Walter Chilambo - Asante (Official Music Video) For SKIZA Sms "Skiza 7610940" to 811
HTML-код
- Опубликовано: 4 сен 2024
- "Asante" is taken from the New compilation, "Thank You Lord", which is available now
Stream/Download: snd.click/glmqrfp
Subscribe for more official content from Walter Chilambo: / walterchilambo
Follow Walter Chilambo
Instagram: / walterchilambotz
Listen to Walter Chilambo
RUclips: • Thank You Lord
Pandora: pandora.app.li...
Apple Music: / thank-you-lord
Spotify: open.spotify.c...
Boomplay: www.boomplaymu...
The official RUclips channel of Walter Chilambo. Subscribe for the latest music videos, performances and more.
For Contact & More
Email:walterchilambomusic@gmail.com More from Walter Chilambo:
Subcribe and be the first to watch my new music videos on RUclips📺: / @walterchilambo
▶ God Of Mercy: • God of Mercy A Walter ...
▶ Najivunia: • Walter Chilambo Najivu...
▶ Kuna Jambo: • Kuna Jambo A Walter Ch...
▶ Only You: • Playlist
▶ Unaniona: • Playlist
▶ Asante: • Asante A Walter Chilam...
▶ Siri: • Siri A Walter Chilambo...
▶Namba Moja:
• Namba Moja A Walter Ch...
▶▶ Walter Chilambo Favourites: • Walter Chilambo Favour...
Follow on Instagram: www.instagram....
Walter Chilambo is a well known name and brand in Tanzania and this is his first gospel song that talks about how grateful he is about what God has done in his life. Asante means thank you.
Walter Chilambo ni msanii maarufu nchini Tanzania, na alipata umaarufu baada ya kushinda mashindano ya Bongo Star search (BSS) wimbo huu ni wa kwanza wa gospel, na angependa support kutoka kwa Watanzania pamoja na Africa Mashariki.
#Asante #LoveMusicBrand
Contact us: Walter Chilambo
Email :walterchilambo90@gmail.com
Mobile :+255763703972
Thanks God....nimekuja kusikiliza tena this song 2023...
Unanirudish kundini kwa mara nyingine.
Whenever I feel tested ...I feel bad..I feel left alone...I listen to this song and cry to God ...
He then assures me everything is alright
Hongera kaka nyimbo nzuri sana hii
Music is a universal language I'm from Nigeria I don't understand his language but his songs got me dancing
Mushukuru Mungu kwa Yale alio kutendea ktk maisha yako, coz yeye hutuwazia mema daima. Like ikiwa ishara ya kumshukuru Mungu.
Wimbo ulionifanya nikaingia kwenye mziki wa gospel jamani duu respect
Vocal jamni mashallah ,km naww unaisikia vocal ya walter gonga like,umefanya jambo jema kumtumikia mungu
ubarikiwe kwa kuwa umechagua fungu jema nyimbo nzuri
attu Bulenge Ameen
Asante kwa mziki mzuri kaka ubarikiwe
Mungu akupe nguvu.ya kusonga mbele zaidi.wimbo Aksante kwangu mi ni baraka saana.i like it
Ameen .😊Nimefrai sana kusoma comment yako Matridah. Umeskiza GOd Of Mercy na NAJIVUNIA?...
jambo jema kushukuru kwa mungu wetu mana ndie anayetushindia mambo yote.....umeimba vzur had umeboa....
Hujawahi kukosea kila nyimbo ni nzuri. Mungu akubariki zaidi na zaidi
unajua mwanangu mpaka unamuudhi SHETANI vizuri Barikiwa kwa hatua nzuriiii na uhamuzi sahihi.
nyimbo nzuri san kiukweli nimefarijika nayo san ubarikiwe san mtumishi
Nimeguswaaa mno na huu wimbo
Amen
Namkubali Sana huyu nimtumishi wamungu jaman❤ utafika mbali mno unamafuta mno mungu awe pamoja naww asikuache kwakweli
shalom mtumishi huku ndipo ulipotakiwa kuwepo endelea kutu injilisha kwa mziki bwana Yesu asifiwe sana
Oh Thank you Jesus ,nimeamua nikufuate, nimeamua kuyaacha yote ili nikufuate, asante kwa kunipenda Mungu ungu wangu ,milele nitaimba sifa zako ,Ameen
mungu aonekane kwako akupe nguvu na afya uendelee kumtukuza kaka nakuombea uongezewe miaka kama ezekia maan umechagua fungu lililo Jema! MUNGU akivushe kwenye mabaya kama alivyowavusha wana Wa Israel
Kijana wa yesu wimbo huu unanibariki mnooo🙏🙏
ubarikiwe brother kwakweli nyimbo nzuri mungu akuongoze kila upigapo atua akuna kinacho shindikana kwake
conso zawadi amen nashukuru sana
sina yaku sema ila mungu anaona kazi unayo fanza yeye ndo anaye juwa mshahara wako kwake nahata zidi kukupenda
Ahsante kwa maumuzi yako ulio ya a muwa Chilambo
Nice song bro, blessed!
ubarikiwe sana hakika Mungu atakufanikisha meng nimependa ulivoamua kumtumikia Mungu.
kama una view hii video mara kwa mara gonga like hapa ili twende sawa
Emmanuel Asante sana kwa support yako kubwa.. Nakuombea baraka
Pia karibu kutazama video ya wimbo wangu mpya God of Mercy
ruclips.net/p/PLoKu8zBaJXIVVTFnK6hJXEF4yQOUY3bXZ
The thing is that this guy is one of those who are taking gospel music to another level!!!beautiful sound,beautiful video!!!heaven and earth are the works of God’s hands and everything in them...let us use everything on earth for his glory!!!! May Jesus Christ protect you 🙏🏻
God bless you it's Swahili language
Barikiwa bro
Mungu azidi kukubariki kaka you are such a blessing to this generation its 2023 and bado huu wimbo ni ibada kwangu
Hata sasa Yeye ni Ebenezer... Tusiache kuziimba sifa za mwokozi wetu Yesu Kristo.
kazi nzuri, mungu azidi kukutia nguvu
Sophyer Chris Ameen
Utafika mbali, kwani mwamtegemeo Bwana ni kama mlima sayuni. trust me
Nabarikuwa Sana na song hii
Here diamond kwisha ....hip sauti bro yamaliza itumikie MUNGU milele ugifted bro ASANTE MUNGU
Barikiwa sana
YESU akushike kwa mkono wake wa kuume.....usife moyo
Kila nikisikiza wimbo huuu unanipa nguvu ya kumwimba mungu barikiwe sanaa chilambo
Mungu azidi kukubariki na kukuinua uko mahala sahihi kumtumikia Mungu akiyekupa karama nzuri ya sauti na uimbaji
niende wapi nijiepushe na roho yako..... unilinde na mabaya yote yasinipitie, unioshe bwana kwa damu yako nisiangamie. ... ahsante!!! umetisha
Nitaimba sifa za Mungu milele.
Asante nyimbo,nzuri,mungu akubariki
Ameeen. Asante kwa kutazama na kucomment Valentina. Mungu akubariki
Nakubali sana brother songs zako nzuri zina fundisha Brother mmi pia Nina kipaji kama hiki lakini naona kama kinataka kuniponyoka on fanyeje
Asante saana ndugu yangu. Muombe Mungu na usikate tamaa
Ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU Walter Chilambo na Hongera sana kwa kazi njema YESU KRISTO azidi kukuinua kwa ajili ya Utukufu wa Jina lake.
Chilambo the best of Me Mungu akakubariki kwa nyimbo nzuri unanifarijii sana Babu
aiseh ubarikiwe sana.... nimekuta mpaka machozi yamenitokaaa kabisaaaa
Umetisha saluti kwako water chilambo kwa nyimbo nzuli yenye ujumbe mzuli nakuombea mafanikio @@@@Ashelly. Mpomo. From dodoma nagulo tz
Mungu azidi kuuinua huduma iliyo ndani yako
nausikiliza muda mwingi sana wimbo mzuri sauti nzuri neno zuri ubarikiwe
niende wapi nijifiche uso wako ooh wimbo huu una nguvu sana Mungu akubariki sana my young brother Water Chilambo
Na penda sana ubarikiwe kaka yangu
Asante Mungu kwa kunipenda kwani kuna wengine walitamani kuwa na upendo ulionipatia lakn hawana mm ni nan nixhindwe kuxhukuru,,, big up bro walter kwa wimbo mzuri God bless u
Wimbo mzur, big up kwako broo
umenifanya Leo niufikilie ukuu wa Mungu barikiwa kaka
Upo vizuri walter.Mungu azidi kukuinua.
Umebarikiwa Walter Chilambo Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi.
Unajua zaidi ya kawaida ndugu yangu, Mbadala yako bado hajatokea Hongera sana
"Najua vita sio ndogo, lakini kwa YESU hiyo vita ni ndogo"
I love I love this song❤❤❤
Kudoz & more blessings Mr. Chilambo👏👏❤🎉
🙌🙌🙌🙌🙌😭😭😭😭😭 this song🔥🔥🔥🔥🔥
Waaaaaaoh. ....nice song....wish kama ungekutana na Ambwene na mkatengenezaa wimbo wa pamoja....ubarikiwee chilambo....
wimbo mzuri ,,hujakosea hii ni njia nzuri,baki kwenye injili
Asubuhi yenye baraka tele....Asante Mungu wng kwa kunipenda
Ahsante kwa kunipenda yesu wimbo huu unanifny nione Ukuu wa baba ndani yngu
Kali sana kaak
Sawa kaks
Ubarikiwe Walter!!!... kazi yako ni Njema twakupenda saaaana!!!
Asante Mdogo wng Walter kwa wimbo mzuri na mungu azidi kukubariki juu wimbo wako na uwe fuzo Kwa jamii tujifunze kushukuru
Barikiw kaka kwakuwa nyimbo zako zinatufunguwa mwoyo nakutugeuza🙏🙏
Ameeeen. Wow wow Asanteee
Pia karibu kutazama video ya wimbo wangu mpya God of Mercy
ruclips.net/p/PLoKu8zBaJXIVVTFnK6hJXEF4yQOUY3bXZ
hongera kaka Mungu azidi kukuinua
yaan me nafurahi sana kuona mkaka mzuri kama huyu anamtumikia Mungu,Mungu akuinue kwa viwango vingine vya juu
ubarikiwe sana kaka kwa wimbo wenye ujumbe mzuri! only you kwangu km dose naona sasa itapumzika kidogo nianze hii
Brazaa baki umu umu tupate frreva za dini maana we ni fundi... Nzuri sana ii
Asante mungu asante pia kaka yangu kwautuzi mzili kabisa
Nilikuwa sijakusikia aise
Kazi nzuri sana hii
Daaaaaaaaaah Kaka Yani Kichupa Ni Hatar Balaaa N Mungu Azid Kukuinua Juu Zaidiiiiiiii Amen!!!!!!!!
ameen
Hakika Wolter Chilambo Mungu akubariki Sana.....Nyimbo yako hi imenifungulia mengi Sana kaka.Mungu awe nawe
Ubarikiwe zaidi ya sana kwa utumishi uliopewa na Mungu na uzidi kuinuliwa
Uko vizuri kijana Mungu akusaidie
Nimeamua nikufate wewe mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nakupenda sana brooooooo
Asantee
Sifa nzuri za kumwinua Mungu Wetu
saluti kwako blathe hii wimbo nimeukubali sana umenigusa sana
Kazi nzuri walter Mungu akubariki.
naupenda sana huu wimbo huwa unanibariki sana songa mbele zaidi
Dah good bless u kak natamani siku moja nije kuwa kama ww kak nakubali kazi zako mungu azidi kukuinua utusaidie nasisi kama wadog zako bless you brooo Walter chilambo
Its amazing jomoniiiii yaaan Mungu azidi kukuinua man of God
nashukuru mungu kwa wema wako
nabarikiwa sana na huu wimbo keep it up brother walter
Kweli Mungu ni mwema kwe2 2napaswa kumshukuru shine kk
MUNGU AZIDI KUKUTIA NGUVU KATIKA UTUME HUU ALIO KUTUMA KUI FANYA KAZI HI BALIKIWA
Amen... Asante sana🙏
Woltar hi wimbo inanisaidia Kwa kuomba.
Nilipokuona bss nilitamani kukuona huku kweli umefanya
wwoo! nyimbo nzuri saana
i have cried with this pretty song , i have screamed with this pretty song , i have yelled with this pretty song. i have stomach problems , this eats me. this cuts me. this swallows me. i am young but still growing. 😭
wewe bro fundi
Tuwekee lyrics za huu wimbo.... Barikiwa na mungu aendelee kuchochea karama yauimbaji juu yako
Nabarkiwa sana na wimbo huu kaz nzur
Good song am died for you like your song God bless you my dear
Mungu akubariki kaka Walter............ kazi nzuri sana!
mungu hakungez kipaji. habaliki
wimbo mzuri sana mungu akuinue broo Walter Cholambo
#Ee mungu bariki kipaji cha m2 huyu na kaz zake ziweze kuckika mbali
Toka nimeanza kusikiliza upo upeo wa MUNGU kwako
Kazi nzuri san mungu akubarik
Kumushukulu mungu so jambo gumu 2siwe wagumu wakutoa shukran kama dagaa
Kazi nzuri 🙏🙏
Ubarikiwe naupenda wimbo wako wa only you