CHINDO MAN KAMSHIRIKISHA THE GAME, GUCCI MANE, SNOOP DOGG, ATOA SIRI YA KUWAPATA | THE THRONE
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: www.facebook.c...
TIKTOK:
- www.tiktok.com...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Huyo jamaa namfahamu Sana kwao ni kijenge juu huko arusha.big up Sana na vijana wa Leo niwatake huyo mshikaji awe role model wenu. Kutoka kwenye umaskini uliokithiri bangi,pombe sigara,uwizi alivishindaa big up Sana kaka.
Mauwa Tani kumi kwa chindoman ni mtu wa kuheshimiwa Dunia mzima kijana aliekuwa na moyo wa kutoka wazazi wake kijenge juu stand up,watenwa family brother hood,,,big up Tanzania hip hop real artist,,,Babu huo mkaoboi ukishuka nakuvua,,,,,kama the don lutuno og
surely nilikua nasubiri media gn ita piga interview na King CHINDO #thethrone🔥🔥🔥 Album ya hip hop aijawai tokea 🔥🔥🔥
much respect father Umbwa mzeee dakika ni kweli hazikutoshi father one love
Nawapata from kahama
Respect For Chindo Man
Mbwa mzeeee......the earliest...... Big up, love from posho city(Dom town)
Chindo Man👊❤❤
Big Thing🙌
Chindo man aka umbwa mzee nyang'au muwakilishi wa hip hop tz
Umbwaaaaaa mzeeeee Cow Boy✌️✌️
Much ❤
Nakubali
Duuu noma sana
chindo man Mt mbadi sanaa hongera zake
DOGGG MZEEE.
Atari mzee
Brother MKUBWA kijenge🔥😄
Namba
Nimejifunza Kitu Kikubwa Kwa bro Umbwa 🫡🫡🫡🫡🫡🫡
Full ile laaana
Hazina katika utamaduni wa Hip Hop TZ nakubali sana Chindoman
Umbwa mzee jombii
Hiphop ❤ 4rever
Wabongo toweni promotion kubwa ya Album mpya ya Chindo Man acha unafikiii. @Stronj
Hapa ndio nyumbani siondoki nyumban ng'oooo yan ni humu🔥🔥🔥 tu
Big up buddah
Mnyama Chindo..Baba lao
Umeuwa baba tusubiri albamu
Nakubal chindo man
🔥🔥
Chindo man mbwa mzee jombii nyag,au king nkola ngarenaro Riparicn A city
Umbwa mzee
tony16 saluteeee
ubwa
Legendary shit 🔥🔥🔥🔥🔥
Nafurahii sana unamkumbuka rafiki yako JCB.
Atengeneza video tuone huo collabol
mbwa mzee
Uyu jamaa nimuongoo amechukua vocal za wasanii wa mbele akavalisha juu ya beat nakuwapa collabo wasanii wabongo...skiza ngoma zake alafu ushazm
Falaww
Acha ushamba😂
Utabaki kuwa mshamba milele we sikiliza amapiano tu huku tuache wenye hip-hop yetu
Umepagawa Na Maisha yko wew😂😂😂😂😂
Uongo ni fani Yako ,,,,wee ushawahi kusema ukweli?😊
Umbwa nyang'au
Dog