Hao mawahabi ndo wanajifanya wana tawhiid na wapo mbali na shirki,kumbe wao ndo madereva wa kumshirikisha mungu,yaani tawhiid yao ni ukafiri mtupu,na sifa za mungu wa kiwahibi sio za mungu wa waislam kabisa kabisa... Tuwaombee dua mashekhe zetu wazidi kubainisha huu ukafiri wa kiwahab uliojificha ktk kivuli cha uislam..allaah awatie nguv mashekhe zetu wa kisufi inshaallaah🙏
@@alf8177 naona ndugu mkristo sindano imekuingia huna hoja mliyataka wenyewe hayo sasa yasubirini maana ndo kwanza shekh upepo anaanza maana mlidhani alhatmy kashindwa kumbe atoke wakati vijana wao wapo haya bayana hiyo lazima mchele ukae kwake na mapepe
Uhibuka biidhinillahi umenifanya nizunduke kwenye wimbi la kukashifiwa na mawahbi na kumbe wao ndo wafanyaji bidaa wazuri tu na awanatofauti na mashia kumbe shukran Sanaa na mola akujaze afya na elimu njema inshallah
Hauwezi kua na mawazo hayo kisha ukaikumbatia barzanj! Mbona kule ndio balaa zaidi bora hivyo vigawanyo vinaelezeka havifanani na mchanganyiko na vile vya utatu wa kikristo! Njoo kwenye manhajj ya kisunna kaka hata huku rizki zipo unaonekana unaufasahau lakini Allah (s.w) hajataka.. Allah (s.w) ajaalie wepesi uione haki watu wapate faida kutoka kwako Aamin!
Hio hio aya ulioitoa inaendana na nyinyi ambao munaenda kwenye makaburi munatawasul kupitia masheikh zenu waliopita ili iwe njia ya dua zenu kukubalika
Acheni ujinga hivyo vigawanyo ni kwa ajili ya watu wafahamu zaidi Kwani ibn taymiah kagawa sehemi 2 na wengine 3. Ktk sheria kuna vigawanyo kama wajib, sunna , makrooh na haramu. Hivyo havikugawanywa zama za mtume wala sahaba lkn kwa ajili ya watu wafahamu vizuri zaidi
@Juma Ally hakuna mwanachuoni hata mmoja aliesema ni uzushi. Elimu kadri zama zinavokwenda lazima ifunguliwe zaidi. Na ndio maana zama za masahaba palikua hakuna usul fiqh, na elimu yote iliiua moja. Ugawaji wa elimu upo ktk masuala mengi ya dini ili watu wa zama hizi wafahamu. Mfano ktk sheria Kuna 1 wajib 2 sunna 3 mubah 4 Haram 5 makrooh . Vile vile utunzi wa vitabu na kuweka milango, ukusanyaji wa msahafu na kadhalika hizo zote ni kwa ajili ya kuwepesisha watu waelewe vizuri ni Wasilla tu so lengo
UZUSHI SI SHERIA KAMA WASEME MASHEIKH. HATA WAKUBALIANE KAMA NI UZUSHI NI UZUSHI. LAKINI UMEELEZA VIZURI KWA UELEWA WAKO NIMEPENDA KUA UGAWAJI NI UTANUZ WA ELIMU TU....TATIZO LIPO KWENYE MLANGO WA KURUHUSU KUENGEZEKA JENGINE LA KHERI BAADA KUONDOKA MTUME....KAMA MAWAHABI WATAKUBALI IPO BIDAA HASAN HAMNA NENO ...LAKINI SIO WENZAO WAONE WAMEZUA LAKINI WAO WAKIZUA WANAJITETEA.@@alf8177
Kwenye Ayatul Qursiyyu na Quran kwa ujumla, viumbe tumepewa elimu kiduchu na neema zingine. Sasa elimu hiyo kiduchu utaitumiaje kujua na kugawa upwekeshaji wa Mkamilifu Allah Subhanahu waTaala?
@@alf8177 وانتم كذالك أو أنتم لا تعلمون ان رسول الله صلى الله عليه وسلم جاء بالاسلام ودعى الناس بها ولم يخرج الناس في الإسلام إيا من تخرج الناس في الإسلام من انت نريد أن نتفهم ان كنت دليل وليس بقول احمد باج.......... وأن كنت تذكر من هم تفرقوا بين الناس والناس كانوا من حال واحد ............ عجبت بمن يقول لنا أننا مشركين بحسبه انه من الحق بالجملة بل الحقوق محفوظة ولم يعزالله بمن عادله ولم يذل بمن هادله.......
Hapo tupe jawabula uhakika kwamb wewe unajuwaje kwamba huyu mtu anamkusudia Allah?na hatakuwa ila ni mwenye kucheza shere na Allah alishalizungumzia kundi hilo halichezi shere ila wanazicheza shere nafsi zao na hao ndio hakika ya mawahabi
@Jabir Bakar lazima ujue tofauti Kati ya mnafiq na kafiri kwanza Kisha uendeleze Mada.waliotajwa kwneye baqarah ni wanafiq sio wanaoabudu masanamu wazi wazi. Challenge hii ni mwiba we acha
Mashallahw shekh haji hizo twhd 3 kaziazisha nani Muhammad ibini wahabi sasa hawa hutetea ukafiri mbona Allhw kakataza hilo sura5 aya73 hawa ni makafiri
We jamaa kweli hamna kitu yan unasoma aya za kuran alaf unatoa tafsiri mbov ebu kabla hujakosoa itikad ya ahlu sunna isome kwanza Acha kuropoka ovyo ovyo
Sheikh umeongea vizuri, ila unaelezeaje pale Allah anaposema( Na unawapouliza ni nani ameumba mbingu na ardhi wanasema ni Allah), hapa wamekiri kuwa muumbaji wa kweli ni Allah ila shida yao wanawaongeza miungubmingine ili kuwa karibu na Allah na pahala pengine wanasema itakuwaje miungu yao 360 waijaalie kuwa ni mungu mmoja , shida yao wanaona kuwa Allah pekee hatoshi kufanya kila kitu pekee yake ndio wao wana mungu wa amani au wa mvua au wa rizki nk. Ila kwenye kuuumba wanakiri Allah ndiye muumbaji mkuu.Naomba ufafanuzi hapo
Hawezi jibu hapo. Makuresh na firauni walikiri kuwa Allah yupo (tawhiid rububiyya) lkn walikataa kuabudu (tawhid uluhiyya). Ukisema tawhid ni Moja haitowezekana kwa mujibu wa dalili
Ukikubali kama tauhid zipo tatu basi huna tofauti na wakristo na itikadi zao za kuwa kuna Mungu,Baba,mwana na roho mtakatifu ijapokuwa pia wanakubali Mungu hiyo huyo no mmoja. Kwahiyo kukubali kwanza tauhid tatu ni kukubali itikadi za kinaswara. Iwe itakavyo kuwa Mungu hagawanyiki katika namna yeyote anabaki katika dhati yake mwenyewe. Huwezi kutaka kulazimisha kumgawanya Mungu katika upweke kwa kigezo cha kumtofautisha sifa zake,upweke wake, Sifa zinabaki kuwa zake na kila kitu kinabaki kuwa chake. Ukiisoma surrat Al ikhlaasw kwa mafhumu yaliyo kuwa makubwa huwezi kuthubutu kusema tunaigawa Tauhid katika sehemu tatu. Na labda mje na maelezo hizo tauhid tatu, Ni nani Kati ya Mtume S.A.W au maswahaba au taabiina au taabii taabiina walifanya hivyo vigao vya tauhid.
Huyo ni ujahili uliopitiliza kufananaisha trinity na tawheed kuwa ni ya majina ya Allah ,uluhiyah na rububiyah.kwanza unatakiwa ujue wakristo wanaposema mungu baba yaani Allah na mwana yaani Jesus na roho mtakatifu wanakusudia kuwa Mungu ni huyo mmoja ila akija kuketa wahyi ndio anakuwa jibril na akitaka kuongea na watu ndio anakuwa Issa au Jesus kwa kifupi ni mungu mmoja anayegawanyika katika form tatu. Na tawheed ni kumpwekesha Allah katika majina yake kuwa hayafanani na viumbe wake na pia kuowekesha katika kuumba kwake kuwa hakuna aumbaye isipokuwa yeye na ni kupwekesha Allah katika ukezi wake yaani mlezi wa kweli ni yeye tokea weewe uko tumboni mwa mama yako mpaka ukatoka. Swali nakuuliza hata wenye kukata tawheed tatu wanakubali tawheed ya 1. Tadbiiriy 2. Tawheed ya Takniini 3.Tawheed ya umba 4.Tawheed ya sifa na majina Na zinginezo na zote hizo ukiziangalia vizuri zinaanguka katika tawheed tatu na kama unabisha bainisha hapa nikuoneshe vipi zinaangukia hapa
Allah haabudiwi nusunusu. Tawheed ni yake tu na kila kitu ili ulipwe lazima ufanye kwa Iqhlaswi. Hata ya heri usipofanya kwa Ihqlaswi hulipwi. Kama Tawheed yako ni ya mafungu hata roborobo Allah hapokei hiyo. Uwe na fungu la rububiya na linginewe na lingine huna Allah Hapokei kumchanganyia. Ama una Tawheed na Allah ama huna, chagua moja. Allah hafanyi biashara ya kukubali kuchanganya.
Yaan mm nilichogundua ni kwamba uyu jamaa kaja kumkosoa ibnu taymia na wakat kaz alofanya ibnu taymia baba ake hajafanya acha uyo haji upepo baba ake ake uyo upepo yaan uchanganywe ww haj na uyo upepo bs hamumfikii ibn taymia kwa jitihada ktk dini tena mshike adabu zenu
ww akhi upepe mche mola wako ina maana ww na sh othaymin na sh ibni taymiyya na shekh ibni baaz allah awarehemu , ww unajua zaidi kuliko wao, kwa ssb wao wamelielezea hilo jambo kwa upana wake kisha ww una kataaa muogope mola wako ww Haji
Musiyo yajua ULIZENI. ENDELEA KUSOMA HAKUNA MZAZI WA MTUME YOYOTE ALIEKUA KAFIRI!? NABII IBRAHIM KAENDELEE KUULIZA JE ALIKUA BABA MLEZI AMA MZAZI. MITUME ALLAH HUIANDAA KUTIKA KWENYE VIZAZI VITOHARIFU
Hadithi za MTUME Zimenukuliwa baada KUONDOKA kwake kwa MIAKA mia tatu KIDOGO. Usishangae Kupinga Hadithi ....Khalifa wa kwanza Alipiga MARUFUKU kabisa na kuchoma MOTO HADITHI ZA MTUME. NA KUPINGWA HADITHI SIO KUPINGA MTUME BALI KUPINGA ANAEDAI AMEMNUKUU MTUME AU KUMSIKIA....HAKUNA UHARAMU HUO. IKIWA MNASOMA IWE MNAULIZA
Na ndio maana Mawahabi wanaswali hali vipaji vya nyuso zao wamefunika na kofia zao kw hiyo hawana jisda, wanaamini wanapata ktk uluuhiyya kwengine wakikosa sio mbaya
Wewe ni JAHIL na MPUUZI SANA SANA!!! . Unapinga vigawanyo vya Tawheed kisha unaigawa mwenyewe hapo mwanzo. Sijasikia mtu mjinga kama wewe. Balaa hizi kila mtu ataka ushekhe. Ndio maana ukaitwa Shekhe Upepo.
Nendeni mkasome kitabu cha القول السديد في الرد على من أنكر تقسيم التوحيد mtaona kwa nn maulamaa wamegawa tawhiid. Msikilize pande zote 2 mtajua nani ni mkweli
Eleweni mawahabi kwamba kuigawa tawhidi niuzushi mulokujanao nyinyi na hamna hojja wala hamuweziutetea uzushi huo kwa hadithi hata maudhui wazushi wakubwa nyinyi
Kwaiyo ww upepo uamini ilo kama washirikina wanakubali kwamba muumbaji ni allah namwendeshani waulimwengu ni allah mbona lipowazi ktk quran kuaminikwao huumbaji wa allah ولانسالتهم من خلق سماوات ولارض ليقلن لله kwaiyo ww iyo ayaunaoisoma inakusuta kwasababu ww munayaomba makaburi alfu mukiwa makaburini munadai munamuomba allah sawa nahao washirikina walosema atuabudu haya masanamu ila yatukurubishe kwa allah ukaribu sasa tukujuvye wewe upepo mana umevaa miwani yambao hiiakida imegawanywa ilikuradiwa nyinyi masufi nasisi tunaitakidi kwamba izo mbili ukiwanazo ukaikosa hiimoja bd nimshirikina (uluhiyya)nanyinyi hamna muna bl nyinyi munalingana na washirikina kuabudia masanamu nyinyi makaburi mmeshindwa kumpwekesha alla pekeyake mpaka mwende makaburini ndugu zangu masufi izo tauhidi zimegawanywa kuradiwa nyinyi masufi kufananakwenu nawashirikina kutokipwekesha ktk (uluhiyya) wao wakaabudia masanamu nyinyi mkaabudia makaburi mukaacha sifa za allah mukatumia sifa na majina ya mawaliiwenu
Akuhifadhi Allah,endelea kutembea nao MPAKA yaumu diiiin.
Wallah wallah wallah shekh hajji nakupenda sana kwa ajili ya Allah uko na ufasaha w hali ya juu sana
ALLAH AKULIPE KHERI SHEIKH WETU NA AKUPE UMRI MREFU WENYE KHERI UZIDI KUTUJUZA UZUSHI WA MAWAHABI 7:49
جزاك الله خيرا يا شيخنا
Suali kwa upepo nyinyi masuf mungu wenu ni tawhid
Mana iliyogaiwa ni tawhid
Tao dalili acheni porojo wapi الله namtumi kaigawa tauhid
Wallahi nakupenda kwa sababu ya Allah kwa ufasaha ya ufafanuo wako,mungu akujazi inshaallah
وانا أحبك في الله۔۔۔جزاك الله خيرا
Allah akulipe kwa kuwazindua watu na uovu wa vifaranga wa kiwahabi
Hao mawahabi ndo wanajifanya wana tawhiid na wapo mbali na shirki,kumbe wao ndo madereva wa kumshirikisha mungu,yaani tawhiid yao ni ukafiri mtupu,na sifa za mungu wa kiwahibi sio za mungu wa waislam kabisa kabisa...
Tuwaombee dua mashekhe zetu wazidi kubainisha huu ukafiri wa kiwahab uliojificha ktk kivuli cha uislam..allaah awatie nguv mashekhe zetu wa kisufi inshaallaah🙏
Hiyo ni itikadi ya maimamu wote pamoja na masahaba. Hao wanafuata itikadi ua Ashari aliekuja baadae
So vizuri kutoa comment kwa darasa moja bila kujishughulisha na elimu unaweza khsema tuwaombee kumbe wewe ndo unaestahiki kuombewa
@@selemohd9060 kasome kitabu kinaitwa الدرر المنضدة من عقائد السلف
@M B sahihi kabisa Hawataki kusikiliza hoja za upande wa pili na kupekua vitabu maulamaa Wanasema nn. Muhimu inaendana na hawa za nafsi zao basi
@@alf8177 naona ndugu mkristo sindano imekuingia huna hoja mliyataka wenyewe hayo sasa yasubirini maana ndo kwanza shekh upepo anaanza maana mlidhani alhatmy kashindwa kumbe atoke wakati vijana wao wapo haya bayana hiyo lazima mchele ukae kwake na mapepe
Shukran laka
Maa Shaa Allwah
Ahsante sheikh
Uhibuka biidhinillahi umenifanya nizunduke kwenye wimbi la kukashifiwa na mawahbi na kumbe wao ndo wafanyaji bidaa wazuri tu na awanatofauti na mashia kumbe shukran Sanaa na mola akujaze afya na elimu njema inshallah
وانهم ليصدونهم عن السبيل ويحسبون انهم مهتدون
Sh haji kiboko ya mawahabi hawataki hata kumsikia
MaashaaAllah
Allah agawiki lazima mlango ufungwe tukiacha mlango wazi ttauhidi zitaongezeka kama njugu pumbavu sana mawahabi
Haji upepo nimuongo mpotevu mpuuzi na unaweza kuwa taghut unakoelekea
Hauwezi kua na mawazo hayo kisha ukaikumbatia barzanj! Mbona kule ndio balaa zaidi bora hivyo vigawanyo vinaelezeka havifanani na mchanganyiko na vile vya utatu wa kikristo! Njoo kwenye manhajj ya kisunna kaka hata huku rizki zipo unaonekana unaufasahau lakini Allah (s.w) hajataka.. Allah (s.w) ajaalie wepesi uione haki watu wapate faida kutoka kwako Aamin!
Hahaha yeye hasomi barazanji kibubusa kama ninyi ndo mana anajua kuwa hakuna tatizo kwenye barazanj
Na Bado wanakuja watu 50 kama yeye ili kiwaweka sawa mawahabi
Kumbe mawahabi wana uzushi na wao alafu mdomo n wa nini sasa?
Hio hio aya ulioitoa inaendana na nyinyi ambao munaenda kwenye makaburi munatawasul kupitia masheikh zenu waliopita ili iwe njia ya dua zenu kukubalika
Itikadi mbaya na uzushi mbaya 🤔
Acheni ujinga hivyo vigawanyo ni kwa ajili ya watu wafahamu zaidi
Kwani ibn taymiah kagawa sehemi 2 na wengine 3. Ktk sheria kuna vigawanyo kama wajib, sunna , makrooh na haramu. Hivyo havikugawanywa zama za mtume wala sahaba lkn kwa ajili ya watu wafahamu vizuri zaidi
Sasa si UZUSHI Huo
@Juma Ally hakuna mwanachuoni hata mmoja aliesema ni uzushi. Elimu kadri zama zinavokwenda lazima ifunguliwe zaidi. Na ndio maana zama za masahaba palikua hakuna usul fiqh, na elimu yote iliiua moja. Ugawaji wa elimu upo ktk masuala mengi ya dini ili watu wa zama hizi wafahamu. Mfano ktk sheria Kuna 1 wajib 2 sunna 3 mubah 4 Haram 5 makrooh . Vile vile utunzi wa vitabu na kuweka milango, ukusanyaji wa msahafu na kadhalika hizo zote ni kwa ajili ya kuwepesisha watu waelewe vizuri ni Wasilla tu so lengo
UZUSHI SI SHERIA KAMA WASEME MASHEIKH.
HATA WAKUBALIANE KAMA NI UZUSHI NI UZUSHI.
LAKINI UMEELEZA VIZURI KWA UELEWA WAKO NIMEPENDA KUA UGAWAJI NI UTANUZ WA ELIMU TU....TATIZO LIPO KWENYE MLANGO WA KURUHUSU KUENGEZEKA JENGINE LA KHERI BAADA KUONDOKA MTUME....KAMA MAWAHABI WATAKUBALI IPO BIDAA HASAN HAMNA NENO ...LAKINI SIO WENZAO WAONE WAMEZUA LAKINI WAO WAKIZUA WANAJITETEA.@@alf8177
Sikiliza na hili kombora kwa mawahabi
ruclips.net/video/XBvGm2i6DEo/видео.html
Kwenye Ayatul Qursiyyu na Quran kwa ujumla, viumbe tumepewa elimu kiduchu na neema zingine. Sasa elimu hiyo kiduchu utaitumiaje kujua na kugawa upwekeshaji wa Mkamilifu Allah Subhanahu waTaala?
SSHEIKH WENU ALHADDAD PIA KAGAWA HIZO TAWHID KTK KTABU CHAKE
الدعوة التامة و التذكرة العامة
Wewe wacha kudanganya watu kaafir wewe mkristo mkubwa
@@JabirBakar-ys8dw وعند الله تجتمع الخصوم
@@alf8177 ila mtume alishasema kwetu sema kweli japokuwa n chungu naona sindano imekuingia kaafir wewe muigope mungu yaaa kuffaar
@@alf8177 وانتم كذالك أو أنتم لا تعلمون ان رسول الله صلى الله عليه وسلم جاء بالاسلام ودعى الناس بها ولم يخرج الناس في الإسلام إيا من تخرج الناس في الإسلام من انت نريد أن نتفهم ان كنت دليل وليس بقول احمد باج..........
وأن كنت تذكر من هم تفرقوا بين الناس والناس كانوا من حال واحد ............
عجبت بمن يقول لنا أننا مشركين بحسبه انه من الحق بالجملة بل الحقوق محفوظة ولم يعزالله بمن عادله ولم يذل بمن هادله.......
@@alf8177 kama ni arabi Alhamdulillah usidhami ukiongea kiarabu sitakusuuza bado wewe ni kaafir tu kwa lumpinga uzao wa mtume
Challenge kwa makhurafi kuhusu vigawanyo tawheed.
ruclips.net/video/PTOJqTUgJnk/видео.html
Hapo tupe jawabula uhakika kwamb wewe unajuwaje kwamba huyu mtu anamkusudia Allah?na hatakuwa ila ni mwenye kucheza shere na Allah alishalizungumzia kundi hilo halichezi shere ila wanazicheza shere nafsi zao na hao ndio hakika ya mawahabi
Yaani huwa unajileta patamu sana kijana weww n kaafir tena murakkab kwa hiyo itikadi yako kwa haya hii
Nnaomba urejee surat baqara aya ya nane mpaka kumi na tano ndio utajua kwann wewe n kafiri
@Jabir Bakar lazima ujue tofauti Kati ya mnafiq na kafiri kwanza Kisha uendeleze Mada.waliotajwa kwneye baqarah ni wanafiq sio wanaoabudu masanamu wazi wazi. Challenge hii ni mwiba we acha
@@alf8177 hakki ni yenye kukaa mahali pake na kurejesha sural munaafiqiina aya ya kwanza mpaka ya nne mnafiq ni kaafir
Mashallahw shekh haji hizo twhd 3 kaziazisha nani Muhammad ibini wahabi sasa hawa hutetea ukafiri mbona Allhw kakataza hilo sura5 aya73 hawa ni makafiri
Nyinyi mawahabi tatizo lenu hamupendi huyo bachu wenu akosolewe wakati anapotosho watu kama nyinyi
We jamaa kweli hamna kitu yan unasoma aya za kuran alaf unatoa tafsiri mbov ebu kabla hujakosoa itikad ya ahlu sunna isome kwanza
Acha kuropoka ovyo ovyo
Naaam sheikh haji hapana kumuacha wahabbi yyt wakat huu wameshawatukana masheikh zetu sana kwa kukosa adabu
Pumbavutu hili wee tn mhuni mkubwa asaaa
Yan ata babuyao ibnu teymia hawez kuteteta
Sheikh umeongea vizuri, ila unaelezeaje pale Allah anaposema( Na unawapouliza ni nani ameumba mbingu na ardhi wanasema ni Allah), hapa wamekiri kuwa muumbaji wa kweli ni Allah ila shida yao wanawaongeza miungubmingine ili kuwa karibu na Allah na pahala pengine wanasema itakuwaje miungu yao 360 waijaalie kuwa ni mungu mmoja , shida yao wanaona kuwa Allah pekee hatoshi kufanya kila kitu pekee yake ndio wao wana mungu wa amani au wa mvua au wa rizki nk. Ila kwenye kuuumba wanakiri Allah ndiye muumbaji mkuu.Naomba ufafanuzi hapo
Hawezi jibu hapo. Makuresh na firauni walikiri kuwa Allah yupo (tawhiid rububiyya) lkn walikataa kuabudu (tawhid uluhiyya). Ukisema tawhid ni Moja haitowezekana kwa mujibu wa dalili
Ukikubali kama tauhid zipo tatu basi huna tofauti na wakristo na itikadi zao za kuwa kuna Mungu,Baba,mwana na roho mtakatifu ijapokuwa pia wanakubali Mungu hiyo huyo no mmoja.
Kwahiyo kukubali kwanza tauhid tatu ni kukubali itikadi za kinaswara.
Iwe itakavyo kuwa Mungu hagawanyiki katika namna yeyote anabaki katika dhati yake mwenyewe.
Huwezi kutaka kulazimisha kumgawanya Mungu katika upweke kwa kigezo cha kumtofautisha sifa zake,upweke wake,
Sifa zinabaki kuwa zake na kila kitu kinabaki kuwa chake.
Ukiisoma surrat Al ikhlaasw kwa mafhumu yaliyo kuwa makubwa huwezi kuthubutu kusema tunaigawa Tauhid katika sehemu tatu.
Na labda mje na maelezo hizo tauhid tatu,
Ni nani Kati ya Mtume S.A.W au maswahaba au taabiina au taabii taabiina walifanya hivyo vigao vya tauhid.
Huyo ni ujahili uliopitiliza kufananaisha trinity na tawheed kuwa ni ya majina ya Allah ,uluhiyah na rububiyah.kwanza unatakiwa ujue wakristo wanaposema mungu baba yaani Allah na mwana yaani Jesus na roho mtakatifu wanakusudia kuwa Mungu ni huyo mmoja ila akija kuketa wahyi ndio anakuwa jibril na akitaka kuongea na watu ndio anakuwa Issa au Jesus kwa kifupi ni mungu mmoja anayegawanyika katika form tatu.
Na tawheed ni kumpwekesha Allah katika majina yake kuwa hayafanani na viumbe wake na pia kuowekesha katika kuumba kwake kuwa hakuna aumbaye isipokuwa yeye na ni kupwekesha Allah katika ukezi wake yaani mlezi wa kweli ni yeye tokea weewe uko tumboni mwa mama yako mpaka ukatoka.
Swali nakuuliza hata wenye kukata tawheed tatu wanakubali tawheed ya
1. Tadbiiriy
2. Tawheed ya Takniini
3.Tawheed ya umba
4.Tawheed ya sifa na majina
Na zinginezo na zote hizo ukiziangalia vizuri zinaanguka katika tawheed tatu na kama unabisha bainisha hapa nikuoneshe vipi zinaangukia hapa
@@alf8177 lete hiyo dalili yako ya uongo hadithi gani hiyo mtume asiyoijua
@@alf8177 halafu wewe n mwongo allah akuangamize wewe laana kaafir mkubwa
Lete hadithi inayosema tawhid n vigawanyo vitatu
Lete hadith kama Kuna wajib, sunna, makrooh, haram na mubah
@@alf8177 wewe sikushangai hujasoma hata theluthi hahahahaha n hatari kweli umekamatika
Yaani wewe ndio umenichosh kabisa wewe n zezeta
@@JabirBakar-ys8dw jibu swali usomeshwe wewe
@@alf8177 يعني انت وفهمك الجاهلية مع ابن قد أثرت الخلق أعني أنتم تضلون الناس بكفركم فوالله ستحكم الله حقا بين الناس
Haji upepo unapenda kuropokwa usiyoyajua mjinga .Haji upepo wewe ni kafiri wa kishia
Allah haabudiwi nusunusu. Tawheed ni yake tu na kila kitu ili ulipwe lazima ufanye kwa Iqhlaswi. Hata ya heri usipofanya kwa Ihqlaswi hulipwi. Kama Tawheed yako ni ya mafungu hata roborobo Allah hapokei hiyo. Uwe na fungu la rububiya na linginewe na lingine huna Allah Hapokei kumchanganyia. Ama una Tawheed na Allah ama huna, chagua moja. Allah hafanyi biashara ya kukubali kuchanganya.
Yaan mm nilichogundua ni kwamba uyu jamaa kaja kumkosoa ibnu taymia na wakat kaz alofanya ibnu taymia baba ake hajafanya acha uyo haji upepo baba ake ake uyo upepo yaan uchanganywe ww haj na uyo upepo bs hamumfikii ibn taymia kwa jitihada ktk dini tena mshike adabu zenu
tulia dozi iingie vizuri
Shekh
ww unaamin kuna majina 99?
sasakama unayakın na hili vıp uanzee kutıa wasıwas ktk Vigawanyo ktk Tawheed ????????
Lete hadithi inayosema kwamba tawhid ni vigawanyo vitatu
ww akhi upepe mche mola wako
ina maana ww na sh othaymin na sh ibni taymiyya na shekh ibni baaz allah awarehemu , ww unajua zaidi kuliko wao,
kwa ssb wao wamelielezea hilo jambo kwa upana wake kisha ww una kataaa
muogope mola wako ww Haji
kwani Hiyo tawheed 3 ilifundishwa na Mtume au Maswahaba?
Haji upepo wewe unapita hata Baba yake nabii Ibrahim haingii mtoni.kwa elimu Yako kipotovu unapinga hadithi mtume.
Musiyo yajua ULIZENI.
ENDELEA KUSOMA HAKUNA MZAZI WA MTUME YOYOTE ALIEKUA KAFIRI!?
NABII IBRAHIM KAENDELEE KUULIZA JE ALIKUA BABA MLEZI AMA MZAZI.
MITUME ALLAH HUIANDAA KUTIKA KWENYE VIZAZI VITOHARIFU
Hadithi za MTUME Zimenukuliwa baada KUONDOKA kwake kwa MIAKA mia tatu KIDOGO.
Usishangae Kupinga Hadithi ....Khalifa wa kwanza Alipiga MARUFUKU kabisa na kuchoma MOTO HADITHI ZA MTUME.
NA KUPINGWA HADITHI SIO KUPINGA MTUME BALI KUPINGA ANAEDAI AMEMNUKUU MTUME AU KUMSIKIA....HAKUNA UHARAMU HUO. IKIWA MNASOMA IWE MNAULIZA
Na ndio maana Mawahabi wanaswali hali vipaji vya nyuso zao wamefunika na kofia zao kw hiyo hawana jisda, wanaamini wanapata ktk uluuhiyya kwengine wakikosa sio mbaya
Ikiwa ni hivyo Maimamu wa makka pia mawahabi basi na Sala zenu na hija zenu pia hazimo
@@alf8177 Maimamu wa Makka hawafunikagi vipaji vya uso wala hawavai vinusu kanzu
@@alf8177 Na hao ndio wa nawaambia kila nchi na mwezi wao hamtaki, nyie ni Mawahabi sugu
@@jamalsalum8726 kwa taarifa yako suala la mwezi Lina khilafu kwa maimamu 4. Sio mawahabi wote wanaofuata kila pahala
@@alf8177 😂😂😂😂😂😂😂 lakini makka si ndio wanaosema kila nchi na mwezi wake na nyinyi je
Sikiliza hii we muhabi majibu yote yapo hapa fuatilia sehemu zote
ruclips.net/video/jq99ctPHDfQ/видео.html
Ah wee jamaa unaelimu kuliko ibnu taymia
Kaa na ujinga wako
Tunatak FAIDA .
Weka munaQasha tupate FAIDa acha Bal -bala zako 😂😂😂😂
Haji upepo njoo kweny mjadala ustupelek kweny ujinga sie tuna akili zenu
Akili za kiyahudi
Wewe ni JAHIL na MPUUZI SANA SANA!!! . Unapinga vigawanyo vya Tawheed kisha unaigawa mwenyewe hapo mwanzo. Sijasikia mtu mjinga kama wewe. Balaa hizi kila mtu ataka ushekhe. Ndio maana ukaitwa Shekhe Upepo.
masufi wote hawawezi kukubali tawhidi tatu Wana MAMBO yao ya shirki
Bado wafunike macho yao tu
Kofia huvaliwa mwisho wa maoteo ya nywele
@@jamalsalum8726 hivi hayo maneno yapo kitabu gani
@@JabirBakar-ys8dw Soma vitabu vya viqhi, acha ushabiki wa kwny mitandao
@@jamalsalum8726 haya viqhi kwenye uislam n nn maana ule ubaranganya ulivyokuzidi mpaka unajidanganya mwenyew ety viqhi hiyo soma wew mm siitaki
Allah alishasema ataondia ufahamu kwa wenye vibri na ndio inadhihirika hapo
Nendeni mkasome kitabu cha
القول السديد في الرد على من أنكر تقسيم التوحيد mtaona kwa nn maulamaa wamegawa tawhiid. Msikilize pande zote 2 mtajua nani ni mkweli
ذكرني احداهم ان كان ليس من وهابيين أيا كافر ويا مفرق بين الناس
Wacha kubabaisha lete hadithi
@@JabirBakar-ys8dw kasome kitabu wacha uvivu na kama hufahamu basi mtafute mwalim akutafsirie
@@alf8177 mimi nafaham kwamba taqsiim tajwiid ni haramu na mwenye kuitakidi haram n kaafir
Eleweni mawahabi kwamba kuigawa tawhidi niuzushi mulokujanao nyinyi na hamna hojja wala hamuweziutetea uzushi huo kwa hadithi hata maudhui wazushi wakubwa nyinyi
Kwaiyo ww upepo uamini ilo kama washirikina wanakubali kwamba muumbaji ni allah namwendeshani waulimwengu ni allah mbona lipowazi ktk quran kuaminikwao huumbaji wa allah ولانسالتهم من خلق سماوات ولارض ليقلن لله kwaiyo ww iyo ayaunaoisoma inakusuta kwasababu ww munayaomba makaburi alfu mukiwa makaburini munadai munamuomba allah sawa nahao washirikina walosema atuabudu haya masanamu ila yatukurubishe kwa allah ukaribu sasa tukujuvye wewe upepo mana umevaa miwani yambao hiiakida imegawanywa ilikuradiwa nyinyi masufi nasisi tunaitakidi kwamba izo mbili ukiwanazo ukaikosa hiimoja bd nimshirikina (uluhiyya)nanyinyi hamna muna bl nyinyi munalingana na washirikina kuabudia masanamu nyinyi makaburi mmeshindwa kumpwekesha alla pekeyake mpaka mwende makaburini ndugu zangu masufi izo tauhidi zimegawanywa kuradiwa nyinyi masufi kufananakwenu nawashirikina kutokipwekesha ktk (uluhiyya) wao wakaabudia masanamu nyinyi mkaabudia makaburi mukaacha sifa za allah mukatumia sifa na majina ya mawaliiwenu
MAWAHABI memepotea
Rudini Kwenye njia ya Allah mungu yupo na warudio
Hahaha unasema usio yajua wewe mwehu
@@jumaally558 Nayajuwa ndiomaana nasema ww ndouyajui ndiomaana unashobokea unatakiwa usome nenda kasome kwanza
@@ramadhanhajji hata kusema sijui nayi pia n elimu na inahitaji darsa na kupiga goti
@@ramadhanhajji lete hiyo dalili basi ambayo imeamuru hivyo