HUYU HAPA ALIYEBUNI JENGO REFU KULIKO YOTE ARUSHA, LINA GHOROFA 17 RAIS KULIZINDUA LEO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 80

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Год назад +7

    Mzee wa kinyaturu upo sawa Hongera sana na mungu akubariki🙏🙏🙏

  • @emmanuelgasper6609
    @emmanuelgasper6609 Год назад +8

    Bravo!!! He did a good design work and good job

  • @maishaninyumba2158
    @maishaninyumba2158 13 дней назад

    Dah endelea kupumzika Baba yetu Arch Alute .. 😢,, tutakukumbuka kwa kazi zako ..

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 Год назад +1

    Hongera sana mzee wetu mungu akupe maisha marefu,na pia pokea💐🥀🌹🥀💐🥀🥀yako mapema

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 Год назад +2

    Hongera Mtanzania mwnzetu kwakwel umefanya kazi nzr.

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 Год назад +4

    Hongera sana Architecture kwa kweli nilidhani limedesigniwa na Architecture kutoka nje, Kazi nzuri sana sana

    • @calabash4221
      @calabash4221 Год назад

      Ni Architect sio Architecture...

  • @Jerie-q1c
    @Jerie-q1c Год назад +3

    Big up Architect Alute.!
    Master piece.
    iyo kweli ni Land Mark ya Arusha

  • @doganidogani-i4z
    @doganidogani-i4z 14 дней назад

    Hakika amefanya kazi na ametuachia Nembo yake
    Apumzike kwa Amani
    #Arch Nathaniel Naftal Alute

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Год назад +5

    KUMBE TUNA WATU WANAWEZA KAZI!
    HONGERA ALUTE,KAZI NZURI YA KUPENDEZA!

  • @godmbise-gj9ug
    @godmbise-gj9ug 9 месяцев назад

    Geneva of Africa

  • @MweluMapinda
    @MweluMapinda 16 дней назад

    Pumzika kwa amani baba, hakika umeacha alama🙏

  • @nicholausmakundi2663
    @nicholausmakundi2663 Год назад

    Salute Alute

  • @bakari642
    @bakari642 Год назад

    Hongera Boss Alute

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt Год назад +1

    Hili Jengo kama mnavyo liona kuna wakati linaweza kujikinga na juwa endapo litakua Kali sana 😀

  • @gilbertkimath1175
    @gilbertkimath1175 17 дней назад

    Wengi tumempenda ila Mungu kampenda zaidi

  • @mathiasswai7006
    @mathiasswai7006 Год назад +5

    Mwenyezi Mungu akujalie haja ya moyo wako,mzee mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu,,🎉🎉 ,nakupa mau, yako mzee wetu,

    • @gilbertkimath1175
      @gilbertkimath1175 17 дней назад

      Bwana kampenda zaidi mwamba.
      Kesho tunamuaga hapa tabata.

  • @sarahmero4561
    @sarahmero4561 Год назад

    Aise big up sana mzee nilijua ni chinese contractor kumbe mzawa kabisa

  • @emmanuelmhando3109
    @emmanuelmhando3109 Год назад

    Inafurahisha wazawa wakiaminiwa nakuonyesha uwezo wao safii sana mzee

  • @godmbise-gj9ug
    @godmbise-gj9ug 9 месяцев назад

    Jengo nzuri jijini Arusha

  • @jemedarikalimasi5754
    @jemedarikalimasi5754 Год назад +1

    Alibuni vp kwani ujenzi alisomea wapi?

  • @amosethantheking8815
    @amosethantheking8815 Год назад

    Jengo la Kariakoo Beda Amour alikuwa mbunifu wa jengo la Kariakoo.

  • @gilbertkimath1175
    @gilbertkimath1175 17 дней назад

    Pumzika Kwa amani msanifu alute. Mbele yako, nyuma yetu.
    Tutakukumbuka

  • @lubavacastory1831
    @lubavacastory1831 11 месяцев назад

    Tatizo sio kuyajenga ayo majengo..Tatizo lipo kwenye kuyaendesha...Kwa miangaiko yangu Miji mikubwa yote apa Tanzania ayo majengo Marefu ya biashara...hakuna ata jengo lililofikia ata nusu ya wapangaji..! Magorofa ya Nssf,Posta, na complex zingine zote Sehemu kubwa zinaoza zikiwa free bila wapangaji...Lazima tujitasmini ktk hii changamoto..!!

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Год назад

    Umepewa sh ngapi itakuwa million kumi

  • @abbas.h.saydy.3991
    @abbas.h.saydy.3991 Год назад

    Congratulations mzee 👏👏👏👏👏

  • @AnnaRuben-r7i
    @AnnaRuben-r7i 17 дней назад

    Pumzika baba 😭😭😭

  • @servantofalmightygoddranth2511

    Hii ndio faida ya kusoma na kufanya vitendo, hongera architecture mtaalamu mtanzania kwa utaalamu huu na uzalendo kwa nchi yako Tanzania, miaka ya nyuma ayo tuliyaona wanafanya wajapan na wazu0

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 Год назад

    Kipnd Cha JPM wataalamu wa ndani walipewa nafasi na kuaminiwa Sana ila Kama lingeanza kujengwa saiz ... Mh!!...!!🤣🤣

  • @UsafiMichael-mc8kt
    @UsafiMichael-mc8kt Год назад +1

    Kila wakati Mungu ni mwema

  • @mselematrans3474
    @mselematrans3474 Год назад

    Mungu akupe maisha marefu mzee wetu, ni vizuri Elimu yako uitumie hapa hapa Nyumbani

  • @tumaaclassic9035
    @tumaaclassic9035 Год назад

    Wakati hii ngoma imetengenezma na wachina miaka hiyo yote napita hapo ni wachina tuu

  • @dallasmusic6465
    @dallasmusic6465 Год назад

    Wapambana munyapaaa waguwakilisha vyema Sana Anya ukhaya 🎉🎉🎉Nakupa maua yako mzee wanyaturu tumekua tukidharaulika

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Год назад

    Hilo zuzu linalojiita ccm limeharibu

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 Год назад

    Kazi njija inoo munyampaa

  • @ybmtaakwamtaaofficial3415
    @ybmtaakwamtaaofficial3415 Год назад

    Alute

  • @OlivaAnney-j2x
    @OlivaAnney-j2x Год назад

    Vizurisanababu 6:28

  • @MichaelMathew-ke6bi
    @MichaelMathew-ke6bi Год назад

    Arusha bado mko kwenye ghorofa 17 tu? Heb angalia Nairobi, wako kwenye ghorofa 70. Vp Arusha? Hahahahahaaa hovyo tu!!

    • @akutiboysolomon9418
      @akutiboysolomon9418 Год назад

      kwanza nairobi hakuna ghorofa 70 hata 60 hakuna
      pili wingi wa ghorofa si urefu
      urefu ni kwa mita
      tatu kuwa na ghorofa Nairobi kumekusaidia nini?
      Tatu je wewe una hata chumba?

    • @MichaelMathew-ke6bi
      @MichaelMathew-ke6bi Год назад

      @@akutiboysolomon9418 unateseka ukiwa wap? Hahahahaaa

    • @Soon815
      @Soon815 8 месяцев назад

      😂😂😂 Wewe mwendawazimu unajua unachoongea??

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Год назад

    Tupeni ajira

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 Год назад

    Kajitaidi sana sema Arusha bado sana yn mji upo wazi sana

  • @maase2023
    @maase2023 Год назад +2

    Ss jamani ghorofa 17 ni refu kweli?

    • @pascojm6816
      @pascojm6816 Год назад

      Sifia design

    • @maase2023
      @maase2023 Год назад

      @pascojm6816 design nzuri ila ingekwenda 25 storeys

    • @massawemrlowprice3949
      @massawemrlowprice3949 Год назад +1

      La kawaida tu eee😂😂😂

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 Год назад +3

      Kwa Arusha hilo ndio refu. Alafu kingine wewe ni hater ulichoona ni urefu tu???

    • @maase2023
      @maase2023 Год назад

      @@hellendaniel3809 urefu ndio sifa ya jengo my friend

  • @monicaalute3143
    @monicaalute3143 Год назад +2

    We did it papaa I remember hii kz nilifanya kz 24hrs kuhakikisha kazi umepita Mungu ni mwema sana 🙏🏻

  • @frankrowland2884
    @frankrowland2884 Год назад +3

    Na iwe kweli ni yeye isiwe amehire watu wengine maana itakuwa aibu sana.Hongera sana

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Год назад

    Nita 20 au nimesikia vibaya