Mtumishi mi Niko nyuma yako ata Mimi sijawayi fulahia uongo ao wanaotaka kkunyamazisha tambua wako pamoja nawo wewe songa mbele na mungu atakushindia mungu akubaliki Sana amen
New fan from tiktok am blessed mateso ya mwenye haki ni mengi ila Mungu humtengenezea njia yakuondokea Mungu akutie nguvu zaidi na neema iwe juu yako milele na milele much love from 🇰🇪 🇰🇪
Baba HAKIKA MUNGU akukumbuke Sana MUNGU akuondolee madui wote wakusogeleao awtawanye kwa njia7 kaka nakupenda sana uBARIKIWE sana sana sana sana sana 🙏🙏🙏🙏👏👏🤲🔥🔥🔥
Vishawishi vingi sana duniani majaribu ni sehem ya kipimo Cha Iman zetu hakuna kukata tamaa mtumishi nyimbo inabariki sana MUNGU akutie nguvu katika huduma yako
Alicho kihadi katika Maisha yako Nani mwanadamu akipangue Haya n mapito yanapita Shika Imani usiche ukamkifuru Mungu Kwa ajili ya watesi wako songa mbele Kwa ushindi wako hata Ayubu alijaribiwa hata we hilo n jaribu tu utasinda kitambo kidogo tu mtumishiii utaingia Kwa Baraka zako
Be blessed the man of God 🙏 actually wimbo huu umenikumbusha mbali sana tangu nilipo jua neno la mungu Asante sana barikiwa Wacha tuendelee kupikania ufalme wa mungu kuliko wa hapa duniani
😭😭😭😭😭naumia sanaa moyoni mwangu nikiona mtumishi wa mungu unaongea ukweli watu wanakupuzia lakini mtumishi usichoke ata enzi za nuhu ilikua Ivo Ivo alihubili sanaaa lakini waliokoka ni wachache sana mungu atubaliki wote Tanzania tujue kweli ya mungu🙏🙏
I don't know why this song is making me to cry😢😢 Sana majaribu ni mengi sana tena yanaumiza mno, lakini tukimuani uyu Mungu hawezi tuwacha, maisha ni kama exam tukijikaza kwa imani ya bwana tutashinda, asante sana kwa good news mtumishi wa mungu and may God bless you Amen 🇰🇪🇰🇪
Amina majaribu ni mtaji lakina tunajaribiwa Kwa ajili ya ule ufalme wa mbinguni kama twastahili kuumiliki ndomana tunapitia haya. Maana mmepewa Kwa ajili ya Krisro si kumwamini tu ila na kuteswa Kwa ajili yake.( Wafilipi. 1:29 Amina sana Mungu atusaidie tuwe watakatifu kama yeye alivyo mtakatifu)
Kazi nzuri sana...ninapenda nyimbo zako mtumishi...usichoke ata mimi huku Kenya napambana na kuzimu hadi kieleweke.haturudi nyuma
Amen amen 🙌🙌🙌
Mtumishi mi Niko nyuma yako ata Mimi sijawayi fulahia uongo ao wanaotaka kkunyamazisha tambua wako pamoja nawo wewe songa mbele na mungu atakushindia mungu akubaliki Sana amen
MATHAYO 7, 20-23
Mungu atupoye😥😥💘
Bado Mungu anakutazam,,
Sina lakusema zaidi ila Mungu wa Mbinguni Akusimamie katika safari yako. Uzidi kutuinua katika Imani,🙏
Sina lakusema zaidi ila Mungu wa Mbinguni Akusimamie katika safari yako. Uzidi kutuinua katika Imani,🙏
May God bless you,,,,nyimbo zako zilifanya nikaokoka aki ubarikiwe xana
good to here that
So glad
ongera sana kwa kupokea Yesu, hapo ume pata vyote
Mungu akubariki kwa kuchagua njia ya kweli na uzima.
Mimi mslamu Ila napenda sana nyimbo zako zinaujumbe ktk maisha,pia kufundisha hakuna km mungu
Songa mbele mtumwa wa yesu mungu amekupa sauti nzuri
Yaani mtumishi una karama kubwa kila wimbo ni mzuri hongera sana❤
New fan from tiktok am blessed mateso ya mwenye haki ni mengi ila Mungu humtengenezea njia yakuondokea Mungu akutie nguvu zaidi na neema iwe juu yako milele na milele much love from 🇰🇪 🇰🇪
Baba HAKIKA MUNGU akukumbuke Sana MUNGU akuondolee madui wote wakusogeleao awtawanye kwa njia7 kaka nakupenda sana uBARIKIWE sana sana sana sana sana 🙏🙏🙏🙏👏👏🤲🔥🔥🔥
Vishawishi vingi sana duniani majaribu ni sehem ya kipimo Cha Iman zetu hakuna kukata tamaa mtumishi nyimbo inabariki sana MUNGU akutie nguvu katika huduma yako
Ubarikiwe mpedwa mtumishi wa BWANA
Mungu akutie nguvu,mtumishi ,hata waasisi wa injiri waliyapitia haya ,ukimkiri kristo kwa Nia umetangaza vita
Wow let God bless you sir sana sana sana
Kwanzia leo Mimi takuita UWEZO.nyimbo zako huwa zina nikosha nafsi yangu.the love from the DRC Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩.God bless your hard work.UWEZO
Nayipenda sana hiyi nyimbo Mungu azidi kukuinua nakukurinda Man of God, sio hiyi tu ila uduma zako zote nabarikia nazo
Mungu akulinde na akutie nguvu
Mungu akutie nguvu,,vumilia utavikwa taji ,,,lazima ujue vita kwa aliyeamua kumtumikia Mungu sawasawa lazima viwepo,,,,hata mitume waliyapitia hayo
Alicho kihadi katika Maisha yako Nani mwanadamu akipangue Haya n mapito yanapita Shika Imani usiche ukamkifuru Mungu Kwa ajili ya watesi wako songa mbele Kwa ushindi wako hata Ayubu alijaribiwa hata we hilo n jaribu tu utasinda kitambo kidogo tu mtumishiii utaingia Kwa Baraka zako
Bado hajajua karama yake ilipo...Ana nyimbo nzuri sana zinazohubiri neno,, kuliko kukaa akiwasakama watumishi wa Mungu
Mungu Yuko tunakumbea yataisha kaza mwendo ndungu yangu mungu wanezareti Yuko nawe
Bwana YESU KRISTO, nisaidie niweze kushinda majaribu ktk wokovu, nisije nikaanguka.
Mchungaji Paschal,nipopamoja nawe na hii habari njema naitwa Emmanuel kutoka Mombasa Kenya.🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Be blessed the man of God 🙏 actually wimbo huu umenikumbusha mbali sana tangu nilipo jua neno la mungu Asante sana barikiwa Wacha tuendelee kupikania ufalme wa mungu kuliko wa hapa duniani
Mungu mwema kila wakatii TUZIDI kumwomba Mungu wapendwa
Tunakutegemeya ee,mungu😓😓🤝
Huu wimbo nasikiliza unanifariji sana ubarikiwe mtumishi wa Mungu Paschal
Amen Amen barikiwa sana Mutumishi wa Mungu akika tunabarikiwa sana na nyimbo zako
Mtumishi kiukweli nakupenda katika Kristo Yesu ila ombi langu Mungu akupe kibali ufike kwetu
The best beats, the song is so much encouraging and the video reflects the emotions of its words ❤😊
I always blessed with your songs,,, powerful song
Mungu akuinue sana kwa kazi unayofanya🙏🏻🙏🏻
Ujumbe mzuri sana mtumishi na unatia moyo kwani kuna baya gani hapo, pambana sana best umetoka mbali toka bss mchezo, kuna kitu ndani yako🙏🙏🙏🙏🙏
Amina, jamani Yesu tutie nguvu tu tumalize safali
Kweli mungu akutie nguvu mpaka uvuke ukavikwe taji mbingun
Nmeisikiliza hii nyimb nimekosa cha kukommenti zaiid ya kusem ubalikiwe mtumishi
Kaka Paschal bibilia Inasema Ufalume Wa Mungu Unatekwe Nawenye nguvu kaka Pambana Hata mimi Niko nyuma yako Mungu Atutie Nguvu
Nashukuru Mungu kwa kipaji chako, Songa mbele ...
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu na akuzidishiyee,hii nyimbo inanibariki kila wakati ninapo isikia🙏 Yesú atusaidiye
Nyimbo kalii saanaaaa,Mtumishii
Barikiwa sana baba mungu akupe nguvu zaidi ushinde zaid ya kushinda Yuko pamoja
Ubarikiwe kwa wimbo mzuri
Amen , mungu gusa mtoto wangu aache madawa ya kulevya, nakutegemea maana vita imenisonga😭😭😭😭😭
Kazi hii si bure Bwana atakufuta machozi barikiwa mwinjilisti. Paschal
mtumishi wa mungu usiridi nyuma wewe fanya kazi ya mungu hizi n nyakati za mwisho,naomba mungu apikane nao
Ee Mungu wa mbingu na nchi mtie nguvu mtumishi wako Ili azidi kuihubiri kweli Yako🙏
Amin mtumishi siku zote ukweli unachoma, ila na kukubali sana, endelea kusema kweli maana ndo utakuweka huru.
😭😭😭😭😭naumia sanaa moyoni mwangu nikiona mtumishi wa mungu unaongea ukweli watu wanakupuzia lakini mtumishi usichoke ata enzi za nuhu ilikua Ivo Ivo alihubili sanaaa lakini waliokoka ni wachache sana mungu atubaliki wote Tanzania tujue kweli ya mungu🙏🙏
Nakwel tushilikiana kumpga shetan
Utukufu kwa mungu, kaza mwendo mtumishi na taji yako ya ushindi na furaha utavikwa na mungu
Bwana akutie nguvu
Mungu akubaliki sana napenda nyimbo zako zote n za uhakika ameni
Hakika wimbo huu umefanya niwe na furaha ndani ya moyo wangu ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Wimbo wako unaniliza pia unanitia moyo mungu akubariki sana
Sincerely wokovu ni ghalama but tukaze mwendo😭😭😭
Amen, endelea mbele ndugu mungu yuko pamoja nawe
.
Amina kubwa
Usiwasikilize wanadam msikilize mungu tu kumbuka neno la kuwa mtatupwa wengi gerezani kwa ajili ya jina langu .songa mbele yesu anakuja
Song of the year it fit my situation 🙏🙏🙏God fight for me 😢😢😢
MUNGU akupe nguv mtumishi barikiwa mnoo hakika umekuwa baraka utumishi wako
God bless you sir can’t stop listening to this good and inspiring great song,keep it up the man of God,be blessed brother.
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU kwa neema uliyo nayo kwetu
Barikiwa kwa kz nzuri Mtumishi wa Mungu.
Wimbo nimeupenda sana mtumishi umenitia moyo sana
Neno langu kwako ni moja2 mtumishi wa mungu jicho la baba likutazame ameen
Kaza mwendo you are not alone mungu wako Yuko na wewe,am hakika Mimi nayaona jinzi watu wengi wanapitoshwa inchini Tanzania na kutokuwa na maarifa waa
Yani Kassiani unajua kuimba yani unajua mpaka unajua !!! Mungu wa mbinguni yani akuzidishe mara mia moja.
Unafiti Kila Mahali sifa na utukufu kwa Yesu kwa ajili yko
AMINA Nakupenda sana mtumishi.,,,,. , 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
barikiwa sana mteule unatubariki sana na ujumbe mzuri😇😇
Amen amen very Good song usually Show that God will help us
At last nimepata hii nyimbo it's nice song it's teach me
Mtumishi mwimbo unanijenga kiimani !Mungu akubariki sana uendelee kumtumikia katka maisha yako tote.
Tukonpamoja na wewe Hadi mwisho you are very powerful man of God
Mungu yuko nawewe usiwogope wanadamu Mungu atakupinganiya
Mtumishi wamungu naomba sana Mungu akulinde sana 🙏🙏 nyimbo zako zinanipa nguvu sana Kila nikisikiliza pia Zina ujumbe sana
Sana yani
Good song my brother mungu akutie nguvu kwa imani
May the LORD PROTECT YOU MAN OF GOD 🙏🏾🙏🏾
Endelea kutuelimisha pascal Mimi nilipigiwa simu Toka kuzimu why because niikuwa naelezeasana ufreemason NAMI sikuwa mkamilifu kiroho. Ukiwaelezea wanaumia Sana na kutangaza vita juu yako. Amina Mtumishi
😊@@killakadudu5589
Mwenyezi Mungu akupe nguvu
I don't know why this song is making me to cry😢😢 Sana majaribu ni mengi sana tena yanaumiza mno, lakini tukimuani uyu Mungu hawezi tuwacha, maisha ni kama exam tukijikaza kwa imani ya bwana tutashinda, asante sana kwa good news mtumishi wa mungu and may God bless you Amen 🇰🇪🇰🇪
Daa nimependa sana uo wimbo maan unaujumbe mzr
Amen kaka
Nyimbo nzuri ujumbe mzur sana
your songs always the truth em encouraging keep on motivating mkuu zidii kupokea barakaa
Mwimbo mzuli mungu akubaliki sana nivukengambo mwimbo umekua falaja mtumishi
Mungu akulinde na maadui pia awape na watumishi wengine ujasiri kama wewe watumishi wa bandia waishe kabisa
Nice song my best big Brother, Grory to Living God
Safiii Nimeipenda Hii Tena Sana Munguu Akupe Uzimaaaa
Mungu anajua ariko kutoa na hauwezi kufa Kama haujaimarza kazi yake Mungu atakusaidia Majaribu ni mtaji wa kuongeza Imani kwa Mungu
Ongera sana The son of Zion keep it up Brother
Hakika mtumishi wa Mungu aliye hai, huduma yako hii inatuponya wengi Mungu wa mbinguni akulinde na kukupa nguvu 🙏🙏🙏.
Barikiwa
AMEN BARIKIWA SANA HAKIKA MAJARIBU NI MENGI MNO ILA MUNGU PEKE YAKE NDIO MTATUNZI NMEFURAHI SANA
Wimbo una ujumbe mzito. Mungu akubariki mtumishi wa mungu.
Amen Asante mtumishi wa MUNGU wanimbariki sana Asante MUNGU wa BINGUNI akuie ngufu
💪🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏barkiwa sana mtumishiiiiiiiiii
Napenda huduma yako mtumishi wa Mungu tunabarikiwa sana
Barikiwa sana kaka kazi yako ni njema
Amina majaribu ni mtaji lakina tunajaribiwa Kwa ajili ya ule ufalme wa mbinguni kama twastahili kuumiliki ndomana tunapitia haya. Maana mmepewa Kwa ajili ya Krisro si kumwamini tu ila na kuteswa Kwa ajili yake.( Wafilipi. 1:29 Amina sana Mungu atusaidie tuwe watakatifu kama yeye alivyo mtakatifu)
Tuko nawew bab jipe moyo safari hii ya kutumika Ina miba nyingiii sanaaa😥😥😥😭
Kamanda, hakika Wimbo huu Yesu ametukuzwa sana
Mtumishi, ubarikiwe Sana
Amen what a message jamani.. 🙏🙏
Good song my brother mungu akupe nguvu
Yaan narudia tena na tena wara sichok kuisikizia hii nyimbo
Mungu akupe nguvu ktk huduma yako,hakuna atangazaye mwisho wa Mtu wa Mungu ni Mungu tu .
God bless Pastor Paschal ....May your life be a testimony all over the world