MAFUTA UKIAMBIWA HUJUI USIONE SIFA KWANINI UMERUKA MANENO KWENYE KITABU || Muhammad Bachu.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 330

  • @iddimuatafa
    @iddimuatafa 8 дней назад +14

    ALLAH amrehem sheikh wetu Nasor bachu na amjaalie muhamad bachu awe nimiongoni mwa watoto wema wanao muombea na ampenguvu azidi kubainisha haqqi ulimwenguni kote

  • @AliAhmed-b5z8l
    @AliAhmed-b5z8l 8 дней назад +7

    Ustadh Bachu umenifurahisha, sina la kusema MashaAllah

  • @AlbanSaifullah-w1y
    @AlbanSaifullah-w1y 8 дней назад +12

    Masha Allah yani ninapomskiliza sheikh Muhammad bachu Nahisi Raha sana na kutulia wallahi ❤❤❤😢😊😊 Duuuh Hadi Nataman basi nipate fursa ya kumuona live 🫶🥰🥰🥰 Wallah Nayatangaza mapenzi yangu kwako kwa ajili ya Allah ❤❤❤

  • @MohdIkra-d7s
    @MohdIkra-d7s 8 дней назад +9

    Maashaallahu muhamad bachu maashaallahu baba kazaa Allahu akuhifasdh

  • @ismailowino2866
    @ismailowino2866 8 дней назад +9

    Masha'allah tabarakallah,darsa tosha hapa Sheikh wetu!Allah azza wa jal akuhifadhi!

  • @saadaAbdalla1371
    @saadaAbdalla1371 8 дней назад +9

    Maashaa Allah. Allah akuhifadhi uzidi kuubainisha ukweli na walokua hawajui wafuate wap watapata majibu sahihi watakuelewa tu labda wawe na chuki vifuani mwao wanafunzi wa hawa walim mufanye maamuzi sahihi kwaajili ya Dini ya Allah nyinyi ndio mnotegemewa kuipeleka Dini ya Allah mbele cio kushika mahala ambapo hakuna vidhibit sahihi Allah atuongoze sote ktk njia ya sawa na atupambe kwa Afya njema na atujaalie mwisho mwema

    • @NoorAli-vj4gn
      @NoorAli-vj4gn 8 дней назад +2

      Ameen

    • @BinSarai-f2v
      @BinSarai-f2v 8 дней назад +1

      Aslm alaykm ndugu ktk imaani mm nawanasihi maduati ambayo wanalingania manhaj salaf wawe na kauli za sawa wasiwe na maneno machafu mpaka kutoa heshima za watu kwani hilo silo agizo la Allah na mtume wake swalallahu alayihi wasalaam kwni hii ni daawa ya rahma
      ALLAHUL MUSTAANU

  • @Abdulmajid-xs7gk
    @Abdulmajid-xs7gk 8 дней назад +10

    Sheikh bachu Allah akuhifadh kwa hakika tunapat faida kubwa sana kweny ruduud hizi unatufunza mengi ktk dini yetu

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 8 дней назад +9

    Maashallah Sheikh Muhammad Bachu allah akulipe kheri na akulinde na maadui na vitimbi vyao,,,,
    Sheikh Muhammad Bachu nakuusia kwa ajili ya Allah usije kuwacha hizi raddi zinamanufaa makubwa katika jamii na individually,,,,,
    May Allah grant us great and beneficial knowledge in it.

    • @NaduuAbdilah-uj5vj
      @NaduuAbdilah-uj5vj 8 дней назад +2

      @@KhalfanMassoud ume sema kwelii

    • @RamadhaniShembilu-l1e
      @RamadhaniShembilu-l1e 7 дней назад

      Kweli kaka twafaidik saaana

    • @MusaLuwaga
      @MusaLuwaga 7 дней назад

      Kwel ndug mana watu kwa kutudangny ili kuvutia misimamo Yao wamezidi​@@RamadhaniShembilu-l1e

  • @ShabaniIbrahim-u3y
    @ShabaniIbrahim-u3y 7 дней назад +3

    Allah akujaze kila kheri mwalimu wangu. Mimi nipo Congo D R C nafatilia darsa Yako

  • @ayubumasudi8380
    @ayubumasudi8380 8 дней назад +8

    ALLAH akulipe kila lakheiri tunafaidika saana kwenye madarasa yako kwakweli MAASHALLAH

  • @IdrisaAli-g5b
    @IdrisaAli-g5b 8 дней назад +6

    Allah akuhifadhi sheikh Mohammad bachu wewe ni jeshi la mtu mmoja

  • @allysaid5800
    @allysaid5800 8 дней назад +7

    Shukran muhammad bachu Allaah akuhifadh

  • @YussufYussuf-w9m
    @YussufYussuf-w9m 8 дней назад +14

    Mafuta kama hukufunzika hapa Wewe kibur bachu kafunguka vakutosha mashaallah allah amlinde na husda zenu za waz na za sir aamiin

    • @AbdallahAlly-b5m
      @AbdallahAlly-b5m 8 дней назад +3

      Wengi wenu mnafananisha sauti ya sheikh qassim na Muhammad mafuta,akhy hao ni ndugu sasa mafuta unaemzungumzia wew ni mafuta yupi? Hapo Sheikh qassim hausiki na hiyo radd hapo kaka

    • @AbdallahAlly-b5m
      @AbdallahAlly-b5m 8 дней назад +3

      Halafu katika watu wasiopaswa kumshabikia bachu ni nyie masufi,maana kutwa anawachapa huku mitandaoni,leo unamshabikia kesho atakuwatandika na bidaa zenu 😅

    • @AlmasAbdallah-r3g
      @AlmasAbdallah-r3g 8 дней назад

      @@AbdallahAlly-b5m 😁😁😁Bachu ni mjinga sana shida inakuja anapotka kushindana na Salafy huku hawezi kabisa.

    • @imamuhamisi4421
      @imamuhamisi4421 8 дней назад +1

      ​@@AlmasAbdallah-r3g😂😂aisee huu ushabk kwny din mpk kuit mjinga mtu, iv hamuogop siku ya mwisho siku ya hukum, daah sie waislam wallah tuna mtihan, mim katk kitu naogop nikukuita mtu wa dini mjinga, mshenz na mengne kam hayo, hiv nyie mnapat wap ujasir??

    • @IsmailGavara-do4wi
      @IsmailGavara-do4wi 8 дней назад

      @@YussufYussuf-w9m hakuna mafunzo alio funza huyu kijana. Nimjinga.ameambiwa na sheikh alete usahih wa ile hadith alipoambiwa ni dhaifu mpaka sasa ni usanii tu. Sisi tuna hadith sahih ktk kwa mtume s.a.w. alikua wakti wakula anataja bismilla takbani miaka8. Yani bachu kashindwa tu kutoa hadith angalau moja tu??? Mtihani navile yuazungumza karibu dakika 30 aaahhh!!! Ilimu ina wenye

  • @aboumuhammad-o9l
    @aboumuhammad-o9l 8 дней назад +7

    "Na sema haki itokayo kwa mola wako anaetaka atafata na anaetaka ataacha" surat alkahfi.endelea kuieleza haki shekh wetu na Allah akulipe

  • @binbuhakhamis4336
    @binbuhakhamis4336 8 дней назад +6

    ALLAHU akuzidishie elimu tuna pata faida sana kupitia ww.

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 7 дней назад +1

    MAASHAA ALLAH barakallah feek sheikh ,,,,

  • @RamadhaniShembilu-l1e
    @RamadhaniShembilu-l1e 7 дней назад +2

    Wallahi shekhe bachu allah akuzidishie elimu na akupe kila lakheri, nakupenda saana shekhe kwaajili ya allah❤❤❤❤

  • @IsmailabinuseniAl-sudais
    @IsmailabinuseniAl-sudais 8 дней назад +6

    Mimi naku kubali saana Mwamba Toka DRC 🇨🇩🇨🇩 Allâh Aku Hifadhi Popote Upatikanapo Habiib wangu💝💝💖
    Na katika ndoto zangu, Ni kuku Ona uso kwa uso siku modja inchallah💖🙏

  • @NoorAli-vj4gn
    @NoorAli-vj4gn 8 дней назад +15

    Alhamdulillah nimejaaliwa kutangulia comment

  • @KuradusengeAbdurahman
    @KuradusengeAbdurahman 8 дней назад +5

    Sheikh nasor bachu allah amurehmu

  • @muhamadkhalid4976
    @muhamadkhalid4976 8 дней назад +3

    Allah akuhifadhi sheikh Muhammad dhidi ya madhalim

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 8 дней назад +4

    Maashaa Allaah, hapa nikichapo tu kwenda mbele, kwa wale wote walio haribu Da'wa na kuingiza fitna kubwaaaa.
    Na wakajifanya wao peke yao ndio wenye maarifa, wasiokua wao, hao hawafai hata kuskilizwa, mahizbi hao

  • @NassorMohammed-kd2of
    @NassorMohammed-kd2of 7 дней назад +2

    Mashallah sheikh wangu Allah akuhifadh

  • @salumjazaa5595
    @salumjazaa5595 5 дней назад

    Baarakallah, sheikh Muhammad bachu

  • @SheikhHassanMussa
    @SheikhHassanMussa 8 дней назад +3

    Safi Sana Kiboko Ya Muhammad Mafuta Jaaheel

  • @AbdulRama-u7d
    @AbdulRama-u7d 8 дней назад +5

    Safi sanaaaaaaaa muhammad allaah akuhifadhi

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 8 дней назад +3

    بارك الله فيك وجزاك الله خيرا اخي الكريم استمر وشكرا

  • @MohammedSalmin-f3l
    @MohammedSalmin-f3l 7 дней назад +1

    Sheikh bachu yupo vema mashallah..

  • @abdallahal-khaify
    @abdallahal-khaify 6 дней назад

    Maa shaa Allaah , mimi ni miongoni mwa watu walohudhuria duruus za sheikh Nassor Abdallah Bhachu , Alhamdulillah .

  • @udu-abdissamy
    @udu-abdissamy 7 дней назад

    Allah akuhifadhi alakhy Muhammad bachu

  • @ashekhajabir2469
    @ashekhajabir2469 8 дней назад +5

    Ahsante. mwalimu wangu

  • @IbraahJuma-dl2rd
    @IbraahJuma-dl2rd 8 дней назад +11

    Katk hali za namna hiyooo 😂😂😂 mafuta anajikaanga na mafuta yake😂😂😂😂

  • @rajabTaratibu
    @rajabTaratibu 8 дней назад +6

    Mti wenyematu lazima watu waupige magongo ndio maana kila mtu anameona bachu kamdomo kumbe aitetea haki majadida kimyaaa😊😊😊😊

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 8 дней назад

      😂😂😂😂 baraamika hoi na uhizbi wao

  • @AbdulRama-u7d
    @AbdulRama-u7d 8 дней назад +3

    Allaah akubaarik akujaalie elimu zaid yenye manufaaa❤❤ Aaamiin

  • @ahmedbyser
    @ahmedbyser 7 дней назад +1

    Mashllh sheikh

  • @JumaJuma-z3d
    @JumaJuma-z3d 7 дней назад +1

    Alla akulipe kheri

  • @abdallahal-khaify
    @abdallahal-khaify 6 дней назад

    Maa shaa Allaah kwa ufafanuzi mzuri wa kielimu .

  • @is-hakaame
    @is-hakaame 4 дня назад +1

    ILI UJUE HAWA KINA MAFUTA HAWANA ISHU NA HAWAWEZI KUJIBU HOJA ZA MSINGI NDO MAANA HAWAWEZI KUJIBU KWA KITABU KAMA ANAVOJIBU SHEIKH BACHU NDUGU MUISLAM USIFUATE KUNDI MFUATE SHEIKH AMBAE ANAFUNDISHA KWA DALILI NA SIO ANAEKWEPA BAADHI NA AKAKUBALI BAADHI

  • @IsmailabinuseniAl-sudais
    @IsmailabinuseniAl-sudais 8 дней назад +3

    🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
    Allâh aku Hifadhi Saaaaaaaaaaaa💜

  • @KimmomMssem
    @KimmomMssem 8 дней назад +5

    Mashekhe kama hawa wakiwekana sawa Sisi wengine tunafaidika wala hakuna kwamba tunarudi nyuma rududi au kukosoana nikatika dini tunafahamu ukweli NI upi uongo NI upi.

  • @JumaRashidRamadhan
    @JumaRashidRamadhan 7 дней назад +1

    Bahariya Mafutaaaaaa, maradhi ya kurukwa na akili unayoo ww kwa ushahidi,wa maneno ya sheikh huyu unampa sheikh mwengine, sio sheikh Nassor Bachu mungu amrehemu.

  • @bakariomari24omar21
    @bakariomari24omar21 8 дней назад +8

    Yaani huyu mafuta anakiburi kibaya sana.huko kusoma kidogo TU amekua hadi ibni taymiyah anamuona kama mwanafunzi wa pongwe huyu afaa viboko na bakora.huenda karogwa na watu wamaulid maana anaropoka kama mtu mirungi

  • @MohamedHassan-kk5te
    @MohamedHassan-kk5te 8 дней назад +4

    POINT KIELIM BACHU ANAWAZID HAWA MASALAFI WAHOVYHOVYO WOTE HAWAMUWEZ PILI PICHA YAKE KUKAA PALE NDIO KUONESHE HAWA NIWATU MJIRM MASALAFI HAWA WALIOZALIKIANA NAKINAMAFUTA NIWATU WAMOTON BILA SHAKA NIWAONGO NIWATU WAFITNA WANAFARAKANISHA WATU NAKUWAINGIZA MOTON HILI WW NDIO WAOVU😊

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 8 дней назад +2

    Waalaykum salam warahmatullah
    wabarakatuh

  • @husseinmongolare3417
    @husseinmongolare3417 7 дней назад +1

    Shukran ❤

  • @salimuhashimu1529
    @salimuhashimu1529 8 дней назад +1

    SHEKH MUHAMMAD UPO SAHIHI.Ningeomba tubadili mwelekeo kwa sababu wasomi wako wengi lakini idadi kubwa ya vijana wa KIISLAMU wameikimbia dini badala yake wamekuwa waislam wa majina tu.Tupange mikakati ya kuwaelimisha hatimaye wafanye A-AMALI NJEMA.

  • @RamadhaniShembilu-l1e
    @RamadhaniShembilu-l1e 7 дней назад +1

    DAH INAUMA SANA SHEKHE MWENYE KUAMINIWA NAWANAFUNZI HASA WAMTIMKAVU ALAFU UNASIFA YA UONGO. NA KWANINI UNAMSINGIZIA SHEKHE BACHU ILHALI HAYUPO DUNIANI?😭😭😭

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 7 дней назад

      Nihatari hilikundi la masufi wa kijadida nilahovyo

  • @aluse9293
    @aluse9293 8 дней назад +3

    Mashaallah.

  • @ShamsudeenOmary
    @ShamsudeenOmary 8 дней назад +9

    Jazakallahu khyran Shaykh kuna clip fupi nimekaa nayo sana kwenye sim angu nashindwa kukutumia maake whatsapp yako iko busy sana hujibu messages.
    Hii clip ina shub-ha chache tu za sufi mmoja zinaleta mkanhanyiko kidogo na kutia doa kwa wanachuoni wa sunnah. Naomba uniruhusu nikutumie uishughulikie ndani ya madakika machache tu tufaidike kisha uendelee na ratiba zako nyingine inshallah nakuomba kwa ajili ya Allah

    • @Mkombozi-j3p
      @Mkombozi-j3p 8 дней назад

      Mwambie ajaribu aone motoo

    • @ShamsudeenOmary
      @ShamsudeenOmary 8 дней назад +1

      @Mkombozi-j3p We umekaa kiushindani sio?

    • @seifsaid9905
      @seifsaid9905 8 дней назад +1

      Shekh mtumie tu inshallah ataiyona

    • @mfalmenajjash2128
      @mfalmenajjash2128 8 дней назад +1

      Heee leyo ndo nimejuwa Muhammad bacho simtu wautani wamezidi kumsema sema marhum shekh Nasour nadhani hii itatosha kuwanyamazisha

  • @KimmomMssem
    @KimmomMssem 8 дней назад +4

    Bila kuwekana wazi watu watabeba vya uongo endeleeni ukweli utabainika Tu

  • @mbwanahussen2950
    @mbwanahussen2950 8 дней назад +2

    Awa majadida wanafana hakili mbaya Sauti jeuri kibri zarau kujiona wanajua kilakitu katika dini wasipo tubiya Allaha Allaha imani na elimu

  • @ShabanKindinda
    @ShabanKindinda 7 дней назад +1

    M-bainishaji

  • @MusafiriShabani-l9w
    @MusafiriShabani-l9w 6 дней назад +1

    wewe mukhmmad mafuta mche Allaah mbona mamboyako wakowaz shekh nasoro hapo kaingiaje wewezungumza na mtotowake achananababamtu nakuhusiya nduguyangu tuludi kwenyevitabu tupate faidaza kielim achaubabaifu🎉

  • @aooshosho4255
    @aooshosho4255 8 дней назад +2

    Wazazi muwaeke kando kila mzazi hupeleka mtoto kusoma kwajili ya Allah sasa huko mbele alichovuna mtoto ni yeye na mola wake.....

  • @MaMa-gp1pw
    @MaMa-gp1pw 7 дней назад +1

    Mbona mnaegemea kqenye hadithi.hizi hadithi kaandikwa na makafiri kuvuruga uislamu.hizi mikono ya binasamu lete ishara kwenye qurani

  • @AbbasMwakichui-db9tn
    @AbbasMwakichui-db9tn 8 дней назад +1

    Muhammad bachu hapo kwa Muhammad mafuta ni sababu tu umeipata. Lkn chuki yko kubwa ni kwa kassim mafuta kakaake. Hapo unazunguka tu na kujikweza. Una chuki sana na sheikh kassim na umefanikiwa kumfedhehesha kama ulivyoahidi utamfedhehi na kuikejeli markaz ibintaymiya. Hongera sana

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 8 дней назад

      Bado hujaongea mpaka unye mavi ndio hasira zako zitaisha,mijitu ya hovyo nani asiewajuwa,

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq 8 дней назад +1

      Tulia wewee tunamtaka murjifu qassimu mafuta atoe Bayani kuhusiana na lipicha lake

    • @zainabrashid768
      @zainabrashid768 7 дней назад +1

      Sikiliza ww ndo unachuki

  • @hameidseif7083
    @hameidseif7083 8 дней назад +2

    Good

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 8 дней назад +3

    Muhammad mafuta 😂😂😂😂 jamaa anafurahisha sana

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 8 дней назад +4

    أسأل الله أن يحبكم محبة يطيل بها أعماركم ويكثر بها أرزاقكم ويزكي بها أعمالكم فيحبكم الخلق أينما إتجهتم ..
    جعله الله يوم سـعــيد تنشرح فيه صدوركم وتتفتح لوجوهكم السعادة حفظكم الله وحفظ أهليكم و بيوتكم اللهم أسألك لأحبتي إيماناً كاملاً ويقيناً صادقاً ورزقاً واسعاً . وصل اللهم وسلم وبارك على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه وسلم تسليما كثيرا .

    • @abuumuaawy-i4k
      @abuumuaawy-i4k 6 дней назад

      Assalam alykum warhmatuallah ndugu yangu mpaka hapo yamtosha bwna Muhammad mafuta mpaka ajibu kwanza.... Ustadh Muhammad nassor Allah akuhifadh na kila dhu'lma twaombeana kher kwa Allah

    • @abuumuaawy-i4k
      @abuumuaawy-i4k 6 дней назад

      Allah atujalie afya njema na uzima

  • @husseinmbarouk
    @husseinmbarouk 8 дней назад +2

    mashaallah

  • @abdul_azeez_almaamir
    @abdul_azeez_almaamir 8 дней назад +3

    الحمد لله

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 8 дней назад +1

    اللهم آمين يارب العالمين

  • @Abdulmajid-xs7gk
    @Abdulmajid-xs7gk 8 дней назад +3

    Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 8 дней назад +7

    Ustadh malemba baado hajajibu swali hata moja mpaka leo, kimyaaaaa

    • @omarsal3266
      @omarsal3266 8 дней назад +1

      Katika hali ya namna hiyo......😂😂😂😂😂😂😂

    • @mbjunior166
      @mbjunior166 8 дней назад

      ​@@omarsal3266😂😂🎉

    • @abuujamsheed2345
      @abuujamsheed2345 7 дней назад

      Amna jinsi lazima akimbie 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂anadhani amesoma peke yake

    • @daudaathman8229
      @daudaathman8229 7 дней назад

      Wewe hufatilii hata kidogo, alishajibiwa muda mrefu

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 7 дней назад +1

      @daudaathman8229 umesikiliza jibu zake kwa maswali aliyoulizwa ? Ndio unisaidie mm hizo jibu

  • @ibrahimjumaa538
    @ibrahimjumaa538 5 дней назад

    Haqq ni Haqq mimi ni Salafy lakini baadhi ya muda huwa hoja ziko wazi sana!! Allah atuongoze katika Haqq na kutuepushia na Kibr

  • @bacteria5184
    @bacteria5184 8 дней назад +11

    Mmi kama salafy naona huyu mafuta anatuaibisha

    • @IsmailGavara-do4wi
      @IsmailGavara-do4wi 8 дней назад

      @@bacteria5184 wewe ndio unatuaibisha kwakuji koroga akili iko kwa bacho masikio iko kwa sheikh mafuta.jumuisha akili na maskio pahali pamoja. Sasa hata ukiulizwa tu je bachu kuna hadith alioitoa hata moja???muhammad mafuta ana subiri hadithi.alafu aitetee ile hadidh alioitoa usahihi wake only that wallahi hana...kajichanganya sijui mara tuletee kitabu mwana chuoni yeyote alio sema sijui wewe ni mjinga sijui khain..sasa hio ndio nini?? Jibu hoja acha ujinga ww bachu

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 8 дней назад +1

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @mbjunior166
      @mbjunior166 8 дней назад +1

      Ni kwel sheikh😂

  • @MasoudChoum-pp1ob
    @MasoudChoum-pp1ob 8 дней назад +4

    Baharia ameshapanda ndinga yupo zake mti mkavu kajichimbia

  • @abusalmadangaadam708
    @abusalmadangaadam708 8 дней назад +2

    Ingekua sio viburi vya hawa majadida ungeachana naye tu lkn mpe soma kwa faida yetu sote

  • @RamadhaniShembilu-l1e
    @RamadhaniShembilu-l1e 7 дней назад +1

    Dah natamani uendelee kuongea shekhe, alla azidi kukupa afya uzidi kuzindua watu katka elimu

  • @NaduuAbdilah-uj5vj
    @NaduuAbdilah-uj5vj 8 дней назад +3

    Wana jikutaga waoo ndio wasomii peke yao mpaka wana fanya khiyanaa

  • @AdanHassan-g7w
    @AdanHassan-g7w 8 дней назад +3

    Wallahi BACHU UNAFAIDISHA WATU WENGI.
    Na kina m.mafuta na genge lake ni majaahil tu

  • @abdirashanaemia8795
    @abdirashanaemia8795 8 дней назад +2

    Mafuta amekwepa walae nilikuwa napenda kumskiza lakini sahii 😂😂😂😂 apote mbali

  • @RamadhanAbdul-l1h
    @RamadhanAbdul-l1h 8 дней назад +1

    HIZBI MUHAMMAD BACHU UNA WALINGANIA WATU KATIKA UHIZBIA
    HIZBIIIIIIII MUHAMMAD BACHU

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 8 дней назад

      Umejipiga radi mwenyewe hizbi jadida,na Bado mpaka unye mavi ndio hasira zako zitaisha,allaah amewafichuwa na uhizbiya wenu

    • @HusseinHassan-p7g
      @HusseinHassan-p7g 8 дней назад +2

      Muogope allah ndugu acha taasubi uhzìbi uko wapi apo mbona hoja zake sipo wazi mbona unaonekana kama watu wabidaa?wanakataa haki wakati ipo wazi?

    • @amirimshaali9872
      @amirimshaali9872 8 дней назад

      YAONYESHA WEWE HUKUENDA MADRASA HATA DARASA LA KWANZA NDIO MAANA HUELEWI MASIKINI MPAKA ILIPOFIKA WASEMA BACHO AJIPINGA MWENYEWE, KUMBE MAFUTA NIMPTUPU PAMOJA NA WANAFUNZI WAKE PIA HAWAELEWI KABISAA WALLAHI​@@HassanIddy-v1b

    • @HassanHamad-rf9tq
      @HassanHamad-rf9tq 8 дней назад

      Hizbi ni mwehu baharia Muhammad mafuta aliekuwa na kadi ya ccm

    • @Muktazitv
      @Muktazitv 7 дней назад +1

      Wewe mwenyewe hizbi mkubwa na mafuta wako pia hizbi😂😂😂😂

  • @Abdulmajid-xs7gk
    @Abdulmajid-xs7gk 8 дней назад +5

    Jaman nimekuw mtu wa saba leo kuiangalia hii

  • @AbdallaNassor-q7u
    @AbdallaNassor-q7u 8 дней назад +2

    Sisi ni masalafy lakini tunaunga mkono nondo za bachu

  • @Aakhar-z3c
    @Aakhar-z3c 8 дней назад +1

    Pongwe majitakasa sana na kujiona mupo sawa kuliko wengine.

  • @MahmoodAlhusary
    @MahmoodAlhusary 8 дней назад +2

    Assalamu alaykum warahmtullah nomba sheikh usisahau kuendeleza duruusi za lugha
    Na kama itawezekana tunaomba tengeza channel TELEGRAM NI MUHIMU SANA AHKY MUHAMMAD BACHU

  • @AbdallaSultan-pg6pv
    @AbdallaSultan-pg6pv 7 дней назад +1

    bachu eee huyu mafuta hana tofauti na kidawa wa kaskazini istimbaat ni bidaa😂😂😂

  • @rajabTaratibu
    @rajabTaratibu 8 дней назад +3

    Malemba katokomea na muhammadi mafuta alisema bachu akitoa radi mda huohuo nae atamjibu vip mbona kimyaaaa

  • @hassanhussein896
    @hassanhussein896 8 дней назад +3

    ruclips.net/video/xih4MYTb5jY/видео.htmlsi=LTdXJgiXTGqOKOS3 sheikh Muhammad naomba utuelimishe msingi ya kuamiliana na masufi na mashia

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 8 дней назад +2

    majadida macho ya mewatoka wallah 😂😂😂

  • @mohammedaliabdallah5508
    @mohammedaliabdallah5508 8 дней назад +3

    Asalam Alekum

  • @IbrahimuMgeni-gz5vx
    @IbrahimuMgeni-gz5vx 8 дней назад +1

    Jino kwa jino

  • @alitano6769
    @alitano6769 8 дней назад +1

  • @MohdIkra-d7s
    @MohdIkra-d7s 8 дней назад +2

    Ah kijana mwamba mafuta acha kuharakia mambooo

  • @MohamedHassan-kk5te
    @MohamedHassan-kk5te 8 дней назад +1

    Yaan mafuta umefilisika

  • @mohammedaliabdallah5508
    @mohammedaliabdallah5508 8 дней назад +1

    Waalekum salaam warahmatullahi wabarakatu sheikh 😊

    • @jechasuleiman5532
      @jechasuleiman5532 8 дней назад

      Shekh asalamu alaykum warahmatullahi wabarakatu akhy nafurahishwa sana na faida kwa mjadala huo

  • @KhalfanAlawi
    @KhalfanAlawi 8 дней назад +1

    Hassan wazir soloko alikimbia na mafuta hayupo mbal kukimbia au ameshakimbia hawamuez bachu

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 8 дней назад +3

    Tupo pamoja

  • @MR_GROUZER
    @MR_GROUZER 8 дней назад +2

    TUMREJESHE TENA KWENYE TASWIRA/PICHA SHK😆😆😆😆 ASTUFANYE WATOTO😂😂😂😂

  • @saidhalfan3452
    @saidhalfan3452 8 дней назад +1

    Nilikuwa naisubiri. Maliza turudi kwenye Picha.

  • @ABUU_SAAD-ut4fd
    @ABUU_SAAD-ut4fd 7 дней назад +1

    BAHARIYA.. 😂😂😂😂

  • @AliAhmed-b5z8l
    @AliAhmed-b5z8l 8 дней назад +1

    Mafuta baharia usijiaibishe, wewe mwepesi kiilmi, sisemi kiushabik, msikilize Ustadh akisherehesha

  • @seifsaid9905
    @seifsaid9905 8 дней назад

    😂😂Njoo nikuonyeshee lundo la vitabuuuuuu

  • @maulidisaidimuhani6859
    @maulidisaidimuhani6859 8 дней назад +1

    Kwahiyo, kwa msimamo wa Mafuta IBN TAYMIYYAH ji JAAHIL MURAKKAB Sio maana anamdai dalili😢😢😢

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 8 дней назад +1

    Hawa akina ma futa na yule mganga diwani kazi yao kubwa ni jazba na utukanaji ni watusi wakubwa sijui wanawafundisha nini wanafunzi wao na watoto wao

  • @HassanSalim-hl8qs
    @HassanSalim-hl8qs 8 дней назад +1

    Kinachowasumbua Hasadi ewe Muhammad mafuta taka hifadhi kwa Allah kutokana na Hasadi shekh bachu amejaaliwa na Allah ni kipawa chake manani hamumuezi huyu ni mtoto wa shekh nyinyi ni watoto wa nani?

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 8 дней назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AliAhmed-b5z8l
    @AliAhmed-b5z8l 8 дней назад +1

    Baharia amgaragaza ulamaa Abu Zaid😂 na Ibn Taymmiyya😂

  • @rajabTaratibu
    @rajabTaratibu 8 дней назад +1

    Mafuta kama yusuph diwan wanekosa hoja kazi matusi tuuu

  • @maulidisaidimuhani6859
    @maulidisaidimuhani6859 8 дней назад +1

    Kwahiyo, kwa msimamo wa Mafuta IBN TAYMIYYAH ni JAAHIL MURAKKAB Sio? Kwa maana anamdai dalili😢😢😢 na mashekh wote wanao Ona inafaa kukamilisha Bismillah ni MAJAAHIL MURAKKAB????