NAMNA Pi COIN 31/DEC/2024 INAENDA KUBADIRI MAISHA YA WATU, YAANI WENYE Pi SIO WENZETU NI MA BILIONEA
HTML-код
- Опубликовано: 10 фев 2025
- ___WENYE Pi COIN 31/DEC/2024 SIO WENZETU NI MA BILIONEA!! ONA SASA WALIO IPUUZIA PI COIN!!!
KARIBU U LIKE NA KU SUBSCRIBE CHANELI YETU ILI UWE WA KWANZA KUPATA HABARI NA MAFUNDISHO MAZURI KUTOKA WAVE TV TANZANIA
Wow!! We are waiting this huge transformation in our life #piforlife
TANZANIA KUAMINI MPAKA JICHO LITOBOKEWEEEE😀 KUNA WATU WANATUPONDA MTAAANI HUKO HUWEZI AMINI😀
Kama kunasemina munialike
Safi sana jamani tujisajili tusijiweke nyuma tatizo tz@ watu tunazarau mabo
#Pitothemoon 🔥🔥🔥
😂😂😂 i swear shule mubimu sana 😊😊
Mashaallah safi sana pi maisha bila mipaka
Kabisa kaka
Haina mpango wowote kila siku wanatangaaza kuiingiza Market wengi wameshaipotezea wanasema ni scammer tangu 2019 watu wanaifanyia mining mpaka leo wameshakata tamaa munadanganywa2 😂 na kudanganya
Hii imekaaje jamani jamani? Naomba kujua ikiwa mtu anaweza kuanza ku mine saivi kabla ya hio tarehe 31/Dec/2024 ili tuambulie hata vijisent
Hata ukiwa na pi 1 ww ni mtu ko jisajili tu
Nimejisahili nabonyezaa inazunguka tuu inaleta cannot mined
Umechelewa mana hata pi Moja kwa Sasa una vuna kwa siku hata nne lakini jaribu tu
Kwani huifaham hyoo kiongoz?
This is an amazing coin guys!! Pi network for future life
❤
Kwanini hamu weki namba yenu y'a sim ili walio inje ya ichi wawapati?
Good
Ahsante sana kwa kuangalia!
Kaileza vuzuri kabisa short and clear 🎉
Kwa kweli kajitahidi hata wasio jua wanaweza kupata picha ya kinachokwenda kutokea hio 31/Dec.
Mi ni millionaire tayari nkiwa kenya mainnet ndo nasubiri tu nichizike kifedha😂😂❤❤
Watu watunze pesa ikianza kuuzwa kwa bei ya chini wanunue si rahisi itaanza na thamani hiyo ya GCV
Je kama upo kweny level ya kwanza inakuaj
Invest kwenye doge,bitcoin,etherium na bnb hizo ndio future ya coin ulimwenguni kote
Cna uhakika km itafanya kazi
🎉
Jamani anayejua semina zao
Kwa Sasa Nina Pi 2 hii inamaana Gani nisubiri Pi hatua ya ngapi ndio ni withdraw? Naomba msaada tafadhari
Ila iyo gcv
PI moja kwa sasa ni $51 mna mine mkiamini ipo siku mtapata za mdonyole😂wakati ukiona tu coin imefika $1 ujue hyo ishaondoka katika anga za kitonga na sio dola 1 ikikarbia tu iweje leo hii coin ina thamani ya $51 itolewe kirahisi hvo acheni kupoteza mda wenu hakuna k2 hapo na nyinyi acheni kuwapotezea mda wenzenu na utapeli wenu mna voa2ashawishi utafkiri ndo kwanza PI ni airdrop
Kaka naomba namba yko nna maswal kidogo naww naona Una ufaham mzur kuhus hii biashara
Naweza kununua GARI kupitia HIYO Pi
Mmmh sidhani
Hii kitu kumbe ni kweli enhe!! Aisee
Hichi kitunikweli nakushauri kabla hijachelewa
Twend mbele tuchimbe pi
Me sielew chochote ziwe kyc minent na v2 Ving San kuhusu pi ila nnachmba sana2
Nivitu vyepesi sana kuhusu kyc
Tunasubiri kwa hamu hii kitu aisee
Pi ni kwel lkn thamani ya $314k sio leo wala kesho tunza hii coment utakuja kuniambia baada ya open minet
Nikwel haiwez Anza kwahyo price never ever
Kama kwa Sasa inapanda mbaka Dolla 70 mbaka 83 mwakani inaweza Anza $100 uhakika
Vipi kiongozi
Pi nimezikusanya za kutosha hivyo tuna subiri iingie Sokoni
💥💥
Mbona hamtoi mawasiliano
Tunaombayenu
Uku nimeona ATM yake wazee una scan QR tuu😅
Wapi uko kna machine ya pi coin
Nikokartu.naombana.mbayenu
Alieniunga ana pi 200 sijui atakua tajri wa. Kijiji kizima😂
🤣🤣 je na sisi mwe Pi 2000 ..
Pi 4 najikongoja@@Liyale_Kid_Gold
We una ngapi
@@westmanmoses541 pi 80
Nipo na pi 300
200 tayar zimeigia kwenye wallet na nimezi fungia hadi 2027
Nielekezeniiii
Umepata wa kukuelekeza Jane?
Hio Pi watu tumeanza kuchimba tangu 2019 mpk tumekata tamaa na haijawahi kuingia Mainnet mpka leo ni kuzungushwa tyu ni tofauti na coin zingine hazijawahi kuchimbwa muda mrefu hvo harfu wanasemaga hvo hvo kwamba inaingia Mainnet soon tangu 2019 lakini mpk leo Wanaghairi tyu...
Why ukate tamaa!?!
@melissa_garden kama ulishawahi kumine coin yoyote na ikaingia mainnet nadhan utakuwa unaelewa kazi yake ila kama haujawahi na haujui mchakato wake hauwezi kuelewa kwanni
Siku zote kitu chenye nguvu na matokeo makubwa kinahitaji uvumilivu wa masai wanasema easy to come easy to go! Matajiri wote duniani unawaona wakiwa kwenye record za dunia yakwmba ni matajiri ila ukikaa nae umeuliize alipitia mambo mangapi na kwa muda gani ameyasubiri yaweze kuiva na yawe na sura unayoitazama atakwambia uvumilivu imekuwa ni siraha kubwa kwake ndo maana kafika hapo! Sasa kutoka 2019 unachimba na umekata tamaa je aliyepanda miti kwenye shamba lake la Iringa na amewekeza zaidi ya Tsh. Ml. 30 anaisubiri miaka 10 hadi 15 ndo ikomae avune unamuonaje huyo kaka kwa mtazamo wako? Utajiri hautokei kwa usiku mmoja bali unajengwa kwa muda. Kwa sababu huyo aliewekeza m30 kwa miaka zaidi ya 7 na kuendelea akija kuvuna ni ma milioni ya pesa zaidi ya hio 30 aliyowekeza kwenye mahekari ya miti.
Nikweli
Let them say
Huhuhuhuhuhuhuhu
Tunaohitaji kununua share ndio tunafanyaje sasa hamtoi maelekezo moja kwa moja tatizo ko wambali tunafanyaje
Haununui share ni bule
Kwani inakuaje hii kitu
Nitafute nikufunze
0657812255 Pi Coin Tanzania
Mbona unatoa namba tofauti kwa Kila mtu
Tupe ufahamu
mi na pi 9
Hongera, zitaitaji utulivu wako tu.
l have available pi to sell
@@NishimweLiliane-c8uscam
Afadhari binafsi nilianza kumine tangu mwanzo. Chochote kwangu kitafaaa
Hongera yako mzee
😅Wengine tumechelewa lakini sio mbaya izoizo chache sana zitatosha
Mkuu kuvirify number inzingua vp hapo
@@lugelosanga5798 ingia kwny magroup ya pi huko wanakusaidia chap make kuverify no ya halotel nd hua kipengele
@@lugelosanga5798 unatakiwa kiwa na salio la kawaida na uiruhusu kutumia salio lankawaida na sio bundle
Mtandao wa pi network nikweli upo jamani nawashauri kabla hamjachelewa
Kaka nipe info yote kuucu pi
How to get it
Call this number +255715020665
Btc aijawai kuwa bure
Hapa suala ni taarifa ulizonazo zinaishia wapi? Btc walianza ku mine kama pi wanavyo mine sasa maana ya bure si ni hiyo mzee au mpaka uingiziwe kwenye mpesa yako
@aBjoTastyFood time will tell you wait and see
@@Bajosfamilyreally
Kasome history ya bitcoin
@@HappinessTesha Najua ninachokisema ndugu bei ya kwanza btc ilikuwa sawa na kiwango cha umeme uliotumika kumining sasa utasema walipewa bure
Wizi2 mbona kina bilgate alan musk hujawaona kuweka humu achani tamaa mutaibiwa alafu musumbue serikal
That’s why you have to risk bighead
ww huijui cryto
Acha ujinga we sahivi ni kumine sio kuweka hata hao wanamine tu kama hujui we ndio unakwama sahivi haina na gharama yeyote waka haitaki hela yako ila ikifunguliwa ndio utajua maana haipatikani kirahisi na ni ghalu sana wakati huo hakuna kuchimba tena kama tunavyofanya sahivi utajirike.
😂😂😂😂 bro chukuwa namba ya voda au azam au nmb kama hawachimbii niitembwaa niko apaa
@@GodlistenTsereina thamani ya dola 51 mna mine 😂😂😂 haya safari njema