Hongereni Sana Bongo Cheka Tu Kwa Kufany Stand Up Comedy, nashauri tu boresheni Kwenye Kuingia Mtu akiwa anatajwa tu Anatokea back faster tu kwenye Shangwe Zile, ili pia Isionekane video ni ya Dk Nyingi, mana Inatakiwa iwe hata Dk 5 tu.
Good show guys...keep the good work up. Nadhani you need to take a very serious action on sound quality. You need to tap it direct from sound box and keep more mic on audience ku capture sounds za audience.
tofaut ya geto na nyumbani ni nomenclature tu kila kitu geto kinaqngaliwa kiwe na matumizi gani kwa mda huo ila nyumbani kila kitu kina matumiz binas sasa geto nahis blanget linaweza kutumika kama taulo wakat wa kwenda bafuni
Sultan idris akili zako unazijua mwenyewe. Hongera sana kwenu cheka tu
I lv u jamani bro Idris big up👏🤣🤣👍
Safi sana ....umekuwa mkubwa...endelea kukaza
Idriss sultan waweza broo....#good work Cheka tu
Alaf na wewe koy unakuwaga handsome😁😁😁😁😍
Hongereni Sana Bongo Cheka Tu Kwa Kufany Stand Up Comedy, nashauri tu boresheni Kwenye Kuingia Mtu akiwa anatajwa tu Anatokea back faster tu kwenye Shangwe Zile, ili pia Isionekane video ni ya Dk Nyingi, mana Inatakiwa iwe hata Dk 5 tu.
Official Yonas C Mashambo . . .
Kweli
I second you bro
You made my day bro
Happy birthday ya simu yangu nimeimwagia maji
Goooooooood
Keep it up!!!!!
I love you my bro unani furahisha sana
Kumuona tu Idris nimejikuta nishacheka😂😂😂
Shou nzuri sema sauti haiko sawa
Schoolmate idriss umeniuwa mbavu mshenz sana we jamaa hahahahhahahahadah
Vp
Hahahahah Mdogo angu umetisha, Umekua sana Idriss, Poda mikononi umetisha....
Idris you look wow!
Sauti mmekosea sana.
Haikutakiwa kutumia sauti ya moja kwa moja.
Tulia
Isey,,nikiwainjoy wa Kenya sasa ntmn nije daa nije nishuhudie .I love so much
Yew crazy Idris hahahahaha
Hatarew huyu jamaa namkubali sanaaaaaaaa
Idris is hilarious 😂😂😂😂
Huyo jamaa hapo mwanzo nafikiria aliwaza mbn idris hatokei
aisee we na Optalema ni kila kitu apo "cheka tu"💪💪
Mungu aweke roho yako mahali pema boss marther.kifo zako kinauma Sana hadi huku Kenya.poleni familia yote .
Nitumie jam...jam imeisha nyumbani....
Nikikamatwa na majambazi wallah lazm nende nao
Hee kumbe Idriss ana Tege balaa sijawah muon leo ndio kwanza namuon
Sauti haijatulia, hamsikiki vzr, jaribuni style ya churchul show
Sanaa ni ubunifu sio kuigana
Tanzania got talent
nakupenda san kaka unawez duu nimechek mpak
Yaani wew qwahyo sisi Tunaroho mbaya hata Utekwe Tusiamini😆😆
Diana Yud mamb
Hahahahaha pokea cm ya samaki nimeipenda hio
idris ni fire...
Am watch from africa tanzania🇹🇿 i like this show cheka tuu
A like his sense of humor, he's hilarious
Umetisha sana idris
✌✌✌😂😂😂😂😂😂 Nakubali Sana Apo Kwenye Samaki
Good show guys...keep the good work up. Nadhani you need to take a very serious action on sound quality. You need to tap it direct from sound box and keep more mic on audience ku capture sounds za audience.
Idriss is good mr. Beneficial is better... Deo is the maestro!!! Take a bow deo!
😂😂😂 pokea simu ya samaki😂😂
Hahahaha nakupenda bure sana
hahahaaaaa mbavu zang idrisaaa uko vizur my
I like his style of dropping the jokes and the facial impressions, very similar to comedian YY of Kenya.
😁😁😁😁😁🤝🤝🤝
Idriss anajitahd xn siku hizi. Hongera
😂 😂 😂 noma sana we jamaa
Hadi trh 03/08/2023 Saa 8:44Usiku Still inabamba
I like it
Nyinyi mnaolalamika saut, cm zenu nd mbov
Baraaa sana kaka
Idrisa nimecheka hatar😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
HAhahahahaha ni noma, kaka jambazi me mateka huru.... kuna taa hapo mbele inapga inasababisha picha iharibke kdogo....
Wa kuolewa wakae huku, wa kuuliwa wakae huku. Hawa amabao hawakuuliwa adhabu zao🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Idris wey noma namatenge yako jamani
Kipindi yupo mtoto hakukua na pampasi walimfunga nepi kubwa ndo Mana matege yakampata
Penda sana idrisa sultan hukoseagiiii
Jmn nacheka naumia tumble😁😁😁😁😁😁❤❤💖
Aisee!
Hahaha noma sana
😁 jaman me hoi..eti we mwanaume ....ni kweli aisee.....nitumie Jam....kwani Jam imeisha nyumbani😂😂😂😂😂
Kweri kabisaa
greta gonga 😄😄
Hadi trh 03/08/2023 still hii Comedy inabamba
Really talented
Noma sana aisee,hivi hua inafanyikaga maeneo gni
Wavinono Classic millenium tower mara nyng
+Grace Thomas gharama yake je?
Grace Thomas asante grace hua sh ngpi na ni SKU gni inafanyika?
Wavinono Classic 10000 kwa 20000 huwa alh au ijumaa na huwa wanasema kabisa
Grace Thomas nashkuru sana Dada,kama tuzid kujuzana
idris unaweza
Love u
Nice broo
Platform ndogo sana
Huyu ni Shabani alikua anaenda lorry mbele yangu😂😂😂😂
nomaaaaaa
Binafsi mi hua naenjoy sana kupitia cheka tu...nimejifunza mengi japo ni kwa njia ya comedy..
Noma sana
Jitahidi asee kazi bado
Nawatakia sound zikae vzr.
Ndo kujongea huko
Live ndugu yangu
Idriss fala sana😂😂😂😂😂😂😂
Kazi safi
hahahah noma na nusu
Hahahaaa lov more idris
nomaaaa duuh
❤️❤️❤️
Salot I like tht
ivi ii shoo inafanyika wapi
My model idris ,I like everything you do for me
tofaut ya geto na nyumbani ni nomenclature tu kila kitu geto kinaqngaliwa kiwe na matumizi gani kwa mda huo ila nyumbani kila kitu kina matumiz binas sasa geto nahis blanget linaweza kutumika kama taulo wakat wa kwenda bafuni
Genius
so nice
Practice make perfect umeimprove sana kaka
Mambo
😂😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁duuuuh Idris hapana
Uko vizuri ila try to change your voice my bloody
Hivi mnashindwa nn kubolesha hizo mike
😘😘😘😘😘😘😘
Daaaah 2022
Shoo inafanyika wp
😂😂😂😂 Sasa umekuwa official mchekeshaji, pokea cm ya samaki dah! Cyo kwa kucheka uku.
Sauti kweny show yenu bado cjaielewa
I love you sultan...... big up
HAHAHAHAHAHHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA UYU MWAMBA SULTAN NI KWIKWI ASE
Uwiiiiiii mbavu zanguu mie
Hii show iko kenya ama upande gani
IPO sawa
Sultan wa miaka hiyo na Wema
samakiiiiii
Hahaha yani nime cheka mm
noma sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
😂😂😂😂😂😂😂😂samakiiiiiii
Hata mm nataka kuja wiki hii nielekeze ni wap
Da tsha sana