shukran kama dagaa

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo2633 6 лет назад

    Kazi nzuri 🙏🙏

  • @julianaamos7972
    @julianaamos7972 5 лет назад

    Ubarikiwe naupenda wimbo wako wa only you