MAASHAALLAH SHEKH ALLAH AKUWEKE TUMEKUFAHAMU WATAFAHAMU HAO في رد المعتزلين BACHU HANA SHEKH ANAKURUPUKA NA ANAETAKA KURUDI KWA ALLAH AWE SAWA NA QURAN NA MTUME SAW INGIA UTUBE RVS ONLINE TV SALA YA IJUMAA MASJID FATMA
WATU WA BID'A/MAKHURAFI,HAWANA UWEZO WA KUWAFEDHESHA WATU WA SUNNAH,MAANA SUNNAH NI HAKKI NA BID'A NI BAATWIL, VIPI BAATWIL IWEZE KUISHANDA HAKKI,, HAMTAWEZA HADI KIAMA!! SHIDA YA YUSUF DIWANI NA HAJI UPEPO,NI WAONGO WANADANGANYA WATU KAMA WAFANYAVYO WANASWARA!! NA KUSOMEA WATU MANENO YA WANAVYUONI KWA KUYAGEUZA GEUZA ILI YAKUBALIANE NA UWONGO WAO!!
Ustadh haji upepo ameweka hoja nzuri sana ameeleza vizuri, lakini ndhan bachu hajatwallii baadhi ya vitabu vyao, ichi kitabu bachu hanacho au tukubali baadhi ya vitabu anavifungia kabatini
Huyu mtoto wa Sheikh Nasoro Alitalia kunitoa katka Maulid bure kumbe yeye ndiyo uelewa wake ndiyo finyu na siyo aibu kurudi darasani tena kuchukua elimu. Alhamdulillahi nimeelewa vizuri na nabakia na Maulid yetu na ujumbe kwa mtoto wa Bachu ni kuwa acha fitna vinginevyo utakuja kuchoma wewe bwana mdogo tunacheza na Maulid yetu na nyie mawahabi endeleeni na Bidaa yenu ya mashindano ya Qur'an.
MANENO YAKO NI YA UWONGO!! HATA YA KIWA HIVYO!!BASI SISI HATUKUBALUANI NAYO!! MAANA WATU WA SUNNA HUMFUATA MTUME,SISI WANAZUONI TUNACHUKUWA WALIYOPATIA NA YANAENDANA NA MAFUNZO YA MTUME صلى الله عليه وسلم
Ma shaa allah nna hakika habari hii haijui huyu mtoto na nime furahi kwa kumfundisha bila shaka itamfikia maana ni mvurugaji wa akili za watu huyo mtoto
@@سعدياقوت-ت2خ Nimesoma kwa sheikh wetu Habib Ali kombo takriban miaka Kumi na nikasoma Saudia miaka 7 nashukuru Alhmdulillah nimeujua ukweli kuhusu hilo ila udhaifu wenu nyinyi mnasoma kwa wazushi tu hebu someni mote ili mujue ukweli maana viwili vinachagulika
Vipi imekuumaa Kwa kuwa tumejua udanganyifu wenu wa kiwahabi 😂😂 huyoo sheikh wenu muhammad bachu ni kasukuu hata anachokisema hakijuii anakurupukaa tuu
Hizi ndo zile zama uongo dilì. Khofu umeondoka, na ni kukosa Aqida sahihi kwa kutokuamini hisabu.Upepo nnakuusia kwa ajili ya ALLAH A'ZZA WAJALLA, sema kweli hata kama humpendi mtu mfanyie uadilifu.
Mtoto wa Bachu bora ungepumzika kusemasema. Kila ukisema unajidhalilisha na kujitangaza kuwa wewe ni mtupu kielimu. Sikiliza wenzako wanavyotoa hoja za kisomi. Wewe unanukuu kitabu halafu unatafsiri kinyume chake ili uwaridhishe wanaokupa mshahara.
@@HashimSalim-qj7zn alaaa kwahivyo ibada zangu zote ni bure sababu skubaliani na manhaj iliyo wekwa na mayahudi kumtumia Sh.Mohd Abdulwahab na ahli Saudi kuita watu washirikina wazushi pole l really know what l am doing.
Tatizo la Muhammad Bachu sahivi hasomi vitabu vyao amedili na vitabu vyetu kutafuta makosa na sio kutafuta faida ndomaana haelewi akikuta neno tata anaita uongo shirki kumbe niufahamu hana
Maana ya kumtaja umpendae kwa mujibu wa ibn taymii inamaana wenzetu hawakua anaepeza kwao kama MTUME na ndo mana wote walimtaja yeye sio kila umpendae wala sio mkeo eleweni misamiati
Ni kweli mbona mmeshidwa kumtetea barzaji. Na kama kweli nyinyi wa kweli mbona mnaongea inji ya debate namlialikwa hamukuja kwa mdahalo .Wacheni porojo.
assalam alaykum.shekhe mtu akigaiwa kitanga hanyi jagi zima. hadithi ya myama kukimbia, kauli ya kuwa jangwani hakuna mtu umeipata wapi mbona hujatueleza kwenye hadithi?je kama waja wa allah ni watu wapo jangwani? kusaidiana katika wema jambo lipo.ama herufi في katika في الارض kuwa ni (ndani) ya ardhi,herufi zategemeana maana.assalam alaykum.
Kumbe we Upepo na akili zako pia zinachukuliwa na upepo kitu kama hujafahamu kitu usiseme , hpo hajaombwa mtu , ukimtaja unaempenda moyo unauboost damu ipite vzriii , ganzi ipoteeeee , sioo kuombaaaaaaaaaaa km Muhammad nisaidie wala niwezeshee
@@abiabi9353 USIPATE NAO SHIDA HAO MAWAHABI HAWANA WANACHO KIJUA KAMA WANAJUA HALALI IKO WAZI WASINGEJARIBU KUSEMA ALLAH ANAMASIKIO, MACHO, MIKONO , MIGUU NA USO ALAFU WANASEMA WANAFATA SUNNAH LABDA YA SHETANI ALLAH AWAONGOZE .
sheikh una uwelewa mdogo.laiti ingetumika hapo kwenye dawa ya sikioثم يصل عليkidogo tungekubaliana maana igelikuwa kitendo cha kutaja na kusalia vimepishana.ila واليصل علي hapa vitendo viwili vyafanyika mda huwo huwo.hivyo kumtaja au sala ya mtume lazima uanze na allah(s.w) wasoma wapi weee?😂
Maa shaa Allah
Allah akupe nguvu za kiwezaa kutubainishiaa upotoshaji wa kiwahabi
SHUKRAN SHEIKH WETU ALLAH AKUZIDISHI NA AKUPE UMRI MREFU
Watu wasome angalia mwanzo hadithi jee ni sahihi au dhaifu
MASHAA ALLAH very clear and understanding our Shekh Upepo
MAASHAALLAH SHEKH ALLAH AKUWEKE TUMEKUFAHAMU WATAFAHAMU HAO في رد المعتزلين BACHU HANA SHEKH ANAKURUPUKA NA ANAETAKA KURUDI KWA ALLAH AWE SAWA NA QURAN NA MTUME SAW INGIA UTUBE RVS ONLINE TV SALA YA IJUMAA MASJID FATMA
Jazakallahu kheiyra maulana
Mashallah she Haji upepo mueke sawa huyo bachu mpaka aelewe
Asante shekh
Hata ktk zakatul qurisy mwishini limetwaja aliyy
Ya rabbi tuongoze kwenye njia ilionyooka
WATU WA BID'A/MAKHURAFI,HAWANA UWEZO WA KUWAFEDHESHA WATU WA SUNNAH,MAANA SUNNAH NI HAKKI NA BID'A NI BAATWIL,
VIPI BAATWIL IWEZE KUISHANDA HAKKI,,
HAMTAWEZA HADI KIAMA!!
SHIDA YA YUSUF DIWANI NA HAJI UPEPO,NI WAONGO WANADANGANYA WATU KAMA WAFANYAVYO WANASWARA!!
NA KUSOMEA WATU MANENO YA WANAVYUONI KWA KUYAGEUZA GEUZA ILI YAKUBALIANE NA UWONGO WAO!!
dalili ukweli umewabainikia
Kwaio ayo maneno ni ya uongo? Nenda kakizome acha uwehu
Maa shaa Allah
Ustadh haji upepo ameweka hoja nzuri sana ameeleza vizuri, lakini ndhan bachu hajatwallii baadhi ya vitabu vyao, ichi kitabu bachu hanacho au tukubali baadhi ya vitabu anavifungia kabatini
Huyu mtoto wa Sheikh Nasoro Alitalia kunitoa katka Maulid bure kumbe yeye ndiyo uelewa wake ndiyo finyu na siyo aibu kurudi darasani tena kuchukua elimu.
Alhamdulillahi nimeelewa vizuri na nabakia na Maulid yetu na ujumbe kwa mtoto wa Bachu ni kuwa acha fitna vinginevyo utakuja kuchoma wewe bwana mdogo tunacheza na Maulid yetu na nyie mawahabi endeleeni na Bidaa yenu ya mashindano ya Qur'an.
Nakuone huruma kwa kushadidia uzushi Mungu akuongoe
شكرا لك وجزاك الله خيرا
MANENO YAKO NI YA UWONGO!!
HATA YA KIWA HIVYO!!BASI SISI HATUKUBALUANI NAYO!!
MAANA WATU WA SUNNA HUMFUATA MTUME,SISI WANAZUONI TUNACHUKUWA WALIYOPATIA NA YANAENDANA NA MAFUNZO YA MTUME صلى الله عليه وسلم
Mashaallah. Imeeleweka
Ma shaa allah nna hakika habari hii haijui huyu mtoto na nime furahi kwa kumfundisha bila shaka itamfikia maana ni mvurugaji wa akili za watu huyo mtoto
Pole kwa kuburutwa huku na huku ila tafuta elimu wacha kuburutwa utaangamia
Zuzu wewe na huyo bachu wako kapige goti kwa walimu uka shomeshwe acha ujinga wa kushabikia mtu
@@سعدياقوت-ت2خ Nimesoma kwa sheikh wetu Habib Ali kombo takriban miaka Kumi na nikasoma Saudia miaka 7 nashukuru Alhmdulillah nimeujua ukweli kuhusu hilo ila udhaifu wenu nyinyi mnasoma kwa wazushi tu hebu someni mote ili mujue ukweli maana viwili vinachagulika
Haji upepoooooo mpumbavu sana
Vipi imekuumaa Kwa kuwa tumejua udanganyifu wenu wa kiwahabi 😂😂 huyoo sheikh wenu muhammad bachu ni kasukuu hata anachokisema hakijuii anakurupukaa tuu
Hizi ndo zile zama uongo dilì. Khofu umeondoka, na ni kukosa Aqida sahihi kwa kutokuamini hisabu.Upepo nnakuusia kwa ajili ya ALLAH A'ZZA WAJALLA, sema kweli hata kama humpendi mtu mfanyie uadilifu.
Hiyo Quran yenyew hamjaimaliza na hadidh za mtume Muhammad mnahangaika na barazanj
We wap una toa hayo maneno hv Kuna una elewa unachoo kusema au una ropokaa
Mtoto wa Bachu bora ungepumzika kusemasema. Kila ukisema unajidhalilisha na kujitangaza kuwa wewe ni mtupu kielimu. Sikiliza wenzako wanavyotoa hoja za kisomi. Wewe unanukuu kitabu halafu unatafsiri kinyume chake ili uwaridhishe wanaokupa mshahara.
Huyo mtoto wa bachu amekuja na daawa yakutoa watu katika uislamu kwa uweleo wake finyo hiyo daawa iliyotengenezwa na mayahudi.
Nakuonea huruma Allah akuongoze hujui ulisemalo wala ulifanyalo
@@HashimSalim-qj7zn alaaa kwahivyo ibada zangu zote ni bure sababu skubaliani na manhaj iliyo wekwa na mayahudi kumtumia Sh.Mohd Abdulwahab na ahli Saudi kuita watu washirikina wazushi pole l really know what l am doing.
@@rushu1232 Kichwa chako kibovu katika ufahamu ila Allah akuongoe
@@HashimSalim-qj7zn Wewe wa upo mahatuti yafaa uonewe huruma zaidi
@@hilalkhalfan1452 Allah akuongoe
Assalam alaykum muyafanyayo kwenye hizi media hazifai, itaneni muelekezane musianzishe kuna hukmu
Bachu hujui chochote zaidi wajichora
Tatizo la Muhammad Bachu sahivi hasomi vitabu vyao amedili na vitabu vyetu kutafuta makosa na sio kutafuta faida ndomaana haelewi akikuta neno tata anaita uongo shirki kumbe niufahamu hana
Sivema ss waislam kuwanamarumbano kama yaushindani wangapi waisilam hawajui mustakbal yaudhu wao
Ibun Taimia Yuko sahihi kabisa na anayosema niyakweli ila mawahabiy hukubali Yale wanayoyataka wao
Maana ya kumtaja umpendae kwa mujibu wa ibn taymii inamaana wenzetu hawakua anaepeza kwao kama MTUME na ndo mana wote walimtaja yeye sio kila umpendae wala sio mkeo eleweni misamiati
Vibaya hivo kaambizaneni pembeni mnauvuruga uislami ,inamana mmesoma dini kw ajili y kujibizana
Ana nyiyee. Kwan ndo mnafanyanyinyi
Sasa haji upepo kumbe unakubali hayo
Temia.alihukumiwa kwa jela mpakaumauti wake bikufuri
Anajisifu mwenyewe,Ati Ustadh Haji Upepo amfedhehesha Bachu,kwa kutaka misifa hasubiri akasifiwa,anajisifu mwenyewe
Ni kweli mbona mmeshidwa kumtetea barzaji. Na kama kweli nyinyi wa kweli mbona mnaongea inji ya debate namlialikwa hamukuja kwa mdahalo .Wacheni porojo.
Changiaktk madahusika
Umaarufu hautafutwi
Halaf katika jambo linaloonyesha kwamba mwaongea bila kujua
Ibn teymiyya na shekh Muhammad Abdilwahaab
Nani katanguli?
Bachu ni coppy na paste tu lakini bado ni mtupu kwa wenye elimu
Wewe awerewi bachu anaerewa
Aso mjua bachu atapata tabu sana, na unaweza kuliona bonge la shekhe lkn misifa km yte
Uyu muhamedi bachu nishia latumiliwa hili ili avuruge waisilamu ila litavurugika yeye shenzi
Ww unalipi unalolijuw haun lolote mna haribu uislamu kwa kuradiana kusiko maliza acheni tabia hizo nyinyi
😂😂😂😂😂😂
Bachu amebugi stepu ety ناد علي muite ally hahahahahah bachu fani yako sio kutoa daawa kalale kaka
NAAM BACHU HAJIELEWI MAMBO MENGI ANAJIKWAZA INGIA NDUGU YANGU UTUBE UPATE FAIDA RVS ONLINE TV SALA YA IJUMAA MASJID FATMA
Ajitutumua2 mbn am kuonekana munakash
Ttzo lenu mnafata ushabiki somenii ndo mtaelewa huyu bwana Ana sema nini kaka hvo t🙏
SAS kama ushaaona kua khabar hiyo nidhaifu
Kwann waiyegemea?
Huhisi kua nikuonyesha ishaifu wako wa nukuu?.
Na hata huyo uliemnukuu ABDULLAH UMEKOSEA
assalam alaykum.shekhe mtu akigaiwa kitanga hanyi jagi zima. hadithi ya myama kukimbia, kauli ya kuwa jangwani hakuna mtu umeipata wapi mbona hujatueleza kwenye hadithi?je kama waja wa allah ni watu wapo jangwani? kusaidiana katika wema jambo lipo.ama herufi في katika في الارض kuwa ni (ndani) ya ardhi,herufi zategemeana maana.assalam alaykum.
Bachu hana uhakika na anachokisema na anayoyafanya
HAKIKA HAJIELEWI ANATAKA UMAARUFU DUNIANI INGIA UTUBE UPATE FAIDA RVS ONLINE TV SALA YA IJUMAA MASJID FATMA
Uislam nikushikamana sikuwanatabaka huwo niuzushitu itikadi yetunimojatu
We hunakili
yaa muhammad sio ombi ni kutaja
Ndo ttzo lakuwa na upungufu wa ufahamu
Kumbe we Upepo na akili zako pia zinachukuliwa na upepo kitu kama hujafahamu kitu usiseme , hpo hajaombwa mtu , ukimtaja unaempenda moyo unauboost damu ipite vzriii , ganzi ipoteeeee , sioo kuombaaaaaaaaaaa km Muhammad nisaidie wala niwezeshee
Kifupi sheikh anakubaliana na Bachu kuwa masufi wanaabudu wafu hakuna shida!
Acha uongo na ushabiki, kaongea mwanzo ataenda Kwa mujib wa akili zke
Rekebishen nafsi zenu Bachu hamumuwez kabisaa kaeni vikao mkikaluka mpaka mtamaliza
Wacha kushabikia ujinga ww fuata quran na hadithi bachu hana lolote utaitaje waxhirikina na niwaisilamu ulimuona akiomba kaburi
Kwa ku kurupuka na makelele hawezekani
Hemu someniii kwanza na sio kuftaaa usiyoo vijuaaaa someniii ilo t
Mnaàangaika tuu
Kama mnahoja nae kaen nae meza 1 tuonen nan bora
Kwani ww shida ni ubora au ufahamu na uwelewa
Halal iko wazi na Kharam iko wazi la shakka!! Bado mnahangaika na kuitetea baikoko mpaka leo?
BAIKOKO GANI......???
AU NA WEWE UNAFATA MKUMBO
MANA HAPO HAKUNA SEHEMU ILIOONGELEWA BAIKOKO
Hatutetei il tunaonyesha shehena wenu bachu ni jahilun muraqabu
@@abiabi9353 USIPATE NAO SHIDA HAO MAWAHABI HAWANA WANACHO KIJUA KAMA WANAJUA HALALI IKO WAZI WASINGEJARIBU KUSEMA ALLAH ANAMASIKIO, MACHO, MIKONO , MIGUU NA USO ALAFU WANASEMA WANAFATA SUNNAH LABDA YA SHETANI ALLAH AWAONGOZE .
We ni jahilun mfuas mbumbu wa jahili Muhammad Bachu wote ni majaahili tu kwasabab wote ni mambumbu wameshikiwa akili na mashekh wao
Mawahabi wamejaa chuki sio elimu
Vibaya hivo hata n wewe huna busara una kifuta n kujidai
Kumbe Hadith hizo zaifu aah! Bado kabisaaa bachu acha akuelimisheni
Dhaifu vipi ndugu ibn taymiya ndo alizokuwa anafundishia hizo kwahyo unataka kusema uyo ibn taymiya alikuwa hana elimu eeeh??
Mepigwa 3 bila n muhamad bachu
Amewapiga 3 bila
sheikh una uwelewa mdogo.laiti ingetumika hapo kwenye dawa ya sikioثم يصل عليkidogo tungekubaliana maana igelikuwa kitendo cha kutaja na kusalia vimepishana.ila واليصل علي hapa vitendo viwili vyafanyika mda huwo huwo.hivyo kumtaja au sala ya mtume lazima uanze na allah(s.w) wasoma wapi weee?😂
Ilo ni porojo tuu
Utadhani anawafunza walevi 😅sisi masalafi hatutishwi na watu wa majaazi
Kwani nani muhamadi bachu muhamadi bachu nijitu lililosoma saudia kwa majinga wenziwe likiwa yeye limepotea zaidi