Polisi wadaiwa kuwatesa watu watatu waliokamatwa Lamu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • Watatu hao walikamatwa na kuhusishwa na mauaji ya Chifu

Комментарии • 148

  • @abduswamadmohamed6172
    @abduswamadmohamed6172 4 года назад +23

    These kind of acts are always done on innocent people without following the right laws..

    • @worldnews686
      @worldnews686 4 года назад

      Ndugu yangu sunipige subscribe

  • @farhiaenow7035
    @farhiaenow7035 4 года назад +4

    Walikupea elfu saba awa ni wazuri sanaa ,shukuru Allah uko salama

  • @kimkim8808
    @kimkim8808 4 года назад +7

    Nafikiria walipelekwa nyayo house, wanakula wanajipaka manukato pesa wanapewa kuteswa AMA holiday🤣🤣🤣🤣🤣

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 4 года назад +9

    Poleni Ila ni bora munge wafunika sura Kwa usalama wao cause hujuwi the next movie it will be....

  • @jacklinenatasha9207
    @jacklinenatasha9207 2 года назад

    Nauliza hio n kuteswa huyu jama ako confused kama mm

  • @aminakassim7149
    @aminakassim7149 4 года назад +5

    Anyway basi hukuteswa wewe...shukuru mungu wapewa kula nguo walala wajipaka manukato na ukapewa na pesa zakwenda home shukuru sana

    • @worldnews686
      @worldnews686 4 года назад +1

      Amina nisaidie na subscribe

    • @lmashua
      @lmashua 4 года назад

      Amina Kassim Nakubaliana nawe

  • @AhmedAli-jm5yu
    @AhmedAli-jm5yu 4 года назад +2

    Aaha at least nimesikia vizuri the police were very good and decent

  • @mohamedabdalla1836
    @mohamedabdalla1836 4 года назад +2

    And why is it done on only Muslims ..... Kenya haina haki na usawa

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 Год назад

    Mbona hao polic washikwe kama makenzi

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 года назад +1

    Jamani enyi polisi chunguzeni uhalifu ufanywao kwa kina sio kuchukua watu wasio na hatia na nitehemeo la familia mkawaeke tu jamaa zao zikiwa na mitaharumi Tuweni na IMANI kwani hata hiyo Imani imezungumziwa katika vita vya dini 😭😭😭😭😭

  • @simansheikh7670
    @simansheikh7670 4 года назад +2

    Washukuru.mungu.kama.wamee.wa.cilewa.huru

  • @ryjalimohaa5386
    @ryjalimohaa5386 4 года назад +3

    Serekali waseme ukweli kuna na wengine watatu mpaka leo hawajajulikana walipo

  • @hidayasaidi7872
    @hidayasaidi7872 Год назад

    Labdamlikuwashakahola

  • @stevmwanamilongo5375
    @stevmwanamilongo5375 Год назад

    Hao sio polisi

  • @johnluck1610
    @johnluck1610 4 года назад +1

    LAMU siyo kenya twafa kuji gawa tutoka wa washenzi kenya.

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 4 года назад +8

    MAPOLISI WAMESHINDWA NA ALSHABAB WANASHIKA WAKENYA AMBAO HAWANA HATIA WAJINGA WAO

  • @murimikaburu1376
    @murimikaburu1376 2 года назад

    hakuna mateso hapa!!!

  • @mamafatuma138
    @mamafatuma138 4 года назад +2

    Sasa hayo ni mateso jamani mm nilikuwa naona ulikuwa wala kichapo kumbe ulikuwa wala ukilala😅😅😅😅sema kweli

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 года назад

    Poleni sana mungu awape subra amiin

  • @julianamalinda2357
    @julianamalinda2357 2 года назад

    Manukato ulitoa wapi

  • @oppsinlyf
    @oppsinlyf 4 года назад +5

    Citizen ushenzi itawaua. Walioshikwa hawajasema waliteswa kwa njia yoyote. Labda walikuwa wamesetiwa lakini walipochunguzwa ikawa hawana hatia yoyote

    • @rashidiathumani4476
      @rashidiathumani4476 4 года назад

      Mbona magaidi niwaislamutu kunani

    • @janenyambura5357
      @janenyambura5357 4 года назад

      izo pesa zitakula yiyi munaona Kula Tu hamjui hao watu wanawazia nn

  • @janewangaringoiya5704
    @janewangaringoiya5704 4 года назад

    Glory b to god coz walirudi wazima.penda hawa police.

  • @aishaabdulrahman6995
    @aishaabdulrahman6995 4 года назад +1

    Nani ameskia alikua hana freeee dome 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @minaziparasu3352
    @minaziparasu3352 4 года назад +1

    Unapaka manukato mmmhh ndiomateso hayo bwege weee

  • @abdulkadirnagib9639
    @abdulkadirnagib9639 4 года назад +1

    Haki africa thank you

  • @peninahruth2870
    @peninahruth2870 4 года назад

    Mateso nikula tu ....poleni lnki ...kpsaa nikitu yakuogovya ukishikwa nahujui umefanya nini wala nini wanakutakia

  • @daprince7545
    @daprince7545 4 года назад +1

    Ndio sirudi Kenya

  • @mscantraah8210
    @mscantraah8210 4 года назад

    Kwelikabisa jama Kenya hii watu wataonga kuja kenya hata wa tali duh😳😳🤲🤲🤲

  • @wallacemunywa2507
    @wallacemunywa2507 4 года назад +5

    Manukato ni nini🤣

  • @kadogoomushadi5409
    @kadogoomushadi5409 4 года назад

    Sasawalifanyajee kwani mpaka wakafungwa matambara nakupelekwa hukoo jamanii

  • @suheilyakub7667
    @suheilyakub7667 4 года назад

    Sasa huyu aliteswa ama anawapromote.....huyu jamaa wa HAKI hakutarajia hili gunya litaropoka hivyo 🤣🤣

  • @mwambaowapwanichannel8572
    @mwambaowapwanichannel8572 4 года назад

    Wacheni kuropoka ropoka yafaa mujue haya ni maisha ya watu wanaeleza kulingana na masharti walopewa wakati wakiachwa

  • @joramkimario2666
    @joramkimario2666 4 года назад

    Unazingua imeteswa wap.yaan had pesa mlipewa na manukato tena.waambie waje kwang tz wanikamate

  • @mufush
    @mufush 4 года назад +2

    Fridom ni nini?huuu ni uwongo mtuuuuuupuuu at naoga hadi kueka manukato? Ambieni watoto mateja Hii Story sio sisi? Pumpavu

  • @mohatito830
    @mohatito830 4 года назад +1

    Mateso Gani Haya 😂

  • @vonstanley
    @vonstanley 4 года назад +2

    LET THE GOVERNMENT DO ITS WORK....... KAMA MLIKULA MKO SAWA .... WE MUST SUPPORT THE GOVERNMENT SO THAT THEY ARE ABLE TO PROTECT US.

  • @gideonmoisari2117
    @gideonmoisari2117 2 года назад

    Kuhusu kitambaa hii watu wanaongea uongo tupu

  • @nicholasmbusya6555
    @nicholasmbusya6555 4 года назад +2

    Nyinyi hamjui kuteswa ni nini,kaa hamkufinywa makende hamstahili kusema mlipitia mateso

  • @mahbubdawood2909
    @mahbubdawood2909 4 года назад

    Uhuru na jeshi lake limenunuliwa na Trump

  • @ericmonax5666
    @ericmonax5666 4 года назад

    Noma

  • @boniface3710
    @boniface3710 4 года назад +1

    Hawa walikua holidsy

  • @viviantenai4599
    @viviantenai4599 4 года назад +1

    Wacheni ujinga tangu lini polisi katoa pesa ampe mfungwa? Hawa ni wenzenyu tu namsipo jihadhari mtabebwa kule Somalia mkijifanya ati polisi amewashika

  • @ezemothesurgeon.4873
    @ezemothesurgeon.4873 4 года назад +1

    Anajua SAA mbili na SAA saba unusu kivipi?

  • @mwambaowapwanichannel8572
    @mwambaowapwanichannel8572 4 года назад

    Haki Africa kongole tunawapongeza

  • @AaAa-kr9nb
    @AaAa-kr9nb 4 года назад

    wallah shukuruni sana sana mungu amewaokoa sana sisi juzi kuna watu walitekwa na wakapatikana waliuwawa wallah mungu awalaani kenya imearibika sana

  • @marykalei8139
    @marykalei8139 4 года назад

    Sasa mlikua mumefungwa macho kwanini. Kuna vile mumetuchanganya

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 года назад

      Bora na wewe waje wakufunge macho ndio utajuwa nini

  • @farxanwadani.2433
    @farxanwadani.2433 4 года назад

    Hongera walinda usalama kwa kazi nzuri.

    • @janenyambura5357
      @janenyambura5357 4 года назад

      Mm naona mko pamoja nao namtakuja kujuta mtajuwa ajui mnapenda pesa Sana mtajuwa amjui yiyi

  • @priscakadzo7323
    @priscakadzo7323 4 года назад +5

    Friridom 🤣🤣

  • @Mrguykenya
    @Mrguykenya 4 года назад +2

    Kwani polisi wa pwani wako na adabu aje? Wah! Nyinyi inaonekana mko Marekani na bado mncomplain? Huku bara polisi hutupaka mafuta kwa mgongo wakitumia bakora na kisha they take every last coin in our pockets. Kuoga wanatwambia tunaweza tumia sweat.

    • @worldnews686
      @worldnews686 4 года назад

      Joseph sunweke subscribe

    • @kimkim8808
      @kimkim8808 4 года назад

      Nashangaa hata mimi hata anaoga, anapewa pesa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @just.elhadji__7148
    @just.elhadji__7148 4 года назад

    Kama umesikia "MANUKATO "weka like twende sawaa😀😂......kwwli haya ni matesooo!!!!!

  • @clarionphilips2556
    @clarionphilips2556 4 года назад

    Hahahahah kama unakunywa na kukula na kuoga, hio ni.mateso kweli???

  • @supumoto6819
    @supumoto6819 4 года назад +4

    Kumbe polisi wanagawa PesA pia, uliangukia wewe

  • @AhmedAli-jm5yu
    @AhmedAli-jm5yu 4 года назад

    Msecheze na wanawake zetu hii italeta vita this is wat makes people into TERRORISTs to pay back

  • @christinabarasa5515
    @christinabarasa5515 4 года назад

    For my behalf I thank God because this fellow Kenyans they were brought back while alife without any damage....wacha wawasaidie kwa sababu hayo yalifanywa kinyume na polisi.

    • @missttruth1334
      @missttruth1334 4 года назад

      Christina Barasa ...ikiwa wamerudi sawa na wazima,basi hapo walikuwa na wapelelezi sio polisi

  • @hamza89945
    @hamza89945 4 года назад

    Serikali inanyanyasa watu

  • @mahbubdawood2909
    @mahbubdawood2909 4 года назад

    Wakenya tukiunghana mikono pamoja na kujitolea kwa nguvu kama hawa wanao hojiwa basi ndipo tuta maliza uhalifu wa mapolisi wakoloni na ikiwa hawa mashoga hawaogopi wewe mwanaume unaogopa nini?

    • @nusaybahbae8931
      @nusaybahbae8931 4 года назад

      Mahbub Dawood mbona wawaita mashoga? shame on you

    • @mahbubdawood2909
      @mahbubdawood2909 4 года назад

      @@nusaybahbae8931 Kwajili ni halali kusimaisha mateso za polisi wa koloni na ata hivi ni kweli na wote wanajua kwambha lamu kuna mashoga wenghi na wenghine wanawachokoza bila ya sababu mbhona haufunghi midomo zao?Hauwezi kwajili wewe ni mmoja wa wale mapolisi wa kibandia

    • @qaasimsaid9877
      @qaasimsaid9877 4 года назад

      Wee babu ushoga nawapa kwa kigezo gani? (Ushoga unaujua ndo wapupia kuleta porojo zisizo na mbele wala nyuma

    • @mahbubdawood2909
      @mahbubdawood2909 4 года назад +1

      @@qaasimsaid9877 Mkoloni wacha domo parapanda mwanzo kiswahili sanifu ni ya Tanzanian ambhayo humaanisha maana ya shoga ni rafiki

    • @mahbubdawood2909
      @mahbubdawood2909 4 года назад

      @@qaasimsaid9877 Shika moo nyanya?

  • @clarionphilips2556
    @clarionphilips2556 4 года назад

    Hao ni polisi wazuri

  • @zanazui
    @zanazui 4 года назад +1

    Why does someone always try to grab the mic 🤣🤣🤣

    • @companions.610
      @companions.610 4 года назад

      Yaani that's all you could say about the whole story?

  • @mahbubdawood2909
    @mahbubdawood2909 4 года назад

    Kama ni wanaume kweli waende kuwasumbhua al shabaab na sio mashoga wa Lamu

  • @AhmedAli-jm5yu
    @AhmedAli-jm5yu 4 года назад +1

    At least they didnt beat them up

  • @bobbiegatimu7124
    @bobbiegatimu7124 4 года назад +1

    Waliteswa hawa kweli????

    • @andallaathman3856
      @andallaathman3856 4 года назад

      Ulikua wataka uone nn ndio wawe wameteswa ?

    • @bobbiegatimu7124
      @bobbiegatimu7124 4 года назад

      @@andallaathman3856 maskio ulipewa.... Wenyewe wame sema hawakuteswa...

    • @AaAa-kr9nb
      @AaAa-kr9nb 4 года назад +1

      we nawe awakuteswa kwani walikua kwao nyumbani mungu tu aliwasaidia

    • @bobbiegatimu7124
      @bobbiegatimu7124 4 года назад +1

      @@AaAa-kr9nb hatukatai ni Mwenyezi Mungu.....shida ni title ya mwenyewe amepost....alas

    • @elnorahmjomba1311
      @elnorahmjomba1311 4 года назад +1

      Aah hii story ikianza nilikua nimewaka hasira iweje polisi watese wenzetu kumbe ata walikua wakila wanaoga vizuri na kujipaka manukato kwani holiday?tushukuru wako hai tu ile mbaya ni kutesa na kuua watu,lakini wangewaambia wamewashikia nini hapo walikosa

  • @sophiamacdonald2711
    @sophiamacdonald2711 4 года назад

    Machachu aki nyinyi

  • @aishachambo3293
    @aishachambo3293 4 года назад +1

    Wameteswa😳😳😳😳

  • @bakarikalama6099
    @bakarikalama6099 4 года назад +1

    Mnataka makafiri wafate sheria? Apo msahau

  • @petermwambito2339
    @petermwambito2339 4 года назад

    Elfu saba zaree hyo kazi ya kuhojiwa na Polisi na unapata mshahara. Mm sioni shida kulingana na vile wanaeleza watekaji hawana ubaya na mtu mzuri ila kwa waghaini. Hatuko salama kama serikali haitaachwa huru kufanya kazi yao jinsi wajuavyo. Sie hoja yetu ni usalama kwa wote.

  • @plmm7706
    @plmm7706 4 года назад +1

    wajinga nyinyi mlipewa chakula na pesa hujafanya kazi ,bure kabisa

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 4 года назад

      Mjinga wewe fataani mmoja ngoja yakufike siku moja

  • @kingpharaoh6981
    @kingpharaoh6981 4 года назад

    Hilo Jima sumbua u look like suspect

  • @mariamhassan1723
    @mariamhassan1723 4 года назад

    Hussein sauti yako kama ya hayati Ahmed Darwesh Innallilahi wainnailehi warajiun

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 4 года назад

      Ahmed Darwesh alifafiki? Allah amraham hata cjui

    • @mariamhassan1723
      @mariamhassan1723 4 года назад

      @@sakinat2527 kitambo ana miaka

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 4 года назад

      @@mariamhassan1723 aaha , Allah amuepushie na adhab za kaburini

  • @mohammadsalim7879
    @mohammadsalim7879 4 года назад +1

    Sasa hiyo ndo ume teswa

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 4 года назад

      Wewe hajakufika, kwani police gani anaruhusiwa kumfunga raiya kitambaa cha macho? Hao ni watekaji na sio police, hau ulitaka wakatwe vidole?

  • @sylviaecke1772
    @sylviaecke1772 4 года назад

    This ist crazy😫😫😫

    • @worldnews686
      @worldnews686 4 года назад

      Sylvia nisaidie na subscribe

  • @mahbubdawood2909
    @mahbubdawood2909 4 года назад

    Badala yakuwa kamata al shabaab wanatesa mashoga wa Lamu si wanende kuwasumbhua al shabaab?Hawawezi kwajili al shabaab na polisi ni kitu mmoja

  • @viviantenai4599
    @viviantenai4599 4 года назад

    Mliteswa na alshabab hawa sio askari

  • @mwanashajuma6557
    @mwanashajuma6557 4 года назад +1

    Kuliza si ujinga uyo jamaa alie hojiwa kwa mara ya kwanza haoni au ndo amevaa glass hili watu wasiwajue?

    • @faridaathman7722
      @faridaathman7722 4 года назад

      Ata umbea wewe kuma

    • @mwanashajuma6557
      @mwanashajuma6557 4 года назад +3

      @@faridaathman7722 sasa matusi ni ya nn na nimeuliza umelelewa katika maadili gani lkn kuliza pia ni umtusi mtu siko tayari samahani kwa hilo

    • @alfanm.8221
      @alfanm.8221 4 года назад +1

      @@mwanashajuma6557 ata mm namshanga mbona atumie matusi katika kila comment nimefatilia sana kwenye comment zake

    • @mwanashajuma6557
      @mwanashajuma6557 4 года назад +1

      @@alfanm.8221 hana madili uyo ndivyo alivyo funzwa kwako labda

  • @lizkimani9576
    @lizkimani9576 4 года назад +2

    Umeteswa wapi kama una kula na kuoga...polisi lazima wa investigate terrorists...muongo wewe...

    • @ruuspicyasmr1694
      @ruuspicyasmr1694 4 года назад

      Wacha kuita watu waongo know how to talk

    • @hassanalhussein3982
      @hassanalhussein3982 4 года назад

      Kwani hawali chakula kwao. Kuchukuliwa kiholela bila ya kujuwa wanapokwenda hayo ni mateso tosha .Lakini wewe ni punda wa bara uko na chuki na watu wa pwani mpaka ndani ya mkundu wako. Fala wewe

    • @janenyambura5357
      @janenyambura5357 4 года назад

      Polisi upi atoa pesa zake awapea yiyi ,yeye polisi navio penda pesa hapa Kenya,😂😂7000 No No mnawajuwa hao watu