JE, KUVAA NIQABU NI LAZIMA?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 52

  • @AllyHamisi-c7j
    @AllyHamisi-c7j 3 месяца назад +2

    Hatuelewani kabisa shekh,yaani mfano uliotoa,ni sahihi kabisa shekh wangu,umenifurahisha tungepata mashe kumi tanzania kama ww!!aa tusingekua hapa

  • @RushdahHija
    @RushdahHija 11 месяцев назад +1

    Kuna watu ukitoa tarjama wanadhani tafsiri, Allah akuhufadh shk na achia mbali maneno ya watu wanaotaka niqaabu ni wajibu kama alivyopata imamu albaani rahimaullah, allah atuongoze na anawake kiujumla

  • @LichimbaAlly
    @LichimbaAlly Год назад

    Maashaallah shkh

  • @AminaAlly-r6j
    @AminaAlly-r6j Год назад

    Allah akulipe sheh

  • @shakirajaafar9362
    @shakirajaafar9362 Год назад +1

    نعم حق

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 11 месяцев назад +1

    Uhu ni ujinga mkubwa tulionao waislamu wa Leo .Tunauliza swali ili tupewe kibari cha kutokufanya.Watoa fatwah mjiangali Kila kitu kitaulizwa makusudio yenu yalikuwa Nini.Baada ya kuuliza je wenzetu waliotangulia walifanya ili nasisi tufanye .Kwa sababu wao waliridhiwa na Allah.Sisi Tunauliza kwani lazima kufanya.?)Yani ni ujinga mkubwa uliojaa zama hizi .Tunabishana kunuti .Chakujua Mtume alifanya hajafanya icho tu kinatosha sisi kufanya .Ila kwa sababu dini kwetu sisi ni mzigo unataka kujua alifanya kwa kiwango Gani .Dini ili kuja ikiwa ngeni itaondoka ikiwa ngeni .Hii ni hatari.Tujilekebishe Kila mtu anasoma kwa malengo yake .siyo Kila anasoma ni kwa ajili ya Allah .wangene wanasoma ili watupotoshe.Tuweni waumini Tulio jisalimisha kwa Allah.Tusiwe Kama aluli kitabu .waliyajua mengi lakini walichagua yakuyafanya.Allah masheikh Wacha Mungu wote waliotangulia na walio hai.

  • @hajikomora703
    @hajikomora703 Год назад +3

    Shekhe mbona hiyo aya ya kwanza hukuisoma ukaimalaza ?

  • @MwinyiHatibu-d7o
    @MwinyiHatibu-d7o Год назад

    Haina lazima

  • @YusuphuYahya
    @YusuphuYahya Год назад +1

    Wew haya umesikia au ujasikia

  • @NdiyembukeJr
    @NdiyembukeJr Год назад

    Je uso ni uchi?

  • @mohamedjakaya5355
    @mohamedjakaya5355 Год назад

    Niqabu si lazima muhimu ni hijabu msiifanye dini hii iwe ngumu kiasi hicho.

    • @abuufarha6562
      @abuufarha6562 11 месяцев назад

      KwaWewe usivae nimwanaume sawae

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 8 месяцев назад

      Ww unajuwa zaidi kuliko Allah uso Ni mapambo.na wanaume wengi uanza kuvutiwa na uso Sasa kuna mijitu yenyewe kazi yao kupinga maneno ya Allah mukadhibuna wapinzani wa Allah kila kitu afu wajiita Ni waislamu hatarii xana

  • @ShuaibuMsofe
    @ShuaibuMsofe Год назад

    Maliza aya

  • @Maalim_Samatta
    @Maalim_Samatta Год назад +3

    Yaani hadi unamaliza kuongea hii mada hujaweka direct speech inayokataza uso kuwa wazi, hii inaonyesha unaongea kimaono yako maana hata hao wanazuoni ambao wameonelea uso kuwa si sio shida kuonekana huna hata ubavu wa kuwatoa kwenye aqwaali zao na kuwavua Kwa ilmu zao, unaishiwa ooh uwelewa wao tu, hivi unadhani hata wao hiyo Aya ulotoa hawakuiona eeh, Unalazimisha lazimisha tu lkn bado hamna kitu.
    Uislam hauna HUKUMU za ujanja ujanja kama unazoongea hapo, nilitegemea utaweka ushahidi wa Moja Kwa Moja kuwa KUACHA uso wazi ni haramu na ni dhambi Kwa mwanamke huyo. Halaf hata hii qawli ya MAPAMBO Bado hujaielewa unalazimisha uso.
    Yaani elimu hii ni sheedah

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 Год назад +3

      Wewe unaotetea ujijuwi unachoongea nawala uwajuwi wanawake walivo.shekhe yupo sawa ila wewe uliejitoa ufaamu ndio ukumuelewa ila wenyemaalifa wamemuelewa vizuri shekhe.

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 Год назад +3

      Mtu yeuote ukiwa wabatwiri razima utete batwiri yako.wenye maalifa tumemuelewa shekhe.

    • @hawakiza6067
      @hawakiza6067 Год назад

      Ukweli mimi mwenyewe bado sijaelewa
      Allah ndiyo katuumba akatupa kila kitu kikubwa ni sisi kujua mipaka yetu
      Ukweli ni kwamba swala la. Uso kufunika
      Mimi sikatai wenye kufunika
      Ila najiuliza kuwa ni lazima wanawake. Wajifunike
      Hapo sijapaelewa
      Hijabu navaaa Alhamdulilah
      Nikabu ndiyo sivai
      Sasa hapa napata wakati mgum sana
      Huo ulazima wa kufunika uso naomba watueleze hiyo ayya

    • @khaalidcheo5383
      @khaalidcheo5383 Год назад

      @@hawakiza6067 swala lakuvaa hijabu kuna khitilafu kwa wana zuoni wengine wakasimama kwamba kuvaa nikabu silazima nawengine wakasimama kuvaa nikabu nilazima.nakila kundi apo linadariri zake.ispokuwa kundi lenyenguvu lilosimama kuvaa nikabu nilazima.kwasababu namifano ipo mingi sana apo. Mfano mchumba anayekuja kukuposa kitigani chakwanza kitamshawishi kwenye mwili wako.?au nikipi mbaka ukaitwa hawa nimrembo nini apo? Majawabu unayo.nandio mana kuvaa hijabu mwili mzima ndio bora na salama kwa wakina dada zetu na mama zetu.namabinti zetu.

    • @abdoumadiousseni4835
      @abdoumadiousseni4835 Год назад

      ​​​@@hawakiza6067dada yangu kimpz Qur-ani 24 Ayat 32 Allah subuhana wataala amesema kwa kumwabia nabii Muhammad صلى الله عليه وسلم na wambie waumini wanawake wainamishe macho yao chini, na wazilide tupu zao,na wasiwoneshe uzuri wau isipo kua unau dhihirika ( macho nde yalio wogewa hapo ).na waangushe shugi zau juu ya vifua vyao,wala wasiwonyshe uzuri wau ila kwa waume zao au baba zau au baba wa waume zao,au watoto zao au watoto wa waume zao au kaka zau au wana wa kaka zau au wana wa dada zau au wanawake wenzao au iliyo wamilki mikono yao ya kuume au wafwsi wa nawume wasio namatamanio au watoto ambao hawajajua mabo yaliyo khusu uke.wala wasipige chini miguu yau ili yajuulikane mapambo waliyo yaficha ,Na tubuni nyote kwa Allah,enyi waumini ili mpate kufanikiwa dada yangu kimpz ❤iyo nidalili kubwa ambau ulikua unaitaka neda ukanunuwe basi mikabu

  • @abdalahaby3658
    @abdalahaby3658 Год назад +1

    Wengine huvutiwa na hzo tu niqab.. hapo vipi.???? Labda afunike asionekane hata macho hapo sawa

    • @abousumayyahhassandjuma1332
      @abousumayyahhassandjuma1332 Год назад +1

      Ikiwa wanavutiwa mpaka kwa niqabu vipi kuacha uso?

    • @Kekulebenzene
      @Kekulebenzene 11 месяцев назад

      Hoja ya kijinga sana, sasa mtu avutiwe na macho je sura si itakuwa mtihani

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 8 месяцев назад

      Kuna watu wao ni upinzani kila kitu waa aya za mwenyezi mungu na kuzifanyia histizaa afu wajiita waislamu mukadhabuna wanakadhibisha aya za mwenyezi mungu wataonja adhabu kali siku ya kiama hawatopata msaidizi motoni

  • @JiMoo-k6s
    @JiMoo-k6s Год назад +2

    Shekhe ukitoa fatwa jitaidi kua kua nimwenye kuzama ktk elim kwani mwenyeuwezo wa kuitafsiri Qur,an kwa ufasaha ni mtume swalallahu Alah wasalamu ambaye ndio aliyesema uso na vitanga having shida sio wewe shekhe itaqillah

    • @DawoudMohamed386
      @DawoudMohamed386 Год назад +2

      Hadeeth Gani hiyo Mtume Swalla llahu 'Alaihi Wasallam amesema Uso na Vitanga vya Mkono havina Shida.

    • @ashrafuyusufu9344
      @ashrafuyusufu9344 Год назад +2

      hata mm naitaka hiyo hadithi

    • @saidabdurahman9631
      @saidabdurahman9631 Год назад +2

      Nyinyi tushawajua yan maneno ya imam shafy mnayaona kama hadith za mtume s.a.w 😅😂

    • @mjedamjeda4734
      @mjedamjeda4734 Год назад +1

      Hadithi gani nifamishe na mm kaka

    • @AdamAdam-xf3gh
      @AdamAdam-xf3gh Год назад

      Wewe unajua maana ya zinata? Mapambo hayo hiyo aya iliyosema viganja na uso ni ipi?

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Год назад +1

    Ukiwa kila kitu kinakuvutia ata dada yako unaweza ukamtamani

    • @ibnhassan9980
      @ibnhassan9980 Год назад

      Nikweli dada yako unamtamani hivi je wewe unakataa mtoto wa shangazi yako sio dada yako?

    • @khamisrubea5083
      @khamisrubea5083 Год назад

      @@ibnhassan9980 jee umeruhusiwa kumuoa dada yako ? Mtoto shangazi sheria yake iko wazi mbona unatoa mifano isofanana

  • @Dr-ubaida965
    @Dr-ubaida965 Год назад

    Malizia hiyo aya ya mwanzo kuisoma kisha rudi katika tafsiri ya imam suyuutwi na imamul muhallyy wamechanganua kwa hadithi ha maama aisha
    ACHA UBABAISHAJI KTK DINI ALLAH ANAKUONA

    • @hamicpina1151
      @hamicpina1151 11 месяцев назад

      Kwani vp mbon anafaamika vizur tuu

    • @Dr-ubaida965
      @Dr-ubaida965 11 месяцев назад

      @@hamicpina1151 Mwambie asisome Aya nusu Aya haijaishia hapo au malizia wewe ndo ujue.
      Je Allah amesema ni mwili mzima au Kuna hatful istithnai mbele ya hiyo aya?
      Na hiyo istithnai ni zipi Rudi tena katika nuurul yaqiin kitabu cha shaikhul khudhwar

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 8 месяцев назад

      Jitu linatafuta uhalali wa kumtembeza mkewe uchi fanya ww na mkewwe usikadhibishe maneno ya Allah kutuletea falsafa sijui ibun suyyuti ibn suyyuti Ni nani mbeele ya Allah mwanazuoni wa kisufi huyo huyo mfateni nyie watu wa bidaa mtembeze wake zenu uso wazi sisi tumeambiwa uso Ni miongoni mwa fitna kwa mwanamke mnaanza kutafuta suyuti suyuti ndo Nani mbele ya maneno ya Allah? Wasidhihirishe mapambo yao Aya iko wazi kabisa uso Ni miongoni mwa mapambo kwa mwanamke yani kuna watu hujiita waislamu lakini wapinzani wakubwa wa Aya za mwenyezi mungu mukadhabuna Hawa kila kitu wakiletea upinzani subuhana llah kauli ya wanazuoni walosema kufunika uso ndo wamepatia Sabu Wana dalili nzito kwa allah

  • @saidmakame
    @saidmakame Год назад +1

    Wee mbwiga hiyo aya na fatwa zako hazifanani. Sheria haijasema wanawake waifunike kama kama waliotiwa kwenye magunia.

  • @saidimpako5186
    @saidimpako5186 Год назад

    Uso ni pambo

  • @hawakiza6067
    @hawakiza6067 Год назад +2

    Assalam alaykum
    Hivyo viganja na uso vilivyo semwa vibali wazi
    Wanasema uchi wa mwanamke na wote kasoro
    Uso na viganja
    Sasa inakuwaje uso uwe uchi

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 Год назад +1

      hiyo ni hadithi kabla ya aya hizi za hijabu ndugu. umeelewa, uso ndio kila kitu kwa mwanamke kuna macho, nyusi imeungana wanawake wengine kwaiyo hata akivaa hijabu bila nikabu bado atasumbuliwa tu njiAni, umeelewa shekhe

    • @bakaribakari6444
      @bakaribakari6444 Год назад

      ​@@medimisi6930sahihi kabisa hiyo hadithi ilikuja kufutwa na hizo aya baadae

    • @jabirahmadniyonkuru
      @jabirahmadniyonkuru Год назад

      Ila uso na viganja kwenye swala sio kila fasi kwenye swala tu ndo anaruhusiwa