HEKAHEKA: Cheti cha kuzaliwa chafichua siri ya mtoto
HTML-код
- Опубликовано: 10 окт 2017
- Kwenye Leo Tena ya Clouds FM leo October 11, 2017 Mtangazaji Geah Habib ameifikisha Hekaheka iliyotokea Keko Dar Es Salaam baada ya mdada mmoja ambaye aliolewa na kukuta mtoto wa mume wake akilelewa na mama mkwe wake bila kujua kuwa mtoto huyo sio wa familia hiyo.
- Развлечения
Dah it very hurt kwa mtoto ,yaani haya mambo yasikie tu kwa mwenzio,mtoto cku zote anajua yule ni bibi yake Na ameishi vizuri,ni mcba mkubwa sana,Mungu amsaidie mtoto
Nomaaaaaaà sana ,wanawake muogopen mungu
noma
Kaazi kweli kweli
kaz kwel
source of all is wealth
Duniani kuna mambo
Mmmmmh ila mama ndio anajua baba yake ni nani
Mackini cjui ni njaa, Mmmh! ni sheeeeeeeeedah!
😩😩😩😩😩😩😩😩
Looo hatari jamani niugumu wa maisha au inakywaje?
mumemtia mtihani mtto maskin. 😭😭😭hadi huruma.
duh hatar
Raha ya kudanga
Mazee haya jaman sio magig tuuu
NAMAPA, NAMPA , NAMPA, NAMPA MWANDU💃💃💃💃🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️
yawenzenu mwatangaza mbona ya bosi wenu Ruge hamjatangaza
😀😀😀
umalaya mbaya, tuwe waaminifu
Looh
Kilichokufurahisha Nini Sasa uyo n mwanamke mwenzio napia mtoto Hana kosa jitambue wer mwanamke
duuuuuh
anaeathirika zaidi hapo ni mtoto
Kabla hujafa hujaumbika mwanadam, umbea tu, nayakwenu yasemeni.
Leila Kulwa imekutach nin hahahaha
hahahahahahah Aisha Abdion
yatakushinda ww dada .mume Wa marekani kaoa kimeo
Kweli kuku wangu mwenyewe, manati ya nini? Mhh.
yote kwa yote hakuna hekima apo na ww unajiita eti uko marekani huna mke apo bali una wataka urithi apo jipange
Wazazi mambo mengine wakati tunafanya tujue yanamuathiri vp mtoto hapo mtoto ndio itamuumiza sana
Soko matola
Cha ajabu hapo ni nn nawakati na nyie ni wanawake muwe mnaleta habari za kuelimisha watu hata nyie hapo ya kwenu mbon hamyasemi nyoooooooo
Channel yangu mpya kabisa narusha matukio ya kila aina ili kuyapata bonyeza #picha_yangu hapo kwenye kitufe cha njano #like_tuweze_kwenda_sawa Asante
Mmmmm yan nyie ebu tuleteeni habari zinazoeleweka , mbona mwaanika ya wenzenu mazambi yenu mmeficha
Namuonea huruma mtoto jamani
Hahahahaha akina bisandra hao wanafananisha y mtu😂😂😂ati midomo jamanii
Reemii Omar
Ilikua haina haja uanike
Kaxi mnayo kweli
Dunia simama me nishashuka mweeeeeh wanawake wana mambooo ila ata mtt wa zari pia sio wa D ni wa marehem napita kwa kunyapiaanyapia
Purry Selestine umbea huo
dreva bajaj nae mshikaji wako eh nawe atakutia mimba mke wa mtu una ushikaji na dreva bajaj wa nn
Seif Mohamed Seif A
Seif Mohamed Seif 😂😂😂😂
ngh
Dhuuuu
Haatariiiiii kubwa,ila mtoto ndio ataathirika kisaikologia
Mmh wanawake tunamambo wanawaza ulisitu
Tatu T
Yn akilizenu cjui mnakamatiwa na nani.
Nimechoka icho kituko
tanga hakuna soko kuu
+Sophie Alexander kwahiyo nikikwambia uje soko kuu utakika tangamano au ngamian au mgandin au uzungun
Umbea tu...hizi nazo habari..munapeperusha hewani...musoleta habari za maana
Bi Ommy kwakwel
Mama G dadaangu huyo naninamjua huyo Dada namkemwenzio
mie nisingewapa uyo mtoto
Wasengee nyiee tu marekan mwajua au mwaisikia chukua mtoto huyo etiii
Kitanda akizai haramu 😁😁😁
😂😂😂😊😊😂😊😂😂😂😂😂maana ya wanazengwe ndo nini? Kama nikabila naombeni kulifahamu maana siokwaa kubambikiziana
Mie baba angu anaitwa adam ila sina time naye maana kujipendekeza
Kitone Kantasha1 wanazengo ni wananchi
Kitone Kantasha1 n majirani wa mtaa unaoishi
Habari Karibuni sana kwenye channel yangu nafanya video za maisha ya huku italy ukitaka kuingia kwenye channel yangu bonyeza picha yangu hapo ili uweze ingia kwenye channel yangu
Kitone Kantasha1 Wananzengo ni wananchi lugha hiyo i atumika saaaana ukanda wa ziwa. Hada mwanza
wangeambiwa warudishe garama ili wakome
KWANI CHETI CHA USAJILI WA KUZALIWA UKATAJA JINA LANGU INA MAANA NI MATOKEO YA DNA? WE ANDIKA JINA UJIFURAHISHE IKO SIKU UKWELI UTAJULIKANA.
Duh noma sana😨
Arafa nichek Kwny Email....nmanigina1@gmail.com
hatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii makubwa dou mbona msitaje ni mtoto wa msanii yupi tujue
mama peku peku pili pili muwasho 😂😂😂😂😂
mabig ha ha ha ha
Yote njaa
Mwanajuma Mahundumla sana😂😂
Karibu kwenye channel yangu nafanya video za maisha yangu huku italy bonyeza picha yangu hapo ili uweze ingia kwenye channel yangu
mabig hahahahaha nimecheka jamani mwe
Lol?
Me nasikiliza king kiba seduce
🙄🙄😂😂😂
Shostialimzoeamtt hajammiss
hahaha mtoto fake hahaha so mtoto nae bashite au hahahaha
hahaha
Hahahahah
Dah it very hurt kwa mtoto ,yaani haya mambo yasikie tu kwa mwenzio,mtoto cku zote anajua yule ni bibi yake Na ameishi vizuri,ni mcba mkubwa sana,Mungu amsaidie mtoto
Duh yanenikuta hayoo we acha tu inaumaaaaaa
Mmmmmhh!! Kuwa baba pia kunaitaji kuwa na wazfa