ALLAH amrehem sheikh wetu Nasor bachu na amjaalie muhamad bachu awe nimiongoni mwa watoto wema wanao muombea na ampenguvu azidi kubainisha haqqi ulimwenguni kote
Masha Allah yani ninapomskiliza sheikh Muhammad bachu Nahisi Raha sana na kutulia wallahi ❤❤❤😢😊😊 Duuuh Hadi Nataman basi nipate fursa ya kumuona live 🫶🥰🥰🥰 Wallah Nayatangaza mapenzi yangu kwako kwa ajili ya Allah ❤❤❤
Maashaa Allah. Allah akuhifadhi uzidi kuubainisha ukweli na walokua hawajui wafuate wap watapata majibu sahihi watakuelewa tu labda wawe na chuki vifuani mwao wanafunzi wa hawa walim mufanye maamuzi sahihi kwaajili ya Dini ya Allah nyinyi ndio mnotegemewa kuipeleka Dini ya Allah mbele cio kushika mahala ambapo hakuna vidhibit sahihi Allah atuongoze sote ktk njia ya sawa na atupambe kwa Afya njema na atujaalie mwisho mwema
Aslm alaykm ndugu ktk imaani mm nawanasihi maduati ambayo wanalingania manhaj salaf wawe na kauli za sawa wasiwe na maneno machafu mpaka kutoa heshima za watu kwani hilo silo agizo la Allah na mtume wake swalallahu alayihi wasalaam kwni hii ni daawa ya rahma ALLAHUL MUSTAANU
Maashallah Sheikh Muhammad Bachu allah akulipe kheri na akulinde na maadui na vitimbi vyao,,,, Sheikh Muhammad Bachu nakuusia kwa ajili ya Allah usije kuwacha hizi raddi zinamanufaa makubwa katika jamii na individually,,,,, May Allah grant us great and beneficial knowledge in it.
Wengi wenu mnafananisha sauti ya sheikh qassim na Muhammad mafuta,akhy hao ni ndugu sasa mafuta unaemzungumzia wew ni mafuta yupi? Hapo Sheikh qassim hausiki na hiyo radd hapo kaka
Halafu katika watu wasiopaswa kumshabikia bachu ni nyie masufi,maana kutwa anawachapa huku mitandaoni,leo unamshabikia kesho atakuwatandika na bidaa zenu 😅
@@AlmasAbdallah-r3g😂😂aisee huu ushabk kwny din mpk kuit mjinga mtu, iv hamuogop siku ya mwisho siku ya hukum, daah sie waislam wallah tuna mtihan, mim katk kitu naogop nikukuita mtu wa dini mjinga, mshenz na mengne kam hayo, hiv nyie mnapat wap ujasir??
@@YussufYussuf-w9m hakuna mafunzo alio funza huyu kijana. Nimjinga.ameambiwa na sheikh alete usahih wa ile hadith alipoambiwa ni dhaifu mpaka sasa ni usanii tu. Sisi tuna hadith sahih ktk kwa mtume s.a.w. alikua wakti wakula anataja bismilla takbani miaka8. Yani bachu kashindwa tu kutoa hadith angalau moja tu??? Mtihani navile yuazungumza karibu dakika 30 aaahhh!!! Ilimu ina wenye
Mimi naku kubali saana Mwamba Toka DRC 🇨🇩🇨🇩 Allâh Aku Hifadhi Popote Upatikanapo Habiib wangu💝💝💖 Na katika ndoto zangu, Ni kuku Ona uso kwa uso siku modja inchallah💖🙏
Maashaa Allaah, hapa nikichapo tu kwenda mbele, kwa wale wote walio haribu Da'wa na kuingiza fitna kubwaaaa. Na wakajifanya wao peke yao ndio wenye maarifa, wasiokua wao, hao hawafai hata kuskilizwa, mahizbi hao
ILI UJUE HAWA KINA MAFUTA HAWANA ISHU NA HAWAWEZI KUJIBU HOJA ZA MSINGI NDO MAANA HAWAWEZI KUJIBU KWA KITABU KAMA ANAVOJIBU SHEIKH BACHU NDUGU MUISLAM USIFUATE KUNDI MFUATE SHEIKH AMBAE ANAFUNDISHA KWA DALILI NA SIO ANAEKWEPA BAADHI NA AKAKUBALI BAADHI
Mashekhe kama hawa wakiwekana sawa Sisi wengine tunafaidika wala hakuna kwamba tunarudi nyuma rududi au kukosoana nikatika dini tunafahamu ukweli NI upi uongo NI upi.
Bahariya Mafutaaaaaa, maradhi ya kurukwa na akili unayoo ww kwa ushahidi,wa maneno ya sheikh huyu unampa sheikh mwengine, sio sheikh Nassor Bachu mungu amrehemu.
Yaani huyu mafuta anakiburi kibaya sana.huko kusoma kidogo TU amekua hadi ibni taymiyah anamuona kama mwanafunzi wa pongwe huyu afaa viboko na bakora.huenda karogwa na watu wamaulid maana anaropoka kama mtu mirungi
POINT KIELIM BACHU ANAWAZID HAWA MASALAFI WAHOVYHOVYO WOTE HAWAMUWEZ PILI PICHA YAKE KUKAA PALE NDIO KUONESHE HAWA NIWATU MJIRM MASALAFI HAWA WALIOZALIKIANA NAKINAMAFUTA NIWATU WAMOTON BILA SHAKA NIWAONGO NIWATU WAFITNA WANAFARAKANISHA WATU NAKUWAINGIZA MOTON HILI WW NDIO WAOVU😊
SHEKH MUHAMMAD UPO SAHIHI.Ningeomba tubadili mwelekeo kwa sababu wasomi wako wengi lakini idadi kubwa ya vijana wa KIISLAMU wameikimbia dini badala yake wamekuwa waislam wa majina tu.Tupange mikakati ya kuwaelimisha hatimaye wafanye A-AMALI NJEMA.
DAH INAUMA SANA SHEKHE MWENYE KUAMINIWA NAWANAFUNZI HASA WAMTIMKAVU ALAFU UNASIFA YA UONGO. NA KWANINI UNAMSINGIZIA SHEKHE BACHU ILHALI HAYUPO DUNIANI?😭😭😭
Jazakallahu khyran Shaykh kuna clip fupi nimekaa nayo sana kwenye sim angu nashindwa kukutumia maake whatsapp yako iko busy sana hujibu messages. Hii clip ina shub-ha chache tu za sufi mmoja zinaleta mkanhanyiko kidogo na kutia doa kwa wanachuoni wa sunnah. Naomba uniruhusu nikutumie uishughulikie ndani ya madakika machache tu tufaidike kisha uendelee na ratiba zako nyingine inshallah nakuomba kwa ajili ya Allah
Muhammad bachu hapo kwa Muhammad mafuta ni sababu tu umeipata. Lkn chuki yko kubwa ni kwa kassim mafuta kakaake. Hapo unazunguka tu na kujikweza. Una chuki sana na sheikh kassim na umefanikiwa kumfedhehesha kama ulivyoahidi utamfedhehi na kuikejeli markaz ibintaymiya. Hongera sana
أسأل الله أن يحبكم محبة يطيل بها أعماركم ويكثر بها أرزاقكم ويزكي بها أعمالكم فيحبكم الخلق أينما إتجهتم .. جعله الله يوم سـعــيد تنشرح فيه صدوركم وتتفتح لوجوهكم السعادة حفظكم الله وحفظ أهليكم و بيوتكم اللهم أسألك لأحبتي إيماناً كاملاً ويقيناً صادقاً ورزقاً واسعاً . وصل اللهم وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه وسلم تسليما كثيرا .
Assalam alykum warhmatuallah ndugu yangu mpaka hapo yamtosha bwna Muhammad mafuta mpaka ajibu kwanza.... Ustadh Muhammad nassor Allah akuhifadh na kila dhu'lma twaombeana kher kwa Allah
@@bacteria5184 wewe ndio unatuaibisha kwakuji koroga akili iko kwa bacho masikio iko kwa sheikh mafuta.jumuisha akili na maskio pahali pamoja. Sasa hata ukiulizwa tu je bachu kuna hadith alioitoa hata moja???muhammad mafuta ana subiri hadithi.alafu aitetee ile hadidh alioitoa usahihi wake only that wallahi hana...kajichanganya sijui mara tuletee kitabu mwana chuoni yeyote alio sema sijui wewe ni mjinga sijui khain..sasa hio ndio nini?? Jibu hoja acha ujinga ww bachu
YAONYESHA WEWE HUKUENDA MADRASA HATA DARASA LA KWANZA NDIO MAANA HUELEWI MASIKINI MPAKA ILIPOFIKA WASEMA BACHO AJIPINGA MWENYEWE, KUMBE MAFUTA NIMPTUPU PAMOJA NA WANAFUNZI WAKE PIA HAWAELEWI KABISAA WALLAHI@@HassanIddy-v1b
Assalamu alaykum warahmtullah nomba sheikh usisahau kuendeleza duruusi za lugha Na kama itawezekana tunaomba tengeza channel TELEGRAM NI MUHIMU SANA AHKY MUHAMMAD BACHU
Kinachowasumbua Hasadi ewe Muhammad mafuta taka hifadhi kwa Allah kutokana na Hasadi shekh bachu amejaaliwa na Allah ni kipawa chake manani hamumuezi huyu ni mtoto wa shekh nyinyi ni watoto wa nani?
Kwahiyo, kwa msimamo wa Mafuta IBN TAYMIYYAH ni JAAHIL MURAKKAB Sio? Kwa maana anamdai dalili😢😢😢 na mashekh wote wanao Ona inafaa kukamilisha Bismillah ni MAJAAHIL MURAKKAB????
ALLAH amrehem sheikh wetu Nasor bachu na amjaalie muhamad bachu awe nimiongoni mwa watoto wema wanao muombea na ampenguvu azidi kubainisha haqqi ulimwenguni kote
Ustadh Bachu umenifurahisha, sina la kusema MashaAllah
Masha Allah yani ninapomskiliza sheikh Muhammad bachu Nahisi Raha sana na kutulia wallahi ❤❤❤😢😊😊 Duuuh Hadi Nataman basi nipate fursa ya kumuona live 🫶🥰🥰🥰 Wallah Nayatangaza mapenzi yangu kwako kwa ajili ya Allah ❤❤❤
Maashaallahu muhamad bachu maashaallahu baba kazaa Allahu akuhifasdh
Masha'allah tabarakallah,darsa tosha hapa Sheikh wetu!Allah azza wa jal akuhifadhi!
Maashaa Allah. Allah akuhifadhi uzidi kuubainisha ukweli na walokua hawajui wafuate wap watapata majibu sahihi watakuelewa tu labda wawe na chuki vifuani mwao wanafunzi wa hawa walim mufanye maamuzi sahihi kwaajili ya Dini ya Allah nyinyi ndio mnotegemewa kuipeleka Dini ya Allah mbele cio kushika mahala ambapo hakuna vidhibit sahihi Allah atuongoze sote ktk njia ya sawa na atupambe kwa Afya njema na atujaalie mwisho mwema
Ameen
Aslm alaykm ndugu ktk imaani mm nawanasihi maduati ambayo wanalingania manhaj salaf wawe na kauli za sawa wasiwe na maneno machafu mpaka kutoa heshima za watu kwani hilo silo agizo la Allah na mtume wake swalallahu alayihi wasalaam kwni hii ni daawa ya rahma
ALLAHUL MUSTAANU
Sheikh bachu Allah akuhifadh kwa hakika tunapat faida kubwa sana kweny ruduud hizi unatufunza mengi ktk dini yetu
Maashallah Sheikh Muhammad Bachu allah akulipe kheri na akulinde na maadui na vitimbi vyao,,,,
Sheikh Muhammad Bachu nakuusia kwa ajili ya Allah usije kuwacha hizi raddi zinamanufaa makubwa katika jamii na individually,,,,,
May Allah grant us great and beneficial knowledge in it.
@@KhalfanMassoud ume sema kwelii
Kweli kaka twafaidik saaana
Kwel ndug mana watu kwa kutudangny ili kuvutia misimamo Yao wamezidi@@RamadhaniShembilu-l1e
Allah akujaze kila kheri mwalimu wangu. Mimi nipo Congo D R C nafatilia darsa Yako
ALLAH akulipe kila lakheiri tunafaidika saana kwenye madarasa yako kwakweli MAASHALLAH
Allah akuhifadhi sheikh Mohammad bachu wewe ni jeshi la mtu mmoja
Shukran muhammad bachu Allaah akuhifadh
Mafuta kama hukufunzika hapa Wewe kibur bachu kafunguka vakutosha mashaallah allah amlinde na husda zenu za waz na za sir aamiin
Wengi wenu mnafananisha sauti ya sheikh qassim na Muhammad mafuta,akhy hao ni ndugu sasa mafuta unaemzungumzia wew ni mafuta yupi? Hapo Sheikh qassim hausiki na hiyo radd hapo kaka
Halafu katika watu wasiopaswa kumshabikia bachu ni nyie masufi,maana kutwa anawachapa huku mitandaoni,leo unamshabikia kesho atakuwatandika na bidaa zenu 😅
@@AbdallahAlly-b5m 😁😁😁Bachu ni mjinga sana shida inakuja anapotka kushindana na Salafy huku hawezi kabisa.
@@AlmasAbdallah-r3g😂😂aisee huu ushabk kwny din mpk kuit mjinga mtu, iv hamuogop siku ya mwisho siku ya hukum, daah sie waislam wallah tuna mtihan, mim katk kitu naogop nikukuita mtu wa dini mjinga, mshenz na mengne kam hayo, hiv nyie mnapat wap ujasir??
@@YussufYussuf-w9m hakuna mafunzo alio funza huyu kijana. Nimjinga.ameambiwa na sheikh alete usahih wa ile hadith alipoambiwa ni dhaifu mpaka sasa ni usanii tu. Sisi tuna hadith sahih ktk kwa mtume s.a.w. alikua wakti wakula anataja bismilla takbani miaka8. Yani bachu kashindwa tu kutoa hadith angalau moja tu??? Mtihani navile yuazungumza karibu dakika 30 aaahhh!!! Ilimu ina wenye
"Na sema haki itokayo kwa mola wako anaetaka atafata na anaetaka ataacha" surat alkahfi.endelea kuieleza haki shekh wetu na Allah akulipe
ALLAHU akuzidishie elimu tuna pata faida sana kupitia ww.
MAASHAA ALLAH barakallah feek sheikh ,,,,
Wallahi shekhe bachu allah akuzidishie elimu na akupe kila lakheri, nakupenda saana shekhe kwaajili ya allah❤❤❤❤
Maashaallah
Mimi naku kubali saana Mwamba Toka DRC 🇨🇩🇨🇩 Allâh Aku Hifadhi Popote Upatikanapo Habiib wangu💝💝💖
Na katika ndoto zangu, Ni kuku Ona uso kwa uso siku modja inchallah💖🙏
Inshaallah
Alhamdulillah nimejaaliwa kutangulia comment
Maashallah,,, Allah akulipe kheri
Sheikh nasor bachu allah amurehmu
Allah akuhifadhi sheikh Muhammad dhidi ya madhalim
Maashaa Allaah, hapa nikichapo tu kwenda mbele, kwa wale wote walio haribu Da'wa na kuingiza fitna kubwaaaa.
Na wakajifanya wao peke yao ndio wenye maarifa, wasiokua wao, hao hawafai hata kuskilizwa, mahizbi hao
Mashallah sheikh wangu Allah akuhifadh
Baarakallah, sheikh Muhammad bachu
Safi Sana Kiboko Ya Muhammad Mafuta Jaaheel
Safi sanaaaaaaaa muhammad allaah akuhifadhi
بارك الله فيك وجزاك الله خيرا اخي الكريم استمر وشكرا
Sheikh bachu yupo vema mashallah..
Maa shaa Allaah , mimi ni miongoni mwa watu walohudhuria duruus za sheikh Nassor Abdallah Bhachu , Alhamdulillah .
Allah akuhifadhi alakhy Muhammad bachu
Ahsante. mwalimu wangu
Katk hali za namna hiyooo 😂😂😂 mafuta anajikaanga na mafuta yake😂😂😂😂
🤣🤣
Acha ajikaange yy ni samaki bahariya😂😂😂
😂😂😂
Hili neno diwani ndio analipenda katika hali za namna hii😂😂😂😂😂😂
Hhhhhh
Mti wenyematu lazima watu waupige magongo ndio maana kila mtu anameona bachu kamdomo kumbe aitetea haki majadida kimyaaa😊😊😊😊
😂😂😂😂 baraamika hoi na uhizbi wao
Allaah akubaarik akujaalie elimu zaid yenye manufaaa❤❤ Aaamiin
Mashllh sheikh
Alla akulipe kheri
Maa shaa Allaah kwa ufafanuzi mzuri wa kielimu .
ILI UJUE HAWA KINA MAFUTA HAWANA ISHU NA HAWAWEZI KUJIBU HOJA ZA MSINGI NDO MAANA HAWAWEZI KUJIBU KWA KITABU KAMA ANAVOJIBU SHEIKH BACHU NDUGU MUISLAM USIFUATE KUNDI MFUATE SHEIKH AMBAE ANAFUNDISHA KWA DALILI NA SIO ANAEKWEPA BAADHI NA AKAKUBALI BAADHI
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Allâh aku Hifadhi Saaaaaaaaaaaa💜
Mashekhe kama hawa wakiwekana sawa Sisi wengine tunafaidika wala hakuna kwamba tunarudi nyuma rududi au kukosoana nikatika dini tunafahamu ukweli NI upi uongo NI upi.
Bahariya Mafutaaaaaa, maradhi ya kurukwa na akili unayoo ww kwa ushahidi,wa maneno ya sheikh huyu unampa sheikh mwengine, sio sheikh Nassor Bachu mungu amrehemu.
Yaani huyu mafuta anakiburi kibaya sana.huko kusoma kidogo TU amekua hadi ibni taymiyah anamuona kama mwanafunzi wa pongwe huyu afaa viboko na bakora.huenda karogwa na watu wamaulid maana anaropoka kama mtu mirungi
POINT KIELIM BACHU ANAWAZID HAWA MASALAFI WAHOVYHOVYO WOTE HAWAMUWEZ PILI PICHA YAKE KUKAA PALE NDIO KUONESHE HAWA NIWATU MJIRM MASALAFI HAWA WALIOZALIKIANA NAKINAMAFUTA NIWATU WAMOTON BILA SHAKA NIWAONGO NIWATU WAFITNA WANAFARAKANISHA WATU NAKUWAINGIZA MOTON HILI WW NDIO WAOVU😊
Waalaykum salam warahmatullah
wabarakatuh
Shukran ❤
SHEKH MUHAMMAD UPO SAHIHI.Ningeomba tubadili mwelekeo kwa sababu wasomi wako wengi lakini idadi kubwa ya vijana wa KIISLAMU wameikimbia dini badala yake wamekuwa waislam wa majina tu.Tupange mikakati ya kuwaelimisha hatimaye wafanye A-AMALI NJEMA.
DAH INAUMA SANA SHEKHE MWENYE KUAMINIWA NAWANAFUNZI HASA WAMTIMKAVU ALAFU UNASIFA YA UONGO. NA KWANINI UNAMSINGIZIA SHEKHE BACHU ILHALI HAYUPO DUNIANI?😭😭😭
Nihatari hilikundi la masufi wa kijadida nilahovyo
Mashaallah.
Jazakallahu khyran Shaykh kuna clip fupi nimekaa nayo sana kwenye sim angu nashindwa kukutumia maake whatsapp yako iko busy sana hujibu messages.
Hii clip ina shub-ha chache tu za sufi mmoja zinaleta mkanhanyiko kidogo na kutia doa kwa wanachuoni wa sunnah. Naomba uniruhusu nikutumie uishughulikie ndani ya madakika machache tu tufaidike kisha uendelee na ratiba zako nyingine inshallah nakuomba kwa ajili ya Allah
Mwambie ajaribu aone motoo
@Mkombozi-j3p We umekaa kiushindani sio?
Shekh mtumie tu inshallah ataiyona
Heee leyo ndo nimejuwa Muhammad bacho simtu wautani wamezidi kumsema sema marhum shekh Nasour nadhani hii itatosha kuwanyamazisha
Bila kuwekana wazi watu watabeba vya uongo endeleeni ukweli utabainika Tu
Awa majadida wanafana hakili mbaya Sauti jeuri kibri zarau kujiona wanajua kilakitu katika dini wasipo tubiya Allaha Allaha imani na elimu
M-bainishaji
wewe mukhmmad mafuta mche Allaah mbona mamboyako wakowaz shekh nasoro hapo kaingiaje wewezungumza na mtotowake achananababamtu nakuhusiya nduguyangu tuludi kwenyevitabu tupate faidaza kielim achaubabaifu🎉
Wazazi muwaeke kando kila mzazi hupeleka mtoto kusoma kwajili ya Allah sasa huko mbele alichovuna mtoto ni yeye na mola wake.....
Mbona mnaegemea kqenye hadithi.hizi hadithi kaandikwa na makafiri kuvuruga uislamu.hizi mikono ya binasamu lete ishara kwenye qurani
Muhammad bachu hapo kwa Muhammad mafuta ni sababu tu umeipata. Lkn chuki yko kubwa ni kwa kassim mafuta kakaake. Hapo unazunguka tu na kujikweza. Una chuki sana na sheikh kassim na umefanikiwa kumfedhehesha kama ulivyoahidi utamfedhehi na kuikejeli markaz ibintaymiya. Hongera sana
Bado hujaongea mpaka unye mavi ndio hasira zako zitaisha,mijitu ya hovyo nani asiewajuwa,
Tulia wewee tunamtaka murjifu qassimu mafuta atoe Bayani kuhusiana na lipicha lake
Sikiliza ww ndo unachuki
Good
Muhammad mafuta 😂😂😂😂 jamaa anafurahisha sana
أسأل الله أن يحبكم محبة يطيل بها أعماركم ويكثر بها أرزاقكم ويزكي بها أعمالكم فيحبكم الخلق أينما إتجهتم ..
جعله الله يوم سـعــيد تنشرح فيه صدوركم وتتفتح لوجوهكم السعادة حفظكم الله وحفظ أهليكم و بيوتكم اللهم أسألك لأحبتي إيماناً كاملاً ويقيناً صادقاً ورزقاً واسعاً . وصل اللهم وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه وسلم تسليما كثيرا .
Assalam alykum warhmatuallah ndugu yangu mpaka hapo yamtosha bwna Muhammad mafuta mpaka ajibu kwanza.... Ustadh Muhammad nassor Allah akuhifadh na kila dhu'lma twaombeana kher kwa Allah
Allah atujalie afya njema na uzima
mashaallah
الحمد لله
اللهم آمين يارب العالمين
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh
Ustadh malemba baado hajajibu swali hata moja mpaka leo, kimyaaaaa
Katika hali ya namna hiyo......😂😂😂😂😂😂😂
@@omarsal3266😂😂🎉
Amna jinsi lazima akimbie 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂anadhani amesoma peke yake
Wewe hufatilii hata kidogo, alishajibiwa muda mrefu
@daudaathman8229 umesikiliza jibu zake kwa maswali aliyoulizwa ? Ndio unisaidie mm hizo jibu
Haqq ni Haqq mimi ni Salafy lakini baadhi ya muda huwa hoja ziko wazi sana!! Allah atuongoze katika Haqq na kutuepushia na Kibr
Mmi kama salafy naona huyu mafuta anatuaibisha
@@bacteria5184 wewe ndio unatuaibisha kwakuji koroga akili iko kwa bacho masikio iko kwa sheikh mafuta.jumuisha akili na maskio pahali pamoja. Sasa hata ukiulizwa tu je bachu kuna hadith alioitoa hata moja???muhammad mafuta ana subiri hadithi.alafu aitetee ile hadidh alioitoa usahihi wake only that wallahi hana...kajichanganya sijui mara tuletee kitabu mwana chuoni yeyote alio sema sijui wewe ni mjinga sijui khain..sasa hio ndio nini?? Jibu hoja acha ujinga ww bachu
😂😂😂😂😂😂😂
Ni kwel sheikh😂
Baharia ameshapanda ndinga yupo zake mti mkavu kajichimbia
😂😂😂😂😂🎉🎉
😂
Ingekua sio viburi vya hawa majadida ungeachana naye tu lkn mpe soma kwa faida yetu sote
Dah natamani uendelee kuongea shekhe, alla azidi kukupa afya uzidi kuzindua watu katka elimu
Wana jikutaga waoo ndio wasomii peke yao mpaka wana fanya khiyanaa
Wallahi BACHU UNAFAIDISHA WATU WENGI.
Na kina m.mafuta na genge lake ni majaahil tu
Mafuta amekwepa walae nilikuwa napenda kumskiza lakini sahii 😂😂😂😂 apote mbali
😂😂😂😂😂😂
HIZBI MUHAMMAD BACHU UNA WALINGANIA WATU KATIKA UHIZBIA
HIZBIIIIIIII MUHAMMAD BACHU
Umejipiga radi mwenyewe hizbi jadida,na Bado mpaka unye mavi ndio hasira zako zitaisha,allaah amewafichuwa na uhizbiya wenu
Muogope allah ndugu acha taasubi uhzìbi uko wapi apo mbona hoja zake sipo wazi mbona unaonekana kama watu wabidaa?wanakataa haki wakati ipo wazi?
YAONYESHA WEWE HUKUENDA MADRASA HATA DARASA LA KWANZA NDIO MAANA HUELEWI MASIKINI MPAKA ILIPOFIKA WASEMA BACHO AJIPINGA MWENYEWE, KUMBE MAFUTA NIMPTUPU PAMOJA NA WANAFUNZI WAKE PIA HAWAELEWI KABISAA WALLAHI@@HassanIddy-v1b
Hizbi ni mwehu baharia Muhammad mafuta aliekuwa na kadi ya ccm
Wewe mwenyewe hizbi mkubwa na mafuta wako pia hizbi😂😂😂😂
Jaman nimekuw mtu wa saba leo kuiangalia hii
Maashallah,,,, Allah akulipe kheri,,,,
Ameen
Sisi ni masalafy lakini tunaunga mkono nondo za bachu
Allaah akubaarik
Pongwe majitakasa sana na kujiona mupo sawa kuliko wengine.
Assalamu alaykum warahmtullah nomba sheikh usisahau kuendeleza duruusi za lugha
Na kama itawezekana tunaomba tengeza channel TELEGRAM NI MUHIMU SANA AHKY MUHAMMAD BACHU
bachu eee huyu mafuta hana tofauti na kidawa wa kaskazini istimbaat ni bidaa😂😂😂
Malemba katokomea na muhammadi mafuta alisema bachu akitoa radi mda huohuo nae atamjibu vip mbona kimyaaaa
ruclips.net/video/xih4MYTb5jY/видео.htmlsi=LTdXJgiXTGqOKOS3 sheikh Muhammad naomba utuelimishe msingi ya kuamiliana na masufi na mashia
majadida macho ya mewatoka wallah 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤
@@HassanIddy-v1b wanamchukiya vibaya mnoo
Asalam Alekum
Jino kwa jino
❤
Ah kijana mwamba mafuta acha kuharakia mambooo
😂😂😂😂😂❤❤❤
Yaan mafuta umefilisika
Kwisha habari yake
Hoi😢
Waalekum salaam warahmatullahi wabarakatu sheikh 😊
Shekh asalamu alaykum warahmatullahi wabarakatu akhy nafurahishwa sana na faida kwa mjadala huo
Hassan wazir soloko alikimbia na mafuta hayupo mbal kukimbia au ameshakimbia hawamuez bachu
Kweli
Tupo pamoja
TUMREJESHE TENA KWENYE TASWIRA/PICHA SHK😆😆😆😆 ASTUFANYE WATOTO😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Nilikuwa naisubiri. Maliza turudi kwenye Picha.
BAHARIYA.. 😂😂😂😂
Mafuta baharia usijiaibishe, wewe mwepesi kiilmi, sisemi kiushabik, msikilize Ustadh akisherehesha
😂😂Njoo nikuonyeshee lundo la vitabuuuuuu
Kwahiyo, kwa msimamo wa Mafuta IBN TAYMIYYAH ji JAAHIL MURAKKAB Sio maana anamdai dalili😢😢😢
Hawa akina ma futa na yule mganga diwani kazi yao kubwa ni jazba na utukanaji ni watusi wakubwa sijui wanawafundisha nini wanafunzi wao na watoto wao
Kinachowasumbua Hasadi ewe Muhammad mafuta taka hifadhi kwa Allah kutokana na Hasadi shekh bachu amejaaliwa na Allah ni kipawa chake manani hamumuezi huyu ni mtoto wa shekh nyinyi ni watoto wa nani?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Baharia amgaragaza ulamaa Abu Zaid😂 na Ibn Taymmiyya😂
Mafuta kama yusuph diwan wanekosa hoja kazi matusi tuuu
Kwahiyo, kwa msimamo wa Mafuta IBN TAYMIYYAH ni JAAHIL MURAKKAB Sio? Kwa maana anamdai dalili😢😢😢 na mashekh wote wanao Ona inafaa kukamilisha Bismillah ni MAJAAHIL MURAKKAB????