MKURUGENZI APIGA STOP MABASI KUINGIA HOSPITALI YA IKONDA MAKETE
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- TUNATOA FURSA YA MATANGAZO KWA BEI NAFUU KWENU WADAU WATU
WAGONJWA WANAOFIKA KUPATA HUDUMA ZA AFYA KATIKA HOSPITALI YA KANISA KATOLIKI YA MTAKATIFU CONSOLAATA IKONDA WILAYANI MAKETE MKOANI NJOMBE PAMOJA NA WANANCHI WA WILAYA HIYO WAMELALAMIKIA KITENDO CHA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAKETE KUZUIA MABASI YA ABIRIA KUFIKA KATIKA HOSPITALI HIYO.
Mm,nends muhimbil mkurugenz
😂😂 Aisee dunia hii hasa eneo hili linaloitwa Tanzania changamoto kweli watu wanalazimisha kitu kiwe fursa ambacho sicho,ubinadamu uliisha tangu mwaka 1997
Mkulugenzi we angaria huko muhimbili kuna mwendokasi acheni kujipendekeza kwa boda boda tafuteni namna
Ombi kwa viongozi uchimimgum nauli tukitafuta ya kufika ikonda huwa tunachanga ili mgonjwa afike hospitari hukutukitafuta hela ya Matibabu tunaimba mtusaidie magari yafike hospitari kwakweli
Wagojwa hawata endaakufkuzae hakwambii toka hee hawata pata wateje tutafia balabalami
Serikali msitafute frusa kwa wagonjwa ,acha hizo gari zifike hospital,maisha ni magumu sana,naninavyoona Mimi hapo kuna kiongozi wa serikali ana hodaboda zake hapo