Tatizo sio kuyajenga ayo majengo..Tatizo lipo kwenye kuyaendesha...Kwa miangaiko yangu Miji mikubwa yote apa Tanzania ayo majengo Marefu ya biashara...hakuna ata jengo lililofikia ata nusu ya wapangaji..! Magorofa ya Nssf,Posta, na complex zingine zote Sehemu kubwa zinaoza zikiwa free bila wapangaji...Lazima tujitasmini ktk hii changamoto..!!
Hii ndio faida ya kusoma na kufanya vitendo, hongera architecture mtaalamu mtanzania kwa utaalamu huu na uzalendo kwa nchi yako Tanzania, miaka ya nyuma ayo tuliyaona wanafanya wajapan na wazu0
kwanza nairobi hakuna ghorofa 70 hata 60 hakuna pili wingi wa ghorofa si urefu urefu ni kwa mita tatu kuwa na ghorofa Nairobi kumekusaidia nini? Tatu je wewe una hata chumba?
Mzee wa kinyaturu upo sawa Hongera sana na mungu akubariki🙏🙏🙏
Samahani huyu ndio mzee beda amuli au
Bravo!!! He did a good design work and good job
Dah endelea kupumzika Baba yetu Arch Alute .. 😢,, tutakukumbuka kwa kazi zako ..
Hongera sana mzee wetu mungu akupe maisha marefu,na pia pokea💐🥀🌹🥀💐🥀🥀yako mapema
Hongera Mtanzania mwnzetu kwakwel umefanya kazi nzr.
Hongera sana Architecture kwa kweli nilidhani limedesigniwa na Architecture kutoka nje, Kazi nzuri sana sana
Ni Architect sio Architecture...
Big up Architect Alute.!
Master piece.
iyo kweli ni Land Mark ya Arusha
Hakika amefanya kazi na ametuachia Nembo yake
Apumzike kwa Amani
#Arch Nathaniel Naftal Alute
KUMBE TUNA WATU WANAWEZA KAZI!
HONGERA ALUTE,KAZI NZURI YA KUPENDEZA!
Geneva of Africa
Pumzika kwa amani baba, hakika umeacha alama🙏
Salute Alute
Hongera Boss Alute
Hili Jengo kama mnavyo liona kuna wakati linaweza kujikinga na juwa endapo litakua Kali sana 😀
Wengi tumempenda ila Mungu kampenda zaidi
Mwenyezi Mungu akujalie haja ya moyo wako,mzee mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu,,🎉🎉 ,nakupa mau, yako mzee wetu,
Bwana kampenda zaidi mwamba.
Kesho tunamuaga hapa tabata.
Aise big up sana mzee nilijua ni chinese contractor kumbe mzawa kabisa
Inafurahisha wazawa wakiaminiwa nakuonyesha uwezo wao safii sana mzee
Jengo nzuri jijini Arusha
Alibuni vp kwani ujenzi alisomea wapi?
Jengo la Kariakoo Beda Amour alikuwa mbunifu wa jengo la Kariakoo.
Pumzika Kwa amani msanifu alute. Mbele yako, nyuma yetu.
Tutakukumbuka
Tatizo sio kuyajenga ayo majengo..Tatizo lipo kwenye kuyaendesha...Kwa miangaiko yangu Miji mikubwa yote apa Tanzania ayo majengo Marefu ya biashara...hakuna ata jengo lililofikia ata nusu ya wapangaji..! Magorofa ya Nssf,Posta, na complex zingine zote Sehemu kubwa zinaoza zikiwa free bila wapangaji...Lazima tujitasmini ktk hii changamoto..!!
Umepewa sh ngapi itakuwa million kumi
Congratulations mzee 👏👏👏👏👏
Pumzika baba 😭😭😭
Hii ndio faida ya kusoma na kufanya vitendo, hongera architecture mtaalamu mtanzania kwa utaalamu huu na uzalendo kwa nchi yako Tanzania, miaka ya nyuma ayo tuliyaona wanafanya wajapan na wazu0
Kipnd Cha JPM wataalamu wa ndani walipewa nafasi na kuaminiwa Sana ila Kama lingeanza kujengwa saiz ... Mh!!...!!🤣🤣
Kila wakati Mungu ni mwema
Huo ni umri
Mungu akupe maisha marefu mzee wetu, ni vizuri Elimu yako uitumie hapa hapa Nyumbani
Wakati hii ngoma imetengenezma na wachina miaka hiyo yote napita hapo ni wachina tuu
Wapambana munyapaaa waguwakilisha vyema Sana Anya ukhaya 🎉🎉🎉Nakupa maua yako mzee wanyaturu tumekua tukidharaulika
Mmmh mavi wewe umeshaingiza ukabila
Wajefya
Hilo zuzu linalojiita ccm limeharibu
Kazi njija inoo munyampaa
Alute
Vizurisanababu 6:28
Arusha bado mko kwenye ghorofa 17 tu? Heb angalia Nairobi, wako kwenye ghorofa 70. Vp Arusha? Hahahahahaaa hovyo tu!!
kwanza nairobi hakuna ghorofa 70 hata 60 hakuna
pili wingi wa ghorofa si urefu
urefu ni kwa mita
tatu kuwa na ghorofa Nairobi kumekusaidia nini?
Tatu je wewe una hata chumba?
@@akutiboysolomon9418 unateseka ukiwa wap? Hahahahaaa
😂😂😂 Wewe mwendawazimu unajua unachoongea??
Tupeni ajira
Kajitaidi sana sema Arusha bado sana yn mji upo wazi sana
Ujatembea ukaonaa aloo
Ss jamani ghorofa 17 ni refu kweli?
Sifia design
@pascojm6816 design nzuri ila ingekwenda 25 storeys
La kawaida tu eee😂😂😂
Kwa Arusha hilo ndio refu. Alafu kingine wewe ni hater ulichoona ni urefu tu???
@@hellendaniel3809 urefu ndio sifa ya jengo my friend
We did it papaa I remember hii kz nilifanya kz 24hrs kuhakikisha kazi umepita Mungu ni mwema sana 🙏🏻
Na iwe kweli ni yeye isiwe amehire watu wengine maana itakuwa aibu sana.Hongera sana
Nita 20 au nimesikia vibaya