MUONEKANO WA JENGO LENYE GOROFA 17 ARUSHA,NAIBU WAZIRI ATOA WIKI MBILI LIKAMILIKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 май 2023

Комментарии • 109

  • @jeremiahkileo6641
    @jeremiahkileo6641 Год назад +4

    Najua anazungmzia Finishing Works lakini bado wiki mbili ni muda mchache mno kwa jinsi panavoonekana. Angetoa walau hata wiki 6

  • @joycewilliam7449
    @joycewilliam7449 Год назад +7

    Hawa wanasiasa bure kabisa,jengo limejengwa kwa miaka 3 hapa na limefika ukingoni anaibuka mwanasia nakusema natoa week 2 bila kujiuliza athari za huo ulazimishaji wake zitakazojitokeza.

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 Год назад +6

    Wanasiasa bwana jengo la ghorofa 17 ndan ya siku 14 tumia akil brother

    • @ThePrinceUva
      @ThePrinceUva Год назад

      Jengo limeshaisha, ila bado vitu vidogo vidogo sana, ila bado hizo wiki mbili inaweza kuwa ni chache

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 Год назад

      ​@@ThePrinceUvawacha wakione mijinga sana yaani gorofa lenyewe ni 17 lakini cha kushangaza wanajenga ndani ya miyaka 3 hii akili au matope hilo JKT au wakala wa majengo wangejenga kwa mwezi mmoja tu usiku na mchana ni bora nihamie Msoga 😂😂 RIP mzee baba Magufuli 😭🙏

    • @kakaaignas3675
      @kakaaignas3675 Год назад

      Ndio watafanya libomoke

  • @collinsghambi7315
    @collinsghambi7315 Год назад +2

    Bongo bhana mtu akiwa na kacheo au na vihela anakua kisaut fulani cha mafua fulani ivi eti wachina mim nikiwa china sijawai kuona wachina wakipumzika 😊😊😂😂

  • @dnyotausa6154
    @dnyotausa6154 Год назад

    Uyu ni mjinga, likidondoka

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 10 месяцев назад

    Cheo,cheo,cheo,nakerwq mno na mbunge kuwa waziri.

  • @chimbo360
    @chimbo360 Год назад +10

    Sijaelewa kwani jengo ni la nani kwann waziri anatoa maagizo? 😢😢

    • @jumamganga6236
      @jumamganga6236 Год назад +2

      Hamna kitu siasa tu. Jengo likijengwa kwa week mbili uimara unakuwaje?

  • @hastatz
    @hastatz Год назад +1

    Mbona lile bango liliwekwa 2019 lilikua na Tarehe 23/07/2024

  • @kharifaahmada5886
    @kharifaahmada5886 Год назад

    Vzr

  • @OmaryDigha-pz9sl
    @OmaryDigha-pz9sl Год назад

    Hiv mawazir hawa ndo akna nan hawaelweki sjui yanatoka wp

  • @elymollel
    @elymollel Год назад +1

    Fishing ya jengo la ghorofa 17 ni ngumu kukamilika kwa wiki 2... Achen siasa kwenye maswala ya msingi. 100% halitokamilika.

    • @fredrickmatiku7783
      @fredrickmatiku7783 Год назад +1

      Ata mimi ndio nashangaaa yaani uwongo mwingine ata shetani anashangaaa na kuogopa

    • @elymollel
      @elymollel Год назад

      @@fredrickmatiku7783 na wakilazimisha watatolewa boko hadi washangae ndipo baadae tena waanza kumlalamikia mkandarasi kwa kazi mbovu. Ifike mahali taaluma isichanganywe na siasa.

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 Год назад

    Wazee wa matamko bhana

  • @ahmadmohd3771
    @ahmadmohd3771 Год назад +1

    Aww mawaziri wa chama kiengereza chingi china yenyewe uskute kaenda semina tu 😂😂😂

  • @rashidkhatbu7810
    @rashidkhatbu7810 Год назад

    lait ningekuw me ndio injinia wangekom bwna Hiy Siku ya uzinduz wangeimba kwahel wafiwa

  • @modricseif1018
    @modricseif1018 Год назад +5

    Madaraka bhana! Viongozi kabla ya kuongea na kutoa maagizo mnatakiwa kufikiria mno, hilo jengo ni kubwa na linatakiwa lijengwe kwa ufanisi mkubwa, sio kukurupusha watu🤦‍♂️
    Wafanye kazi hadi weekend, kuweni na huruma mda mwengine.

  • @januarymbunda8472
    @januarymbunda8472 Год назад

    This is Tz

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Год назад

    Wanasiasa kwa kujifanya wataalam

  • @liboriusbabile1197
    @liboriusbabile1197 Год назад

    Kunatatizo pahala

  • @aronmtui597
    @aronmtui597 Год назад

    Wacheni siasa

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Год назад +2

    Wanasiasa acheni upuuzi nyie mna haraka ya nini cha muhimu jengo lijengwe kwa uimara, wataanza kulipua na liuwe watu

  • @sammyibrahim8626
    @sammyibrahim8626 Год назад +1

    Naona watu hawaelewi hilo jengo nimeisha ni kumalizia tu ,hapo hakuna kitu ya kuoangusha lishaa kauka kitambo ,anatoa maamuzi wamalizie kwa wiki mbili vitu ndogo ndogo kama rangi na vitu zingine ndogo ndogo

  • @aronmtui597
    @aronmtui597 Год назад +1

    Hakika jengo ni kali lakini anayeongea limalizike ndani ya wiki mbili Mungu anamuona

  • @gaudencekalyalya3107
    @gaudencekalyalya3107 Год назад

    Concrete work inaweza tolewa wiki 2 au ni madirisha na milango tu!

  • @blackeagle4441
    @blackeagle4441 Год назад +1

    Ningeshangaa mpk saiv Millard ujapost gorofa yetu ya Arusha 😂😂😂😊

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 Год назад

    Tushazoe gorofa 40

  • @musason1680
    @musason1680 Год назад +1

    Wiki mbili wazee tumechemka huo mjengi finishing yake ngumu

  • @kassim1262
    @kassim1262 Год назад

    Halafu utaskia lift emeporomoka barabara au jengo lakujengwa kwamiezi au mwaka mkandarasi anaambiwa ajenge kwawiki mbili likamilike mkandarasi nayeye kashapanguka anatumia wiki moja nasiku kidogo anakabizi ajali sehemu husika anatembea zake

  • @dolphin_87
    @dolphin_87 Год назад +1

    Kwa nini wasingefanya ufuatiliaji wa mara kwa mara ili wasije na hizi habari za jengo kukamilika ndani ya wiki mbili?

  • @onanarosse9657
    @onanarosse9657 Год назад

    Duuuuuh week mbili kweli wanaweza fanya ila ubora wake utakuwaje? lisije anguka hapo baadaye😂😂

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 Год назад +1

    HUYU NAIBU WAZIRI NI NYAU

  • @ellyitete938
    @ellyitete938 Год назад

    Ili lituponde ama

  • @elibarikimacha5534
    @elibarikimacha5534 Год назад +1

    Wiki mbili jengo lije kuanguka na kuua watu.

  • @mosesjackson9473
    @mosesjackson9473 Год назад

    Week mbili mnataka lieakute JAMBO

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele Год назад

    uharaka huo watalipuwa nI hatari

  • @Manyara-Jr
    @Manyara-Jr Год назад +1

    this is africa.. naibu waziri umesoma wapi wewe

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Год назад +1

    Naona bibi tozo ameishiwa vya kuzindua. Maana si unazindua kama unaanzisha miradi na unajenga, maana soon bibi tozo ataanza kuzindua vyoo vya kunya style ya kizungu

    • @rajabu4692
      @rajabu4692 Год назад

      Punguza makasiriko
      Tunajuwa unaumia lakin itabid uzowee Bibi tozo tunampa miaka mingine mitano

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад

      @@rajabu4692 unawaongolea Watanzania wote

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад

      @@rajabu4692 labda wewe na ukoo wako utampa miaka 5

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius Год назад

    Kwan huyo waziri alikua wap kulifatilia, majengo Kama hayo ndo maana yanaanguka kwasababu ya kuwapeleka mputa mputa awape mda hata mwezi na kidgo badala ya wiki mbili coz lilivyo na mwonekano kunautofaut mkubwa sana

  • @bonifacemwanjala9888
    @bonifacemwanjala9888 Год назад +3

    Maagizo yake ni sawa umwambie daktari umu overdose mgonjwa dawa ili apone haraka!!! Siasa buana 😂😂😂😂😂😂

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Год назад

      😂😂😂

    • @avitrugakingirajr1669
      @avitrugakingirajr1669 Год назад

      😂😂🤣🤣 kajitu kana ongea kama kamekewa bastola mkunduni mama mtulete watu wenye hofu ya sir god

  • @justinemollel1087
    @justinemollel1087 Год назад

    Kwani ni lazima azindue hiyo siku?? Kama jengo halijaisha si waache kuzindua hadi liishe?

  • @jumamagoma6911
    @jumamagoma6911 Год назад

    Wakikamilisha chini ya kiwango je? Hatari!!!

  • @sundymolls9673
    @sundymolls9673 Год назад

    Hakuna Waziri hapo ni hewa huyo

  • @charlesb.mwaipeta8415
    @charlesb.mwaipeta8415 Год назад +5

    Hii video wakiiona watu wa Mwanza tumekwisha😂. Wanapenda mashindano

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Год назад +1

    Ww mwehu nini et hli gorafa liishe mama azindue acheni ujinga huo raisi ameishiwa na vitu vya kuzindua et

    • @birianination7097
      @birianination7097 Год назад

      Mmmmh!

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад

      Mkuu si unazindua kama unaanzisha miradi na Una Jenia, maana soon ataanza kuzindua vyoo vya kunya style ya kizungu

  • @shabanimatua4971
    @shabanimatua4971 Год назад

    Sidhani ila nilichogundua baadhi ya viongozi wa kiserikali wanamihemko kwa viongozi wa juu zaidi yao! Kwa video jinsi inavyoonekana ilo jengo ndan ya wiki mbili ni muda mchache sana coz hao wanaoifanya hyo kaz ni binaadamu na co mashine tupu kusema ztapumzshwa lisaa limoja na zitaendelea kufanya kaz kwa weledi! Hebu tusubirie matokeo negatve baada huo muda kuisha na uimara wa hlo jengo.🏬🏬

  • @abi-onlinetv4181
    @abi-onlinetv4181 Год назад

    Wabongo bwana ili mradi wamekosoa

  • @hocklaysillo5691
    @hocklaysillo5691 Год назад

    Waache akili za hovyo siku kumi nanne ghorofa ya froo 17 kweli

  • @mwitaagness455
    @mwitaagness455 Год назад

    Njoon tarime barabara imejengwa huu mwaka wa nne sijui, haiishi mvua ikinyesha tunawaza, muwape wiki mbili km hao

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад

      Uko tarime ndio mmejazana wakatili wa taifa zima labda ngumu kupata wafanyakazi maana mlivyokuwa wakatili wa kuuwa na mapanga

  • @ericksonmuhulo1570
    @ericksonmuhulo1570 Год назад +1

    Kwan jengo ni lanani, tuanzie hapo kwanza

  • @allymwilu8089
    @allymwilu8089 Год назад

    Hutu bwana wazili mwenyewe mbona kama wa mchongomchongo hata hasomeki yani ni wazi hata kwenye kuongea anajiseti Sana hapa mwendo wa vimemo

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Год назад +1

    Sasa Kukabana Kwenye Ghorofa Litakua Imara Kweli

    • @joycewilliam7449
      @joycewilliam7449 Год назад

      Hili jengo limejengwa hapa tukiliona na hajawahi kusimamishwa ujenzi toka lianze mchina yuko kazi kila sekunde,hawa wanapendaga vitu laini laini sana wamekuja jengo likiwa linamalizikia na sehem iliyobaki wanataka butuabutua ili badae waje kumsumbua mkandarasi.

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 Год назад

    Majengo kama hayoo ni mazuri saana kwa muonekano wa eneo husika , ila cku tetemmeko likipita ni majanga tu🚶🚶

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey2614 Год назад

    Jamaa anadharau ,eti embu muiteni hapaaaa...hizo si dalili nzuri za kiongozi have to be calm.

  • @toney..
    @toney.. Год назад

    Tanzania ukiwa kiongozi kazi ni kutoa maelekezo 😂😂

  • @njeyabox7788
    @njeyabox7788 Год назад

    Sasa siasa zinatoaga hata professionalism aisee.haya mambo ndiyo hufanya hata kauli za maana zionekane ni kauli za kisiasa.Sasa huyu ni mhandisi na obvious anajua capacity ya kampuni zinazojenga hapo vs gharama zake..how come anasema jengo limalizike kwa 2 weeks!?

  • @jameskidenya733
    @jameskidenya733 Год назад

    Na jamaa kweli wanapambana, me nimepita jana saa nne usiku bado wanapiga kazi

  • @chamyfx9377
    @chamyfx9377 Год назад

    😂😂😂

  • @comics3437
    @comics3437 Год назад +1

    Likamilike wik mbili alafu lianguke😂😂

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 Год назад +1

    Within 2 weeks??? Mbona swala la kuotesha miti hamlitii maanani kwenye utekelezaji wa miradi yenu? Nimeona uzinduzi wa Ikulu Dodoma jana hakuna miti wala ukoka.

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад +1

      Mambo ya KiTanzania hayo ya ovyo ovyo hawajui vitu vizuri ni kulipua tu, huyo naibu waziri ukute amekulia kwenye nyumba za kupanga uswahilini na vyoo vya shimo , anajua wapi umuhimu wa landscaping na ukijani mzuri wa majengo na maua, ni aibu kweli mkuu ikulu haiko kijani kama hawana technology si wangeomba msaada wasaidiwe

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Год назад

      ​@@kabwelasutiviraka4765 hata majirani tu wa pale chamwino wangewaomba wawe wanamwagilia tangu walipoanza kujenga mpaka jana kwa kweli kijani kingekuwepo

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад +1

      @@israelkisaila8401 mkuu ni si mpaka wajue muhimu wa kijana na maua, ona hata miji yetu mingi hamna park na gardens Iringa ndio mmoja wa miji Tz Una park na gardens katikati ya mji, miji zingine hazina au hawazitunzi au waliuza open spaces mfano morogoro miaka ya zamani kulikuwa na open space na mabembea katikati ya mji , ila wameuza au wamejenga makanisa au misikiti utafikiri hizo nyumba za ibada zisingejengwa sehemu zingine

    • @IsraelKisaila
      @IsraelKisaila Год назад

      @@kabwelasutiviraka4765 Yani NANI SASA ATAKUJA ATUPE MAARIFA YA KUTOSHA SISI?

  • @sannycpaul9423
    @sannycpaul9423 Год назад

    😂😂😂SASA KUWALK TENA!!!!,AU SIJAELEWA KUWALK KUJA SITE AMA 😂😂😂😂😂

  • @mapete2154
    @mapete2154 Год назад

    Wiki Mbili Au Miaka Miwili...?

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Год назад

    Liko Arusha pande za wapi mnaharakisha likamilike mara lije liwaporomokee 🐒🐒

    • @ayubukaaya4576
      @ayubukaaya4576 Год назад

      Lipo Philips jombaa, viongozi wetu wajitahidi kutenganisha siasa na utaalamu

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 Год назад

      Nearby Mt Meru Hotel😂😂😂😂

    • @cheiknamouna2058
      @cheiknamouna2058 Год назад

      @@ayubukaaya4576 mzee kakomaa utadhani ndiye Engineer Mwenyewe😂

    • @cheiknamouna2058
      @cheiknamouna2058 Год назад

      @@hellendaniel3809 Asante kwa kweli nlikuwa sijui liko wapi🙈

    • @innocentbanuye-mv3nd
      @innocentbanuye-mv3nd Год назад

      Liko mataa ya Philip's karibu na mout meru hotel

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 Год назад

    Hivi ni vipi jengo zuri km hili ligharimu tsh 38 bil, alafu lile jengo la makao makuu ya CRDB pale dsm mali ya nhc ligharimu 100 plus bilion?

    • @ThePrinceUva
      @ThePrinceUva Год назад

      Labda wamejumlisha na bei ya ardhi

    • @nehemiaayo9527
      @nehemiaayo9527 Год назад

      Wizi mtamu sana brother hili ni Africa posta

  • @ibrahimsamson4193
    @ibrahimsamson4193 Год назад

    Una kichaa wewe unadhan n kusonga ugali