MKURUGENZI APIGA STOP MABASI KUINGIA HOSPITALI YA IKONDA MAKETE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • TUNATOA FURSA YA MATANGAZO KWA BEI NAFUU KWENU WADAU WATU
    WAGONJWA WANAOFIKA KUPATA HUDUMA ZA AFYA KATIKA HOSPITALI YA KANISA KATOLIKI YA MTAKATIFU CONSOLAATA IKONDA WILAYANI MAKETE MKOANI NJOMBE PAMOJA NA WANANCHI WA WILAYA HIYO WAMELALAMIKIA KITENDO CHA HALMASHAURI YA WILAYA YA MAKETE KUZUIA MABASI YA ABIRIA KUFIKA KATIKA HOSPITALI HIYO.

Комментарии • 6

  • @KennedyNdemo
    @KennedyNdemo Год назад

    Mm,nends muhimbil mkurugenz

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani 7 месяцев назад

    😂😂 Aisee dunia hii hasa eneo hili linaloitwa Tanzania changamoto kweli watu wanalazimisha kitu kiwe fursa ambacho sicho,ubinadamu uliisha tangu mwaka 1997

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Год назад

    Mkulugenzi we angaria huko muhimbili kuna mwendokasi acheni kujipendekeza kwa boda boda tafuteni namna

  • @theofridaalphonce8212
    @theofridaalphonce8212 Год назад

    Ombi kwa viongozi uchimimgum nauli tukitafuta ya kufika ikonda huwa tunachanga ili mgonjwa afike hospitari hukutukitafuta hela ya Matibabu tunaimba mtusaidie magari yafike hospitari kwakweli

    • @witnessjoseph585
      @witnessjoseph585 Год назад

      Wagojwa hawata endaakufkuzae hakwambii toka hee hawata pata wateje tutafia balabalami

  • @agathakimatile4999
    @agathakimatile4999 Год назад

    Serikali msitafute frusa kwa wagonjwa ,acha hizo gari zifike hospital,maisha ni magumu sana,naninavyoona Mimi hapo kuna kiongozi wa serikali ana hodaboda zake hapo