DKT Bashiru Awatolea Uvivu Mawaziri Wapenda KIKI
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- DKT Bashiru Awatolea Uvivu Mawaziri Wapenda KIKI
Katibu Mkuu Wa CCm, Dkt Bashiru Ali, Amewataka Mawaziri Kufanya Kazi Kwa Kwenda Kwa Wananchi Na sio Kufanya Kazi Na Vyombo Vya Habari Kwa Kutoa Matamko Mbalimbali Badala Yake Anaona Matamko Tu Ambayo Hayagusi Maisha Halisi Ya Watanzania wa Hali Ya chini
nstall GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishe...,
Suazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishe... FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Kumbe Dr Bashiru ni jasiri na ana uwezo wa kutetea haki za wanyonge, asante sana katibu.
Ahsante Rais wa baadae
Ni mwamba, ni mshika shoka kamili. Tupo nyuma yako, twende tuijenge Tanzania mpya.
Rais Magufuri unawajua wazalendo wa inchihii hujakosea kumteua Bashilu
Dr asante sana,naomba uingilie kati suala la kikokotoo kipya cha masuala ya wastaafu.Its totally unfair.Mtu amefanya kazi 40 years badala ya kumpa milioni 80 anapewa 15 akafanyie nini kama sio kutaka kumpa stress afe aache familia yake.Inasikitisha sana na ni dhambi hata kwa Mungu
Uyu mzeee INSHAALLAH NIKISHINDWA KUNYWA NAE JAPO CHAI DUNIANI BASI INSHAALLAH MUNGU ATUWEZESHE KUWA PAMOJA JAHNNAH BASI TUNYWE CHAI SIKU MOJA..........BIG BROTHER FOREVER.
thanks comrade Bashiru.. better telling the truth no matter how it pain...
SIIPENDI SANA CCM, .....Ila kwa ulichoongea KATIBU MKUU WA CCM, nitakuunga mkono popote
Mimi sio mwanasiasa ila Dr. Nimekuelewa
Congratulations ma leader...
Sasa kaka kama we sio mwanasiasa Huyo sio leader wak coz yy ni leader wa ccm
@@awadhhamza9296 hata angeongea mwingine point ningesapot
Ila ninauhakika katibu aya unayoongea tutakufananisha na nyerere alakini kitakachokukuta kulingana na serikali yako sijui make ukweli hawajazoea
Wenyeviti wa serikali za mtaa ni mwiba m kali katika swala zima la Ardhi
watendaji wengi hata hawajali wanainchi kama rais anavyowataka Bali wanakuwa na maamuzi ya hovyo na kugombana na raia
Dr Bashiru ninaushauri binafsi naomba unitafute kwa namba 0767343889
Mwenyezi Mungu akubariki Dr Bashiru
unafaa kua hata raisi Wa nchi 2020
tujiongeze kiakili
Safi kiongozi
kiongozi kama yanatoka moyoni basi asante kwa kushughulikia taarifa alisi MUNGU AKUPE Maisha marefu turudi kwenye mambo ya ndani hamna mtu bado tunamakamanda wakusimamia mambo ya ndani sababu mambo ya ndani inaifathi na kushughulikia vitu vya ndani sasa Leo hii swala la Mbwa tu waandishi wa habari ni aibu.endelea
I like this guy....
A neno kuntu kiukweli wizara ya ardhi bado kabisa wasumbufu kupita kiasi hata rushwa bado ipo
tatizo sio mkwapuaji tatizo ni sheria mbovu kwasababu huyo waziri anamiliki hiyo ardhi kisheria
Mara nyingi kupitia mitandao.." Nitumie fursa hii kutoa rai, sasa naagiza"...imeathiri viongozi wetu hali yakua walio chini yao hawajui hata instergram wala youtube. Istoshe zaidi watu wa hali ya chini watatekeleza vipi hayo maagizo? Bila ya nyaraka na matamko sahihi...#Viongozi tuendane na hali halisi ya maisha ya KITANZANIA. Hatujafka katka TECHNOLOGY hio kila mmja kua na SMART PHONE.
Mm sio ccm,lakn kwa maneno hayo! Dr.Bushiri Ally nakuunga mkono 100%.
wew ndio rahisi wabadae baadaya magufuli mana unaonekana unaujasili wa kuongea ukweri
kama mpaka sasa mambo kama haya yanaendelea ndani ya ccm tena viongozi wakubwa jueni yakwamba nyinyi mwenye uthubutu wa kuongea inatakiwa muwe wengi ili mtengeneze timu nzuri ya kupambana nao hao waana ww na jpm haitoshi ongezeni nguvu ili tuweze kusafisha nchi
safi sana mweshimiwa raisi hakuoni
Kwa hapa moro sio huyo wazir tu Bashiru aje kuzungumza na wananchi wenye
Msikilize vizur kaja Morogoro wananchi ndio wamempa hiyo taarifa na atarudi kuwajibu wananchi baada ya kumuhoji huyo waziri
Kama njia ya bagamoyo viongozi wamejichulia maeneo makubwa
Hayo yalishasemwa sana Dr,sis tunataka nn kifanyike alafu tuone hatua zinachukuliwa basi,mengine si ya msingi
Ccm oyeeeeeeeeeee
Henry Ndos
PhD
ubarikiwe sana Doctor Mwenyenzi Mungu Mkuu akubariki sana ndugu yangu
kwasasa ni chaguo langu wewe
Ndio hapa tumepat kundu
mawazo yako yanabaki kuwa yako
yangu yanabaki yangu tuu
George Kimboka. Nadhani karibu mkuu wa CCM siyo waziri wa Ardhi mpaka aongee maudhui ya Ardhi. Migogoro ya Ardhi itatuliwa na Wizara husika, katibu mkuu wa Chama anatakiwa atetee na kulinda sera za chama na hata kama aliulizwa swali la kuhusu Ardhi Hana haki ya kujibu kama katibu wa chama.
Kaka Kakakuona Mawaziri hao wanatokana na ccm na msemaji wa chama nikatibu Mkuu
sasa kama watendaji wake wanaokosea kwanini asiwaambie
Safii Sana sijuwa fikiria Kama katibu unauwezo mkubwa hivi hongera sana