Hongereni vijana wa ngara mtongani inapendeza sana kuniajiri kwani itasaidia kupunguza wizi pia utaweza kujikimu na maisha yako maana sizani kama kuna mtu alo wahi tutoboa maisha hivi hivi kirahisi kwa kutumia mfumo wa wizi sawa unaweza ukabahatika kutoboa ila hapo ni sawa na kuziba tundu la panya kwa mkate lazima uumbuke tu na kuumbuka kuna mawili ufungwe kifungo cha maisha au upigwe shaba kwahiyo bora cha jasho lako🙏
Hongereni vijana wa ngara mtongani inapendeza sana kuniajiri kwani itasaidia kupunguza wizi pia utaweza kujikimu na maisha yako maana sizani kama kuna mtu alo wahi tutoboa maisha hivi hivi kirahisi kwa kutumia mfumo wa wizi sawa unaweza ukabahatika kutoboa ila hapo ni sawa na kuziba tundu la panya kwa mkate lazima uumbuke tu na kuumbuka kuna mawili ufungwe kifungo cha maisha au upigwe shaba kwahiyo bora cha jasho lako🙏
Hahahahahahahahaha duh sawa
Hii imekaa poa Sana
Mbao sh ngapi?