NAMNA Pi COIN 31/DEC/2024 INAENDA KUBADIRI MAISHA YA WATU, YAANI WENYE Pi SIO WENZETU NI MA BILIONEA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • ___WENYE Pi COIN 31/DEC/2024 SIO WENZETU NI MA BILIONEA!! ONA SASA WALIO IPUUZIA PI COIN!!!
    KARIBU U LIKE NA KU SUBSCRIBE CHANELI YETU ILI UWE WA KWANZA KUPATA HABARI NA MAFUNDISHO MAZURI KUTOKA WAVE TV TANZANIA

Комментарии • 112

  • @Bajosfamily
    @Bajosfamily 2 месяца назад +3

    Wow!! We are waiting this huge transformation in our life #piforlife

  • @luchagula..9593
    @luchagula..9593 Месяц назад +1

    TANZANIA KUAMINI MPAKA JICHO LITOBOKEWEEEE😀 KUNA WATU WANATUPONDA MTAAANI HUKO HUWEZI AMINI😀

  • @ElizabethMwangaza
    @ElizabethMwangaza Месяц назад +2

    Kama kunasemina munialike

  • @LucasKaisi
    @LucasKaisi Месяц назад +1

    Safi sana jamani tujisajili tusijiweke nyuma tatizo tz@ watu tunazarau mabo

  • @kitaaofficial4119
    @kitaaofficial4119 2 месяца назад +1

    #Pitothemoon 🔥🔥🔥

  • @Dienacademy
    @Dienacademy 2 месяца назад +2

    😂😂😂 i swear shule mubimu sana 😊😊

  • @ALLYIBRAHIMKASSIM
    @ALLYIBRAHIMKASSIM 2 месяца назад

    Mashaallah safi sana pi maisha bila mipaka

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln 18 дней назад

    Haina mpango wowote kila siku wanatangaaza kuiingiza Market wengi wameshaipotezea wanasema ni scammer tangu 2019 watu wanaifanyia mining mpaka leo wameshakata tamaa munadanganywa2 😂 na kudanganya

  • @mcmtasha1494
    @mcmtasha1494 2 месяца назад +7

    Hii imekaaje jamani jamani? Naomba kujua ikiwa mtu anaweza kuanza ku mine saivi kabla ya hio tarehe 31/Dec/2024 ili tuambulie hata vijisent

    • @silvaredwin2720
      @silvaredwin2720 2 месяца назад

      Hata ukiwa na pi 1 ww ni mtu ko jisajili tu

    • @lugelosanga5798
      @lugelosanga5798 2 месяца назад

      Nimejisahili nabonyezaa inazunguka tuu inaleta cannot mined

    • @hermankihwili1095
      @hermankihwili1095 2 месяца назад

      Umechelewa mana hata pi Moja kwa Sasa una vuna kwa siku hata nne lakini jaribu tu

    • @PetroKigula
      @PetroKigula Месяц назад

      Kwani huifaham hyoo kiongoz?

  • @AfriCooking
    @AfriCooking 2 месяца назад +1

    This is an amazing coin guys!! Pi network for future life

  • @AiméHounkpossi
    @AiméHounkpossi Месяц назад

  • @ChristianIragi-b1d
    @ChristianIragi-b1d Месяц назад

    Kwanini hamu weki namba yenu y'a sim ili walio inje ya ichi wawapati?

  • @BOOTTV2
    @BOOTTV2 2 месяца назад

    Good

    • @wavetv_tz
      @wavetv_tz  2 месяца назад

      Ahsante sana kwa kuangalia!

  • @rahimaibrahim7646
    @rahimaibrahim7646 2 месяца назад

    Kaileza vuzuri kabisa short and clear 🎉

    • @wavetv_tz
      @wavetv_tz  2 месяца назад

      Kwa kweli kajitahidi hata wasio jua wanaweza kupata picha ya kinachokwenda kutokea hio 31/Dec.

  • @CatherineWanjiru-n1g
    @CatherineWanjiru-n1g Месяц назад

    Mi ni millionaire tayari nkiwa kenya mainnet ndo nasubiri tu nichizike kifedha😂😂❤❤

  • @abrahamanimajilanga261
    @abrahamanimajilanga261 2 месяца назад +1

    Watu watunze pesa ikianza kuuzwa kwa bei ya chini wanunue si rahisi itaanza na thamani hiyo ya GCV

  • @PamojatuendeleeUsafigroupkibah
    @PamojatuendeleeUsafigroupkibah 2 месяца назад +1

    Je kama upo kweny level ya kwanza inakuaj

  • @victoraugustino4832
    @victoraugustino4832 Месяц назад

    Invest kwenye doge,bitcoin,etherium na bnb hizo ndio future ya coin ulimwenguni kote

  • @PaulLaurent-h4l
    @PaulLaurent-h4l 14 дней назад

    Cna uhakika km itafanya kazi

  • @lemburispauilolosurum4278
    @lemburispauilolosurum4278 2 месяца назад

    🎉

  • @ElizabethMwangaza
    @ElizabethMwangaza Месяц назад

    Jamani anayejua semina zao

  • @kibebrafamilyofficial4454
    @kibebrafamilyofficial4454 Месяц назад

    Kwa Sasa Nina Pi 2 hii inamaana Gani nisubiri Pi hatua ya ngapi ndio ni withdraw? Naomba msaada tafadhari

  • @WizzyPrince-i8w
    @WizzyPrince-i8w Месяц назад

    Ila iyo gcv

  • @gamezone111-c7y
    @gamezone111-c7y Месяц назад

    PI moja kwa sasa ni $51 mna mine mkiamini ipo siku mtapata za mdonyole😂wakati ukiona tu coin imefika $1 ujue hyo ishaondoka katika anga za kitonga na sio dola 1 ikikarbia tu iweje leo hii coin ina thamani ya $51 itolewe kirahisi hvo acheni kupoteza mda wenu hakuna k2 hapo na nyinyi acheni kuwapotezea mda wenzenu na utapeli wenu mna voa2ashawishi utafkiri ndo kwanza PI ni airdrop

    • @amoskalapa7439
      @amoskalapa7439 23 дня назад

      Kaka naomba namba yko nna maswal kidogo naww naona Una ufaham mzur kuhus hii biashara

  • @DALALIMTOTOMPANDAKATAVI9169
    @DALALIMTOTOMPANDAKATAVI9169 Месяц назад

    Naweza kununua GARI kupitia HIYO Pi

  • @DavisHaizen
    @DavisHaizen 2 месяца назад

    Mmmh sidhani

  • @aBjofarm_tz
    @aBjofarm_tz 2 месяца назад +1

    Hii kitu kumbe ni kweli enhe!! Aisee

    • @ShehaYahya-fm3hx
      @ShehaYahya-fm3hx 2 месяца назад

      Hichi kitunikweli nakushauri kabla hijachelewa

  • @GastoMwampamba
    @GastoMwampamba 19 дней назад

    Twend mbele tuchimbe pi

  • @Hermanziggo-w5w
    @Hermanziggo-w5w Месяц назад

    Me sielew chochote ziwe kyc minent na v2 Ving San kuhusu pi ila nnachmba sana2

    • @Violinny-h9p
      @Violinny-h9p Месяц назад

      Nivitu vyepesi sana kuhusu kyc

  • @TanzaniawebUpdates
    @TanzaniawebUpdates 2 месяца назад +1

    Tunasubiri kwa hamu hii kitu aisee

  • @ramadhanirama7970
    @ramadhanirama7970 2 месяца назад +3

    Pi ni kwel lkn thamani ya $314k sio leo wala kesho tunza hii coment utakuja kuniambia baada ya open minet

    • @MarikaPaul-lp2nd
      @MarikaPaul-lp2nd 2 месяца назад +1

      Nikwel haiwez Anza kwahyo price never ever

    • @hermankihwili1095
      @hermankihwili1095 2 месяца назад

      Kama kwa Sasa inapanda mbaka Dolla 70 mbaka 83 mwakani inaweza Anza $100 uhakika

  • @ZuberiMangube
    @ZuberiMangube 2 месяца назад

    Vipi kiongozi

  • @tuntumzazi
    @tuntumzazi 2 месяца назад +1

    Pi nimezikusanya za kutosha hivyo tuna subiri iingie Sokoni

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 Месяц назад

    Mbona hamtoi mawasiliano

  • @yusuphu1082
    @yusuphu1082 27 дней назад +1

    Tunaombayenu

  • @DreyzOfficial-w7p
    @DreyzOfficial-w7p Месяц назад

    Uku nimeona ATM yake wazee una scan QR tuu😅

  • @yusuphu1082
    @yusuphu1082 27 дней назад

    Nikokartu.naombana.mbayenu

  • @RoseRobert-qd6ip
    @RoseRobert-qd6ip 2 месяца назад +1

    Alieniunga ana pi 200 sijui atakua tajri wa. Kijiji kizima😂

    • @Liyale_Kid_Gold
      @Liyale_Kid_Gold 2 месяца назад

      🤣🤣 je na sisi mwe Pi 2000 ..

    • @westmanmoses541
      @westmanmoses541 2 месяца назад

      Pi 4 najikongoja​@@Liyale_Kid_Gold

    • @westmanmoses541
      @westmanmoses541 2 месяца назад +1

      We una ngapi

    • @RoseRobert-qd6ip
      @RoseRobert-qd6ip 2 месяца назад

      @@westmanmoses541 pi 80

    • @mbarakomar245
      @mbarakomar245 2 месяца назад

      Nipo na pi 300
      200 tayar zimeigia kwenye wallet na nimezi fungia hadi 2027

  • @JanethAdolph-z1q
    @JanethAdolph-z1q 2 месяца назад

    Nielekezeniiii

  • @johnrevocatus9955
    @johnrevocatus9955 2 месяца назад

    Hio Pi watu tumeanza kuchimba tangu 2019 mpk tumekata tamaa na haijawahi kuingia Mainnet mpka leo ni kuzungushwa tyu ni tofauti na coin zingine hazijawahi kuchimbwa muda mrefu hvo harfu wanasemaga hvo hvo kwamba inaingia Mainnet soon tangu 2019 lakini mpk leo Wanaghairi tyu...

    • @melissa_garden
      @melissa_garden 2 месяца назад

      Why ukate tamaa!?!

    • @johnrevocatus9955
      @johnrevocatus9955 2 месяца назад

      @melissa_garden kama ulishawahi kumine coin yoyote na ikaingia mainnet nadhan utakuwa unaelewa kazi yake ila kama haujawahi na haujui mchakato wake hauwezi kuelewa kwanni

    • @wavetv_tz
      @wavetv_tz  2 месяца назад +2

      Siku zote kitu chenye nguvu na matokeo makubwa kinahitaji uvumilivu wa masai wanasema easy to come easy to go! Matajiri wote duniani unawaona wakiwa kwenye record za dunia yakwmba ni matajiri ila ukikaa nae umeuliize alipitia mambo mangapi na kwa muda gani ameyasubiri yaweze kuiva na yawe na sura unayoitazama atakwambia uvumilivu imekuwa ni siraha kubwa kwake ndo maana kafika hapo! Sasa kutoka 2019 unachimba na umekata tamaa je aliyepanda miti kwenye shamba lake la Iringa na amewekeza zaidi ya Tsh. Ml. 30 anaisubiri miaka 10 hadi 15 ndo ikomae avune unamuonaje huyo kaka kwa mtazamo wako? Utajiri hautokei kwa usiku mmoja bali unajengwa kwa muda. Kwa sababu huyo aliewekeza m30 kwa miaka zaidi ya 7 na kuendelea akija kuvuna ni ma milioni ya pesa zaidi ya hio 30 aliyowekeza kwenye mahekari ya miti.

    • @DavisHaizen
      @DavisHaizen 2 месяца назад +1

      Nikweli

    • @ProfessorDiaz-n7s
      @ProfessorDiaz-n7s Месяц назад

      Let them say

  • @fanuellingson
    @fanuellingson 2 месяца назад

    Huhuhuhuhuhuhuhu

  • @ntezimanamichael6656
    @ntezimanamichael6656 Месяц назад

    Tunaohitaji kununua share ndio tunafanyaje sasa hamtoi maelekezo moja kwa moja tatizo ko wambali tunafanyaje

    • @RawdhaTv
      @RawdhaTv 28 дней назад

      Haununui share ni bule

  • @lilianlazaro4189
    @lilianlazaro4189 2 месяца назад

    Kwani inakuaje hii kitu

  • @JipendeImani
    @JipendeImani 2 месяца назад

    Tupe ufahamu

  • @SimbaNgenula-j8y
    @SimbaNgenula-j8y 2 месяца назад +1

    mi na pi 9

  • @prospermakasini6012
    @prospermakasini6012 2 месяца назад

    Afadhari binafsi nilianza kumine tangu mwanzo. Chochote kwangu kitafaaa

    • @wavetv_tz
      @wavetv_tz  2 месяца назад +1

      Hongera yako mzee

    • @IreneQuadrat-he9ez
      @IreneQuadrat-he9ez 2 месяца назад

      😅Wengine tumechelewa lakini sio mbaya izoizo chache sana zitatosha

    • @lugelosanga5798
      @lugelosanga5798 2 месяца назад

      Mkuu kuvirify number inzingua vp hapo

    • @IreneQuadrat-he9ez
      @IreneQuadrat-he9ez 2 месяца назад

      @@lugelosanga5798 ingia kwny magroup ya pi huko wanakusaidia chap make kuverify no ya halotel nd hua kipengele

    • @prospermakasini6012
      @prospermakasini6012 2 месяца назад

      @@lugelosanga5798 unatakiwa kiwa na salio la kawaida na uiruhusu kutumia salio lankawaida na sio bundle

  • @ShehaYahya-fm3hx
    @ShehaYahya-fm3hx 2 месяца назад +1

    Mtandao wa pi network nikweli upo jamani nawashauri kabla hamjachelewa

  • @ProfessorDiaz-n7s
    @ProfessorDiaz-n7s Месяц назад

    How to get it

    • @wavetv_tz
      @wavetv_tz  Месяц назад

      Call this number +255715020665

  • @davisedward490
    @davisedward490 2 месяца назад +1

    Btc aijawai kuwa bure

    • @Bajosfamily
      @Bajosfamily 2 месяца назад +2

      Hapa suala ni taarifa ulizonazo zinaishia wapi? Btc walianza ku mine kama pi wanavyo mine sasa maana ya bure si ni hiyo mzee au mpaka uingiziwe kwenye mpesa yako

    • @davisedward490
      @davisedward490 2 месяца назад +1

      @aBjoTastyFood time will tell you wait and see

    • @reginajimson8133
      @reginajimson8133 2 месяца назад

      ​@@Bajosfamilyreally

    • @HappinessTesha
      @HappinessTesha 2 месяца назад

      Kasome history ya bitcoin

    • @davisedward490
      @davisedward490 2 месяца назад

      @@HappinessTesha Najua ninachokisema ndugu bei ya kwanza btc ilikuwa sawa na kiwango cha umeme uliotumika kumining sasa utasema walipewa bure

  • @udizungwahimalaya5213
    @udizungwahimalaya5213 2 месяца назад

    Wizi2 mbona kina bilgate alan musk hujawaona kuweka humu achani tamaa mutaibiwa alafu musumbue serikal

    • @ROMIROSANCHEZ
      @ROMIROSANCHEZ 2 месяца назад

      That’s why you have to risk bighead

    • @frankalfred5040
      @frankalfred5040 2 месяца назад

      ww huijui cryto

    • @GodlistenTsere
      @GodlistenTsere 2 месяца назад

      Acha ujinga we sahivi ni kumine sio kuweka hata hao wanamine tu kama hujui we ndio unakwama sahivi haina na gharama yeyote waka haitaki hela yako ila ikifunguliwa ndio utajua maana haipatikani kirahisi na ni ghalu sana wakati huo hakuna kuchimba tena kama tunavyofanya sahivi utajirike.

    • @WizzyPrince-i8w
      @WizzyPrince-i8w Месяц назад

      😂😂😂😂 bro chukuwa namba ya voda au azam au nmb kama hawachimbii niitembwaa niko apaa

    • @gamezone111-c7y
      @gamezone111-c7y Месяц назад

      ​@@GodlistenTsereina thamani ya dola 51 mna mine 😂😂😂 haya safari njema