SIWEMA | LOVE STORY
HTML-код
- Опубликовано: 8 фев 2025
- Unapohitaji kufanya maamuzi ya kuwa na mtu kwenye mahusiano, jitahidi upate nafasi ya kumfahamu hata kwa uchache..
hii itakusaidia kujua mtu ulienae ni wa aina gani na je! anakufaa kwenye safari yako ya maisha na mahusiano?
SIMULIZI FUPI | LUCAS LUMBASI SIMULIZI
Kuna watu mnawakubalia kuwa nao kwenye mahusiano haraka sana na mpaka mnalala kimapenzi bila hata kutenga muda kidoogo wa kumjua mtu... kilichomkuta siwema naomba mskilize sauti ikiwa chini🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫🤫
😂😂😂izi simulizi za wakubwa tutakua tunazisikiliza
Usiku 😂mcana tusiharibu swaumu zetu
Hapo sawa kabisaaa nakubaliana na wewe kwani wengi hatujui kuwa wengi wanao tujia nakutupenda either kimapenzi au kirafiki kumbe wengine kwetu ni ndoano ama chambo ili wanaufaike kwa kile wanacho kusudia kwetu
Hapo umesema@@SifaMukundabandi
Mungu atusaidiye jamani
@@QUEENJoseph-kh6cb
Amina Amina Amina
hakika MUNGU atukumbuke na aturehemu kwani wengi hatujielewi
Sijachelewa kihivo nimewahi😂😂lucas kipenzi sijawahi kuchoka kukusikiliza❤❤❤
wa 11 sio mbaya 🗣 aya mkuje tumsikilize siwema 🙏 kaka lucas
Hatakama nimechelewa lkn nimefika acha nikae 🪑
Wa kwanza Leo 🎉
Da siwema somo wangu
Daah mi si mtu wa comment ila hii ni hatari nimejifunza mnoo Asante kaka lucas hakika umeletwa dunian kwa ajili ya kutufunza haswaa mungu atakulipa inshallah😢😢
Kazi zuli lukas mungu akupe uezo zaidi🎉🎉❤
Saut yako ni nzuri san kak lucas mungu aibalik kaz ya mikono yako
Napenda sana sauti yko 🥰
Waooooh ❤❤🎉🎉 tuone siwema kafany nn ndan ya simulizi za kaka lucas lumbasi 😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉Kaka Lucas thanks❤
Leo was ishirini na tanu jamani
Ila sio mbaya
mudi ni mwanaume wa ovyooo sana mapenzi siyo vita jamani mapenzi ni makubariano na upendo kutoka kwa watu wawili wapenda nao atimae wamekutana na baba Kenny muddy ni jini nn mbn anamfatiria siwema kama anamdai mshezi mkubwa uyo kijana ❤❤❤
🎉🎉🎉
Daa hii simulizi😭😭😭😭😭😭😭
Hongera kaka Lucas 😍😍😍😍
😂Kweli ila nyie mungu anaumba kuna madem wamejaaliw vidude vitam km siwem kha! 😅Ila nimejifunza kitu pia asante San lukas wetu🎉
Mudi🏃🏃unakimbia wakat mtarimbo huko wazi🤣🤣ila Lucas nimecheka kama chizi🤪🤪
Mtarimbo ni nini zena?
Asante sana nimjifunza
❤asantee mashabik wa lucas tume rudi tenaa ❤❤❤❤
🤣🤣 Lucas eti mpododo mbona umesisitiza sana kwenye mpododo🥰🥰🥰
Sijachelewa sana ❤❤❤
Siwema pepo la ngono ni kitu cha ajabu sana yani mbk mtoto mdogo Kenny jamani ni unatembea na mume wa mtu mbk unajisaau wakati unajua ni baba Kenny na mama Kenny ni maboss zake siwema njia ya kurudi kijijini iyoo naiyona 😂😂😂 mume wa mtu ni sumu maziwa anayo mama Kenny ❤❤❤
Nice story be blessed ❤❤❤🎉🎉🎉
Kitukipya awo? Hujawayi kutupa bovu nisikirize kwanza alafu Lukas tumariziye Ariana niombi🎉🎉🎉🎉
Asante sanaa❤❤❤
Watu wanakaa na sim muda wote 😂😂😂😂😂
🤣🤣Yani
😂😂😂
Eeeeeh hatupoi wal hatuboi😂😂
simulizi za minyanduano napenda kweli 😂😂😂
Very stor so much ❤❤
Duuh atali uyu middi chizi kweli khaa🇴🇲🇴🇲
Jamani mtalimbo mamamkwe kauona
Wakwanza nipeni link zangu
Wow😊
Ayaaaaa!🙆♀️Nishaarib swaum sasa.
Pole mrembo umekojoa kojo au? Uwe unaniita usiku tunasikiliza tukimaliza saaf
Nimevhelewa ila siovile❤❤❤❤
Wa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉😢🎉🎉
😂😂😂 kila siku wamwisho me naliya sijuw namliliya nani😂
Usilie basi😂😂😂
Jamani huyu mudi ni mutu am ni jini
Jaman siwema wa nyumban,😢Moro mgeta,🤣nimepata ndugu na nitapata wengi zaid,🤣🤣🤣🤣🤣
Sw kaka usjl ☺️
Mm ni kama kawaida ni kupitikiwa 😂😂😂😂
Kwann mrembo
🤔🤔ila watu jaman kwahiyo hamlari mchana mnashinda na simu😂😂😂😂
ᴸᵉᵒ ˢⁱᵏᵘʷᵃ mbali😅😅😅
Woooo ❤❤❤❤
Wa pili🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂mud kichaa kwer
Ostaz chogo anaoa kwaajili ya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ok ila jamani
🙏🙏🙏🙏 ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao
Duuuuh zamadhani kka lukasi
🎉🎉🎉❤❤❤
Jamani huyu siwema havhoki mbona anafululuza ivyo du anatia fora
Napend sana sauti yko Lucas 💖
Anamuchekea yeye mudi aje huku ngemupa dawa wmyake maana heeehee angeifanya tochi hiyo basitola yake pumbavu
👍
🎉🎉🎉43
😊
Hy siwema nae nimaraya tyuu Kila mwanaume anae kuja anamkubalia
❤❤❤❤
🤔🤔mudi,mudi,mudi 🤣🤣🤣🤣
Kwan ukiwa wakwanza ndo inakuaje yaan
😂😂😂😂😂 tujue yeye hazimi data yupo online 24,,
Mashaal ❤❤🎉🎉🎉😢😂270
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
🙏🙏🙏🇨🇩🇨🇩
🎉🎉🎉🎉🎉
Wapili
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😢😢😢🫣
Jmn huyu dada kila mmoja anampanulia2😢😅😅
Ramadhan ime anza baadhi kama hizi hatusikilizi 😢
Ndo maana nikaamua kuitoa mapema ili nimalizanenayo
Umefanya vizur kaka
Jmn siwema naye ila tamu sauti tyu ya lucasi jmn uuwiiiiiiii mm kila cku silala namwaza lucasi tu dah cjui kanipa nn yy sema hajui tu ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
🎉🎉🎉❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤