CEO IMANI KAJULA AELEZA MIPANGO YA SIMBA KUBORESHA UWANJA WA BUNJU/SEN INA MAANISHA NINI?/MSIKIE CEO
HTML-код
- Опубликовано: 15 май 2024
- SUBSCRIBE NOW:
▶
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App: Iphone User: apps.apple.com/us/app/simba-s...
📱 App: Android User: play.google.com/store/apps/de...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC RUclips Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi - Спорт
MUNGU IBARIKI SIMBA SPORT CLUB❤❤❤WAKALI WA KARIAKOO
simba nguvu mija🦁🦁
Simba mnapenda vikao vingi visivyo na tija
Simba aoooo😅
Huyo Kajura ni mpigaji tu kama Mangungu na Try agsin amekuja kujinufaisha yeye Simba iporomoke
Siasa nyingiiiiiiiii ,kila mwaka tutafanya hiki, tutafanya kile Yani tumekasirika
wasenge tu vikao vingi mafanikio ziro
Mmekuwa na mipango mingi Haina tija mnatumia nguvu kubwa sana kumtafuta vyanzo lkn matokeo Bure,Ili hayo yawe rahisi ni matokeo mazuri ya timu ndio yanayoweza kuvutia sio wawekezaji tu hata sisi akina yahe tunaweza kuchangia punguzeni upigaji sajilini wachezaji wa maana wenyehadhi ya kucheza timu no 5-6 Africa sio akina Fredy Jobe,baba car onana,saidoo na wengine.Ambao wanaweza kuvaki hapo wa nje ni Ayoub,Malone akipunguza utoto,chama na Luis kwa kumwangalia Hadi dirisha dogo wengine wote muda umeisha kucheza Simba tusipake mafuta.oia kwanini viongozi hamuwajibiki ilihali timu inaenda mrama?
Yaani Hawa Viongozi walio wekwa na Machawa Hawana ufahamu kabisa Wanachama hawwataki lakin wameng'ng'ania Madaraka Kwa kuibia Timu pesa .wanashindwa kujenga Timu kwakuwa Sio wapenzi wa Simba ni mapandikizi kutoka Yanga kuja kuibomoa Simba Dawa ya Hawa viongozi ni kukataa kwenda Uwanjani kipindi Cha Mechi za Aibu
Tengenezeni timu achaneni na hizo adisi
Simba maneno meng kuliko vitend
Vikao vya with hivooo
Vikao vya kuiba 😂h😂v😂😂😂😂😂😂😂😂
Acheni kashfa Mo anatumia pesa zake Nyingi kusaidia Simba
Acheni wivu yanga
Maneno maneno meengi utekelezaji ziro
Hmn kitu huyu jamaa kazi kula hela za klabu yetu kwa maneno ya janja janja zisizo na tija kwa klabu☹️
Punguzeni siasa tunataka mabadiliko tumechoka kudanganywa, nawewe kipewa nafasi yakuleta wachezaji lete wachezaji wazuri sio unaleta jobe na fledy
Daaah!! Mipango Ni mingi lkini utendaji ndo zero yaani tumechoka kwa kweli😰😰😒😒
Nilitamani kumuona kaduguda kwenye huu mchakato mbn sijamuona Kama mnatengeneza umoja na wengine hawapo maana yake bado ila pia niwalaum kwann hawajafika kutoa maoni yao
Wewe kajula atukutaki achia ngazi mbona kin,gan’ganizi tim inateketea kwenda zako tunamtaka babra
Tatizo siasa ni nyingi ndani ya timu,hakuna mipango endelevu ndani ya timu
Mtokeo mazuri uwanjani ni chonzo kikubwa Cha mapatp
Unafik tumechoka nao .
Mnaona sasa hata hao viongozi wa simba hawakuwepo kwenye vikao vyenu. Ina maana hamuelewani.
Mmegeuza timu kuwa genge la wanasiasa
Jamani punguzeni siasa
Tunaitaji kadi za wanachama wapya
Hivi hii SEN na ile FRIENDS OF SIMBA vinatofauti gani na kazi za muwekezaji ni nin kama tunarudi kuwaomba watu michango tukiwabafisha jina na kuwaita SEN. hii timu haina muelekeo kwa sas hata mipango yake si madhubuti kabisa
Ongea upendavyo eti havina tija hakuna kitu kisicho na hasara kikakosa faida hata samaki ukifuga wakafa hutakosa cha kufanya nao
Unayekoment pumba hui kama hui,SI kosa lako.
Mpigaji uyoo mbwaa tim ikiwa inapata matokeo mabaya ana jificha atoke ajiuzuru
Kama huu kajura sijaona arichofanya zaidi ya babra
kumbeeee huuuu upangoooo kaziiiiii basiii tupambaneeee kwanzaa
ubunifu wote ni bure kama uwanjani mnawaleta akina Jobe
Ila viongoz wetu bwana kwa kupanga mambo 😂😂😂😂
Porojo tupu hakuna la maana
Mwaka wa tatu amna kombe lolote la ligi
huyo mipango yake mingi ni pesa lakini kuhusu uwanjani hafikilii kabisa ,anawaza pesa ili apige,hawazi kwamba kinacholeta pesa kuwa ni matokeo mazuri uwanjani
Enyi viongozi wetu mutatuuwa jamani fanyeni usajili wa kweli pls tumechoka dhihaka mitaani
Uwanja wa nn timu mbovu 😮😮😮
Mtaishia nafasi ya tatu. Na wachezaji wenu wanaosuka nywele na kushinda kwenye kioo kujipodoa
Wewe hatujakutuma hayo mambo tunataka kuona timu ikifanya vizuli acha siasa
Timu haina viongoz wa mpira badala wakae wawaze msimu wa tatu hawana kikombe chochote cha mana ni vikao tu
Mikundu nyinyi viongozi wa simba mipara kama mkundu uongozi mbovu
Uwanja wenu lini kz kutumia chamazi
Timu ya mpira baada ya kujishughulisha na mpira imebezi kwenye mabonanza,,,Poor leadership ya kajuna kama mtendaji na Mwekezaji ndo Uozo zaidu
Huyu kajura si walisema kafukuzwa simba hawa wote ndio wanaosababisha simba kuwa mbovu maneno mengi akili hawana kajura mangungu na trai ageni wote wala hela tu hawana chochote zaidi ya matumbo yao tu
Hivi clip vyakupoteza watu maboya.Sajilini wachezaji acheni maneno maneno na CEN yenu
Kajura anahujumu timu huyuuu
Hana jipya jamaa siasa nyng tu kw kujifny kuzindua Apps na Blogs bila makombe.Bora atoke bhn☹️
WE ACHA UONGO TENGENEZENI TIMU KAMA UONGOZI UMEWASHINDA TOKEN
Timu bovu
Kajuna ndani ya uongozi wako umefeli na umeifelisha simba
Kajula analeta pesa wewe unamtukana. Ushawahi kichangia shilingi ngapi. Hebu google umjue Kajula
@@bakarimlandulla2983 kwanza neno kufeli sio kutukana,pili pesa ingekuepo wasingesuasua kwenye usajili simba sio yakupambania nafasi yapilii
Ttimu inaviongozi wengi kuliko mafanikio yake. Ivi wote nyie mnafanya nini hasa?
Kiukweli tuna viongozi wapumbavu Sana hasa huyu kajuna hata hajielewi
WEWe KAJULA BWEGE MTOZENI KAZEZETA AuJITAMBUI BABRa AMEKUzIDI KILaKIKITu MBWA WEWE KWEDRAAAAAAA ZAKO
Kila saa mnasajili upumbavu
Mnawaza kuingiza mapato tuu sis tunataka mafanikio kuwa na uwanja pia ni jambo zuri ilaa tunataka furaha na furaha ipo kweny ushindi
Bila mapato unaendeleaje?
Kajila huna jipya hii ni taasisi ya Mpira na sio Mabenk hunaunalo liongea Kwa kipindi hiki Wanachama wakakuelewa Mbuzi wewe .kwanza habari za Soka hujui hata Chembe ndio maana huongei mpira unaongelea Ma Benk ktk mambo ya Mpira? Viongozi Mbuzi nyie
Simba tumekwama wap?
TATIZO LA UONGOZI A SIMBA HUWA WANASAJILI KWA MAJINA NA C VITENDO. HUWA WANAONGEA HVHV KUMBE NI KUWADANGANYA MAABIKI. WAIGE NGOZI WA YANGA. VIONGOZI NI POROJO SANA.
Mnakula mipesa ya dogo moo tu
Tunahitaji kuona wachezaji wazuri mnao wa sajili wakuifikisha Simba ncho ya ahadi siyo Bora lu
Sajili wachezaji wewe CEO acha Polojo wewe
Unaongea ujinga fanya usajili mbwa wewe
HII SIO TEAM YA MPIRA KWA SASA NI CHAMA CHA SIASA, BILA KUVUNJAA UONGOZI MBOVU ULIOPO MADARAKANI TUTALIA SANAA KWA MISMU IJAYOO
KAMA KESHO YAKO MWENYEWE HUIJUI KAMA UTAKUWEPO AU LAH SASA MSIMU UJAO WA SIMBA YETU NDIO UNAJIFANYA KUUTABIRIA MABAYA? WE KAMA UNAIONA SIMBA NI CHUNGU KWAKO HUJALAZIMISHWA KUISHABIKIA..
@ibrahimally8073 ENDELEA NA UCHAWAA WAKOO HUKU TEAM INATEKETEA,SS NDOO TUNAITAKIA SIMBA MEMA ,WEWE KAMA HUONI KUA SIMBA UONGOZI NI MBOVU WAWE SIO SHABIKI WA SIMBA ILA NI SHABIKI WA VIONGOZI
Hujitambui ndugu yangu
@@chriskudilla5355 Mwisho wa sku wewe ndoo utakuja kuelewa kua hujitambui but will be late
Chama cha siasa ni kijani,tafuta Timu inayojinasibu kwa rangi hizo.Simba ni Timu kubwa no.7 Africa❤
Tengeneza timu acha maneno mengi wewe , team yetu mbovu
Pelekeni siasa zenu huko, tunahitaji timu bora yenye wachezaji wazuri na siyo polojo zenu.
Mm nashabikia simba ila sio ya hawa viongozi wanaopenda juisi na plopoganda zao kiwanja unamjengea jobs??? Usajili wa viongozi wa hovyo.
Hayo yote bila Ubingwa ni USENGEEE!!! Tunataka UBINGWA KWANZAA !!
Bila kutengeneza tim acha hata kuongea tunajua ni yale yale. Ongea na jobe sio mashabiki wa simba tunaojielewa. Polen na mipango yenu yakuleta manzuki awachezee tim yenu 😭😭
Shuhuri wap waongo nyie
Tengenezeni timu achaneni na hizo adisi
Jameni mbona hamuelewi nyie ni viongozi gani msiosikiliza mashabiki wenu hebu mujiuzuru hamna mvuto kwa mashabiki
Nikweli mashabiki, mnachangia nini timu au mnatoa kashfa tuu