Kijana anayetuhumiwa kwa mauaji polisi kisiwani Lamu ajisalimisha
HTML-код
- Опубликовано: 19 сен 2024
- Mwanaume mmoja ambaye amekuwa akisakwa na polisi kwa mauaji ya afisa wa polisi kisiwani Pate, kaunti ya Lamu, amejisalimisha kwa maafisa wa usalama. Arafat Abdalla mwenye umri wa miaka 30 amekuwa akiishi vichakani kwa muda wa miezi mitatu na leo amesalimu amri na kujisalimisha kwa polisi.
Inchi ni yetu,serikari ni yetu,lakini makosa ni yake😁
Ni Tchundwa sio chudwa jamanini...
Habari za mwambao wa pwani wapawe wapwani watangaze
Bora message imeskika..ndio muhimu.
Allah awaongoze InshAllah
hapo ni sawa
Police wa lamu wameokoka kaa ni Nairobi woooi
Wasiende kumuua basi
Kenya ni yetu
Sheria ifuate mkondo wake becoz huyu kijana amehangaisha kijiji wkati alipotenda kitendo cha ujama wananchi wa Tchundwa walikuwa wanasumbuliwa na maofisa wa polis walikuwa wakipigwa wa mama akina baba wakiingiliwa majumbani kuliwa hakuna mwananchi anaeza toka nyumbani si mchana si usku ukionekana unapigwa
Polisi wanalala wapi kama watu wanauwawa na wau kuuliwa kwa mapanga
Malipo ni hapa hapa Duniani
Pumbavu sana
Kwanini askari akiuhawa watu hawaandamani? Lakini raia akiuawa watu wanaandamana
hapo umeweza
I think it's because folks blame the police for the insecurity in some areas so when a cop is killed there people don't feel the same sympathy they would if it was just a normal citizen. But they should because we are all human in the end.
Afadhali hamgemuua polisi sasa wewe hii sijui itakuaje😬😬😬
😂😂😂😂😂😂😂😂taniuaaaaa