RC KITWANA APIGA MARUFUKU KUWEKA GARI KWENYE NJIA ZA WATEMBEA KWA MIGUU MANISPAA WAPEWA MAAGIZO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024

Комментарии • 5

  • @kuntaalkinte5415
    @kuntaalkinte5415 11 дней назад

    Safi sana wekeni mji safi wamezowea kufanya usumbufu

  • @bongo39
    @bongo39 Месяц назад

    Safi sana mkiwaregezea tuu mpaka viumbani mwenu watapaki magari bodaboda na biashara kila kona ukisema utaambiwa wao ni maskini,wajane,walemavu,

  • @hhfbak3988
    @hhfbak3988 Месяц назад +2

    Kila bara bara lazima kuwe na parking area, na hizi bara bara hazina parking area watu waweke gari wapi? Mtu anaishi airport mwisho gari aweke kiembe samaki mwanzo jee hili mumelizingatia? Kuna wamama wana watoto wadogo wanaendesha gari, wajawazito pia. Huu pia usumbufu. Hamna bara bara bila ya parking area.

  • @user-ib2ew9ec3d
    @user-ib2ew9ec3d Месяц назад

    Anaongea wakat hata yeye kapaki njiani😅😅😅

  • @mwambamkombozi4672
    @mwambamkombozi4672 Месяц назад

    Na jee ni kipi kinachosababisha mtu kuingia motoni?