HEKAHEKA: DSM haiishiwi mambo, isikupite hii ya Kawe

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 июн 2017
  • Leo June 28, 2017 kwenye Hekaheka ya Leo Tena ya Clouds FM ni story iliyotokea Kawe, DSM ambapo mtu mmoja anayedaiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja kuzua gumzo akidai kulipwa fedha zake baada ya kuambiwa aondoke kwa mama aliyekuwa anaishi nae.
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 51

  • @jamilaismail5227
    @jamilaismail5227 7 лет назад +5

    Astaghafirullah,Dunia imeisha ila huyo mama Abdulkarim na yy amefanya makosa Sana kukaa na mtu km huyo Alf anamlisha mume wake chakula anachopika uyo Kijana tena ni ftari jamani tusipende kucheza na Allah.

  • @awashilwavu5513
    @awashilwavu5513 5 лет назад

    Mtihani

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 2 года назад

    @geah habib mwe mwatuwekea na video sio kusikiliza audio tu

  • @habibabarker1644
    @habibabarker1644 5 месяцев назад

    Uwe naomba mume usiwe na mume watu wa hivyo kuishi unaishi nao wa nini jamani mm Karim

  • @irenejustine2765
    @irenejustine2765 4 года назад +1

    Niki anajulikana kawe nzima anapakuhishi akisaidiwa pakukaa alifukuzwa ndio ivyo

  • @gracegeofreyzablonmatalu3946
    @gracegeofreyzablonmatalu3946 7 лет назад +1

    lakini mambo mengi wenawake tunajitakia wenyew tuwe tunafikilia hiki kitu nikifanya mbele itakuaje jmn tunashindwa vitu vidogo ivo mpk tuaibike ndo akili ikae Sawa jmn mwanamke kushughulik Kwa waume eeeeh

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 7 лет назад +1

    hahhahahahhahh hili choko halina hayaa kabisa linabishana linajua kumpikia mwanaume mwenzie

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Год назад

    Aaaaaaaaa duniya inamambo hatari du da geya umenichekesha mpaka nimeunguza baibui eti siatekeye mwanaume

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 7 лет назад +1

    Apewe haki yake mikk buanaaa

  • @user-de7nf8pp3w
    @user-de7nf8pp3w 7 лет назад +1

    Huhuhu mbavu zangu miee jmn huyo mkaka looooh!!

  • @memisaphusseni7190
    @memisaphusseni7190 5 лет назад +2

    Sauti taamuu kambae msichana 😄😄😄😄

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 5 лет назад

    Sasa mwanaumke unaishije na mtu bila mume KUJUA ? Tena shoga .... Huyo mwanamke hafai kbsa, mungu anakubadirishaje usenge wenu tu wa tamaa za material things

  • @gracegeofreyzablonmatalu3946
    @gracegeofreyzablonmatalu3946 7 лет назад +1

    uyo mama alijua kabisa anaingia ktk ndoa sasa ilikuaje akaendelea kumfuga uyo mtu? ndoa inaheshima yake jmn hao yaweza kuwa walikuwa na mipango Yao! mmh ila uyo mnasema ndo kaka iyo sauti yangu ikasubili akaah

  • @nkambamadata603
    @nkambamadata603 7 лет назад

    Mh huyo mkaka ana balaaa Na Hali aliyonayo tyu Mwenyez Mungu atujali hili kizaz

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 5 лет назад

    Kwa sauti hiyo sitaki kuamini!

  • @katalamohamed4305
    @katalamohamed4305 2 года назад

    Kaacha kazi ya baba yake kachaguwa kazi ya mama yake

  • @omarisuleiman2611
    @omarisuleiman2611 4 года назад

    Hatar kwa kwel wamaume tunavuliw nguo hv hv jaman duh!

  • @mumybhay6561
    @mumybhay6561 5 лет назад

    ilo kaka lilokua linapikishwa humo linaitwa panya punga.😲

  • @diglovetv7872
    @diglovetv7872 7 лет назад

    😨😨😨

  • @alexandrinadomaino1085
    @alexandrinadomaino1085 7 лет назад

    Uyo mama na uyo kaka sio bure kuna kitu.

  • @abelmachunda9494
    @abelmachunda9494 7 лет назад

    hilo linalojiita lanaume boga kabisaaaaaaa... na ninashangaa wanaolisupport..!

  • @gracegeofreyzablonmatalu3946
    @gracegeofreyzablonmatalu3946 7 лет назад

    mmmh jmn uyo ni mkaka kweli mchekin vizur?

  • @jamilaismail5227
    @jamilaismail5227 7 лет назад

    Yani hawa watu wa ivyo kwa dini ya kiislamu huruhusiwi kushirikiana nao kabisa tena kwenye dola za kiislamu hukumu yake ni kuchinjwa.

  • @ambelemwakalobo529
    @ambelemwakalobo529 5 лет назад

    G H ww Dada ni mtangaji wa kimataifa

  • @alexandrinadomaino1085
    @alexandrinadomaino1085 7 лет назад

    Uyo kaka kwann usitake pesa siku zote????

  • @katalamohamed4305
    @katalamohamed4305 2 года назад

    Hao wana mwanzo mwisho waujua wenyewe

  • @fetysaidsaid708
    @fetysaidsaid708 3 года назад

    yani hasina umejua kunichekeshe uyu kaka au dada hahahaha

  • @evvajohn9209
    @evvajohn9209 6 лет назад

    huyo miki sauti gani hiyo

  • @ziadasalim8807
    @ziadasalim8807 5 лет назад

    Dunia simama nishuke walah

  • @user-dx5lz6du4y
    @user-dx5lz6du4y 6 лет назад

    hekaheka. noma sana

  • @mariamkombo5325
    @mariamkombo5325 7 лет назад

    asilipwe aende popote pale kwaza jeuli hiyo hana aende akashtaki aone kama atarudi

  • @kaladskel9098
    @kaladskel9098 5 лет назад

    Shoga uyo aisee

  • @mariamsaidi7625
    @mariamsaidi7625 5 лет назад

    Na ww mama Kwann ukae nauyo shoga nn

  • @tatunaally1510
    @tatunaally1510 7 лет назад

    musa utaniuwa na cheko

  • @ntulilajpn7615
    @ntulilajpn7615 7 лет назад +1

    daah

    • @elizabethbwakila8435
      @elizabethbwakila8435 5 лет назад

      Wafanya kazi wote waliojaa mpk amuhifadhi huyo hanithi ndani! Tena wanakuwaga wachafu wanatoka mavi hawa. Angekuwa kaolewa na kaka yangu huyo ningehakikisha anapewa talaka 10.

    • @angelasdney4164
      @angelasdney4164 5 лет назад

      MGD Iknow him miki 🐲

  • @helenmyala6046
    @helenmyala6046 7 лет назад +1

    mh

  • @malikkhamis5721
    @malikkhamis5721 5 лет назад

    maumbile boya nn ww na wakt umechaguw mwnyw

  • @abdulgeuka3985
    @abdulgeuka3985 7 лет назад +1

    miki bhana hahahah

  • @sumalago864
    @sumalago864 7 лет назад

    mwanamke mtu mzima lkn Akili hana' wewe mama mtu mzima una watoto inakuaje umfiche huyo msenge baridi ....kwa nini amfiche ' huyo mama ana makosa na Mume lazma uangalie hilo' haiwezekani mtu awekwe ndani mtu bila ww kujua '..na kwanini alikua anamficha. .?

  • @joshuakigunga9077
    @joshuakigunga9077 7 лет назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kitonekantasha1687
    @kitonekantasha1687 7 лет назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @lupetamhagama2145
    @lupetamhagama2145 7 лет назад +1

    haaaaa dah

  • @mszee2485
    @mszee2485 5 лет назад

    😂😂😂

  • @mahamedabdi1881
    @mahamedabdi1881 6 лет назад

    Astaghfirulla

  • @katalamohamed4305
    @katalamohamed4305 2 года назад

    Mtu kaacha kazi ya baba yake kaifata kazi ya mama yake